Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
sehemu ya 14

Mr Benson alimuangalia vzr Celena lakin hakuona utofauti wowote , " we ulikuwa wapi ,"? Mr Benson alimuuliza mtoto wake ,
" Baba mi si ndo natoka shule ,"
Celena alijibu , " mbona hujapanda gari la shule ,"?
Mr Benson alimuuliza tena mwanawe,
" Mi niliwahi kutoka kabla ya gari kufika "
Alijibu Celena , na mama yake Celena akatokea akiwa kavimba uso Mr Benson akajua kweli alichosema Celina kichaa mkewe nikweli alimpiga ,
"Vipi mbona umevimba uso "
Mr Benson alimuuliza mkewe kwa kumtega ,ili ajue Kama nikweli alikutana na Celina kichaa au vipi ,
" Aaah nilipata ajali kdg nikajigonga usoni kwenye steringi ,"
Alijibu mama Celena ,
" Hujakutana na Celina mke wangu wewe "
Mr Benson aliuliza swali ambalo lilimstua mama Celena,
" Hapana kwani vipi ,"?
Mama Celena aliuliza huku akiwa na wasiwasi maana Mr Benson alitaja jina la Celina mkewangu , inamaana anamkumbuka mkewe , akajua mda si mlefu Celina anaweza akapona kichaa chake na akipona lazima arudi kwa mumewe ,Sasa asipofanya kitu mapema atajikuta anampiteza Mr Benson kwa mala nyingine ,
Waliingia ndani na kukaa kwenye sofa huku Celena akienda chumbani kwake kubadilisha nguo ,
Mr Benson yeye alikuwa yupo kimya huku anawaza kuwa yawezekana , Hawa watoto walizaliwa mapacha na ukumbuke yeye ndio alietoa pesa ili auziwe mtoto kule hospital, wakati mkewe nae yeye aliwaza kivyake , yeye aliwaza yawezekana alizaa mapacha na pacha mmoja akaibiwa ,lakin sasa mbona Yuko na yule kichaa ,"? Mama Celena bado alikuwa anawaza bila majibu , aliwaza amuulize mumewe lakin akahofia kuwa anaweza kugundua mpango wake hivyo alikaa kimya ,
Mama Celena alipanga kwanza kesho amtafute yule kichaa mke wa zamani wa Mr Benson amuangalie Kama bado ni kichaa basi achunguze yule mtoto anaefanana na mtoto wake ni wanani ili ajue, maana anampango wa kumuua kabisa yule kichaa ,yeye aliona akipona atarudi nyumbani na hapo itakuwa vita nyingine ,Sasa ni heli amuue kabisa ,
Celena nae akajifanya hajui kilichotokea na kutokana na utoto wake akaona kule kwa kina Stefano ndio mahali sahihi pa kwenda kushinda ,na Kama baba yake anawajua wakina Stefano basi Kuna uwezekano wa wao kuwa ndugu , hivyo aliamua kesho yake aende akashinde kule badala ya kwenda shule ,
Kweli kesho yake Celena aliandaliwa na mama yake ndie aliempeleka mpaka shule , mama yake Celena alimpeleka Celena shule ili apitie kumtafuta yule kichaa , yaani Nia yake amtafute yule Celina kichaa mke wa Mr Benson wa zamani , ambae yeye ndio alimfanyaga kichaa ,
Sasa Celena alifikishwa shule vzr na mama yake akahakikisha ameingia shule akageuza gari , na kurudi mtaani kumtafuta yule mama kichaa ,
Lakin Celena alipohakikisha mama yake ameondoka ,yeye alitoroka na kuchukua bodaboda na kuondoka kwenda kwa kina Stefano ,
Sasa alipofika kwa kina Stefano kumbuka yeye hajazoeana na yule mama kichaa , na wakati huo Celina na Stefano wao walikuwa wameenda shule hivyo yule kichaa alikuwepo mwenyewe tu pale nje ya nyumba ya kina Stefano , na yule kichaa alipomuona Celena akajua ni mwanawe Celina , akaanza kumkimbiza huku akiwa anacheka Cheka hovyo , Sasa kumbuka Celena anamuogopa maana alikuwa hajui uhusiano wa huyu kichaa na Celina , akaanza kupiga kelele huku akiitaa mamaaaa ,"
Mama Stefano akaisikia ile saut na akatoka nje , akamuona Celena amejibana kwenye ukuta huku anaita mamaaaa,"" yaan anamuogopa yule kichaa huku yule kichaa aliona Kama Yuko na Celina wanacheza ,
Mama Stefano alimuangalia vzr akagundua huyu aliekuja ni Celena , maana Celena hamjui huyu mama kichaa , Sasa kilichokuwa kina mshangaza nikwamba mtoto huyo akiita mamaaa ," mapigo ya moyo yanadunda kwa nguvu mama Stefano ,yaan anakuwa Kama mtu mwenye wasiwasi ,
Mama Stefano akaenda na kumtoa Celena pale alipokuwa kajibana akimuogopa Celena ,na alim beba , Celena alikuwa analia tu ,lakin pia alipom beba mama Stefano alihisi vitu vya utofauti mwilin mwake , kwanza alihisi Kama yupo na mwanae kabisa wa kumzaa , pili alipokuwa Anam bembeleza alitamani aendelee kum bembeleza tu ,
Walipofika ndani mama Stefano alimshusha Celena na kumuweka kwenye kochi huku anamuangalia vzr , " hakyaMungu huwezi kuwatofautisha Hawa watoto,"
Aliwaza mama Stefano huku anamuangalia vzr Celena ,
Celena aliponyamaza akaingia mwenyewe jikon na kumimina chai akafunua sufulia akakuta Kuna ndizi za kuchemsha akaweka kwenye sahani akaanza kula , mama Stefano ye alikuwa anashangaa tu maana hata Celina kipindi anakuja siku ya kwanza nae alikula chakula Kisha akaosha vyombo na akamfulia Stefano nguo zake za shule , na huyu nae alikuja siku ya kwanza alianzisha utundu humo ndani mpaka wakavunja gras ,
Leo amekuja peke yake na akaingia jikoni na akapakuwa ndizi akawa anakula ,
Tatizo ni kwamba wanapokuja watoto hao mama Stefano hujihisi vizr Sana , na huwaacha wafanye wanachokitaka japo hawajawahi kukutana na mwenzake Celina ,
Kumbuka Celena anajua hapo nyumbani ni kwa kina Celina na Stefano hivyo alikuja kuwasubilia wakirudi shule wamkute hapo na waanze kucheza ,
" Mama gauni langu liko wapi ,"?
Celena alimuuliza mama Stefano, Sasa alipomuita mama Stefano akajikuta moyo wake unakuwa tofauti Sana ,yaani akajikuta anajiuliza Hawa watoto ni kina nani , maana wakimuita mama moyo wake unadunda Sana ,
" Mama gauni langu " Celena alirudia tena kuita ,
" Aah sawa ngoja nikakupe ,"
Mama Stefano alijibu ,
Kumbuka siku ya kwanza anakuja Celena mama Stefano alimpa gauni Celena na Celena alilivaa akacheza na alipomaliza akalivua akavaa nguo zake za shule na akaondoka zake ,
Celena akapewa gauni akalivaa Kisha akaanza kucheza zake , Sasa Celena Hana mtu wa kucheza nae akaanza kucheza na mama Stefano ,
Celena alikuwa mtundu Sana , mala apande kwenye kochi aruke ruke ,akafungulia mziki akaanza kucheza ,yaan humo ndani ni vurugu , kumbuka Celena akiwa hapo kwa kina Stefano anajihisi amani Sana japo sio kwao , lakin alijikuta anafanya mambo mengi ya utundu utundu , Celena alikuwa Kama Stefano tu ,maana alikuwa hasikii , aliingia chumbani kwa Stefano akavaa nguo za Stefano akaja sebuleni , "mama onaaa nimependezaa ," Celena alimwambia mama Stefano , kumbuka Celena anamuita mama Stefano mama kwa heshima tu na hajui Kama huyo ndio mama yake kweli , na mama Stefano alikuwa anaitikia bila kujua huyo ni mtoto wake kweli ,
"Heeh makubwa ,,! Umevaa nguo za Stefano ,"
Mama Stefano alishangaa huku akitabasamu tu maana Celena alikuwa mtundu haswa , na alizoea hiyo nyumba Kama kwao ,bila kujua ni kwao kweli ,
Ilifika Kama saa 6 mchana mama Stefano akatoa mkeka nje akawa amekaa zake huku anatafakari jinsi hao watoto mapacha wanavyofanana halafu sio ndugu , " huyu kazaliwa kwenye familia ya kitajiri na yule mwingine mama yake ni kichaa , hapo mbona Kama Kuna utata ,?
Aliwaza mama Stefano huku akijishika shavuni ,hakujua kuwa watoto hao nikweli ni MAPACHA na ni watoto wake na ndio maana wamepazoea hapo nyumbani ,
Sasa wakati anatafakari akaja Celena na kulala kwenye mapaja ya mama Stefano ,
" Mama mi nimechoka nataka kulala ," alisema Celena huku akilala kwenye kifua Cha mama Stefano,
Mama Stefano alihisi mwili kusisimka na na akampkata vizr Celena Kama mtoto wake , Sasa alivyompakata si akamwangalia vzr uson akashangaa Kama anaiona sura yake ,yaan Celena kafanana na mama Stefano, ni kweli watoto hao wamefanana na na mama Yao ,mama Stefano alianza kutokwa na machozi huku anamuangalia Celena ,
" Mama mbona unalia , " Celena alimuuliza mama Stefano bila kujua kuwa mama Stefano alitamani watoto hao wangekuwa watoto wake maana wamefanana nayeye ,
" Hapana mwanangu ni mawazo tu ,"
Mama Stefano alijibu huku akijifuta machozi ,
Mama Stefano alikaa na mtoto wake tena alimpakata kabisa bila kujua ni mwanawe kweli ,ila nafsi zikawa zinavutana ,si unajua damu nzito kuliko maji ,,?

KUMBUKA story hii utaipata kwa elfu moja tu ,
0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

WATOTO MAPACHA
sehemu ya 14

Mr Benson alimuangalia vzr Celena lakin hakuona utofauti wowote , " we ulikuwa wapi ,"? Mr Benson alimuuliza mtoto wake ,
" Baba mi si ndo natoka shule ,"
Celena alijibu , " mbona hujapanda gari la shule ,"?
Mr Benson alimuuliza tena mwanawe,
" Mi niliwahi kutoka kabla ya gari kufika "
Alijibu Celena , na mama yake Celena akatokea akiwa kavimba uso Mr Benson akajua kweli alichosema Celina kichaa mkewe nikweli alimpiga ,
"Vipi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

503
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

448
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

440
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

324
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

295
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

193
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

181
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

135
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

124

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest