WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,,4
Celina na stefano walijikuta wanakaa dawati moja ,
Tatizo la stefano ukiacha utundu aliokuwa nao alikuwa hana akili kabisa ,yaani mwalimu alikuwa anafundisha weee lakini stefano haelewi kitu .
Wazazi wa stefano walijitahid sana kumfundisha yaan kila akirudi kutoka shule mama yake anamfundisha na kumpa maswali ya hapa na pale ili aelewe lakin wap.
Tokea kipindi kile celina aonane na celena ,celena alikuwa hana raha kabisa ,
Mala nyingi celena alikuwa anatoroka kwao na kuja mpaka eneo alilomuona celina na kuzunguuka eneo hilo akizani atamuona celina lakini wap ,,Celena akaona inawezekana ni kweli siku ile alikutana na jini , maana haiwezekani yule mtoto kufanana kiasi kile ,
Celina alikuwa akitoka shule hupitia kwa docta Mathias na kubadili nguo halafu huchukua chakula na kwenda nacho jalalani kwa Mama yake na kumpa ale ,
Kitendo hicho kilikuwa kinamuuzi mke wa docta Mathias,
""Wee weee,,,rudisha upes chakula changu ,"""
Mke wa Mathias alimwambia celina kwa ukali,baada ya kumuona anabeba wali ili akale na mama yake ,
""Mama yangu ananjaa na hawezi kula bila mimi kuwepo,,"""
Mtoto celina aliongea taratibu sana,
""Ukome ,,tena iwe mwisho leo yaani chakula changu ukampe kichaa ,,naona wee hunijui weweee,,"""
Mke wa Mathias alikichukua kile chakula na kukimwaga kwenye mfuko wa matakataka ,
""Chakula nipike mimi halafu we unampelekea kichaa mpuuz ww,,""na kama unaleta ubishi hapa kwangu utaondoka ,umepewa msaada tu bado unaleta kibuli,,""
Mke wa Mathias alikuwa anazarau haswa ,
""Na hicho kiroba cha matakataka nikiingia ndani nikitoka nisikikute ,ukienda kwa Mama yako uwende nacho ,"""
Bado mke wa Mathias alimsimanga celina,
Celina alichukua kile kiroba cha matakataka na kutoka nacho nnje akatoa kile chakula juu juu na kwenda kwa Mama yake .
Alipofika mama yake japo ni kichaa lakini alifurahi kumuona ,na walipomaliza kula walianza kucheza michezo mbali mbali huku wakikimbizana ,japo celina sio kichaa lakini alicheza ili kumfurahisha mama yake,
Siku iliyofuata celina alienda shule ,na kama kawaida alikaa dawati moja na stefano ,
,""Nataka nikufundishe kusoma mpaka ujue ila uwache ugomvi na wenzako ,""
Celina alimwambia stefano.
Stefano aliitika kwa kichwa tu lakini moyoni alikuwa na hasira na asubuhi alipigana na mwenzake na yule mwenzake alimpiga ngumi akakimbia, sasa stefano akadai wakitoka atamkamata wapigane,
Mda wa kutoka stefano akamvizia yule mwenzake njian nakuanza kupigana ,
Kwa bahati nzuri njia ile alipita celina akaukuta ugomvi ule,
""We stefano si nilishakwambia uwache ugomvi,,,""?
"Amenianza mwenyewe ,,""
Stefano alijitetea ,
""Haya acha ugomvi twende nyumbani""
Stefano akajikuta anachukua begi lake na kuongoza njia huku akiwaza kwanini anakuwa zaifu mbele ya celina ,
" leo nakupeleka mpaka kwenu ,,""maana nikikuacha njian utarud kupigana ,,
Celina alimwambia stefano huku wanatembea.
""Nishafika nyumbani we rudi zako ,,""
Stefano alimwambia celina
""Siondoki mpaka nione umeingia ndani,,,""
Mama Stefano alikuwa ndani ambaye ndio yule Rebecca ,akasikia mtoto wake anabishana huko njee,ikabid achungulie dirishan ,
" Haaah,,,""
Kilichomshangaza mama stefano ni celina kufanana nayeye ,akajipa moyo labda tumefanana tu ,ila chapili anavyomjua mtoto wake Stefano alivyomtundu na mchokozi , amekuwa mpole mbele ya Celina ,tena celina kamshikia fimbo stefano,
""Ingia ndani au nimwite mama ,,,""?
Celina akamwambia stefano ,
Kauli ile ikamshtua tena mama stefano akajikuta mapigo ya moyo yanakwenda kasi,
""Ingia ndani au nimwite mama,,,""??
Ile kauli ikajirudia kichwani mwake,mama Stefano akajikuta anamwangalia kwa umakini Celina ,
MAMAAAAA,,,,!!!
Celina aliita kwa sauti ili kumtisha stefano .
Mama stefano aliposikia ile sauti akashangaa moyo umepiga PAAAH ,,
Kumbuka mama stefano hamjui celina ndo mala ya kwanza anamuona ,na celina hamjui mama Stefano kabisa ,
Ukinunua story hii kwa elfu moja utaipata na story ya BIBI YANGU ALINIINGIZA KWENYE UCHAWI AKANIPONZA ????,
Bure kabisa ,
0655772653 njoo whtsap.