Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,4

Celina na stefano walijikuta wanakaa dawati moja ,
Tatizo la stefano ukiacha utundu aliokuwa nao alikuwa hana akili kabisa ,yaani mwalimu alikuwa anafundisha weee lakini stefano haelewi kitu .

Wazazi wa stefano walijitahid sana kumfundisha yaan kila akirudi kutoka shule mama yake anamfundisha na kumpa maswali ya hapa na pale ili aelewe lakin wap.

Tokea kipindi kile celina aonane na celena ,celena alikuwa hana raha kabisa ,
Mala nyingi celena alikuwa anatoroka kwao na kuja mpaka eneo alilomuona celina na kuzunguuka eneo hilo akizani atamuona celina lakini wap ,,Celena akaona inawezekana ni kweli siku ile alikutana na jini , maana haiwezekani yule mtoto kufanana kiasi kile ,

Celina alikuwa akitoka shule hupitia kwa docta Mathias na kubadili nguo halafu huchukua chakula na kwenda nacho jalalani kwa Mama yake na kumpa ale ,
Kitendo hicho kilikuwa kinamuuzi mke wa docta Mathias,

""Wee weee,,,rudisha upes chakula changu ,"""
Mke wa Mathias alimwambia celina kwa ukali,baada ya kumuona anabeba wali ili akale na mama yake ,

""Mama yangu ananjaa na hawezi kula bila mimi kuwepo,,"""
Mtoto celina aliongea taratibu sana,

""Ukome ,,tena iwe mwisho leo yaani chakula changu ukampe kichaa ,,naona wee hunijui weweee,,"""
Mke wa Mathias alikichukua kile chakula na kukimwaga kwenye mfuko wa matakataka ,

""Chakula nipike mimi halafu we unampelekea kichaa mpuuz ww,,""na kama unaleta ubishi hapa kwangu utaondoka ,umepewa msaada tu bado unaleta kibuli,,""
Mke wa Mathias alikuwa anazarau haswa ,

""Na hicho kiroba cha matakataka nikiingia ndani nikitoka nisikikute ,ukienda kwa Mama yako uwende nacho ,"""
Bado mke wa Mathias alimsimanga celina,

Celina alichukua kile kiroba cha matakataka na kutoka nacho nnje akatoa kile chakula juu juu na kwenda kwa Mama yake .
Alipofika mama yake japo ni kichaa lakini alifurahi kumuona ,na walipomaliza kula walianza kucheza michezo mbali mbali huku wakikimbizana ,japo celina sio kichaa lakini alicheza ili kumfurahisha mama yake,

Siku iliyofuata celina alienda shule ,na kama kawaida alikaa dawati moja na stefano ,

,""Nataka nikufundishe kusoma mpaka ujue ila uwache ugomvi na wenzako ,""
Celina alimwambia stefano.

Stefano aliitika kwa kichwa tu lakini moyoni alikuwa na hasira na asubuhi alipigana na mwenzake na yule mwenzake alimpiga ngumi akakimbia, sasa stefano akadai wakitoka atamkamata wapigane,

Mda wa kutoka stefano akamvizia yule mwenzake njian nakuanza kupigana ,
Kwa bahati nzuri njia ile alipita celina akaukuta ugomvi ule,

""We stefano si nilishakwambia uwache ugomvi,,,""?

"Amenianza mwenyewe ,,""
Stefano alijitetea ,

""Haya acha ugomvi twende nyumbani""

Stefano akajikuta anachukua begi lake na kuongoza njia huku akiwaza kwanini anakuwa zaifu mbele ya celina ,

" leo nakupeleka mpaka kwenu ,,""maana nikikuacha njian utarud kupigana ,,
Celina alimwambia stefano huku wanatembea.

""Nishafika nyumbani we rudi zako ,,""
Stefano alimwambia celina

""Siondoki mpaka nione umeingia ndani,,,""

Mama Stefano alikuwa ndani ambaye ndio yule Rebecca ,akasikia mtoto wake anabishana huko njee,ikabid achungulie dirishan ,
" Haaah,,,""
Kilichomshangaza mama stefano ni celina kufanana nayeye ,akajipa moyo labda tumefanana tu ,ila chapili anavyomjua mtoto wake Stefano alivyomtundu na mchokozi , amekuwa mpole mbele ya Celina ,tena celina kamshikia fimbo stefano,

""Ingia ndani au nimwite mama ,,,""?
Celina akamwambia stefano ,
Kauli ile ikamshtua tena mama stefano akajikuta mapigo ya moyo yanakwenda kasi,

""Ingia ndani au nimwite mama,,,""??
Ile kauli ikajirudia kichwani mwake,mama Stefano akajikuta anamwangalia kwa umakini Celina ,

MAMAAAAA,,,,!!!
Celina aliita kwa sauti ili kumtisha stefano .
Mama stefano aliposikia ile sauti akashangaa moyo umepiga PAAAH ,,

Kumbuka mama stefano hamjui celina ndo mala ya kwanza anamuona ,na celina hamjui mama Stefano kabisa ,

Ukinunua story hii kwa elfu moja utaipata na story ya BIBI YANGU ALINIINGIZA KWENYE UCHAWI AKANIPONZA ????,
Bure kabisa ,
0655772653 njoo whtsap
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,4

Celina na stefano walijikuta wanakaa dawati moja ,
Tatizo la stefano ukiacha utundu aliokuwa nao alikuwa hana akili kabisa ,yaani mwalimu alikuwa anafundisha weee lakini stefano haelewi kitu .

Wazazi wa stefano walijitahid sana kumfundisha yaan kila akirudi kutoka shule mama yake anamfundisha na kumpa maswali ya hapa na pale ili aelewe lakin wap.

Tokea kipindi kile celina aonane na celena ,celena alikuwa hana raha kabisa ,
Mala nyingi celena alikuwa anatoroka kwao na kuja mpaka eneo alilomuona celina na kuzunguuka eneo hilo akizani atamuona celina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

683
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

258
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

66
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

56
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest