Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,7

Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa hongera kwa kuwa mshindi kwenye mashindano ya kufanya mtihani, celena akashangaa nakuwaambia walimu kuwa " mbona Mimi sijafanya mtihani ,?
Walimu wakaanza kumcheka na kumwambia kuwa ulifanya mtihani , japo Celena alibisha lakini alipewa mtihani wake na kweli aliangalia akakuta mwandiko umefanana na wake kabisa ,akawaza nakujua kuwa kwa vyovyote atakuwa ni yule mtoto aliefanana nae, kwa akili ya utoto aliyokuwa nayo akawaza namna ya kumtafuta mtoto huyo mpaka ampate ,
Siku zilipita huku Celina akiwahi kutoka shule na kuwahi kule kwa mama yake kichaa maana akimuacha peke yake anakuwa mnyonge ,
Kumbe siku hiyo Stefano aliambiwa na mama yake kuwa aende na Celina maana ni muda hajawatembelea ,
Sasa Celina aliwahi kuondoka , shuleni hapo , wakati anaondoka na Celena nae alitoroka shuleni kwao akaja kumtafuta Celina kule shulen ,ili tu amuone maana aliuliza akaambiwa anasoma shuleni hapo ,

"We stefano si ulikuwa unamtafuta Celina yule kule ,,""
Mwanafunzi mmoja alimwambia stefano ,

"We Celina mbona umependeza hivyo ,halafu begi jipya kabisa , nani kakununulia ,"?
Stefano alimuuliza Celena akijua ni Celina ,
" Kwani Kuna shida Gani mi kupendeza ,"?
Aliuliza Celena maana alikuwa hajui huyu Stefano anamahusiano Gani na huyo Celina aliefanana nae Nia yake ni kujifanya ni Celina ili amuone vzr huyo Celina,
" Tuyaache hayo bana mi nilijua umeshaondoka ,"?
Aliuliza Stefano ,
"Sijaondoka kwani vipi ,,""?
Celena akamuuliza stefano ,
Kumbuka Celena hamjui Stefano, bali Celina ndo anamjua Stefano na anaendaga mpaka kwao na kula chakula ,

"Mama anakuita ,anasema twende wote nyumbani amekumisi ,""
Stefano aliongea tena ,

Celena akawaza na akataka kumuuliza Celina yupo wapi,
Akasita ,akaona atazua mambo mengine .lakini inawezekana akienda kwa kina Stefano ndio atajua ukweli Kama atakutana na Celina ,

""Sawa twende ,,""

Wakaongozana ,
Lakini wakiwa njian wakatokea vijana wawili ,wakamkamata Stefano wakaanza kumpiga huku wakidai darasani aliwachokoza ,
Bila hata yakuuliza Celena akaingilia ugomvi ,Stefano akashangaa alimzoea Selina ugomvi ukitokea anawagombelezea halafu anamfokea Stefano kuwa aache ugomvi,
Lakini leo ameingilia ugomvi na kumkamata kijana mmoja na kumshindilia mangumi ,
Stefano nae akapata nguvu akamshika yule kijana mwingine wakaanza kuzichapa ,
Wale vijana wakashindwa ugomvi wakakimbia ,

Daah ,,leo Celina umepigana ,,""!
Stefano alimshangaa Celena ,huku mawazo yake yakimtuma yuko na Celina ,

"Nilijikuta tu moyo unaumia walivyokuwa wanakupiga na sijui kwanini ,,""?
Celena alijibu huku wakiendelea na safari ,

Wakati Celena anakwenda kwa kina Stefano ,
Huku Celina alikuwa anakwenda zake dampo kule kwa Mama yake kichaa,
Wakati anakwenda kuna gari ilipaki kando yake ,
" We Celena mbona uko hivyo , "?
Aliuliza dereva wa gari hiyo huku akitelemka , ye alijua ni Celena kumbe amekutana na Celina, kabla hata hajajibu yule dereva akamwambia apande kwenye gari ili waondoke waende nyumbani ,Celina akataka kukataa lakini yule dereva akamlazimisha Sana huku akidai atafukuzwa kazi , Celina akaona ngoja aende tu ili akajue ukweli huko huko maana anafananishwa na yule mtoto aliefanana nae na hamjui ,

Huku kwa kina Stefano Celena ndo alikuwa anaingia ,
"Jamani Celina karibu ,,""
Mama Stefano alimkumbatia Celena akijua ni Celina ,
"" Shikamoo mama ,,""
Celena aliamkia ,

"Marhaba mwanangu haya za kutususa ,,""

Celena alikuwa anajibu tu ,maana alikuwa hajui Celina anauhusiano gani na hii familia ,
Mama Stefano akampa zawadi ya gauni moja zuuri ,
Na Celena alipolivaa lilimpendeza sana ,

"Huyu mbona kama sio Celina ,,maana Celina ninavyomjua ni mchangamfu sana ,na mbona huyu anasura kama ya upole upole halafu huyu ananguo za kitajiri cheki hili begi lake ,,""
Mama stefano alianza kumgundua Celena ,akaangalia begi lake na viatu vyake ilikuwa ni tofauti na Celina, lakini mama Stefano akaona labda yule baba anaemsomesha itakuwa kamnunulia akaona haina haja ya kumuuliza ,

"Asante mama ,,gauni ni nzuri nimeipenda "!

"Asante kushukuru mwanangu ,""
Mama Stefano alijibu huku nayeye akifurahia kuitwa mama ,
Sasa kikatengwa chakula ilikuwa ni wali na nyama , walipoanza kula Stefano akachukua nyama ya Celena , Celena hajakubali akampokonya nyama yake , huku wakibishana , mama Stefano akashangaa na kujiuliza " huyu Celina Leo amekuwaje , gafla Stefano akampokonya tena nyama na kukimbia , Celena hajakubali akaanza kumkimbiza , humo ndani kukawa vurugu , Sasa kumbuka tabia ya Stefano ni mchokozi ,
na Celena japo ni mpole na amelelewa kwenye familia ya kitajiri lakini tabia yake inafanana Sana na ya Stefano, yaani Celena ni mtundu Kama Stefano ,
" Hebu nyie acheni kugombana haya njoni mniambie nani anamchokoza mwenzake ,"?
Mama Stefano aliwauliza ,
" Mama ngoja nikwambie Mimi nilikuwa nakula zangu nyama Stefano akanipokonya nyama yangu ,"
Aliongea Celena ,
" Muongo ye ndo alianza uchokozi "
Aliongea Stefano ,
Mama Stefano akawa anashangaa tu na kuwaambia haya ntawaongezea nyama kaeni mle ," mama Stefano aliwaambia na wakakaa wakaendelea kula ,

Walimaliza kula ,sasa kwa kawaida Celina hutoa vyombo na kuviosha ,lakini kwa Celena ni tofauti alikuwa hawezi kuosha vyombo ,na ukumbuke kuwa Celena kwao ni matajiri kwahiyo hata kazi ndogo hawezi kufanya ,

"Mama nikupe story,,??
Stefano alimwambia mama yake walipobaki wawili maana Celena aliingia ndani kubadilisha lile gauni ,

"Haya nipe hiyo story,,""
Mama Stefano alimjibu mwanae,

""Leo wakati natoka shule kuna vijana wawili walikuja kunipiga ,basi nikashangaa Celina akamkamata mmoja nakuanza kumpiga ,,""

"Weee Celina alipigana ,,"?
Mama Stefano alishangaa ,

"Ndio tena alikuwa na hasira akawa anasema kwanini unampiga mdogo wangu ,""
Stefano aliongea huku anaonesha mifano ,

"Huyu sio Celina ,maana huyu ni mpole halafu anatabia zinazoendana na stefano ,,"

""Sasa kama huyu sio Celina ni nani, na mbona ameizoea nyumba kama kwao ,""?mama Stefano aliwaza alipokuwa mwenyewe,

MAMAAAAA Celina mchokozi ii,,,"""!!!
Stefano alimuita mama yake ,huku wanakimbizana humo ndani ,

"Hee Celina tena mchokozi ,""?
Mama stefano alishangaa maana ye kashazoea stefano ndio mtundu na mchokozi na ndio humchokozaga Celina kila akija ,SASA HUYU NINANI ,??
Aliwaza mama stefano bila kujua aliekuja leo sio Celina ni Celena ,

Siku zote wanasemaga doto ndio huwa mchokozi na mtundu siku zote ,sasa Celena hakupata muda wa kucheza maana kwao ni matajili ,akienda shule na gari na pia akirudi na gari ,
Sasa alipokuja kwa kina Stefano ndo akaanza kuonesha utundu wake nampaka ye mwenyewe alijishangaa ,alijihisi furaha ya ajabu kuwa nyumbani hapo ,

Mala Celena akamkimbilia mama yake Stefano na kumkumbatia ,
"Mama Stefano mchokozi ,,""
Celena alimsemea Stefano kwa Mama yake,

"Muongo ye ndo mchokozi ,""!
Stefano alijibu huku akiuficha mto nyuma ya mgongo wake ,na alipoutoa alimpiga nao Celena na kukimbia zake ndani,

""Mama umemuona mwanao kanipiga "subili nimuoneshe"!!
Celena aliongea kwa kudeka kama yupo kwa Mama yake mzazi kabisa ,
Na alipoamka akaanza kumkimbiza Stefano ,

Maskin mama stefano,,alibaki ameduwaa tu asijue afanye nini,
Maana Celena na Stefano wamekutana kila mtu ni mchokozi balaa ,,

Sasa humo ndani kukawa ni mtafutano ,,
Na ukumbuke Celina amepelekwa nyumbani kwa kina Celena Je watamgundua kuwa sio Celena ,?
Na Je hapa kwa kina Stefano itakuwaje ,,?

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu Moja tu 0655772653 njooWhatsapp,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,7

Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa hongera kwa kuwa mshindi kwenye mashindano ya kufanya mtihani, celena akashangaa nakuwaambia walimu kuwa " mbona Mimi sijafanya mtihani ,?
Walimu wakaanza kumcheka na kumwambia kuwa ulifanya mtihani , japo Celena alibisha lakini alipewa mtihani wake na kweli aliangalia akakuta mwandiko umefanana na wake kabisa ,akawaza nakujua kuwa kwa vyovyote atakuwa ni yule mtoto aliefanana nae, kwa akili ya utoto aliyokuwa nayo akawaza namna ya kumtafuta mtoto huyo mpaka ampate ,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

503
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

448
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

439
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

324
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

295
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

193
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

181
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

135
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

124

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest