Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
Gonga94 · Stories

watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story :: watoto MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,2

Walioifatilia mpaka mwisho wanajua mziki wa story hii , na utaipata yote kwa elfu moja tu,

Ilikuwa yapata muda wa saa 8 au 9 za usiku kichaa mmoja anaeitwa Celina alikuwa kando ya dampo moja ameuchapa usingizi ,
Gafra akastuka nakuangaza kule na huku na kuwaona watu wawili wanatupa kitu kwenye dampo hilo na kutoweka upes,
Kutokana na njaa yake celina akahisi watu wale wametupa mabaki ya vyakula akakimbilia upes
Lakini alipofika akashangaa kukuta nikatoto kametupwa tena hakana hata nguo ,
Pamoja na uchizi wa celina aliweza kugundua kuwa yule ni mtoto ,akamfunga funga na manguo yake machafu huku akiimba ""celina kapata mtoto ,,""Celina,""!!

Asubuhi na mapema celina aliamka na katoto kake akaanza kuzurula nae huku anaimba imba hovyo ,

Watu walistaajabu sana na wengine walimshangaa kichaa yule kwani ,mtoto alikuwa analia sana nayeye Wala hakujali ndo kwanza alikuwa anaimba ""celina kapata mtoto ,,,""celina""!!

""Jamani mnyang'anyeni yule mtoto apelekwe hospitali ,,""
Mama mmoja alishauli.

Vijana wakaitwa na kwa kutumia nguvu sana huku kale katoto kakilia sana ,wakafanikiwa kumnyang'anya kichaa yule mtoto,
Na wakamuwahisha kale katoto kachanga dispensary iliyokaribu na pale ,
Lakini yule Mama kichaa hakukubali aliwakimbilia huku akilia mpaka nnje ya dispensary ile nakukaa nnje ya mlango kuanzia asubuhi ile mpaka jioni huku analia tu ,
Mtoto alihudumiwa ndani ya siku 3akiwa pale Dispensary ,huku yule kichaa akiwa nnje ya dispensary na bado alikuwa akimlilia mtoto aliemuokota .

""Sasa mpeni huyo mtoto lakin awepo mtu wa kumfuatilia kila aendapo ,,""
Docta alishauli .

Kweli yule kichaa akapewa mtoto ,alifurahi sana
" Celina amekuja ,,"celina huyoo,,""
Aliimba yule kichaa .kumbuka mtoto huyo alikuwa Hana jina ,na jina la Celina ni huyo mama kichaa ameamua kumpa tu kutokana na ukichaa wake ,

Nikama mungu alimuongoza mama yule ,kwani pamoja na ukichaa wake hakuweza kumzuru mtoto yule ,alimlea vizuri kabisa na kila mtoto alipolia hukimbia kwenye kibanda cha mama ntilie na kuomba chakula ili ampe mwanae,

Miaka ikasonga huku bado celina akiishi na yule Mama kichaa ,
Hata celina mwenyewe aliamini yule Mama kichaa ndio mama yake mzazi ,
Celina alimpenda mama yake japo mama huyo ni kichaa ,na japo ni mdogo aliweza kuwaza kuwa akikuwa mkubwa lazima akamtibu mama yake mpaka apone,
Walipitia misuko suko mingi ,kulala majalalani nikitu cha kawaida kwao,
Kuna kipindi celina alichukuliwa na mama mmoja akakae kwake lakini usiku alitoroka na kurudi jalalani kulala na mama yake.
Japo wengi walimuona yule Mama kichaa lakini celina alimuona Mama Bora.

Siku hiyo yule Mama kichaa aliamka anaumwa tena sana ,celina hakuwa na hata shilingi ,alichanganyikiwa ,
Akatoka kwenye jumba bovu hilo walilokuwa wanakaa nakwenda kutafuta makopo ili akauze apate pesa ya dawa ,akiwa hana hili Wala lile anaokota zake makopo akastuka kusikia sauti nyuma yake,

""Wewe ni mimi ,,""

Na alipogeuka akashangaa kujiona ni yeye kweli ,
Yaan mbele yake kasimama mtoto wa makamo yake na wamefanana kila kitu ,

Celina alitetemeka huku bado wakishangaana ,

Walichukua kama dakika tatu wakishangaana tu ,

""Unaitwa nani,,""?
Yule binti alimuuliza celina.

"Naitwa celina ,,""
Celina alijibu na akamuona yule bint amestuka ,

"Celeeeenaaa ,"""!
Ilisikika sauti akiita .

""Mama yangu ni mgonjwa sana mi naondoka ,,""
Celina alimwambia kale kabint ,

""Mama yako ni mgonjwa ,,""???
Yule binti aliuliza lakin kabla hajajibiwa celina alivuka barabara,

Celena mwanangu umepatwa nanini,,""?
Mama celena alifika na kumkumbatia mwanae ,

Celena hakujibu alinyoosha kidole kumuonesha mama yake na mama yake alipoangalia hakuamini,
Alimuona bint mmoja kafanana na mwanae kila kitu mpaka tembea yake ,
Celina alitembea na kwa bahati akaangalia nyuma ,
Mama Celena akamuona vizuri usoni ,
AKATOA MACHO,,,!!

Hii story ipo yote mwanzo mwisho na utaipata kwa elf moja tu mwanzo mpaka mwisho ,njoo whtsap 0655772653

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2

Story :: watoto MAPACHA

Sehemu ya ,,,,,,2

Walioifatilia mpaka mwisho wanajua mziki wa story hii , na utaipata yote kwa elfu moja tu,

Ilikuwa yapata muda wa saa 8 au 9 za usiku kichaa mmoja anaeitwa Celina alikuwa kando ya dampo moja ameuchapa usingizi ,
Gafra akastuka nakuangaza kule na huku na kuwaona watu wawili wanatupa kitu kwenye dampo hilo na kutoweka upes,
Kutokana na njaa yake celina akahisi watu wale wametupa mabaki ya vyakula akakimbilia upes
Lakini alipofika akashangaa kukuta nikatoto...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

739
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

694
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

526
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

419
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

265
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

149
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest