Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA                            SEHEMU YA  11
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

SEHEMU YA 11

"Kwahiyo kuna Celena na Celina "?
Bado mama Stefano aliuliza maswali maana nikama anawasiwasi ,
"Ndio mama mi nishaonana na Celena mala moja tu na hatujaongea sana na sikumuona tena mpaka leo ,"
Aliongea Celina huku akimwangalia mama yake ,
Wote wakabaki kimya huku baba Stefano akiendesha gari kwa speed kumuwahisha mama Celina hospital,
Walifika mpaka pale hospital wakapokelewa na mama Celina akapelekwa kwenye WOD maalumu ya wagonjwa wa akili ,
Walipohakikisha kila kitu kipo sawa na mgonjwa kapokelewa walirudi nyumbani wakiwa na Celina huku wakiahidi kuja kesho yake kumuona mama Celina kama amepata nafuu ,

***

Huku kwa kina Celena mama yake bado alikuwa anatafakari namna mwanae anavyomdanganya maana ye anajua anadanganywa haiwezekan et kuna mtoto anaefanana na mwanae na alikuja mpaka hapo kwao na kulala ,
""Celena mwanangu ,baba yako anakuja , naomba usimwambie chochote sawaee,,,""
Mama Celena alimwambia mwanae,

Sawa mama ,,"

Mr Benson aliingia ndani na wakasalimiana na mkewe na kumuuliza shuleni kulikuwa na shida gani ,akaambiwa sio shida kubwa mtoto kichwa kilikuwa kinamuuma lakini sasa hiv kidogo afadhali,
Bas Mr Benson akawa anacheza na Celena na Celena hakumwambia chochote baba yake,

"Mbona jana ulikuwa umepooza sana mwanangu nini shida ,,""
Mr Benson alimuuliza mwanae , bila kujua yule wa jana sio Celena ni Celina ,

"Hamna baba nilikuwa najiskia vibaya ,,""
Celena nae alimdanganya baba yake,
Baba Celena nae kwa kuwa alikuwa kachoka kutokana na uchovu wakazin hakuweza kumuuliza sana maswali mwanae akaamua ajipunzishe tu ,
Kesho yake Celena aliandaliwa na akapelekwa shule huku baba na mama yake kila mtu akichukua gari yake na kwenda kazin ,
Njiani mama Celena alikuwa na mawazo sana aliwaza kile alichokuwa anaongea mwanae jana kuwa et kuna mtoto amekuja nyumban akalala na sio yeye , sasa yeye atakuwa alilala wapi dah ,! Utoto huu ,,
" au ni Celina ananifanyia mchezo ,?
Aliwaza sana mama Celena , akajikuta anazama kwenye mawazo huku anaendesha gari ,

"Lakini Haiwezekani ,,"mbona mganga alinihakikishia kabisa Kuwa hawezi kupona kabisa ,mpaka kufa kwake,"?
Mama Celena alikuwa anawaza akiwa anaendesha gari ,na mawazo yakamrudisha maisha yake ya nyuma kabisa ,kipindi ameenda kwa mganga na shoga yake fatu,

"Shida yako naijua ,nimeshaona kwenye lamli ,,sasa sema wewe unataka tumfanyeje ,,""?
Mganga alimwambia Maria ,
Kumbuka mama celena alikuwa anaitwa Maria kipindi hicho,na hapo anakumbuka akiwa anaendesha gari,

""Mi nnachotaka afe kabisa halafu yule bosi wangu nimuweke mikononi kwangu ,yaani nnachotaka mimi anifanyie ,,""
Maria aliongea ,

"Hiyo kazi ya kuua nindogo sana kwangu ila ukimuua mapema utastukiwa kuwa wewe ndo umemuua,sasa fanya hivi ntakupa dawa ya kumfanya kama zezeta halafu baadae atakuja kuwa chizi na baadae atajifia zake ,,""!
Mganga alitoa ushauri ,

"Sawa mi nnachotaka na yule mumewe anisikilize mimi ,,""
Maria aliongezea ,

"Usijali mimi ndio mganga ndere hahahaaa a""
Mganga alijitapa,

Maria akapewa dawa ,na wiki iliyofuata akarudishwa kazini ,
Natumaini Maria umejirekebisha sasa fanya kazi achana kabisa na mume wangu sawa ,?Na nikigundua ujue nitakufukuza kazi,""!
Celina mke wa Benson alimwambia Maria bila kujua kuwa Maria alikuja kwa ubaya,

"Sawa dada nimekuelewa na naomba unisamehe,,""
Maria aliomba msamaha kama mtu vile , kumbe nikondoo nje ndani ni chui,

Maria alifanya kazi ndani ya mwezi mmoja akiwa mtiifu na mtu aliejirekebisha makosa yake ,na hata Celina mke wa Mr Benson alianza kumpenda na kufuta tofauti zake kabisa ,kwani hata Mr Benson nae alitambua kuwa alifanya makosa kutembea na Maria nae akajirekebisha na kurudisha mapenzi kwa mkewe,
Usilolijua ni sawa na usiku wa Giza ,
Siku hiyo Maria akapika chakula na kumtengea mke wa Mr Benson yaani Celina,
Celina alipokula tu akapata mstuko na hapo hapo akawa kama taahira yaani mtu asiejielewa,
Maria alipoona mambo yametiki akaondoa kile chakula na kumpigia Mr Benson kuwa,aje nyumbani kuna shida ,
Mr Benson alirudi nyumbani fasta nakumkuta mkewe akiwa katika hali mbaya ya kutokujielewa ,akamkimbiza hospitali ,
Madocta walihangaika ikashindikana ,ikabidi wamrudishe tu nyumbani,
Ndugu wa celina nao hawakuwa nyuma kuhangaika kumtafutia tiba ndugu yao lakini ikashindikana,
Masikini celina hapo ndio ukawa mwanzo wa mateso yake ,
Maria akatumia ugonjwa wa Celina kumtia mikononi mwake Mr Benson ,na Mr Benson akawa hasikii wala haoni kwa Maria ,ilifika kipindi mapenzi yao yakawa sio Siri tena,mr Benson akamuhamisha mkewe chumbani kwake na kumuweka kwenye mabanda ya uwani ,na Maria akawa ndio mama mwenye mjengo,

Kama kuna watu waliteseka basi Celina mmoja wapo,
Ilikuwa Mr Benson akiondoka bas ndo ilikuwa mateso kwa celina ,alipewa chakula kama mmbwa ,na hali aliyokuwanayo ya uzezeta alikuwa anajisaidia hapo hapo , na akijisaidia Maria huchukua maji na kummwagia na makofi juu ,

"Mpuuzi wew si ufe tu nile raha mie ,,"" na mwaka huu ndo utaelewa kwamba mimi ndio Maria,,""
Maria alijitamba,

"We yakobo njoo tayari kashajisaidia mpuuzi huyu,,""
Maria alimwita yakobo ili am badilishe nguo ,

Yakobo ni mlinzi wa getini na alikuwa anamuonea huruma sana celena kwani alijua kabisa ule ugonjwa ni wakishilikina ,nayeye hakuwa na jinsi yoyote ya kumsaidia ,zaidi alikuwa anamlisha chakula na kum badilisha nguo pindi anapojisaidia,

"PIPiiiiiiiiii,,,,,,puuuuh"""
Mama Celena alistuka amegonga mtu ,na mawazo aliokuwa anawaza yakaishia hapo ,alizama kwenye mawazo akajisahau kuwa yupo barabaran na alikuwa anaendesha gari kwa spidi,

""Ameuwaaa ,,""ameuwaaa ""
Watu wakazid kuizunguka ile gari ya mama Celena ,
Mama celena hakuamini alichokiona mbele yake ,kijana kama wa miaka kumi na tano hivi alikuwa amelala chini damu nyingi zikimtoka ,
"" Sasa nyie mnashangaa nini m bebeni huyo kijana na mumpeleke hospitali pamoja na huyo mama ,,"
Aliongea msamalia mmoja ,na watu wakam beba kijana yule na kumuingiza kwenye gari ya mama Celena na wakapanda watu wengine wawili na safari ya hospitali ikaanza ,
Walifika hospital na yule mgonjwa ,na haraka wakapokelewa , mama Celena alikuwa kama amechanganyikiwa maana kumgonga mtu si mchezo ,
Wakati yupo pale kwenye viti vya kusubili wagonjwa mala wakaingia mama yake Stefano, baba yake Stefano pamoja Celina, walikuja hospitalin hapo kumuona mama Celina ambae walimleta jana yake baada ya kuzidiwa na homa ,
Mama Celina akashangaa nakusimama kabisa , leo kwa macho yake anamuona Celina mtoto aliefanana kila kitu na mwanae Celena , alimuangalia kwa makini ili aone kama ni mwanae Celena ,lakini cha ajabu Celina alionesha kutokumjua kabisa tena alimpita huku akiongea na mama Stefano ,
" Hii mbona ni Kali ya mwaka , "
Aliongea mama celena huku akimkazia macho Celina,

Je mama Celena atachukua uwamuzi Gani , na Je itakuwaje hospital hapo ,
Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu 0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

WATOTO MAPACHA

SEHEMU YA 11

"Kwahiyo kuna Celena na Celina "?
Bado mama Stefano aliuliza maswali maana nikama anawasiwasi ,
"Ndio mama mi nishaonana na Celena mala moja tu na hatujaongea sana na sikumuona tena mpaka leo ,"
Aliongea Celina huku akimwangalia mama yake ,
Wote wakabaki kimya huku baba Stefano akiendesha gari kwa speed kumuwahisha mama Celina hospital,
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

738
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

694
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

525
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

418
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

265
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

148
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest