Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,, 6

Turudi kwa kina Celena,
Celena alikuwa hana shida kabisa , yaani maisha ya nyumbani kwao ni raha mustarehe , kila kitu anachotaka anapewa ,na yeye anajua pale ndo nyumbani na wazazi wake ndio hao , yaan hakuwa na wasiwasi kabisa ,

Celena alikuwa anasoma shule ya kifahari sana tena yenye watoto wenye vipaji maalum ,
Shule hiyo ilikuwa kila baada ya miez mi 3 inafanya mashindano ya mitihani kati ya shule hiyo na shule nyingine itakayo kubali kushindana ,na mtoto atakaekuwa wakwanza anapewa zawad,

Sasa siku hiyo Celina alivaa nguo zake za shule akamuaga mama yake kichaa ,kwa kumtekenya tekenya na mama yake akafurahi japo ni kichaa ,na Celina akaondoka zake kwenda shule ,

Wakati yupo njian mala kuna gari ikasimama mbele yake ,

""Wee Celena mbona unatembea kwa miguu ,halafu mbona upo hivyo ,yaani hujapiga pasi nguo,,""
Alikuwa mwalimu wa Celena ,alimuona Celina akajua Celena ,

Celina alishangaa tu maana hakujua hata ajibu nini,

""Panda kwenye gari twende shule ""
Mwalimu bado alimwambia Celina akizani Celena ,
Celina akaona isiwe tabu ngoja nipande ,

"Celina inamaana hujui leo kuna mashindano unavaa nguo hata pas hujapiga ""?
Mwalimu bado aliendelea kumuuliza ,huku anamwangalia vzr ,

Celina yeye alikaa kimya tu huku akijiuliza kwanini anaitwa Celena badala ya Celina ,akaona ngoja atulie aone nini kitatokea,
Gari ya mwalimu iliingia shuleni kwa kina Celena ,
Na Celina aliposhuka tu kila mtu alimshangaa,

""Hee we Celena mbona uko hivyo ,yaani uko rafu ,,""
Marafiki wa Celena walimwambia Celina bila kujua ,
Celina alibaki kuwashangaa tu maana hata huyo Celena mwenyewe hamjui ,akajisemea ili amuone huyo Celena anaetajwa tajwa inabidi akae shuleni hapo mpaka atakapokuja ,

Celena mwenyewe alikuwa kwenye gari ya kifahari anakuja shuleni hapo ,lakini wakati anakaribia nashule dereva wake akapigiwa simu ,akaambiwa arudi nyumbani upesi kuna shida imetokea,
Dereva akageuza gari na kurudi nyumbani upesi ,

"Vip anko mbona tunarud ,,""?
Celena alimuuliza dereva,

"Kuna shida nyumbani ,,""
Dereva alijibu kwa mkato,

""Lakini leo kuna mashindano shuleni ,,""
Celina alijalibu kum bembeleza dereva lakini wap dereva akaongeza mwendo ,

Na kweli walipofika nyumbani hali ya mama Celena ilikuwa mbaya sana ,
Aliteleza akaangukia kichwa ,wakafanya mpango wa kumpeleka hospitali,
Celena ndo alichanganyikiwa sana maana anavyompenda mama yake na hali aliyomuona nayo ,

Walipofika hospital mgonjwa alitolewa na kupakiwa kwenye welcher( wili chea) na kukimbizwa wodini ,
Hospitali waliompeleka mama Celena ni ile ya docta Mathias ,
Wakwanza kumuona Celena alikuwa ni yule nesi aliemfukuza Celina kipindi mama yake yule kichaa alipoumwa nakuja hospitalini hapo,
" Jamani au macho yangu ,,"huyu si mtoto wa yule kichaa huyu ,,""
Nesi alijiuliza mwenyewe,

""Nesi naomba umsaidie mama yangu apone ,,""
Celena aliongea kwa uchungu huku analia ,nesi akamkumbuka Celina nae alikuwa analia vile vile ,
" Haiwezekani atakuwa ni yeye ,,""
Nes bado alijiuliza maswali bila majibu.

Mala akatokea docta Mathias ,
""Docta mama yangu ni mgonjwa na siwezi kuwa na furaha bila yeye naomba umsaidie ,,,""
Celena aliongea tena huku analia ,docta akashikwa na butwaa , yaan anavyoongea celena na alivyoongea Celina siku ile ndio hivyo hivyo ,jinsi Celena anavyolia hakuna utofauti wowote na Celina ,

"" Mbona kama sielewi,,""
Docta aliwaza ,

Waliomleta mama Celena hospitali wakamshika celena
Ili asilete fujo maana alikuwa analia muda wote,
Docta Mathias alimpima yule mama yake na Celena huku akiwa na mawazo kibao ,
" Inawezekanaje Celina asimjue ,"?
Kwanini Celina anawazazi matajili vile halafu anakaa na kichaa ,,??
""Haiwezekani huyu sio Celina,,""
" Au huyu ndio yule aliemuona mke wangu ,,""?
Docta alijiuliza maswali mfululizo ,

Docta akatoka kule wodini akaamua akapige simu shuleni kwa kina Celina ,
Docta akaambiwa Celina hajafika shule ,docta akachanganyikiwa akajua huyu mtoto aliekuwepo hapo hospitali ndio Celina ,
Wakati huo Celina mwenyewe aliingia kwenye chumba cha mtihani na akafanya mtihani huku watu wote wakijua ni Celena wakati Celena yupo hospitali na mama yake,

Wakati docta anawaza ,mala ukaingia msafara wa magari ya kifahari na kupaki nje ya hospitali hiyo wakashuka watu wenye pesa zao akiwemo barozi ambae ndio mume wa mama Celena ,

Celena alimkimbilia na kumkumbatia baba yake ,
Docta hakuamini hata yule nesi pia alibaki kushangaa,

""Mbona kama maigizo ,,""
Docta Mathias aliwaza huku anamshangaa Celena ,

KUMBUKA story hii utaipata yote kwa elf moja tu, pia ukilipia story moja utapata moja Bure ,,,,0655772653njoo wassap
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

WATOTO MAPACHA

Sehemu ya ,,, 6

Turudi kwa kina Celena,
Celena alikuwa hana shida kabisa , yaani maisha ya nyumbani kwao ni raha mustarehe , kila kitu anachotaka anapewa ,na yeye anajua pale ndo nyumbani na wazazi wake ndio hao , yaan hakuwa na wasiwasi kabisa ,

Celena alikuwa anasoma shule ya kifahari sana tena yenye watoto wenye vipaji maalum ,
Shule hiyo ilikuwa kila baada ya miez mi 3 inafanya mashindano ya mitihani kati ya shule hiyo na shule nyingine itakayo kubali kushindana ,na mtoto atakaekuwa wakwanza anapewa zawad,

Sasa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

683
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

259
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

68
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

57
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest