Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina nae ndo alikuwa anaingia darasani kwa bahati mbaya wale walimu wakamuona na kumsimamisha kabla hata hajaingia darasan ,
" Sasa mwalimu huyu si yule yule "
Aliongea mwalimu mmoja baada ya kumwangalia Celina ,
"Sio yule jamani naombeni mniamini huyu amekuja sasa hivi ,"
Yule mwalimu alijitetea lakini walimu wenzake wakampinga ,
Ikabidi walimu warudi tu ofisin huku wengine wakilaumu kuwa wamepoteza muda kwa vitu vya kijinga ,
Celina nae akaingia darasani huku akiwaza itakuwa Celena amekuja huku shule na akaingia darasani bila watu kujua ,alijiuliza sana kwanini wanapishana na huyo Celena ,

Celena nae alifika mpaka shuleni kwao akizani atamuona Celina maana alijua atakuwa amekimbilia huku , lakini hakumuona ,
'"eti mercy umemuona msichana amefanana na mimi hapa shuleni ,"?
Celena alimuuliza mwanafunzi mmoja wanaokaa dawati moja ,
" Kwahiyo sasa hivi ndo umeamua uongee ,yaani tokea asubuhi umekaa kimya unajifanya uko bize na masomo ,"
Yule mwanafunzi aitwae Mercy alimjibu Celena ,
" Mi asubuhi sikuwepo jamani "
Celena aliongea kwa msisitizo,
"We hebu acha mambo yako ,hukuwepo wakati umenipa pensel na ukanicholea mchoro wa geography , hebu achana na mimi kwanza unanichosha "
Aliongea yule mwanafunz na kuondoka zake,
Celena aliingia darasan nakujiinamia akaanza kulia , maana alikuwa anamtaka huyo mtoto waliefanana ili amuone na kwanini wafanane ,?

Mwalimu aliingia darasani akamuona Celena analia na akamuuliza kwann unalia ,lakin Celena hakujibu aliendelea kulia tu,

"Celena hebu njoo ofisini ,,""
Yule mwalimu alimwita Celena ofisini , Celena akanyanyuka na kwenda ofisin huku akiwa bado analia ,
Celena aliulizwa na walimu wote huku wanam bembeleza aseme kinachomliza lakini Celena hakusema kitu ,ikabidi walimu wampigie Mr Benson barozi ,aje maana ile hali ya Celina kulia wakapata wasi wasi ,
Mr Benson alikuwa kazini ikabidi ampigie mkewe ampe maelezo aende shule kuna shida kwa mtoto wao, japo mama yake Celena alikuwa anaumwa na ni ndio alikuwa anatoka anatoka hospitali lakini alipoambiwa mtoto wao anatatizo aliwasha gari fasta nakwenda shuleni ,
Alipofika aliingia ofisini huku akiwa na wasi wasi na mtoto wake ,
"Mwanangu unanini ,,"?
Mama celena alimuuliza Celena ,

Sasa kipindi mama Celena anamuuliza Celena bila kujua kinachomliza Celena,
,mwalimu mmoja alikuwa anasahihisha madaftari na daftari la Celina lilikuwepo maana kabla hajaondoka kurudi kule kwenye shule yake aliandika na akakusanya daftar ,
Sasa katikati ya daftari akakuta picha ,
Picha hiyo Celina aliiba kule kwa kina Celena ,

"Na hii picha ni yanani,,""
Mwalimu aliuliza huku akiiangalia vzr ,
" Hebu nione ""!
Mama Celena aliongea huku akinyoosha mkono na mwalimu akampa ile picha,
Mama celena kuiona tu ile picha moyo ukafanya PAAAH,,,!
,"" CELINA,," mama Celena alijisemea kimoyomoyo,
" Hii picha mi si nilishazichanaga ,,"
Mama Celena aliwaza huku akiishika vzr ile picha ,
Mama Celina alikumbuka mbali sana ,
Alikumbuka maisha yake ya zamani sana kipindi yupo kijijini alikuja mama mmoja anatafuta mfanyakazi wa ndani ,
Yeye akapata bahati hiyo ,akaja kufanya kazi kwenye bonge la jumba la barozi Mr Benson ,
Kipindi hicho alikuwa bado mshamba mshamba ,
Kipindi hicho anaitwa Maria ,
Maria alikuwa mchapakazi haswa kiasi kwamba mpaka mke wa barozi alimpenda ,Maria aliishi ndani ya jumba hilo sio tu mfanyakazi bali alikuwa kama ndugu ,
Kama unavyojua wanaume huwa dhaifu sana kwa wanawake , Mr Benson au barozi akatamani kutembea na Maria yaani mfanyakazi wake wa ndani ,
Mke wa Mr Benson alikuwa mpole sana na alimfanya Maria kama mdogo wake ,alimpa chochote anachohitaji bila kujua mumewe tayari ameshaanza kumtamani mfanyakazi huyo yaani Maria ,
Mahusiano ya Maria na Mr Benson yalikuwa ya Siri sana na mke wa Mr Benson hakujua chochote ,
Penzi likanoga Maria akaanza dharau kwa mke wa Mr Benson ,

"Mama Celena vipi mbona umeduwaa ,,"??
Mwalimu alimshtua mama Celena kutoka kwenye yale mawazo ,
"" Aah hapana ni mawazo tu unajua bado naumwa , " alizuga mama Celena ,
Nahili daftari mbona Kama sio la Celena, maana limeandikwa Celina Mathias, "
Aliongea mwalimu huku akilikagua vzr lile daftari,
" Hebu nilione "
Aliongea mama yake Celena huku akilikagua , daftari Hilo japo lilikuwa rafu rafu lakin mwandiko wake ulikuwa hauna utofauti na Celena , mama Celena akashangaa ,
" Hebu Celena Lete daftari lako , " alisema mwalimu ,
Celena akatoa , lilikuwa daftari safi lakin mwandiko wake unafanana na daftari lile la mwanzo ,
" Mmh sasa hili daftari la nani ,"?
Mwalimu aliwaza ,
Mama Celena yeye hakuwa na mawazo ya madaftri yeye aliwaza tu Je ile picha ya MKE wa Mr Benson imefikaje pale kwenye daftari,

Picha aliyoishika mama Celena ni picha ya mke wa Mr Benson ,na Celina aliiba kule kwa kina Celena ili apate uhakika Je ile picha ni ya mama yake kweli ,"? Maana yule kwenye ile picha kafanana kabisa na mama yake japo mama yake kwa sasa ni kichaa , na kama ni yeye Je ile picha imefikaje kule kwenye lile jumba la kina Celena , na kama niyeye basi mama yake hakuzaliwa kichaa ukichaa aliupata ukubwani , sasa ilikuwaje akapata ukichaa hapo ndo pagumu ,

Inamaana mke wa kwanza wa Mr Benson ni yule kichaa ,ambae aliemukotayule mtoto Celina ,na ndo anaitwa Celina ,na kutokana na ukichaa wake akawa anamuita mtoto aliemuokota jina lakwake yaani Celina, Kama hujaelewa rudi kasome kipande Cha pili ,

Na Mr Benson alipompata mtoto akamwita Celena,yaani jina linalofanana na la mkewe wa kwanza ,ambae ndo yule mama kichaa, na ukumbuke mama Celena hajui Kama mtoto wake alinunuliwa na mumewe kule hospital, ye anajua huyo Celena ni mwanawe kabisa wa kumzaa , na hajui Kama wapo mapacha,

Sasa imekuwaje mke wa Mr Benson amekuwa kichaa,,?? Hapo ndipo story inapoanza ,

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu, 0655772653 njoo whtsap, kumbuka ukinunua story hii unapata na story ya PANYA buree,,,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

900
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

685
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

678
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

468
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

343
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

225
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

66
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest