Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,4

Celina na stefano walijikuta wanakaa dawati moja ,
Tatizo la stefano ukiacha utundu aliokuwa nao alikuwa hana akili kabisa ,yaani mwalimu alikuwa anafundisha weee lakini stefano haelewi kitu .

Wazazi wa stefano walijitahid sana kumfundisha yaan kila akirudi kutoka shule mama yake anamfundisha na kumpa maswali ya hapa na pale ili aelewe lakin wap.

Tokea kipindi kile celina aonane na celena ,celena alikuwa hana raha kabisa ,
Mala nyingi celena alikuwa anatoroka kwao na kuja mpaka eneo alilomuona celina na kuzunguuka eneo hilo akizani atamuona celina lakini wap ,,Celena akaona inawezekana ni kweli siku ile alikutana na jini , maana haiwezekani yule mtoto kufanana kiasi kile ,

Celina alikuwa akitoka shule hupitia kwa docta Mathias na kubadili nguo halafu huchukua chakula na kwenda nacho jalalani kwa Mama yake na kumpa ale ,
Kitendo hicho kilikuwa kinamuuzi mke wa docta Mathias,

""Wee weee,,,rudisha upes chakula changu ,"""
Mke wa Mathias alimwambia celina kwa ukali,baada ya kumuona anabeba wali ili akale na mama yake ,

""Mama yangu ananjaa na hawezi kula bila mimi kuwepo,,"""
Mtoto celina aliongea taratibu sana,

""Ukome ,,tena iwe mwisho leo yaani chakula changu ukampe kichaa ,,naona wee hunijui weweee,,"""
Mke wa Mathias alikichukua kile chakula na kukimwaga kwenye mfuko wa matakataka ,

""Chakula nipike mimi halafu we unampelekea kichaa mpuuz ww,,""na kama unaleta ubishi hapa kwangu utaondoka ,umepewa msaada tu bado unaleta kibuli,,""
Mke wa Mathias alikuwa anazarau haswa ,

""Na hicho kiroba cha matakataka nikiingia ndani nikitoka nisikikute ,ukienda kwa Mama yako uwende nacho ,"""
Bado mke wa Mathias alimsimanga celina,

Celina alichukua kile kiroba cha matakataka na kutoka nacho nnje akatoa kile chakula juu juu na kwenda kwa Mama yake .
Alipofika mama yake japo ni kichaa lakini alifurahi kumuona ,na walipomaliza kula walianza kucheza michezo mbali mbali huku wakikimbizana ,japo celina sio kichaa lakini alicheza ili kumfurahisha mama yake,

Siku iliyofuata celina alienda shule ,na kama kawaida alikaa dawati moja na stefano ,

,""Nataka nikufundishe kusoma mpaka ujue ila uwache ugomvi na wenzako ,""
Celina alimwambia stefano.

Stefano aliitika kwa kichwa tu lakini moyoni alikuwa na hasira na asubuhi alipigana na mwenzake na yule mwenzake alimpiga ngumi akakimbia, sasa stefano akadai wakitoka atamkamata wapigane,

Mda wa kutoka stefano akamvizia yule mwenzake njian nakuanza kupigana ,
Kwa bahati nzuri njia ile alipita celina akaukuta ugomvi ule,

""We stefano si nilishakwambia uwache ugomvi,,,""?

"Amenianza mwenyewe ,,""
Stefano alijitetea ,

""Haya acha ugomvi twende nyumbani""

Stefano akajikuta anachukua begi lake na kuongoza njia huku akiwaza kwanini anakuwa zaifu mbele ya celina ,

" leo nakupeleka mpaka kwenu ,,""maana nikikuacha njian utarud kupigana ,,
Celina alimwambia stefano huku wanatembea.

""Nishafika nyumbani we rudi zako ,,""
Stefano alimwambia celina

""Siondoki mpaka nione umeingia ndani,,,""

Mama Stefano alikuwa ndani ambaye ndio yule Rebecca ,akasikia mtoto wake anabishana huko njee,ikabid achungulie dirishan ,
" Haaah,,,""
Kilichomshangaza mama stefano ni celina kufanana nayeye ,akajipa moyo labda tumefanana tu ,ila chapili anavyomjua mtoto wake Stefano alivyomtundu na mchokozi , amekuwa mpole mbele ya Celina ,tena celina kamshikia fimbo stefano,

""Ingia ndani au nimwite mama ,,,""?
Celina akamwambia stefano ,
Kauli ile ikamshtua tena mama stefano akajikuta mapigo ya moyo yanakwenda kasi,

""Ingia ndani au nimwite mama,,,""??
Ile kauli ikajirudia kichwani mwake,mama Stefano akajikuta anamwangalia kwa umakini Celina ,

MAMAAAAA,,,,!!!
Celina aliita kwa sauti ili kumtisha stefano .
Mama stefano aliposikia ile sauti akashangaa moyo umepiga PAAAH ,,

Kumbuka mama stefano hamjui celina ndo mala ya kwanza anamuona ,na celina hamjui mama Stefano kabisa ,

Ukinunua story hii kwa elfu moja utaipata na story ya BIBI YANGU ALINIINGIZA KWENYE UCHAWI AKANIPONZA ????,
Bure kabisa ,
0655772653 njoo whtsap

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,4

Celina na stefano walijikuta wanakaa dawati moja ,
Tatizo la stefano ukiacha utundu aliokuwa nao alikuwa hana akili kabisa ,yaani mwalimu alikuwa anafundisha weee lakini stefano haelewi kitu .

Wazazi wa stefano walijitahid sana kumfundisha yaan kila akirudi kutoka shule mama yake anamfundisha na kumpa maswali ya hapa na pale ili aelewe lakin wap.

Tokea kipindi kile celina aonane na celena ,celena alikuwa hana raha kabisa ,
Mala nyingi celena alikuwa anatoroka kwao na kuja mpaka eneo alilomuona celina na kuzunguuka eneo hilo akizani atamuona celina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

900
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

685
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

676
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

467
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

342
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

223
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

66
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest