Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
sehemu ya 14

Mr Benson alimuangalia vzr Celena lakin hakuona utofauti wowote , " we ulikuwa wapi ,"? Mr Benson alimuuliza mtoto wake ,
" Baba mi si ndo natoka shule ,"
Celena alijibu , " mbona hujapanda gari la shule ,"?
Mr Benson alimuuliza tena mwanawe,
" Mi niliwahi kutoka kabla ya gari kufika "
Alijibu Celena , na mama yake Celena akatokea akiwa kavimba uso Mr Benson akajua kweli alichosema Celina kichaa mkewe nikweli alimpiga ,
"Vipi mbona umevimba uso "
Mr Benson alimuuliza mkewe kwa kumtega ,ili ajue Kama nikweli alikutana na Celina kichaa au vipi ,
" Aaah nilipata ajali kdg nikajigonga usoni kwenye steringi ,"
Alijibu mama Celena ,
" Hujakutana na Celina mke wangu wewe "
Mr Benson aliuliza swali ambalo lilimstua mama Celena,
" Hapana kwani vipi ,"?
Mama Celena aliuliza huku akiwa na wasiwasi maana Mr Benson alitaja jina la Celina mkewangu , inamaana anamkumbuka mkewe , akajua mda si mlefu Celina anaweza akapona kichaa chake na akipona lazima arudi kwa mumewe ,Sasa asipofanya kitu mapema atajikuta anampiteza Mr Benson kwa mala nyingine ,
Waliingia ndani na kukaa kwenye sofa huku Celena akienda chumbani kwake kubadilisha nguo ,
Mr Benson yeye alikuwa yupo kimya huku anawaza kuwa yawezekana , Hawa watoto walizaliwa mapacha na ukumbuke yeye ndio alietoa pesa ili auziwe mtoto kule hospital, wakati mkewe nae yeye aliwaza kivyake , yeye aliwaza yawezekana alizaa mapacha na pacha mmoja akaibiwa ,lakin sasa mbona Yuko na yule kichaa ,"? Mama Celena bado alikuwa anawaza bila majibu , aliwaza amuulize mumewe lakin akahofia kuwa anaweza kugundua mpango wake hivyo alikaa kimya ,
Mama Celena alipanga kwanza kesho amtafute yule kichaa mke wa zamani wa Mr Benson amuangalie Kama bado ni kichaa basi achunguze yule mtoto anaefanana na mtoto wake ni wanani ili ajue, maana anampango wa kumuua kabisa yule kichaa ,yeye aliona akipona atarudi nyumbani na hapo itakuwa vita nyingine ,Sasa ni heli amuue kabisa ,
Celena nae akajifanya hajui kilichotokea na kutokana na utoto wake akaona kule kwa kina Stefano ndio mahali sahihi pa kwenda kushinda ,na Kama baba yake anawajua wakina Stefano basi Kuna uwezekano wa wao kuwa ndugu , hivyo aliamua kesho yake aende akashinde kule badala ya kwenda shule ,
Kweli kesho yake Celena aliandaliwa na mama yake ndie aliempeleka mpaka shule , mama yake Celena alimpeleka Celena shule ili apitie kumtafuta yule kichaa , yaani Nia yake amtafute yule Celina kichaa mke wa Mr Benson wa zamani , ambae yeye ndio alimfanyaga kichaa ,
Sasa Celena alifikishwa shule vzr na mama yake akahakikisha ameingia shule akageuza gari , na kurudi mtaani kumtafuta yule mama kichaa ,
Lakin Celena alipohakikisha mama yake ameondoka ,yeye alitoroka na kuchukua bodaboda na kuondoka kwenda kwa kina Stefano ,
Sasa alipofika kwa kina Stefano kumbuka yeye hajazoeana na yule mama kichaa , na wakati huo Celina na Stefano wao walikuwa wameenda shule hivyo yule kichaa alikuwepo mwenyewe tu pale nje ya nyumba ya kina Stefano , na yule kichaa alipomuona Celena akajua ni mwanawe Celina , akaanza kumkimbiza huku akiwa anacheka Cheka hovyo , Sasa kumbuka Celena anamuogopa maana alikuwa hajui uhusiano wa huyu kichaa na Celina , akaanza kupiga kelele huku akiitaa mamaaaa ,"
Mama Stefano akaisikia ile saut na akatoka nje , akamuona Celena amejibana kwenye ukuta huku anaita mamaaaa,"" yaan anamuogopa yule kichaa huku yule kichaa aliona Kama Yuko na Celina wanacheza ,
Mama Stefano alimuangalia vzr akagundua huyu aliekuja ni Celena , maana Celena hamjui huyu mama kichaa , Sasa kilichokuwa kina mshangaza nikwamba mtoto huyo akiita mamaaa ," mapigo ya moyo yanadunda kwa nguvu mama Stefano ,yaan anakuwa Kama mtu mwenye wasiwasi ,
Mama Stefano akaenda na kumtoa Celena pale alipokuwa kajibana akimuogopa Celena ,na alim beba , Celena alikuwa analia tu ,lakin pia alipom beba mama Stefano alihisi vitu vya utofauti mwilin mwake , kwanza alihisi Kama yupo na mwanae kabisa wa kumzaa , pili alipokuwa Anam bembeleza alitamani aendelee kum bembeleza tu ,
Walipofika ndani mama Stefano alimshusha Celena na kumuweka kwenye kochi huku anamuangalia vzr , " hakyaMungu huwezi kuwatofautisha Hawa watoto,"
Aliwaza mama Stefano huku anamuangalia vzr Celena ,
Celena aliponyamaza akaingia mwenyewe jikon na kumimina chai akafunua sufulia akakuta Kuna ndizi za kuchemsha akaweka kwenye sahani akaanza kula , mama Stefano ye alikuwa anashangaa tu maana hata Celina kipindi anakuja siku ya kwanza nae alikula chakula Kisha akaosha vyombo na akamfulia Stefano nguo zake za shule , na huyu nae alikuja siku ya kwanza alianzisha utundu humo ndani mpaka wakavunja gras ,
Leo amekuja peke yake na akaingia jikoni na akapakuwa ndizi akawa anakula ,
Tatizo ni kwamba wanapokuja watoto hao mama Stefano hujihisi vizr Sana , na huwaacha wafanye wanachokitaka japo hawajawahi kukutana na mwenzake Celina ,
Kumbuka Celena anajua hapo nyumbani ni kwa kina Celina na Stefano hivyo alikuja kuwasubilia wakirudi shule wamkute hapo na waanze kucheza ,
" Mama gauni langu liko wapi ,"?
Celena alimuuliza mama Stefano, Sasa alipomuita mama Stefano akajikuta moyo wake unakuwa tofauti Sana ,yaani akajikuta anajiuliza Hawa watoto ni kina nani , maana wakimuita mama moyo wake unadunda Sana ,
" Mama gauni langu " Celena alirudia tena kuita ,
" Aah sawa ngoja nikakupe ,"
Mama Stefano alijibu ,
Kumbuka siku ya kwanza anakuja Celena mama Stefano alimpa gauni Celena na Celena alilivaa akacheza na alipomaliza akalivua akavaa nguo zake za shule na akaondoka zake ,
Celena akapewa gauni akalivaa Kisha akaanza kucheza zake , Sasa Celena Hana mtu wa kucheza nae akaanza kucheza na mama Stefano ,
Celena alikuwa mtundu Sana , mala apande kwenye kochi aruke ruke ,akafungulia mziki akaanza kucheza ,yaan humo ndani ni vurugu , kumbuka Celena akiwa hapo kwa kina Stefano anajihisi amani Sana japo sio kwao , lakin alijikuta anafanya mambo mengi ya utundu utundu , Celena alikuwa Kama Stefano tu ,maana alikuwa hasikii , aliingia chumbani kwa Stefano akavaa nguo za Stefano akaja sebuleni , "mama onaaa nimependezaa ," Celena alimwambia mama Stefano , kumbuka Celena anamuita mama Stefano mama kwa heshima tu na hajui Kama huyo ndio mama yake kweli , na mama Stefano alikuwa anaitikia bila kujua huyo ni mtoto wake kweli ,
"Heeh makubwa ,,! Umevaa nguo za Stefano ,"
Mama Stefano alishangaa huku akitabasamu tu maana Celena alikuwa mtundu haswa , na alizoea hiyo nyumba Kama kwao ,bila kujua ni kwao kweli ,
Ilifika Kama saa 6 mchana mama Stefano akatoa mkeka nje akawa amekaa zake huku anatafakari jinsi hao watoto mapacha wanavyofanana halafu sio ndugu , " huyu kazaliwa kwenye familia ya kitajiri na yule mwingine mama yake ni kichaa , hapo mbona Kama Kuna utata ,?
Aliwaza mama Stefano huku akijishika shavuni ,hakujua kuwa watoto hao nikweli ni MAPACHA na ni watoto wake na ndio maana wamepazoea hapo nyumbani ,
Sasa wakati anatafakari akaja Celena na kulala kwenye mapaja ya mama Stefano ,
" Mama mi nimechoka nataka kulala ," alisema Celena huku akilala kwenye kifua Cha mama Stefano,
Mama Stefano alihisi mwili kusisimka na na akampkata vizr Celena Kama mtoto wake , Sasa alivyompakata si akamwangalia vzr uson akashangaa Kama anaiona sura yake ,yaan Celena kafanana na mama Stefano, ni kweli watoto hao wamefanana na na mama Yao ,mama Stefano alianza kutokwa na machozi huku anamuangalia Celena ,
" Mama mbona unalia , " Celena alimuuliza mama Stefano bila kujua kuwa mama Stefano alitamani watoto hao wangekuwa watoto wake maana wamefanana nayeye ,
" Hapana mwanangu ni mawazo tu ,"
Mama Stefano alijibu huku akijifuta machozi ,
Mama Stefano alikaa na mtoto wake tena alimpakata kabisa bila kujua ni mwanawe kweli ,ila nafsi zikawa zinavutana ,si unajua damu nzito kuliko maji ,,?

KUMBUKA story hii utaipata kwa elfu moja tu ,
0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

WATOTO MAPACHA
sehemu ya 14

Mr Benson alimuangalia vzr Celena lakin hakuona utofauti wowote , " we ulikuwa wapi ,"? Mr Benson alimuuliza mtoto wake ,
" Baba mi si ndo natoka shule ,"
Celena alijibu , " mbona hujapanda gari la shule ,"?
Mr Benson alimuuliza tena mwanawe,
" Mi niliwahi kutoka kabla ya gari kufika "
Alijibu Celena , na mama yake Celena akatokea akiwa kavimba uso Mr Benson akajua kweli alichosema Celina kichaa mkewe nikweli alimpiga ,
"Vipi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

903
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

685
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

680
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

468
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

349
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

225
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

66
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest