Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA                            SEHEMU YA  11
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

SEHEMU YA 11

"Kwahiyo kuna Celena na Celina "?
Bado mama Stefano aliuliza maswali maana nikama anawasiwasi ,
"Ndio mama mi nishaonana na Celena mala moja tu na hatujaongea sana na sikumuona tena mpaka leo ,"
Aliongea Celina huku akimwangalia mama yake ,
Wote wakabaki kimya huku baba Stefano akiendesha gari kwa speed kumuwahisha mama Celina hospital,
Walifika mpaka pale hospital wakapokelewa na mama Celina akapelekwa kwenye WOD maalumu ya wagonjwa wa akili ,
Walipohakikisha kila kitu kipo sawa na mgonjwa kapokelewa walirudi nyumbani wakiwa na Celina huku wakiahidi kuja kesho yake kumuona mama Celina kama amepata nafuu ,

***

Huku kwa kina Celena mama yake bado alikuwa anatafakari namna mwanae anavyomdanganya maana ye anajua anadanganywa haiwezekan et kuna mtoto anaefanana na mwanae na alikuja mpaka hapo kwao na kulala ,
""Celena mwanangu ,baba yako anakuja , naomba usimwambie chochote sawaee,,,""
Mama Celena alimwambia mwanae,

Sawa mama ,,"

Mr Benson aliingia ndani na wakasalimiana na mkewe na kumuuliza shuleni kulikuwa na shida gani ,akaambiwa sio shida kubwa mtoto kichwa kilikuwa kinamuuma lakini sasa hiv kidogo afadhali,
Bas Mr Benson akawa anacheza na Celena na Celena hakumwambia chochote baba yake,

"Mbona jana ulikuwa umepooza sana mwanangu nini shida ,,""
Mr Benson alimuuliza mwanae , bila kujua yule wa jana sio Celena ni Celina ,

"Hamna baba nilikuwa najiskia vibaya ,,""
Celena nae alimdanganya baba yake,
Baba Celena nae kwa kuwa alikuwa kachoka kutokana na uchovu wakazin hakuweza kumuuliza sana maswali mwanae akaamua ajipunzishe tu ,
Kesho yake Celena aliandaliwa na akapelekwa shule huku baba na mama yake kila mtu akichukua gari yake na kwenda kazin ,
Njiani mama Celena alikuwa na mawazo sana aliwaza kile alichokuwa anaongea mwanae jana kuwa et kuna mtoto amekuja nyumban akalala na sio yeye , sasa yeye atakuwa alilala wapi dah ,! Utoto huu ,,
" au ni Celina ananifanyia mchezo ,?
Aliwaza sana mama Celena , akajikuta anazama kwenye mawazo huku anaendesha gari ,

"Lakini Haiwezekani ,,"mbona mganga alinihakikishia kabisa Kuwa hawezi kupona kabisa ,mpaka kufa kwake,"?
Mama Celena alikuwa anawaza akiwa anaendesha gari ,na mawazo yakamrudisha maisha yake ya nyuma kabisa ,kipindi ameenda kwa mganga na shoga yake fatu,

"Shida yako naijua ,nimeshaona kwenye lamli ,,sasa sema wewe unataka tumfanyeje ,,""?
Mganga alimwambia Maria ,
Kumbuka mama celena alikuwa anaitwa Maria kipindi hicho,na hapo anakumbuka akiwa anaendesha gari,

""Mi nnachotaka afe kabisa halafu yule bosi wangu nimuweke mikononi kwangu ,yaani nnachotaka mimi anifanyie ,,""
Maria aliongea ,

"Hiyo kazi ya kuua nindogo sana kwangu ila ukimuua mapema utastukiwa kuwa wewe ndo umemuua,sasa fanya hivi ntakupa dawa ya kumfanya kama zezeta halafu baadae atakuja kuwa chizi na baadae atajifia zake ,,""!
Mganga alitoa ushauri ,

"Sawa mi nnachotaka na yule mumewe anisikilize mimi ,,""
Maria aliongezea ,

"Usijali mimi ndio mganga ndere hahahaaa a""
Mganga alijitapa,

Maria akapewa dawa ,na wiki iliyofuata akarudishwa kazini ,
Natumaini Maria umejirekebisha sasa fanya kazi achana kabisa na mume wangu sawa ,?Na nikigundua ujue nitakufukuza kazi,""!
Celina mke wa Benson alimwambia Maria bila kujua kuwa Maria alikuja kwa ubaya,

"Sawa dada nimekuelewa na naomba unisamehe,,""
Maria aliomba msamaha kama mtu vile , kumbe nikondoo nje ndani ni chui,

Maria alifanya kazi ndani ya mwezi mmoja akiwa mtiifu na mtu aliejirekebisha makosa yake ,na hata Celina mke wa Mr Benson alianza kumpenda na kufuta tofauti zake kabisa ,kwani hata Mr Benson nae alitambua kuwa alifanya makosa kutembea na Maria nae akajirekebisha na kurudisha mapenzi kwa mkewe,
Usilolijua ni sawa na usiku wa Giza ,
Siku hiyo Maria akapika chakula na kumtengea mke wa Mr Benson yaani Celina,
Celina alipokula tu akapata mstuko na hapo hapo akawa kama taahira yaani mtu asiejielewa,
Maria alipoona mambo yametiki akaondoa kile chakula na kumpigia Mr Benson kuwa,aje nyumbani kuna shida ,
Mr Benson alirudi nyumbani fasta nakumkuta mkewe akiwa katika hali mbaya ya kutokujielewa ,akamkimbiza hospitali ,
Madocta walihangaika ikashindikana ,ikabidi wamrudishe tu nyumbani,
Ndugu wa celina nao hawakuwa nyuma kuhangaika kumtafutia tiba ndugu yao lakini ikashindikana,
Masikini celina hapo ndio ukawa mwanzo wa mateso yake ,
Maria akatumia ugonjwa wa Celina kumtia mikononi mwake Mr Benson ,na Mr Benson akawa hasikii wala haoni kwa Maria ,ilifika kipindi mapenzi yao yakawa sio Siri tena,mr Benson akamuhamisha mkewe chumbani kwake na kumuweka kwenye mabanda ya uwani ,na Maria akawa ndio mama mwenye mjengo,

Kama kuna watu waliteseka basi Celina mmoja wapo,
Ilikuwa Mr Benson akiondoka bas ndo ilikuwa mateso kwa celina ,alipewa chakula kama mmbwa ,na hali aliyokuwanayo ya uzezeta alikuwa anajisaidia hapo hapo , na akijisaidia Maria huchukua maji na kummwagia na makofi juu ,

"Mpuuzi wew si ufe tu nile raha mie ,,"" na mwaka huu ndo utaelewa kwamba mimi ndio Maria,,""
Maria alijitamba,

"We yakobo njoo tayari kashajisaidia mpuuzi huyu,,""
Maria alimwita yakobo ili am badilishe nguo ,

Yakobo ni mlinzi wa getini na alikuwa anamuonea huruma sana celena kwani alijua kabisa ule ugonjwa ni wakishilikina ,nayeye hakuwa na jinsi yoyote ya kumsaidia ,zaidi alikuwa anamlisha chakula na kum badilisha nguo pindi anapojisaidia,

"PIPiiiiiiiiii,,,,,,puuuuh"""
Mama Celena alistuka amegonga mtu ,na mawazo aliokuwa anawaza yakaishia hapo ,alizama kwenye mawazo akajisahau kuwa yupo barabaran na alikuwa anaendesha gari kwa spidi,

""Ameuwaaa ,,""ameuwaaa ""
Watu wakazid kuizunguka ile gari ya mama Celena ,
Mama celena hakuamini alichokiona mbele yake ,kijana kama wa miaka kumi na tano hivi alikuwa amelala chini damu nyingi zikimtoka ,
"" Sasa nyie mnashangaa nini m bebeni huyo kijana na mumpeleke hospitali pamoja na huyo mama ,,"
Aliongea msamalia mmoja ,na watu wakam beba kijana yule na kumuingiza kwenye gari ya mama Celena na wakapanda watu wengine wawili na safari ya hospitali ikaanza ,
Walifika hospital na yule mgonjwa ,na haraka wakapokelewa , mama Celena alikuwa kama amechanganyikiwa maana kumgonga mtu si mchezo ,
Wakati yupo pale kwenye viti vya kusubili wagonjwa mala wakaingia mama yake Stefano, baba yake Stefano pamoja Celina, walikuja hospitalin hapo kumuona mama Celina ambae walimleta jana yake baada ya kuzidiwa na homa ,
Mama Celina akashangaa nakusimama kabisa , leo kwa macho yake anamuona Celina mtoto aliefanana kila kitu na mwanae Celena , alimuangalia kwa makini ili aone kama ni mwanae Celena ,lakini cha ajabu Celina alionesha kutokumjua kabisa tena alimpita huku akiongea na mama Stefano ,
" Hii mbona ni Kali ya mwaka , "
Aliongea mama celena huku akimkazia macho Celina,

Je mama Celena atachukua uwamuzi Gani , na Je itakuwaje hospital hapo ,
Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu 0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

WATOTO MAPACHA

SEHEMU YA 11

"Kwahiyo kuna Celena na Celina "?
Bado mama Stefano aliuliza maswali maana nikama anawasiwasi ,
"Ndio mama mi nishaonana na Celena mala moja tu na hatujaongea sana na sikumuona tena mpaka leo ,"
Aliongea Celina huku akimwangalia mama yake ,
Wote wakabaki kimya huku baba Stefano akiendesha gari kwa speed kumuwahisha mama Celina hospital,
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

503
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

448
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

442
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

324
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

295
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

193
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

181
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

135
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

125

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.15K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest