Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
sehemu ya 14

Mr Benson alimuangalia vzr Celena lakin hakuona utofauti wowote , " we ulikuwa wapi ,"? Mr Benson alimuuliza mtoto wake ,
" Baba mi si ndo natoka shule ,"
Celena alijibu , " mbona hujapanda gari la shule ,"?
Mr Benson alimuuliza tena mwanawe,
" Mi niliwahi kutoka kabla ya gari kufika "
Alijibu Celena , na mama yake Celena akatokea akiwa kavimba uso Mr Benson akajua kweli alichosema Celina kichaa mkewe nikweli alimpiga ,
"Vipi mbona umevimba uso "
Mr Benson alimuuliza mkewe kwa kumtega ,ili ajue Kama nikweli alikutana na Celina kichaa au vipi ,
" Aaah nilipata ajali kdg nikajigonga usoni kwenye steringi ,"
Alijibu mama Celena ,
" Hujakutana na Celina mke wangu wewe "
Mr Benson aliuliza swali ambalo lilimstua mama Celena,
" Hapana kwani vipi ,"?
Mama Celena aliuliza huku akiwa na wasiwasi maana Mr Benson alitaja jina la Celina mkewangu , inamaana anamkumbuka mkewe , akajua mda si mlefu Celina anaweza akapona kichaa chake na akipona lazima arudi kwa mumewe ,Sasa asipofanya kitu mapema atajikuta anampiteza Mr Benson kwa mala nyingine ,
Waliingia ndani na kukaa kwenye sofa huku Celena akienda chumbani kwake kubadilisha nguo ,
Mr Benson yeye alikuwa yupo kimya huku anawaza kuwa yawezekana , Hawa watoto walizaliwa mapacha na ukumbuke yeye ndio alietoa pesa ili auziwe mtoto kule hospital, wakati mkewe nae yeye aliwaza kivyake , yeye aliwaza yawezekana alizaa mapacha na pacha mmoja akaibiwa ,lakin sasa mbona Yuko na yule kichaa ,"? Mama Celena bado alikuwa anawaza bila majibu , aliwaza amuulize mumewe lakin akahofia kuwa anaweza kugundua mpango wake hivyo alikaa kimya ,
Mama Celena alipanga kwanza kesho amtafute yule kichaa mke wa zamani wa Mr Benson amuangalie Kama bado ni kichaa basi achunguze yule mtoto anaefanana na mtoto wake ni wanani ili ajue, maana anampango wa kumuua kabisa yule kichaa ,yeye aliona akipona atarudi nyumbani na hapo itakuwa vita nyingine ,Sasa ni heli amuue kabisa ,
Celena nae akajifanya hajui kilichotokea na kutokana na utoto wake akaona kule kwa kina Stefano ndio mahali sahihi pa kwenda kushinda ,na Kama baba yake anawajua wakina Stefano basi Kuna uwezekano wa wao kuwa ndugu , hivyo aliamua kesho yake aende akashinde kule badala ya kwenda shule ,
Kweli kesho yake Celena aliandaliwa na mama yake ndie aliempeleka mpaka shule , mama yake Celena alimpeleka Celena shule ili apitie kumtafuta yule kichaa , yaani Nia yake amtafute yule Celina kichaa mke wa Mr Benson wa zamani , ambae yeye ndio alimfanyaga kichaa ,
Sasa Celena alifikishwa shule vzr na mama yake akahakikisha ameingia shule akageuza gari , na kurudi mtaani kumtafuta yule mama kichaa ,
Lakin Celena alipohakikisha mama yake ameondoka ,yeye alitoroka na kuchukua bodaboda na kuondoka kwenda kwa kina Stefano ,
Sasa alipofika kwa kina Stefano kumbuka yeye hajazoeana na yule mama kichaa , na wakati huo Celina na Stefano wao walikuwa wameenda shule hivyo yule kichaa alikuwepo mwenyewe tu pale nje ya nyumba ya kina Stefano , na yule kichaa alipomuona Celena akajua ni mwanawe Celina , akaanza kumkimbiza huku akiwa anacheka Cheka hovyo , Sasa kumbuka Celena anamuogopa maana alikuwa hajui uhusiano wa huyu kichaa na Celina , akaanza kupiga kelele huku akiitaa mamaaaa ,"
Mama Stefano akaisikia ile saut na akatoka nje , akamuona Celena amejibana kwenye ukuta huku anaita mamaaaa,"" yaan anamuogopa yule kichaa huku yule kichaa aliona Kama Yuko na Celina wanacheza ,
Mama Stefano alimuangalia vzr akagundua huyu aliekuja ni Celena , maana Celena hamjui huyu mama kichaa , Sasa kilichokuwa kina mshangaza nikwamba mtoto huyo akiita mamaaa ," mapigo ya moyo yanadunda kwa nguvu mama Stefano ,yaan anakuwa Kama mtu mwenye wasiwasi ,
Mama Stefano akaenda na kumtoa Celena pale alipokuwa kajibana akimuogopa Celena ,na alim beba , Celena alikuwa analia tu ,lakin pia alipom beba mama Stefano alihisi vitu vya utofauti mwilin mwake , kwanza alihisi Kama yupo na mwanae kabisa wa kumzaa , pili alipokuwa Anam bembeleza alitamani aendelee kum bembeleza tu ,
Walipofika ndani mama Stefano alimshusha Celena na kumuweka kwenye kochi huku anamuangalia vzr , " hakyaMungu huwezi kuwatofautisha Hawa watoto,"
Aliwaza mama Stefano huku anamuangalia vzr Celena ,
Celena aliponyamaza akaingia mwenyewe jikon na kumimina chai akafunua sufulia akakuta Kuna ndizi za kuchemsha akaweka kwenye sahani akaanza kula , mama Stefano ye alikuwa anashangaa tu maana hata Celina kipindi anakuja siku ya kwanza nae alikula chakula Kisha akaosha vyombo na akamfulia Stefano nguo zake za shule , na huyu nae alikuja siku ya kwanza alianzisha utundu humo ndani mpaka wakavunja gras ,
Leo amekuja peke yake na akaingia jikoni na akapakuwa ndizi akawa anakula ,
Tatizo ni kwamba wanapokuja watoto hao mama Stefano hujihisi vizr Sana , na huwaacha wafanye wanachokitaka japo hawajawahi kukutana na mwenzake Celina ,
Kumbuka Celena anajua hapo nyumbani ni kwa kina Celina na Stefano hivyo alikuja kuwasubilia wakirudi shule wamkute hapo na waanze kucheza ,
" Mama gauni langu liko wapi ,"?
Celena alimuuliza mama Stefano, Sasa alipomuita mama Stefano akajikuta moyo wake unakuwa tofauti Sana ,yaani akajikuta anajiuliza Hawa watoto ni kina nani , maana wakimuita mama moyo wake unadunda Sana ,
" Mama gauni langu " Celena alirudia tena kuita ,
" Aah sawa ngoja nikakupe ,"
Mama Stefano alijibu ,
Kumbuka siku ya kwanza anakuja Celena mama Stefano alimpa gauni Celena na Celena alilivaa akacheza na alipomaliza akalivua akavaa nguo zake za shule na akaondoka zake ,
Celena akapewa gauni akalivaa Kisha akaanza kucheza zake , Sasa Celena Hana mtu wa kucheza nae akaanza kucheza na mama Stefano ,
Celena alikuwa mtundu Sana , mala apande kwenye kochi aruke ruke ,akafungulia mziki akaanza kucheza ,yaan humo ndani ni vurugu , kumbuka Celena akiwa hapo kwa kina Stefano anajihisi amani Sana japo sio kwao , lakin alijikuta anafanya mambo mengi ya utundu utundu , Celena alikuwa Kama Stefano tu ,maana alikuwa hasikii , aliingia chumbani kwa Stefano akavaa nguo za Stefano akaja sebuleni , "mama onaaa nimependezaa ," Celena alimwambia mama Stefano , kumbuka Celena anamuita mama Stefano mama kwa heshima tu na hajui Kama huyo ndio mama yake kweli , na mama Stefano alikuwa anaitikia bila kujua huyo ni mtoto wake kweli ,
"Heeh makubwa ,,! Umevaa nguo za Stefano ,"
Mama Stefano alishangaa huku akitabasamu tu maana Celena alikuwa mtundu haswa , na alizoea hiyo nyumba Kama kwao ,bila kujua ni kwao kweli ,
Ilifika Kama saa 6 mchana mama Stefano akatoa mkeka nje akawa amekaa zake huku anatafakari jinsi hao watoto mapacha wanavyofanana halafu sio ndugu , " huyu kazaliwa kwenye familia ya kitajiri na yule mwingine mama yake ni kichaa , hapo mbona Kama Kuna utata ,?
Aliwaza mama Stefano huku akijishika shavuni ,hakujua kuwa watoto hao nikweli ni MAPACHA na ni watoto wake na ndio maana wamepazoea hapo nyumbani ,
Sasa wakati anatafakari akaja Celena na kulala kwenye mapaja ya mama Stefano ,
" Mama mi nimechoka nataka kulala ," alisema Celena huku akilala kwenye kifua Cha mama Stefano,
Mama Stefano alihisi mwili kusisimka na na akampkata vizr Celena Kama mtoto wake , Sasa alivyompakata si akamwangalia vzr uson akashangaa Kama anaiona sura yake ,yaan Celena kafanana na mama Stefano, ni kweli watoto hao wamefanana na na mama Yao ,mama Stefano alianza kutokwa na machozi huku anamuangalia Celena ,
" Mama mbona unalia , " Celena alimuuliza mama Stefano bila kujua kuwa mama Stefano alitamani watoto hao wangekuwa watoto wake maana wamefanana nayeye ,
" Hapana mwanangu ni mawazo tu ,"
Mama Stefano alijibu huku akijifuta machozi ,
Mama Stefano alikaa na mtoto wake tena alimpakata kabisa bila kujua ni mwanawe kweli ,ila nafsi zikawa zinavutana ,si unajua damu nzito kuliko maji ,,?

KUMBUKA story hii utaipata kwa elfu moja tu ,
0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

WATOTO MAPACHA
sehemu ya 14

Mr Benson alimuangalia vzr Celena lakin hakuona utofauti wowote , " we ulikuwa wapi ,"? Mr Benson alimuuliza mtoto wake ,
" Baba mi si ndo natoka shule ,"
Celena alijibu , " mbona hujapanda gari la shule ,"?
Mr Benson alimuuliza tena mwanawe,
" Mi niliwahi kutoka kabla ya gari kufika "
Alijibu Celena , na mama yake Celena akatokea akiwa kavimba uso Mr Benson akajua kweli alichosema Celina kichaa mkewe nikweli alimpiga ,
"Vipi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

684
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

259
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

68
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

57
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest