Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,7

Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa hongera kwa kuwa mshindi kwenye mashindano ya kufanya mtihani, celena akashangaa nakuwaambia walimu kuwa " mbona Mimi sijafanya mtihani ,?
Walimu wakaanza kumcheka na kumwambia kuwa ulifanya mtihani , japo Celena alibisha lakini alipewa mtihani wake na kweli aliangalia akakuta mwandiko umefanana na wake kabisa ,akawaza nakujua kuwa kwa vyovyote atakuwa ni yule mtoto aliefanana nae, kwa akili ya utoto aliyokuwa nayo akawaza namna ya kumtafuta mtoto huyo mpaka ampate ,
Siku zilipita huku Celina akiwahi kutoka shule na kuwahi kule kwa mama yake kichaa maana akimuacha peke yake anakuwa mnyonge ,
Kumbe siku hiyo Stefano aliambiwa na mama yake kuwa aende na Celina maana ni muda hajawatembelea ,
Sasa Celina aliwahi kuondoka , shuleni hapo , wakati anaondoka na Celena nae alitoroka shuleni kwao akaja kumtafuta Celina kule shulen ,ili tu amuone maana aliuliza akaambiwa anasoma shuleni hapo ,

"We stefano si ulikuwa unamtafuta Celina yule kule ,,""
Mwanafunzi mmoja alimwambia stefano ,

"We Celina mbona umependeza hivyo ,halafu begi jipya kabisa , nani kakununulia ,"?
Stefano alimuuliza Celena akijua ni Celina ,
" Kwani Kuna shida Gani mi kupendeza ,"?
Aliuliza Celena maana alikuwa hajui huyu Stefano anamahusiano Gani na huyo Celina aliefanana nae Nia yake ni kujifanya ni Celina ili amuone vzr huyo Celina,
" Tuyaache hayo bana mi nilijua umeshaondoka ,"?
Aliuliza Stefano ,
"Sijaondoka kwani vipi ,,""?
Celena akamuuliza stefano ,
Kumbuka Celena hamjui Stefano, bali Celina ndo anamjua Stefano na anaendaga mpaka kwao na kula chakula ,

"Mama anakuita ,anasema twende wote nyumbani amekumisi ,""
Stefano aliongea tena ,

Celena akawaza na akataka kumuuliza Celina yupo wapi,
Akasita ,akaona atazua mambo mengine .lakini inawezekana akienda kwa kina Stefano ndio atajua ukweli Kama atakutana na Celina ,

""Sawa twende ,,""

Wakaongozana ,
Lakini wakiwa njian wakatokea vijana wawili ,wakamkamata Stefano wakaanza kumpiga huku wakidai darasani aliwachokoza ,
Bila hata yakuuliza Celena akaingilia ugomvi ,Stefano akashangaa alimzoea Selina ugomvi ukitokea anawagombelezea halafu anamfokea Stefano kuwa aache ugomvi,
Lakini leo ameingilia ugomvi na kumkamata kijana mmoja na kumshindilia mangumi ,
Stefano nae akapata nguvu akamshika yule kijana mwingine wakaanza kuzichapa ,
Wale vijana wakashindwa ugomvi wakakimbia ,

Daah ,,leo Celina umepigana ,,""!
Stefano alimshangaa Celena ,huku mawazo yake yakimtuma yuko na Celina ,

"Nilijikuta tu moyo unaumia walivyokuwa wanakupiga na sijui kwanini ,,""?
Celena alijibu huku wakiendelea na safari ,

Wakati Celena anakwenda kwa kina Stefano ,
Huku Celina alikuwa anakwenda zake dampo kule kwa Mama yake kichaa,
Wakati anakwenda kuna gari ilipaki kando yake ,
" We Celena mbona uko hivyo , "?
Aliuliza dereva wa gari hiyo huku akitelemka , ye alijua ni Celena kumbe amekutana na Celina, kabla hata hajajibu yule dereva akamwambia apande kwenye gari ili waondoke waende nyumbani ,Celina akataka kukataa lakini yule dereva akamlazimisha Sana huku akidai atafukuzwa kazi , Celina akaona ngoja aende tu ili akajue ukweli huko huko maana anafananishwa na yule mtoto aliefanana nae na hamjui ,

Huku kwa kina Stefano Celena ndo alikuwa anaingia ,
"Jamani Celina karibu ,,""
Mama Stefano alimkumbatia Celena akijua ni Celina ,
"" Shikamoo mama ,,""
Celena aliamkia ,

"Marhaba mwanangu haya za kutususa ,,""

Celena alikuwa anajibu tu ,maana alikuwa hajui Celina anauhusiano gani na hii familia ,
Mama Stefano akampa zawadi ya gauni moja zuuri ,
Na Celena alipolivaa lilimpendeza sana ,

"Huyu mbona kama sio Celina ,,maana Celina ninavyomjua ni mchangamfu sana ,na mbona huyu anasura kama ya upole upole halafu huyu ananguo za kitajiri cheki hili begi lake ,,""
Mama stefano alianza kumgundua Celena ,akaangalia begi lake na viatu vyake ilikuwa ni tofauti na Celina, lakini mama Stefano akaona labda yule baba anaemsomesha itakuwa kamnunulia akaona haina haja ya kumuuliza ,

"Asante mama ,,gauni ni nzuri nimeipenda "!

"Asante kushukuru mwanangu ,""
Mama Stefano alijibu huku nayeye akifurahia kuitwa mama ,
Sasa kikatengwa chakula ilikuwa ni wali na nyama , walipoanza kula Stefano akachukua nyama ya Celena , Celena hajakubali akampokonya nyama yake , huku wakibishana , mama Stefano akashangaa na kujiuliza " huyu Celina Leo amekuwaje , gafla Stefano akampokonya tena nyama na kukimbia , Celena hajakubali akaanza kumkimbiza , humo ndani kukawa vurugu , Sasa kumbuka tabia ya Stefano ni mchokozi ,
na Celena japo ni mpole na amelelewa kwenye familia ya kitajiri lakini tabia yake inafanana Sana na ya Stefano, yaani Celena ni mtundu Kama Stefano ,
" Hebu nyie acheni kugombana haya njoni mniambie nani anamchokoza mwenzake ,"?
Mama Stefano aliwauliza ,
" Mama ngoja nikwambie Mimi nilikuwa nakula zangu nyama Stefano akanipokonya nyama yangu ,"
Aliongea Celena ,
" Muongo ye ndo alianza uchokozi "
Aliongea Stefano ,
Mama Stefano akawa anashangaa tu na kuwaambia haya ntawaongezea nyama kaeni mle ," mama Stefano aliwaambia na wakakaa wakaendelea kula ,

Walimaliza kula ,sasa kwa kawaida Celina hutoa vyombo na kuviosha ,lakini kwa Celena ni tofauti alikuwa hawezi kuosha vyombo ,na ukumbuke kuwa Celena kwao ni matajiri kwahiyo hata kazi ndogo hawezi kufanya ,

"Mama nikupe story,,??
Stefano alimwambia mama yake walipobaki wawili maana Celena aliingia ndani kubadilisha lile gauni ,

"Haya nipe hiyo story,,""
Mama Stefano alimjibu mwanae,

""Leo wakati natoka shule kuna vijana wawili walikuja kunipiga ,basi nikashangaa Celina akamkamata mmoja nakuanza kumpiga ,,""

"Weee Celina alipigana ,,"?
Mama Stefano alishangaa ,

"Ndio tena alikuwa na hasira akawa anasema kwanini unampiga mdogo wangu ,""
Stefano aliongea huku anaonesha mifano ,

"Huyu sio Celina ,maana huyu ni mpole halafu anatabia zinazoendana na stefano ,,"

""Sasa kama huyu sio Celina ni nani, na mbona ameizoea nyumba kama kwao ,""?mama Stefano aliwaza alipokuwa mwenyewe,

MAMAAAAA Celina mchokozi ii,,,"""!!!
Stefano alimuita mama yake ,huku wanakimbizana humo ndani ,

"Hee Celina tena mchokozi ,""?
Mama stefano alishangaa maana ye kashazoea stefano ndio mtundu na mchokozi na ndio humchokozaga Celina kila akija ,SASA HUYU NINANI ,??
Aliwaza mama stefano bila kujua aliekuja leo sio Celina ni Celena ,

Siku zote wanasemaga doto ndio huwa mchokozi na mtundu siku zote ,sasa Celena hakupata muda wa kucheza maana kwao ni matajili ,akienda shule na gari na pia akirudi na gari ,
Sasa alipokuja kwa kina Stefano ndo akaanza kuonesha utundu wake nampaka ye mwenyewe alijishangaa ,alijihisi furaha ya ajabu kuwa nyumbani hapo ,

Mala Celena akamkimbilia mama yake Stefano na kumkumbatia ,
"Mama Stefano mchokozi ,,""
Celena alimsemea Stefano kwa Mama yake,

"Muongo ye ndo mchokozi ,""!
Stefano alijibu huku akiuficha mto nyuma ya mgongo wake ,na alipoutoa alimpiga nao Celena na kukimbia zake ndani,

""Mama umemuona mwanao kanipiga "subili nimuoneshe"!!
Celena aliongea kwa kudeka kama yupo kwa Mama yake mzazi kabisa ,
Na alipoamka akaanza kumkimbiza Stefano ,

Maskin mama stefano,,alibaki ameduwaa tu asijue afanye nini,
Maana Celena na Stefano wamekutana kila mtu ni mchokozi balaa ,,

Sasa humo ndani kukawa ni mtafutano ,,
Na ukumbuke Celina amepelekwa nyumbani kwa kina Celena Je watamgundua kuwa sio Celena ,?
Na Je hapa kwa kina Stefano itakuwaje ,,?

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu Moja tu 0655772653 njooWhatsapp,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,7

Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa hongera kwa kuwa mshindi kwenye mashindano ya kufanya mtihani, celena akashangaa nakuwaambia walimu kuwa " mbona Mimi sijafanya mtihani ,?
Walimu wakaanza kumcheka na kumwambia kuwa ulifanya mtihani , japo Celena alibisha lakini alipewa mtihani wake na kweli aliangalia akakuta mwandiko umefanana na wake kabisa ,akawaza nakujua kuwa kwa vyovyote atakuwa ni yule mtoto aliefanana nae, kwa akili ya utoto aliyokuwa nayo akawaza namna ya kumtafuta mtoto huyo mpaka ampate ,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

900
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

685
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

675
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

467
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

340
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

220
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

66
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest