Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
Gonga94 · Stories

watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story :: watoto MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,2

Walioifatilia mpaka mwisho wanajua mziki wa story hii , na utaipata yote kwa elfu moja tu,

Ilikuwa yapata muda wa saa 8 au 9 za usiku kichaa mmoja anaeitwa Celina alikuwa kando ya dampo moja ameuchapa usingizi ,
Gafra akastuka nakuangaza kule na huku na kuwaona watu wawili wanatupa kitu kwenye dampo hilo na kutoweka upes,
Kutokana na njaa yake celina akahisi watu wale wametupa mabaki ya vyakula akakimbilia upes
Lakini alipofika akashangaa kukuta nikatoto kametupwa tena hakana hata nguo ,
Pamoja na uchizi wa celina aliweza kugundua kuwa yule ni mtoto ,akamfunga funga na manguo yake machafu huku akiimba ""celina kapata mtoto ,,""Celina,""!!

Asubuhi na mapema celina aliamka na katoto kake akaanza kuzurula nae huku anaimba imba hovyo ,

Watu walistaajabu sana na wengine walimshangaa kichaa yule kwani ,mtoto alikuwa analia sana nayeye Wala hakujali ndo kwanza alikuwa anaimba ""celina kapata mtoto ,,,""celina""!!

""Jamani mnyang'anyeni yule mtoto apelekwe hospitali ,,""
Mama mmoja alishauli.

Vijana wakaitwa na kwa kutumia nguvu sana huku kale katoto kakilia sana ,wakafanikiwa kumnyang'anya kichaa yule mtoto,
Na wakamuwahisha kale katoto kachanga dispensary iliyokaribu na pale ,
Lakini yule Mama kichaa hakukubali aliwakimbilia huku akilia mpaka nnje ya dispensary ile nakukaa nnje ya mlango kuanzia asubuhi ile mpaka jioni huku analia tu ,
Mtoto alihudumiwa ndani ya siku 3akiwa pale Dispensary ,huku yule kichaa akiwa nnje ya dispensary na bado alikuwa akimlilia mtoto aliemuokota .

""Sasa mpeni huyo mtoto lakin awepo mtu wa kumfuatilia kila aendapo ,,""
Docta alishauli .

Kweli yule kichaa akapewa mtoto ,alifurahi sana
" Celina amekuja ,,"celina huyoo,,""
Aliimba yule kichaa .kumbuka mtoto huyo alikuwa Hana jina ,na jina la Celina ni huyo mama kichaa ameamua kumpa tu kutokana na ukichaa wake ,

Nikama mungu alimuongoza mama yule ,kwani pamoja na ukichaa wake hakuweza kumzuru mtoto yule ,alimlea vizuri kabisa na kila mtoto alipolia hukimbia kwenye kibanda cha mama ntilie na kuomba chakula ili ampe mwanae,

Miaka ikasonga huku bado celina akiishi na yule Mama kichaa ,
Hata celina mwenyewe aliamini yule Mama kichaa ndio mama yake mzazi ,
Celina alimpenda mama yake japo mama huyo ni kichaa ,na japo ni mdogo aliweza kuwaza kuwa akikuwa mkubwa lazima akamtibu mama yake mpaka apone,
Walipitia misuko suko mingi ,kulala majalalani nikitu cha kawaida kwao,
Kuna kipindi celina alichukuliwa na mama mmoja akakae kwake lakini usiku alitoroka na kurudi jalalani kulala na mama yake.
Japo wengi walimuona yule Mama kichaa lakini celina alimuona Mama Bora.

Siku hiyo yule Mama kichaa aliamka anaumwa tena sana ,celina hakuwa na hata shilingi ,alichanganyikiwa ,
Akatoka kwenye jumba bovu hilo walilokuwa wanakaa nakwenda kutafuta makopo ili akauze apate pesa ya dawa ,akiwa hana hili Wala lile anaokota zake makopo akastuka kusikia sauti nyuma yake,

""Wewe ni mimi ,,""

Na alipogeuka akashangaa kujiona ni yeye kweli ,
Yaan mbele yake kasimama mtoto wa makamo yake na wamefanana kila kitu ,

Celina alitetemeka huku bado wakishangaana ,

Walichukua kama dakika tatu wakishangaana tu ,

""Unaitwa nani,,""?
Yule binti alimuuliza celina.

"Naitwa celina ,,""
Celina alijibu na akamuona yule bint amestuka ,

"Celeeeenaaa ,"""!
Ilisikika sauti akiita .

""Mama yangu ni mgonjwa sana mi naondoka ,,""
Celina alimwambia kale kabint ,

""Mama yako ni mgonjwa ,,""???
Yule binti aliuliza lakin kabla hajajibiwa celina alivuka barabara,

Celena mwanangu umepatwa nanini,,""?
Mama celena alifika na kumkumbatia mwanae ,

Celena hakujibu alinyoosha kidole kumuonesha mama yake na mama yake alipoangalia hakuamini,
Alimuona bint mmoja kafanana na mwanae kila kitu mpaka tembea yake ,
Celina alitembea na kwa bahati akaangalia nyuma ,
Mama Celena akamuona vizuri usoni ,
AKATOA MACHO,,,!!

Hii story ipo yote mwanzo mwisho na utaipata kwa elf moja tu mwanzo mpaka mwisho ,njoo whtsap 0655772653
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2

Story :: watoto MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,2

Walioifatilia mpaka mwisho wanajua mziki wa story hii , na utaipata yote kwa elfu moja tu,

Ilikuwa yapata muda wa saa 8 au 9 za usiku kichaa mmoja anaeitwa Celina alikuwa kando ya dampo moja ameuchapa usingizi ,
Gafra akastuka nakuangaza kule na huku na kuwaona watu wawili wanatupa kitu kwenye dampo hilo na kutoweka upes,
Kutokana na njaa yake celina akahisi watu wale wametupa mabaki ya vyakula akakimbilia upes
Lakini alipofika akashangaa kukuta nikatoto...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

683
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

259
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

68
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

57
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest