Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
Gonga94 ยท Stories

watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story :: watoto MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,2

Walioifatilia mpaka mwisho wanajua mziki wa story hii , na utaipata yote kwa elfu moja tu,

Ilikuwa yapata muda wa saa 8 au 9 za usiku kichaa mmoja anaeitwa Celina alikuwa kando ya dampo moja ameuchapa usingizi ,
Gafra akastuka nakuangaza kule na huku na kuwaona watu wawili wanatupa kitu kwenye dampo hilo na kutoweka upes,
Kutokana na njaa yake celina akahisi watu wale wametupa mabaki ya vyakula akakimbilia upes
Lakini alipofika akashangaa kukuta nikatoto kametupwa tena hakana hata nguo ,
Pamoja na uchizi wa celina aliweza kugundua kuwa yule ni mtoto ,akamfunga funga na manguo yake machafu huku akiimba ""celina kapata mtoto ,,""Celina,""!!

Asubuhi na mapema celina aliamka na katoto kake akaanza kuzurula nae huku anaimba imba hovyo ,

Watu walistaajabu sana na wengine walimshangaa kichaa yule kwani ,mtoto alikuwa analia sana nayeye Wala hakujali ndo kwanza alikuwa anaimba ""celina kapata mtoto ,,,""celina""!!

""Jamani mnyang'anyeni yule mtoto apelekwe hospitali ,,""
Mama mmoja alishauli.

Vijana wakaitwa na kwa kutumia nguvu sana huku kale katoto kakilia sana ,wakafanikiwa kumnyang'anya kichaa yule mtoto,
Na wakamuwahisha kale katoto kachanga dispensary iliyokaribu na pale ,
Lakini yule Mama kichaa hakukubali aliwakimbilia huku akilia mpaka nnje ya dispensary ile nakukaa nnje ya mlango kuanzia asubuhi ile mpaka jioni huku analia tu ,
Mtoto alihudumiwa ndani ya siku 3akiwa pale Dispensary ,huku yule kichaa akiwa nnje ya dispensary na bado alikuwa akimlilia mtoto aliemuokota .

""Sasa mpeni huyo mtoto lakin awepo mtu wa kumfuatilia kila aendapo ,,""
Docta alishauli .

Kweli yule kichaa akapewa mtoto ,alifurahi sana
" Celina amekuja ,,"celina huyoo,,""
Aliimba yule kichaa .kumbuka mtoto huyo alikuwa Hana jina ,na jina la Celina ni huyo mama kichaa ameamua kumpa tu kutokana na ukichaa wake ,

Nikama mungu alimuongoza mama yule ,kwani pamoja na ukichaa wake hakuweza kumzuru mtoto yule ,alimlea vizuri kabisa na kila mtoto alipolia hukimbia kwenye kibanda cha mama ntilie na kuomba chakula ili ampe mwanae,

Miaka ikasonga huku bado celina akiishi na yule Mama kichaa ,
Hata celina mwenyewe aliamini yule Mama kichaa ndio mama yake mzazi ,
Celina alimpenda mama yake japo mama huyo ni kichaa ,na japo ni mdogo aliweza kuwaza kuwa akikuwa mkubwa lazima akamtibu mama yake mpaka apone,
Walipitia misuko suko mingi ,kulala majalalani nikitu cha kawaida kwao,
Kuna kipindi celina alichukuliwa na mama mmoja akakae kwake lakini usiku alitoroka na kurudi jalalani kulala na mama yake.
Japo wengi walimuona yule Mama kichaa lakini celina alimuona Mama Bora.

Siku hiyo yule Mama kichaa aliamka anaumwa tena sana ,celina hakuwa na hata shilingi ,alichanganyikiwa ,
Akatoka kwenye jumba bovu hilo walilokuwa wanakaa nakwenda kutafuta makopo ili akauze apate pesa ya dawa ,akiwa hana hili Wala lile anaokota zake makopo akastuka kusikia sauti nyuma yake,

""Wewe ni mimi ,,""

Na alipogeuka akashangaa kujiona ni yeye kweli ,
Yaan mbele yake kasimama mtoto wa makamo yake na wamefanana kila kitu ,

Celina alitetemeka huku bado wakishangaana ,

Walichukua kama dakika tatu wakishangaana tu ,

""Unaitwa nani,,""?
Yule binti alimuuliza celina.

"Naitwa celina ,,""
Celina alijibu na akamuona yule bint amestuka ,

"Celeeeenaaa ,"""!
Ilisikika sauti akiita .

""Mama yangu ni mgonjwa sana mi naondoka ,,""
Celina alimwambia kale kabint ,

""Mama yako ni mgonjwa ,,""???
Yule binti aliuliza lakin kabla hajajibiwa celina alivuka barabara,

Celena mwanangu umepatwa nanini,,""?
Mama celena alifika na kumkumbatia mwanae ,

Celena hakujibu alinyoosha kidole kumuonesha mama yake na mama yake alipoangalia hakuamini,
Alimuona bint mmoja kafanana na mwanae kila kitu mpaka tembea yake ,
Celina alitembea na kwa bahati akaangalia nyuma ,
Mama Celena akamuona vizuri usoni ,
AKATOA MACHO,,,!!

Hii story ipo yote mwanzo mwisho na utaipata kwa elf moja tu mwanzo mpaka mwisho ,njoo whtsap 0655772653
Tangazo - ila baba mkwe full story soma yote hapa
ila baba mkwe full story soma yote hapa
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2

Story :: watoto MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,2

Walioifatilia mpaka mwisho wanajua mziki wa story hii , na utaipata yote kwa elfu moja tu,

Ilikuwa yapata muda wa saa 8 au 9 za usiku kichaa mmoja anaeitwa Celina alikuwa kando ya dampo moja ameuchapa usingizi ,
Gafra akastuka nakuangaza kule na huku na kuwaona watu wawili wanatupa kitu kwenye dampo hilo na kutoweka upes,
Kutokana na njaa yake celina akahisi watu wale wametupa mabaki ya vyakula akakimbilia upes
Lakini alipofika akashangaa kukuta nikatoto...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.86K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.49K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.23K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.17K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.91K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.72K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.62K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.62K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest