WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,, 6
Turudi kwa kina Celena,
Celena alikuwa hana shida kabisa , yaani maisha ya nyumbani kwao ni raha mustarehe , kila kitu anachotaka anapewa ,na yeye anajua pale ndo nyumbani na wazazi wake ndio hao , yaan hakuwa na wasiwasi kabisa ,
Celena alikuwa anasoma shule ya kifahari sana tena yenye watoto wenye vipaji maalum ,
Shule hiyo ilikuwa kila baada ya miez mi 3 inafanya mashindano ya mitihani kati ya shule hiyo na shule nyingine itakayo kubali kushindana ,na mtoto atakaekuwa wakwanza anapewa zawad,
Sasa siku hiyo Celina alivaa nguo zake za shule akamuaga mama yake kichaa ,kwa kumtekenya tekenya na mama yake akafurahi japo ni kichaa ,na Celina akaondoka zake kwenda shule ,
Wakati yupo njian mala kuna gari ikasimama mbele yake ,
""Wee Celena mbona unatembea kwa miguu ,halafu mbona upo hivyo ,yaani hujapiga pasi nguo,,""
Alikuwa mwalimu wa Celena ,alimuona Celina akajua Celena ,
Celina alishangaa tu maana hakujua hata ajibu nini,
""Panda kwenye gari twende shule ""
Mwalimu bado alimwambia Celina akizani Celena ,
Celina akaona isiwe tabu ngoja nipande ,
"Celina inamaana hujui leo kuna mashindano unavaa nguo hata pas hujapiga ""?
Mwalimu bado aliendelea kumuuliza ,huku anamwangalia vzr ,
Celina yeye alikaa kimya tu huku akijiuliza kwanini anaitwa Celena badala ya Celina ,akaona ngoja atulie aone nini kitatokea,
Gari ya mwalimu iliingia shuleni kwa kina Celena ,
Na Celina aliposhuka tu kila mtu alimshangaa,
""Hee we Celena mbona uko hivyo ,yaani uko rafu ,,""
Marafiki wa Celena walimwambia Celina bila kujua ,
Celina alibaki kuwashangaa tu maana hata huyo Celena mwenyewe hamjui ,akajisemea ili amuone huyo Celena anaetajwa tajwa inabidi akae shuleni hapo mpaka atakapokuja ,
Celena mwenyewe alikuwa kwenye gari ya kifahari anakuja shuleni hapo ,lakini wakati anakaribia nashule dereva wake akapigiwa simu ,akaambiwa arudi nyumbani upesi kuna shida imetokea,
Dereva akageuza gari na kurudi nyumbani upesi ,
"Vip anko mbona tunarud ,,""?
Celena alimuuliza dereva,
"Kuna shida nyumbani ,,""
Dereva alijibu kwa mkato,
""Lakini leo kuna mashindano shuleni ,,""
Celina alijalibu kum bembeleza dereva lakini wap dereva akaongeza mwendo ,
Na kweli walipofika nyumbani hali ya mama Celena ilikuwa mbaya sana ,
Aliteleza akaangukia kichwa ,wakafanya mpango wa kumpeleka hospitali,
Celena ndo alichanganyikiwa sana maana anavyompenda mama yake na hali aliyomuona nayo ,
Walipofika hospital mgonjwa alitolewa na kupakiwa kwenye welcher( wili chea) na kukimbizwa wodini ,
Hospitali waliompeleka mama Celena ni ile ya docta Mathias ,
Wakwanza kumuona Celena alikuwa ni yule nesi aliemfukuza Celina kipindi mama yake yule kichaa alipoumwa nakuja hospitalini hapo,
" Jamani au macho yangu ,,"huyu si mtoto wa yule kichaa huyu ,,""
Nesi alijiuliza mwenyewe,
""Nesi naomba umsaidie mama yangu apone ,,""
Celena aliongea kwa uchungu huku analia ,nesi akamkumbuka Celina nae alikuwa analia vile vile ,
" Haiwezekani atakuwa ni yeye ,,""
Nes bado alijiuliza maswali bila majibu.
Mala akatokea docta Mathias ,
""Docta mama yangu ni mgonjwa na siwezi kuwa na furaha bila yeye naomba umsaidie ,,,""
Celena aliongea tena huku analia ,docta akashikwa na butwaa , yaan anavyoongea celena na alivyoongea Celina siku ile ndio hivyo hivyo ,jinsi Celena anavyolia hakuna utofauti wowote na Celina ,
"" Mbona kama sielewi,,""
Docta aliwaza ,
Waliomleta mama Celena hospitali wakamshika celena
Ili asilete fujo maana alikuwa analia muda wote,
Docta Mathias alimpima yule mama yake na Celena huku akiwa na mawazo kibao ,
" Inawezekanaje Celina asimjue ,"?
Kwanini Celina anawazazi matajili vile halafu anakaa na kichaa ,,??
""Haiwezekani huyu sio Celina,,""
" Au huyu ndio yule aliemuona mke wangu ,,""?
Docta alijiuliza maswali mfululizo ,
Docta akatoka kule wodini akaamua akapige simu shuleni kwa kina Celina ,
Docta akaambiwa Celina hajafika shule ,docta akachanganyikiwa akajua huyu mtoto aliekuwepo hapo hospitali ndio Celina ,
Wakati huo Celina mwenyewe aliingia kwenye chumba cha mtihani na akafanya mtihani huku watu wote wakijua ni Celena wakati Celena yupo hospitali na mama yake,
Wakati docta anawaza ,mala ukaingia msafara wa magari ya kifahari na kupaki nje ya hospitali hiyo wakashuka watu wenye pesa zao akiwemo barozi ambae ndio mume wa mama Celena ,
Celena alimkimbilia na kumkumbatia baba yake ,
Docta hakuamini hata yule nesi pia alibaki kushangaa,
""Mbona kama maigizo ,,""
Docta Mathias aliwaza huku anamshangaa Celena ,
KUMBUKA story hii utaipata yote kwa elf moja tu, pia ukilipia story moja utapata moja Bure ,,,,0655772653njoo wassap.