Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,7

Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa hongera kwa kuwa mshindi kwenye mashindano ya kufanya mtihani, celena akashangaa nakuwaambia walimu kuwa " mbona Mimi sijafanya mtihani ,?
Walimu wakaanza kumcheka na kumwambia kuwa ulifanya mtihani , japo Celena alibisha lakini alipewa mtihani wake na kweli aliangalia akakuta mwandiko umefanana na wake kabisa ,akawaza nakujua kuwa kwa vyovyote atakuwa ni yule mtoto aliefanana nae, kwa akili ya utoto aliyokuwa nayo akawaza namna ya kumtafuta mtoto huyo mpaka ampate ,
Siku zilipita huku Celina akiwahi kutoka shule na kuwahi kule kwa mama yake kichaa maana akimuacha peke yake anakuwa mnyonge ,
Kumbe siku hiyo Stefano aliambiwa na mama yake kuwa aende na Celina maana ni muda hajawatembelea ,
Sasa Celina aliwahi kuondoka , shuleni hapo , wakati anaondoka na Celena nae alitoroka shuleni kwao akaja kumtafuta Celina kule shulen ,ili tu amuone maana aliuliza akaambiwa anasoma shuleni hapo ,

"We stefano si ulikuwa unamtafuta Celina yule kule ,,""
Mwanafunzi mmoja alimwambia stefano ,

"We Celina mbona umependeza hivyo ,halafu begi jipya kabisa , nani kakununulia ,"?
Stefano alimuuliza Celena akijua ni Celina ,
" Kwani Kuna shida Gani mi kupendeza ,"?
Aliuliza Celena maana alikuwa hajui huyu Stefano anamahusiano Gani na huyo Celina aliefanana nae Nia yake ni kujifanya ni Celina ili amuone vzr huyo Celina,
" Tuyaache hayo bana mi nilijua umeshaondoka ,"?
Aliuliza Stefano ,
"Sijaondoka kwani vipi ,,""?
Celena akamuuliza stefano ,
Kumbuka Celena hamjui Stefano, bali Celina ndo anamjua Stefano na anaendaga mpaka kwao na kula chakula ,

"Mama anakuita ,anasema twende wote nyumbani amekumisi ,""
Stefano aliongea tena ,

Celena akawaza na akataka kumuuliza Celina yupo wapi,
Akasita ,akaona atazua mambo mengine .lakini inawezekana akienda kwa kina Stefano ndio atajua ukweli Kama atakutana na Celina ,

""Sawa twende ,,""

Wakaongozana ,
Lakini wakiwa njian wakatokea vijana wawili ,wakamkamata Stefano wakaanza kumpiga huku wakidai darasani aliwachokoza ,
Bila hata yakuuliza Celena akaingilia ugomvi ,Stefano akashangaa alimzoea Selina ugomvi ukitokea anawagombelezea halafu anamfokea Stefano kuwa aache ugomvi,
Lakini leo ameingilia ugomvi na kumkamata kijana mmoja na kumshindilia mangumi ,
Stefano nae akapata nguvu akamshika yule kijana mwingine wakaanza kuzichapa ,
Wale vijana wakashindwa ugomvi wakakimbia ,

Daah ,,leo Celina umepigana ,,""!
Stefano alimshangaa Celena ,huku mawazo yake yakimtuma yuko na Celina ,

"Nilijikuta tu moyo unaumia walivyokuwa wanakupiga na sijui kwanini ,,""?
Celena alijibu huku wakiendelea na safari ,

Wakati Celena anakwenda kwa kina Stefano ,
Huku Celina alikuwa anakwenda zake dampo kule kwa Mama yake kichaa,
Wakati anakwenda kuna gari ilipaki kando yake ,
" We Celena mbona uko hivyo , "?
Aliuliza dereva wa gari hiyo huku akitelemka , ye alijua ni Celena kumbe amekutana na Celina, kabla hata hajajibu yule dereva akamwambia apande kwenye gari ili waondoke waende nyumbani ,Celina akataka kukataa lakini yule dereva akamlazimisha Sana huku akidai atafukuzwa kazi , Celina akaona ngoja aende tu ili akajue ukweli huko huko maana anafananishwa na yule mtoto aliefanana nae na hamjui ,

Huku kwa kina Stefano Celena ndo alikuwa anaingia ,
"Jamani Celina karibu ,,""
Mama Stefano alimkumbatia Celena akijua ni Celina ,
"" Shikamoo mama ,,""
Celena aliamkia ,

"Marhaba mwanangu haya za kutususa ,,""

Celena alikuwa anajibu tu ,maana alikuwa hajui Celina anauhusiano gani na hii familia ,
Mama Stefano akampa zawadi ya gauni moja zuuri ,
Na Celena alipolivaa lilimpendeza sana ,

"Huyu mbona kama sio Celina ,,maana Celina ninavyomjua ni mchangamfu sana ,na mbona huyu anasura kama ya upole upole halafu huyu ananguo za kitajiri cheki hili begi lake ,,""
Mama stefano alianza kumgundua Celena ,akaangalia begi lake na viatu vyake ilikuwa ni tofauti na Celina, lakini mama Stefano akaona labda yule baba anaemsomesha itakuwa kamnunulia akaona haina haja ya kumuuliza ,

"Asante mama ,,gauni ni nzuri nimeipenda "!

"Asante kushukuru mwanangu ,""
Mama Stefano alijibu huku nayeye akifurahia kuitwa mama ,
Sasa kikatengwa chakula ilikuwa ni wali na nyama , walipoanza kula Stefano akachukua nyama ya Celena , Celena hajakubali akampokonya nyama yake , huku wakibishana , mama Stefano akashangaa na kujiuliza " huyu Celina Leo amekuwaje , gafla Stefano akampokonya tena nyama na kukimbia , Celena hajakubali akaanza kumkimbiza , humo ndani kukawa vurugu , Sasa kumbuka tabia ya Stefano ni mchokozi ,
na Celena japo ni mpole na amelelewa kwenye familia ya kitajiri lakini tabia yake inafanana Sana na ya Stefano, yaani Celena ni mtundu Kama Stefano ,
" Hebu nyie acheni kugombana haya njoni mniambie nani anamchokoza mwenzake ,"?
Mama Stefano aliwauliza ,
" Mama ngoja nikwambie Mimi nilikuwa nakula zangu nyama Stefano akanipokonya nyama yangu ,"
Aliongea Celena ,
" Muongo ye ndo alianza uchokozi "
Aliongea Stefano ,
Mama Stefano akawa anashangaa tu na kuwaambia haya ntawaongezea nyama kaeni mle ," mama Stefano aliwaambia na wakakaa wakaendelea kula ,

Walimaliza kula ,sasa kwa kawaida Celina hutoa vyombo na kuviosha ,lakini kwa Celena ni tofauti alikuwa hawezi kuosha vyombo ,na ukumbuke kuwa Celena kwao ni matajiri kwahiyo hata kazi ndogo hawezi kufanya ,

"Mama nikupe story,,??
Stefano alimwambia mama yake walipobaki wawili maana Celena aliingia ndani kubadilisha lile gauni ,

"Haya nipe hiyo story,,""
Mama Stefano alimjibu mwanae,

""Leo wakati natoka shule kuna vijana wawili walikuja kunipiga ,basi nikashangaa Celina akamkamata mmoja nakuanza kumpiga ,,""

"Weee Celina alipigana ,,"?
Mama Stefano alishangaa ,

"Ndio tena alikuwa na hasira akawa anasema kwanini unampiga mdogo wangu ,""
Stefano aliongea huku anaonesha mifano ,

"Huyu sio Celina ,maana huyu ni mpole halafu anatabia zinazoendana na stefano ,,"

""Sasa kama huyu sio Celina ni nani, na mbona ameizoea nyumba kama kwao ,""?mama Stefano aliwaza alipokuwa mwenyewe,

MAMAAAAA Celina mchokozi ii,,,"""!!!
Stefano alimuita mama yake ,huku wanakimbizana humo ndani ,

"Hee Celina tena mchokozi ,""?
Mama stefano alishangaa maana ye kashazoea stefano ndio mtundu na mchokozi na ndio humchokozaga Celina kila akija ,SASA HUYU NINANI ,??
Aliwaza mama stefano bila kujua aliekuja leo sio Celina ni Celena ,

Siku zote wanasemaga doto ndio huwa mchokozi na mtundu siku zote ,sasa Celena hakupata muda wa kucheza maana kwao ni matajili ,akienda shule na gari na pia akirudi na gari ,
Sasa alipokuja kwa kina Stefano ndo akaanza kuonesha utundu wake nampaka ye mwenyewe alijishangaa ,alijihisi furaha ya ajabu kuwa nyumbani hapo ,

Mala Celena akamkimbilia mama yake Stefano na kumkumbatia ,
"Mama Stefano mchokozi ,,""
Celena alimsemea Stefano kwa Mama yake,

"Muongo ye ndo mchokozi ,""!
Stefano alijibu huku akiuficha mto nyuma ya mgongo wake ,na alipoutoa alimpiga nao Celena na kukimbia zake ndani,

""Mama umemuona mwanao kanipiga "subili nimuoneshe"!!
Celena aliongea kwa kudeka kama yupo kwa Mama yake mzazi kabisa ,
Na alipoamka akaanza kumkimbiza Stefano ,

Maskin mama stefano,,alibaki ameduwaa tu asijue afanye nini,
Maana Celena na Stefano wamekutana kila mtu ni mchokozi balaa ,,

Sasa humo ndani kukawa ni mtafutano ,,
Na ukumbuke Celina amepelekwa nyumbani kwa kina Celena Je watamgundua kuwa sio Celena ,?
Na Je hapa kwa kina Stefano itakuwaje ,,?

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu Moja tu 0655772653 njooWhatsapp,

Itaendelea
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,7

Celena alienda shuleni kwao baada ya mama yake kupata nafuu , alipofika ,akashangaa kuitwa ofisini na kupewa hongera kwa kuwa mshindi kwenye mashindano ya kufanya mtihani, celena akashangaa nakuwaambia walimu kuwa " mbona Mimi sijafanya mtihani ,?
Walimu wakaanza kumcheka na kumwambia kuwa ulifanya mtihani , japo Celena alibisha lakini alipewa mtihani wake na kweli aliangalia akakuta mwandiko umefanana na wake kabisa ,akawaza nakujua kuwa kwa vyovyote atakuwa ni yule mtoto aliefanana nae, kwa akili ya utoto aliyokuwa nayo akawaza namna ya kumtafuta mtoto huyo mpaka ampate ,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

683
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

259
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

68
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

57
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest