Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,, WATOTO MAPACHA

Sehemu ya """""1

Barozi wa Tanzania nchin Colombia Mr Benson alikuwa anawaza namna ya kumwambia mkewe atakapoamka ,kuwa mtoto wao amefariki. Kwa mala ya tatu mfululizo mkewe akipata ujauzito hiaribika ,au akifikisha muda wa kujifungua basi mtoto huyo hufariki hata kabla hajakaa hata lisaa limoja ,
Na ndivyo ilivyotokea siku hiyo
.
Mr Benson akapata wazo akawafuata manesi wa hospitali hiyo na kuwaambia atawapa milioni 20 cash ,wakimuibia mtoto hospitalin hapo na apewe mkewe kabla hajaamka yaani akistuka tu amkute mtoto pembeni yake,

Manes wawili wakakubali kufanya dili hilo ,
Siku hiyo hospitalin hapo palikuwa na mama mmoja mjamzito anaitwa Rebecca,
Nae alikuja kujifungua na kwa bahati nzuri yule Mama akajifungua MAPACHA.

Rebecca baada tu ya kujifungua alizimia akakimbizwa ICU ,

Wale manesi wakamchukua mtoto mmoja na kumuweka kwenye kitanda cha mke wa Mr Benson ,na katoto kengine wakaenda kukatupa dampo wakijua mpaka asubuhi katakuwa kamekufa,

""Tumeshamaliza kazi yako tumalizane bas,,"""!
Wale manes walimwambia Mr Benson

Mr Benson alifurahi sana baada ya kukaona katoto ka kike kapo pembeni ya mkewe.
Akatoa check ya milioni 30 akawapa wale manes ,
Mr Benson hakujua kuwa mtoto alieuziwa wamezaliwa Mapacha na mmoja alitupwa dampo kupoteza ushahidi.

Mke wa Mr Benson alipoamka akamuona mtoto pembeni yake ,alifurahi sana mpaka machozi yalimtoka kwa furaha ,bila kujua kuwa mtoto aliezaa alifariki na mtoto alienae mumewe alimnunua pesa ndefu na akamuwekea pale kitandan ili atakapoamka ajue ni mtoto aliemzaa,

Wakat mke wa Mr Benson anafurahi huku Rebecca analia ,baada ya kuzinduka na kuambiwa alizaa Mapacha lakini wote wamefariki ,
Rebecca alilia sana hata mumewe alipokuja kumfariji hakunyamaza,

Miaka ikakatika hatimae miaka 7 ikatimia ,
Familia ya Mr Benson ilimpenda sana yule mtoto huku mtoto akiita "mama "na mke wa Benson akijibu "mwanangu,,"huku Siri ikibaki kwa baba yaan Mr Benson mwenyewe.
Yule mtoto walimpa jina la celena na alijaaliwa uzuri haswa ,
Siku moja mama yake alimchukua waende super market ,wakapanda kwenye gari yao ya kifahari na safar ikaanza,
Wakiwa njian gar ilikuwa inatembea taratibu huku mke wa Benson akiongea na sim ,
Selena akatupa jicho nnje
Akamuona kaschana makamo kama yake kachafu na kanaokota makopo ,alipokaza macho vzr akashangaa na asiamin macho yake ,kale kasichana kalifanana nayeye kila kitu,
Celena akamwambia mama yake asimamishe gari , mama yake bila kujua akasimamisha , celena akashuka na kumkimbilia kale kaschana na alipomfikia akaanza kumshangaa,

""Wewe ni mimi ,,""!!!
Celena aliongea na kumshtua kale kasichana wakakutanisha macho,

Walijikuta wanasisimka na mapigo yao yanakwenda spidi ,
Kale kasichana hakuamini macho yake kama kuna mtu anaweza kufanana nae kiasi kile ,yaan kasoro yao ni celena alikuwa kavaa nguo za garama na kale kasichana kamevaa nguo chafu ,

""Unaitwa nani ..""
Celena alijitahid kumuuliza huku anamshangaa ,

"Naitwa Celina ,,""
Kale kasichana kalijibu .

Celena akaduwaa ,akashangaa huyu mtoto alifanana nae eti anaitwa Celina wakati yeye anaitwa Celena , naukumbuke ndugu msomaji kuwa Hawa watoto wamefanana kila kitu mpaka mambo yao,

"We celenaaaa,,""""
Mama yake celena aliita huku anakimbia upande uleule waliposimama wakina celena ,


Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

,, WATOTO MAPACHA

Sehemu ya """""1

Barozi wa Tanzania nchin Colombia Mr Benson alikuwa anawaza namna ya kumwambia mkewe atakapoamka ,kuwa mtoto wao amefariki. Kwa mala ya tatu mfululizo mkewe akipata ujauzito hiaribika ,au akifikisha muda wa kujifungua basi mtoto huyo hufariki hata kabla hajakaa hata lisaa limoja ,
Na ndivyo ilivyotokea siku hiyo
.
Mr Benson akapata wazo akawafuata manesi wa hospitali hiyo na kuwaambia atawapa milioni 20 cash ,wakimuibia mtoto hospitalin hapo na apewe mkewe kabla hajaamka yaani akistuka tu amkute mtoto pembeni yake,

Manes wawili wakakubali kufanya dili...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

513
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

463
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

458
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

333
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

303
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

195
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

194
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

187
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

165
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

132

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.72K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.15K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest