Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,, 6

Turudi kwa kina Celena,
Celena alikuwa hana shida kabisa , yaani maisha ya nyumbani kwao ni raha mustarehe , kila kitu anachotaka anapewa ,na yeye anajua pale ndo nyumbani na wazazi wake ndio hao , yaan hakuwa na wasiwasi kabisa ,

Celena alikuwa anasoma shule ya kifahari sana tena yenye watoto wenye vipaji maalum ,
Shule hiyo ilikuwa kila baada ya miez mi 3 inafanya mashindano ya mitihani kati ya shule hiyo na shule nyingine itakayo kubali kushindana ,na mtoto atakaekuwa wakwanza anapewa zawad,

Sasa siku hiyo Celina alivaa nguo zake za shule akamuaga mama yake kichaa ,kwa kumtekenya tekenya na mama yake akafurahi japo ni kichaa ,na Celina akaondoka zake kwenda shule ,

Wakati yupo njian mala kuna gari ikasimama mbele yake ,

""Wee Celena mbona unatembea kwa miguu ,halafu mbona upo hivyo ,yaani hujapiga pasi nguo,,""
Alikuwa mwalimu wa Celena ,alimuona Celina akajua Celena ,

Celina alishangaa tu maana hakujua hata ajibu nini,

""Panda kwenye gari twende shule ""
Mwalimu bado alimwambia Celina akizani Celena ,
Celina akaona isiwe tabu ngoja nipande ,

"Celina inamaana hujui leo kuna mashindano unavaa nguo hata pas hujapiga ""?
Mwalimu bado aliendelea kumuuliza ,huku anamwangalia vzr ,

Celina yeye alikaa kimya tu huku akijiuliza kwanini anaitwa Celena badala ya Celina ,akaona ngoja atulie aone nini kitatokea,
Gari ya mwalimu iliingia shuleni kwa kina Celena ,
Na Celina aliposhuka tu kila mtu alimshangaa,

""Hee we Celena mbona uko hivyo ,yaani uko rafu ,,""
Marafiki wa Celena walimwambia Celina bila kujua ,
Celina alibaki kuwashangaa tu maana hata huyo Celena mwenyewe hamjui ,akajisemea ili amuone huyo Celena anaetajwa tajwa inabidi akae shuleni hapo mpaka atakapokuja ,

Celena mwenyewe alikuwa kwenye gari ya kifahari anakuja shuleni hapo ,lakini wakati anakaribia nashule dereva wake akapigiwa simu ,akaambiwa arudi nyumbani upesi kuna shida imetokea,
Dereva akageuza gari na kurudi nyumbani upesi ,

"Vip anko mbona tunarud ,,""?
Celena alimuuliza dereva,

"Kuna shida nyumbani ,,""
Dereva alijibu kwa mkato,

""Lakini leo kuna mashindano shuleni ,,""
Celina alijalibu kum bembeleza dereva lakini wap dereva akaongeza mwendo ,

Na kweli walipofika nyumbani hali ya mama Celena ilikuwa mbaya sana ,
Aliteleza akaangukia kichwa ,wakafanya mpango wa kumpeleka hospitali,
Celena ndo alichanganyikiwa sana maana anavyompenda mama yake na hali aliyomuona nayo ,

Walipofika hospital mgonjwa alitolewa na kupakiwa kwenye welcher( wili chea) na kukimbizwa wodini ,
Hospitali waliompeleka mama Celena ni ile ya docta Mathias ,
Wakwanza kumuona Celena alikuwa ni yule nesi aliemfukuza Celina kipindi mama yake yule kichaa alipoumwa nakuja hospitalini hapo,
" Jamani au macho yangu ,,"huyu si mtoto wa yule kichaa huyu ,,""
Nesi alijiuliza mwenyewe,

""Nesi naomba umsaidie mama yangu apone ,,""
Celena aliongea kwa uchungu huku analia ,nesi akamkumbuka Celina nae alikuwa analia vile vile ,
" Haiwezekani atakuwa ni yeye ,,""
Nes bado alijiuliza maswali bila majibu.

Mala akatokea docta Mathias ,
""Docta mama yangu ni mgonjwa na siwezi kuwa na furaha bila yeye naomba umsaidie ,,,""
Celena aliongea tena huku analia ,docta akashikwa na butwaa , yaan anavyoongea celena na alivyoongea Celina siku ile ndio hivyo hivyo ,jinsi Celena anavyolia hakuna utofauti wowote na Celina ,

"" Mbona kama sielewi,,""
Docta aliwaza ,

Waliomleta mama Celena hospitali wakamshika celena
Ili asilete fujo maana alikuwa analia muda wote,
Docta Mathias alimpima yule mama yake na Celena huku akiwa na mawazo kibao ,
" Inawezekanaje Celina asimjue ,"?
Kwanini Celina anawazazi matajili vile halafu anakaa na kichaa ,,??
""Haiwezekani huyu sio Celina,,""
" Au huyu ndio yule aliemuona mke wangu ,,""?
Docta alijiuliza maswali mfululizo ,

Docta akatoka kule wodini akaamua akapige simu shuleni kwa kina Celina ,
Docta akaambiwa Celina hajafika shule ,docta akachanganyikiwa akajua huyu mtoto aliekuwepo hapo hospitali ndio Celina ,
Wakati huo Celina mwenyewe aliingia kwenye chumba cha mtihani na akafanya mtihani huku watu wote wakijua ni Celena wakati Celena yupo hospitali na mama yake,

Wakati docta anawaza ,mala ukaingia msafara wa magari ya kifahari na kupaki nje ya hospitali hiyo wakashuka watu wenye pesa zao akiwemo barozi ambae ndio mume wa mama Celena ,

Celena alimkimbilia na kumkumbatia baba yake ,
Docta hakuamini hata yule nesi pia alibaki kushangaa,

""Mbona kama maigizo ,,""
Docta Mathias aliwaza huku anamshangaa Celena ,

KUMBUKA story hii utaipata yote kwa elf moja tu, pia ukilipia story moja utapata moja Bure ,,,,0655772653njoo wassap

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,, 6

Turudi kwa kina Celena,
Celena alikuwa hana shida kabisa , yaani maisha ya nyumbani kwao ni raha mustarehe , kila kitu anachotaka anapewa ,na yeye anajua pale ndo nyumbani na wazazi wake ndio hao , yaan hakuwa na wasiwasi kabisa ,

Celena alikuwa anasoma shule ya kifahari sana tena yenye watoto wenye vipaji maalum ,
Shule hiyo ilikuwa kila baada ya miez mi 3 inafanya mashindano ya mitihani kati ya shule hiyo na shule nyingine itakayo kubali kushindana ,na mtoto atakaekuwa wakwanza anapewa zawad,

Sasa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

901
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

685
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

680
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

468
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

345
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

225
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

66
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest