Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina nae ndo alikuwa anaingia darasani kwa bahati mbaya wale walimu wakamuona na kumsimamisha kabla hata hajaingia darasan ,
" Sasa mwalimu huyu si yule yule "
Aliongea mwalimu mmoja baada ya kumwangalia Celina ,
"Sio yule jamani naombeni mniamini huyu amekuja sasa hivi ,"
Yule mwalimu alijitetea lakini walimu wenzake wakampinga ,
Ikabidi walimu warudi tu ofisin huku wengine wakilaumu kuwa wamepoteza muda kwa vitu vya kijinga ,
Celina nae akaingia darasani huku akiwaza itakuwa Celena amekuja huku shule na akaingia darasani bila watu kujua ,alijiuliza sana kwanini wanapishana na huyo Celena ,

Celena nae alifika mpaka shuleni kwao akizani atamuona Celina maana alijua atakuwa amekimbilia huku , lakini hakumuona ,
'"eti mercy umemuona msichana amefanana na mimi hapa shuleni ,"?
Celena alimuuliza mwanafunzi mmoja wanaokaa dawati moja ,
" Kwahiyo sasa hivi ndo umeamua uongee ,yaani tokea asubuhi umekaa kimya unajifanya uko bize na masomo ,"
Yule mwanafunzi aitwae Mercy alimjibu Celena ,
" Mi asubuhi sikuwepo jamani "
Celena aliongea kwa msisitizo,
"We hebu acha mambo yako ,hukuwepo wakati umenipa pensel na ukanicholea mchoro wa geography , hebu achana na mimi kwanza unanichosha "
Aliongea yule mwanafunz na kuondoka zake,
Celena aliingia darasan nakujiinamia akaanza kulia , maana alikuwa anamtaka huyo mtoto waliefanana ili amuone na kwanini wafanane ,?

Mwalimu aliingia darasani akamuona Celena analia na akamuuliza kwann unalia ,lakin Celena hakujibu aliendelea kulia tu,

"Celena hebu njoo ofisini ,,""
Yule mwalimu alimwita Celena ofisini , Celena akanyanyuka na kwenda ofisin huku akiwa bado analia ,
Celena aliulizwa na walimu wote huku wanam bembeleza aseme kinachomliza lakini Celena hakusema kitu ,ikabidi walimu wampigie Mr Benson barozi ,aje maana ile hali ya Celina kulia wakapata wasi wasi ,
Mr Benson alikuwa kazini ikabidi ampigie mkewe ampe maelezo aende shule kuna shida kwa mtoto wao, japo mama yake Celena alikuwa anaumwa na ni ndio alikuwa anatoka anatoka hospitali lakini alipoambiwa mtoto wao anatatizo aliwasha gari fasta nakwenda shuleni ,
Alipofika aliingia ofisini huku akiwa na wasi wasi na mtoto wake ,
"Mwanangu unanini ,,"?
Mama celena alimuuliza Celena ,

Sasa kipindi mama Celena anamuuliza Celena bila kujua kinachomliza Celena,
,mwalimu mmoja alikuwa anasahihisha madaftari na daftari la Celina lilikuwepo maana kabla hajaondoka kurudi kule kwenye shule yake aliandika na akakusanya daftar ,
Sasa katikati ya daftari akakuta picha ,
Picha hiyo Celina aliiba kule kwa kina Celena ,

"Na hii picha ni yanani,,""
Mwalimu aliuliza huku akiiangalia vzr ,
" Hebu nione ""!
Mama Celena aliongea huku akinyoosha mkono na mwalimu akampa ile picha,
Mama celena kuiona tu ile picha moyo ukafanya PAAAH,,,!
,"" CELINA,," mama Celena alijisemea kimoyomoyo,
" Hii picha mi si nilishazichanaga ,,"
Mama Celena aliwaza huku akiishika vzr ile picha ,
Mama Celina alikumbuka mbali sana ,
Alikumbuka maisha yake ya zamani sana kipindi yupo kijijini alikuja mama mmoja anatafuta mfanyakazi wa ndani ,
Yeye akapata bahati hiyo ,akaja kufanya kazi kwenye bonge la jumba la barozi Mr Benson ,
Kipindi hicho alikuwa bado mshamba mshamba ,
Kipindi hicho anaitwa Maria ,
Maria alikuwa mchapakazi haswa kiasi kwamba mpaka mke wa barozi alimpenda ,Maria aliishi ndani ya jumba hilo sio tu mfanyakazi bali alikuwa kama ndugu ,
Kama unavyojua wanaume huwa dhaifu sana kwa wanawake , Mr Benson au barozi akatamani kutembea na Maria yaani mfanyakazi wake wa ndani ,
Mke wa Mr Benson alikuwa mpole sana na alimfanya Maria kama mdogo wake ,alimpa chochote anachohitaji bila kujua mumewe tayari ameshaanza kumtamani mfanyakazi huyo yaani Maria ,
Mahusiano ya Maria na Mr Benson yalikuwa ya Siri sana na mke wa Mr Benson hakujua chochote ,
Penzi likanoga Maria akaanza dharau kwa mke wa Mr Benson ,

"Mama Celena vipi mbona umeduwaa ,,"??
Mwalimu alimshtua mama Celena kutoka kwenye yale mawazo ,
"" Aah hapana ni mawazo tu unajua bado naumwa , " alizuga mama Celena ,
Nahili daftari mbona Kama sio la Celena, maana limeandikwa Celina Mathias, "
Aliongea mwalimu huku akilikagua vzr lile daftari,
" Hebu nilione "
Aliongea mama yake Celena huku akilikagua , daftari Hilo japo lilikuwa rafu rafu lakin mwandiko wake ulikuwa hauna utofauti na Celena , mama Celena akashangaa ,
" Hebu Celena Lete daftari lako , " alisema mwalimu ,
Celena akatoa , lilikuwa daftari safi lakin mwandiko wake unafanana na daftari lile la mwanzo ,
" Mmh sasa hili daftari la nani ,"?
Mwalimu aliwaza ,
Mama Celena yeye hakuwa na mawazo ya madaftri yeye aliwaza tu Je ile picha ya MKE wa Mr Benson imefikaje pale kwenye daftari,

Picha aliyoishika mama Celena ni picha ya mke wa Mr Benson ,na Celina aliiba kule kwa kina Celena ili apate uhakika Je ile picha ni ya mama yake kweli ,"? Maana yule kwenye ile picha kafanana kabisa na mama yake japo mama yake kwa sasa ni kichaa , na kama ni yeye Je ile picha imefikaje kule kwenye lile jumba la kina Celena , na kama niyeye basi mama yake hakuzaliwa kichaa ukichaa aliupata ukubwani , sasa ilikuwaje akapata ukichaa hapo ndo pagumu ,

Inamaana mke wa kwanza wa Mr Benson ni yule kichaa ,ambae aliemukotayule mtoto Celina ,na ndo anaitwa Celina ,na kutokana na ukichaa wake akawa anamuita mtoto aliemuokota jina lakwake yaani Celina, Kama hujaelewa rudi kasome kipande Cha pili ,

Na Mr Benson alipompata mtoto akamwita Celena,yaani jina linalofanana na la mkewe wa kwanza ,ambae ndo yule mama kichaa, na ukumbuke mama Celena hajui Kama mtoto wake alinunuliwa na mumewe kule hospital, ye anajua huyo Celena ni mwanawe kabisa wa kumzaa , na hajui Kama wapo mapacha,

Sasa imekuwaje mke wa Mr Benson amekuwa kichaa,,?? Hapo ndipo story inapoanza ,

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu, 0655772653 njoo whtsap, kumbuka ukinunua story hii unapata na story ya PANYA buree,,,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

503
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

448
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

438
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

322
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

294
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

193
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

181
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

135
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

124

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest