Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA                            SEHEMU YA  11
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

SEHEMU YA 11

"Kwahiyo kuna Celena na Celina "?
Bado mama Stefano aliuliza maswali maana nikama anawasiwasi ,
"Ndio mama mi nishaonana na Celena mala moja tu na hatujaongea sana na sikumuona tena mpaka leo ,"
Aliongea Celina huku akimwangalia mama yake ,
Wote wakabaki kimya huku baba Stefano akiendesha gari kwa speed kumuwahisha mama Celina hospital,
Walifika mpaka pale hospital wakapokelewa na mama Celina akapelekwa kwenye WOD maalumu ya wagonjwa wa akili ,
Walipohakikisha kila kitu kipo sawa na mgonjwa kapokelewa walirudi nyumbani wakiwa na Celina huku wakiahidi kuja kesho yake kumuona mama Celina kama amepata nafuu ,

***

Huku kwa kina Celena mama yake bado alikuwa anatafakari namna mwanae anavyomdanganya maana ye anajua anadanganywa haiwezekan et kuna mtoto anaefanana na mwanae na alikuja mpaka hapo kwao na kulala ,
""Celena mwanangu ,baba yako anakuja , naomba usimwambie chochote sawaee,,,""
Mama Celena alimwambia mwanae,

Sawa mama ,,"

Mr Benson aliingia ndani na wakasalimiana na mkewe na kumuuliza shuleni kulikuwa na shida gani ,akaambiwa sio shida kubwa mtoto kichwa kilikuwa kinamuuma lakini sasa hiv kidogo afadhali,
Bas Mr Benson akawa anacheza na Celena na Celena hakumwambia chochote baba yake,

"Mbona jana ulikuwa umepooza sana mwanangu nini shida ,,""
Mr Benson alimuuliza mwanae , bila kujua yule wa jana sio Celena ni Celina ,

"Hamna baba nilikuwa najiskia vibaya ,,""
Celena nae alimdanganya baba yake,
Baba Celena nae kwa kuwa alikuwa kachoka kutokana na uchovu wakazin hakuweza kumuuliza sana maswali mwanae akaamua ajipunzishe tu ,
Kesho yake Celena aliandaliwa na akapelekwa shule huku baba na mama yake kila mtu akichukua gari yake na kwenda kazin ,
Njiani mama Celena alikuwa na mawazo sana aliwaza kile alichokuwa anaongea mwanae jana kuwa et kuna mtoto amekuja nyumban akalala na sio yeye , sasa yeye atakuwa alilala wapi dah ,! Utoto huu ,,
" au ni Celina ananifanyia mchezo ,?
Aliwaza sana mama Celena , akajikuta anazama kwenye mawazo huku anaendesha gari ,

"Lakini Haiwezekani ,,"mbona mganga alinihakikishia kabisa Kuwa hawezi kupona kabisa ,mpaka kufa kwake,"?
Mama Celena alikuwa anawaza akiwa anaendesha gari ,na mawazo yakamrudisha maisha yake ya nyuma kabisa ,kipindi ameenda kwa mganga na shoga yake fatu,

"Shida yako naijua ,nimeshaona kwenye lamli ,,sasa sema wewe unataka tumfanyeje ,,""?
Mganga alimwambia Maria ,
Kumbuka mama celena alikuwa anaitwa Maria kipindi hicho,na hapo anakumbuka akiwa anaendesha gari,

""Mi nnachotaka afe kabisa halafu yule bosi wangu nimuweke mikononi kwangu ,yaani nnachotaka mimi anifanyie ,,""
Maria aliongea ,

"Hiyo kazi ya kuua nindogo sana kwangu ila ukimuua mapema utastukiwa kuwa wewe ndo umemuua,sasa fanya hivi ntakupa dawa ya kumfanya kama zezeta halafu baadae atakuja kuwa chizi na baadae atajifia zake ,,""!
Mganga alitoa ushauri ,

"Sawa mi nnachotaka na yule mumewe anisikilize mimi ,,""
Maria aliongezea ,

"Usijali mimi ndio mganga ndere hahahaaa a""
Mganga alijitapa,

Maria akapewa dawa ,na wiki iliyofuata akarudishwa kazini ,
Natumaini Maria umejirekebisha sasa fanya kazi achana kabisa na mume wangu sawa ,?Na nikigundua ujue nitakufukuza kazi,""!
Celina mke wa Benson alimwambia Maria bila kujua kuwa Maria alikuja kwa ubaya,

"Sawa dada nimekuelewa na naomba unisamehe,,""
Maria aliomba msamaha kama mtu vile , kumbe nikondoo nje ndani ni chui,

Maria alifanya kazi ndani ya mwezi mmoja akiwa mtiifu na mtu aliejirekebisha makosa yake ,na hata Celina mke wa Mr Benson alianza kumpenda na kufuta tofauti zake kabisa ,kwani hata Mr Benson nae alitambua kuwa alifanya makosa kutembea na Maria nae akajirekebisha na kurudisha mapenzi kwa mkewe,
Usilolijua ni sawa na usiku wa Giza ,
Siku hiyo Maria akapika chakula na kumtengea mke wa Mr Benson yaani Celina,
Celina alipokula tu akapata mstuko na hapo hapo akawa kama taahira yaani mtu asiejielewa,
Maria alipoona mambo yametiki akaondoa kile chakula na kumpigia Mr Benson kuwa,aje nyumbani kuna shida ,
Mr Benson alirudi nyumbani fasta nakumkuta mkewe akiwa katika hali mbaya ya kutokujielewa ,akamkimbiza hospitali ,
Madocta walihangaika ikashindikana ,ikabidi wamrudishe tu nyumbani,
Ndugu wa celina nao hawakuwa nyuma kuhangaika kumtafutia tiba ndugu yao lakini ikashindikana,
Masikini celina hapo ndio ukawa mwanzo wa mateso yake ,
Maria akatumia ugonjwa wa Celina kumtia mikononi mwake Mr Benson ,na Mr Benson akawa hasikii wala haoni kwa Maria ,ilifika kipindi mapenzi yao yakawa sio Siri tena,mr Benson akamuhamisha mkewe chumbani kwake na kumuweka kwenye mabanda ya uwani ,na Maria akawa ndio mama mwenye mjengo,

Kama kuna watu waliteseka basi Celina mmoja wapo,
Ilikuwa Mr Benson akiondoka bas ndo ilikuwa mateso kwa celina ,alipewa chakula kama mmbwa ,na hali aliyokuwanayo ya uzezeta alikuwa anajisaidia hapo hapo , na akijisaidia Maria huchukua maji na kummwagia na makofi juu ,

"Mpuuzi wew si ufe tu nile raha mie ,,"" na mwaka huu ndo utaelewa kwamba mimi ndio Maria,,""
Maria alijitamba,

"We yakobo njoo tayari kashajisaidia mpuuzi huyu,,""
Maria alimwita yakobo ili am badilishe nguo ,

Yakobo ni mlinzi wa getini na alikuwa anamuonea huruma sana celena kwani alijua kabisa ule ugonjwa ni wakishilikina ,nayeye hakuwa na jinsi yoyote ya kumsaidia ,zaidi alikuwa anamlisha chakula na kum badilisha nguo pindi anapojisaidia,

"PIPiiiiiiiiii,,,,,,puuuuh"""
Mama Celena alistuka amegonga mtu ,na mawazo aliokuwa anawaza yakaishia hapo ,alizama kwenye mawazo akajisahau kuwa yupo barabaran na alikuwa anaendesha gari kwa spidi,

""Ameuwaaa ,,""ameuwaaa ""
Watu wakazid kuizunguka ile gari ya mama Celena ,
Mama celena hakuamini alichokiona mbele yake ,kijana kama wa miaka kumi na tano hivi alikuwa amelala chini damu nyingi zikimtoka ,
"" Sasa nyie mnashangaa nini m bebeni huyo kijana na mumpeleke hospitali pamoja na huyo mama ,,"
Aliongea msamalia mmoja ,na watu wakam beba kijana yule na kumuingiza kwenye gari ya mama Celena na wakapanda watu wengine wawili na safari ya hospitali ikaanza ,
Walifika hospital na yule mgonjwa ,na haraka wakapokelewa , mama Celena alikuwa kama amechanganyikiwa maana kumgonga mtu si mchezo ,
Wakati yupo pale kwenye viti vya kusubili wagonjwa mala wakaingia mama yake Stefano, baba yake Stefano pamoja Celina, walikuja hospitalin hapo kumuona mama Celina ambae walimleta jana yake baada ya kuzidiwa na homa ,
Mama Celina akashangaa nakusimama kabisa , leo kwa macho yake anamuona Celina mtoto aliefanana kila kitu na mwanae Celena , alimuangalia kwa makini ili aone kama ni mwanae Celena ,lakini cha ajabu Celina alionesha kutokumjua kabisa tena alimpita huku akiongea na mama Stefano ,
" Hii mbona ni Kali ya mwaka , "
Aliongea mama celena huku akimkazia macho Celina,

Je mama Celena atachukua uwamuzi Gani , na Je itakuwaje hospital hapo ,
Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu 0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

WATOTO MAPACHA

SEHEMU YA 11

"Kwahiyo kuna Celena na Celina "?
Bado mama Stefano aliuliza maswali maana nikama anawasiwasi ,
"Ndio mama mi nishaonana na Celena mala moja tu na hatujaongea sana na sikumuona tena mpaka leo ,"
Aliongea Celina huku akimwangalia mama yake ,
Wote wakabaki kimya huku baba Stefano akiendesha gari kwa speed kumuwahisha mama Celina hospital,
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

683
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

258
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

64
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

56
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest