Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
Gonga94 Β· Stories

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
sehemu ya 15

Celena aliendelea kulala huku amepakatwa na mama yake Stefano ,tena Cha ajabu aliuchapa usingizi kabisa ,
Sasa kumbuka mama Celena bado alikuwa anamtafuta yule mama kichaa , Nia yake amwangalie Kama bado kichaa anacho au amekaribia kupona , maana Kama anaweza kukumbuka vitu inamaana anakaribia kupona , Sasa akawa anauliza uliza mpaka akaelekezwa anapopatikana , akaja mpaka kwenye mtaa huo ,kumbe mtaa huo ndio anaokaa , mama Stefano na tena yupo nje kwenye kibaraza amempakata Celena , mama Celena yeye alikuwa kwenye gari huku akiangalia huku na kule Kama atamuona yule mama kichaa gafra akaona Kuna mama amekaa kibarazani ,na kampakata mtoto, alipomuangalia vzr mtoto mwenyewe akagundua ni Celena,
" He huyu si ni Celena huyu , au ndio yule mtoto aliefanana na Celena ,"?
Alijiuliza maswali Sasa kumbuka gari ya mama Celena inatinted yaani sio rahis wa nje amuone wa ndani lakin wa ndani anamuona wa nje , mama Stefano yeye alikuwa anaangalia tu ile gar nakuishangaa maana ilipaki mbele ya nyumba yake na dereva hata hatelemki ,
Sasa ule mlio wa gari ukamstua Celena na alipoamka akaliona gari la mama yake , akamwambia mama Stefano " huyo aliesimamisha gari ni mama yangu , " mama Stefano akashangaa , "ni mama yako kivipi ,"?
Mama Stefano alimuuliza Celena ,
" Ni mama yangu mzazi ,"
Sasa wakati wanaongea mama Celena hakuwasikia maana alikuwa ndani ya gari , lakin alikuwa anawaona , Sasa kosa alilofanya mama Celena akaona ngoja aende shule kwa kina Celena ,halafu amchukue Celena aje nae mpaka hapa kwa kwa kina Stefano ,ili awakutanishe na huyu mtoto anaefanana na mwanae, na amuulize mama Stefano kuwa kwanini Hawa watoto wamefanana kiasi hiki au Kama ni mapacha ajue ni wanani Kama ni wakwake au ni wanani ,"?
Akaondoka haraka eneo Hilo ,
Celena akamwambia mama Stefano kuwa mama yake atakuwa amemuona na hapo anakwenda shuleni kwao ,ili kuhakikisha Kama yupo ,
Celena akanyanyuka upesi upesi akaenda ndani na kuvaa nguo zake za shule na akamuaga mama Stefano kuwa anaondoka zake kurudi nyumbani maana mama yake akimkosa shule lazima atakuja nyumbani kumuangalia ,

Sasa huku shuleni kwa kina Celena, kumbe Celina alikuja hapo shuleni ili aonane na Celena , na ukumbuke Celena hajaenda shule alienda kule kwa kina Stefano ili asubilie Celina akitoka shule amuone yaan waonane ,
Sasa huku kwa Celina akaanza kuuliza wanafunzi Kama wamemuona Celena , wanafunzi wenzake wakaanza kumcheka , " yaani we unajitafuta mwenyewe, "
Wanafunzi walicheka walijua ni Celena ,
" Jamani Mimi sio Celena Mimi naitwa Celina namtafuta Celena ,"
Aliongea Celina lakin bado wanafunzi wenzake hawamuelewi ,ndio kwanza walicheka na kumuona Kama amechanganyikiwa ,
" Yaani Celena sijui anamawazo Gani eti anamtafuta Celena wakati Celena ni yeye ,"
Waliongea wanafunzi huku wakiondoka ,
Sasa wakati Celina anashangaa akamuona mama yake na Celena kumbuka yeye hamjui ila anajua huyu mama ndie yule aliepigana na mama yake kichaa kule hospital, Sasa alivyomuona akaogopa na kukimbia ,
Mama Celena akashangaa kumuona mwanawe anamkimbia , kumbuka yeye mama Celena anajua huyu ndie Celena ,kumbe huyo ni Celina ,
" Huyu mtoto vip au sio yeye ,?
Bado mama Celena alijiuliza maswali huku akiendelea kumsaka shuleni hapo bila mafanikio ,
Mama Celena aliamua kurudi nyumbani huku akiwa amechukia ,

Celina akarudi nyumbani baada ya kumkosa Celena kule shuleni kwao ,kumbuka Celina anakaa pale kwa kina Stefano baada ya wazazi wa Stefano kuamua kumsaidia yeye na mama yake kichaa , na ukumbuke kuwa mama Stefano ameamua kumsaidia Celina kwa sababu anampenda Kama mwanae , na hajui Kama ni mwanae , na kinachomchanganya ni kwamba hao watoto wapo mapacha, na kwanini mmoja yupo kule kwa matajiri na mwingine yupo huku kwa kichaa , Hilo ndio swali analojiuliza na hajapata jibu ,
Celina na Stefano wakafika nyumbani ,wakamsalimia mama Stefano na kuingia ndani ,
Wakashangaa ndani kumevurgika ,kumbuka Celena ndio kavuruga vuruga humo ndani , yaan makoch katupa tupa ,nguo chumbani katupa tupa ,
" Mama mbona kuko hivi huku ndani ,"?
Celina alimuuliza mama Stefano na kumbuka Celina anamuita tu mama Stefano MAMA kutokana na heshima tu ila anajua sio mama yake ,anajua mama yake ni yule kichaa ,
" Amekuja Celena ameshinda hapa ,"
Mama Stefano alimjibi Celina ,
'celena alikuja hapa nyumbani,"?
Celina aliuliza huku akishangaa ,
" Ndio tena ameondoka muda sio mlefu Kama masaa mawili yamepita ,"
Aliongea mama Stefano ,
" Jamani mama si ungemzuia mi nikaja kumuona ,"?
Aliongea Celina ,
Kumbuka mama Stefano akiitwa mama na Celina au Celena moyo wake hustuka na hujihisi tofauti kabisa ,

Kule kwa mama Celena alirudi nyumbani huku akiwa na mawazo tele ,kwanza kwanini Hawa watoto wako wawili , pili kwanini yule mama kichaa anakaribia kupona , Cha tatu kwanini Celena amemuona kule shuleni akamkimbia ,
Sasa wakati anaingia kwake akamuona Celena ameshavua nguo za shule tena amekaa mezan anakula ,
" He huyu mtoto vip amefikaje huku mala hii ,"
Alijiuliza huku anamuangalia Celena ,
Celena yeye alikuwa anakula bila hata wasiwasi ,
"Au nilizaa mapacha ,"?
Bado alijiuliza bila jibu ,
" Vip mke wangu mbona umesimama unashangaa ,"?
Alikuwa Mr Benson akimuuliza mkewe ,
Mama Celena akastuka na kukaa kwenye sofa ,
" Hapana ni mawazo tu ,"
Aliongea mama Celena ,
Wakati wanaongea akaja Celena na kumuuliza baba yake ,
" Baba eti Celina ni nani mbona nimefanana nae ,"?
Swali Hilo likawastua wote , maana ni kweli Celena anahaki ya kujua kwanini amefanana na Celina ,swali ambalo hata wazazi wake hawana jibu la kumpa ,
" Baba na mbona Mimi nimefanana na mama yake Stefano au sisi ni ndugu ,"?
Celena aliuliza tena swali ambalo hawakuwa na majibu yake ,
" Kama ni ndugu zetu mi nataka kwenda kuishi kule ,"
Celena bado aliwaumiza vichwa wazazi wake ,

Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu namba ni 0655772653 njoo whtsap

Je itakuwaje hapo ndani , wazazi watajibu nini , na Je watamruhus aende , na Je itakuwaje wakigundua ni mapacha ,na Je mama Stefano akigundua ni watoto wake itakuwaje , na Je ukichaa wa yule mama kichaa ilikuwaje ,
Usikose Leo saa 12 jion

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

WATOTO MAPACHA
sehemu ya 15

Celena aliendelea kulala huku amepakatwa na mama yake Stefano ,tena Cha ajabu aliuchapa usingizi kabisa ,
Sasa kumbuka mama Celena bado alikuwa anamtafuta yule mama kichaa , Nia yake amwangalie Kama bado kichaa anacho au amekaribia kupona , maana Kama anaweza kukumbuka vitu inamaana anakaribia kupona , Sasa akawa anauliza uliza mpaka akaelekezwa anapopatikana , akaja mpaka kwenye mtaa huo ,kumbe mtaa huo ndio anaokaa , mama Stefano na tena yupo nje kwenye kibaraza amempakata Celena , mama Celena yeye alikuwa kwenye gari huku akiangalia huku na kule...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

523
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

332
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

310
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final

276
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

263
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

185
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

177
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

177
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

171
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

167

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.85K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.96K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.93K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.76K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.73K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema β€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema β€œeenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema β€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 β€œKeti tafadhali.” Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha β€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.” Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest