Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
sehemu ya 15

Celena aliendelea kulala huku amepakatwa na mama yake Stefano ,tena Cha ajabu aliuchapa usingizi kabisa ,
Sasa kumbuka mama Celena bado alikuwa anamtafuta yule mama kichaa , Nia yake amwangalie Kama bado kichaa anacho au amekaribia kupona , maana Kama anaweza kukumbuka vitu inamaana anakaribia kupona , Sasa akawa anauliza uliza mpaka akaelekezwa anapopatikana , akaja mpaka kwenye mtaa huo ,kumbe mtaa huo ndio anaokaa , mama Stefano na tena yupo nje kwenye kibaraza amempakata Celena , mama Celena yeye alikuwa kwenye gari huku akiangalia huku na kule Kama atamuona yule mama kichaa gafra akaona Kuna mama amekaa kibarazani ,na kampakata mtoto, alipomuangalia vzr mtoto mwenyewe akagundua ni Celena,
" He huyu si ni Celena huyu , au ndio yule mtoto aliefanana na Celena ,"?
Alijiuliza maswali Sasa kumbuka gari ya mama Celena inatinted yaani sio rahis wa nje amuone wa ndani lakin wa ndani anamuona wa nje , mama Stefano yeye alikuwa anaangalia tu ile gar nakuishangaa maana ilipaki mbele ya nyumba yake na dereva hata hatelemki ,
Sasa ule mlio wa gari ukamstua Celena na alipoamka akaliona gari la mama yake , akamwambia mama Stefano " huyo aliesimamisha gari ni mama yangu , " mama Stefano akashangaa , "ni mama yako kivipi ,"?
Mama Stefano alimuuliza Celena ,
" Ni mama yangu mzazi ,"
Sasa wakati wanaongea mama Celena hakuwasikia maana alikuwa ndani ya gari , lakin alikuwa anawaona , Sasa kosa alilofanya mama Celena akaona ngoja aende shule kwa kina Celena ,halafu amchukue Celena aje nae mpaka hapa kwa kwa kina Stefano ,ili awakutanishe na huyu mtoto anaefanana na mwanae, na amuulize mama Stefano kuwa kwanini Hawa watoto wamefanana kiasi hiki au Kama ni mapacha ajue ni wanani Kama ni wakwake au ni wanani ,"?
Akaondoka haraka eneo Hilo ,
Celena akamwambia mama Stefano kuwa mama yake atakuwa amemuona na hapo anakwenda shuleni kwao ,ili kuhakikisha Kama yupo ,
Celena akanyanyuka upesi upesi akaenda ndani na kuvaa nguo zake za shule na akamuaga mama Stefano kuwa anaondoka zake kurudi nyumbani maana mama yake akimkosa shule lazima atakuja nyumbani kumuangalia ,

Sasa huku shuleni kwa kina Celena, kumbe Celina alikuja hapo shuleni ili aonane na Celena , na ukumbuke Celena hajaenda shule alienda kule kwa kina Stefano ili asubilie Celina akitoka shule amuone yaan waonane ,
Sasa huku kwa Celina akaanza kuuliza wanafunzi Kama wamemuona Celena , wanafunzi wenzake wakaanza kumcheka , " yaani we unajitafuta mwenyewe, "
Wanafunzi walicheka walijua ni Celena ,
" Jamani Mimi sio Celena Mimi naitwa Celina namtafuta Celena ,"
Aliongea Celina lakin bado wanafunzi wenzake hawamuelewi ,ndio kwanza walicheka na kumuona Kama amechanganyikiwa ,
" Yaani Celena sijui anamawazo Gani eti anamtafuta Celena wakati Celena ni yeye ,"
Waliongea wanafunzi huku wakiondoka ,
Sasa wakati Celina anashangaa akamuona mama yake na Celena kumbuka yeye hamjui ila anajua huyu mama ndie yule aliepigana na mama yake kichaa kule hospital, Sasa alivyomuona akaogopa na kukimbia ,
Mama Celena akashangaa kumuona mwanawe anamkimbia , kumbuka yeye mama Celena anajua huyu ndie Celena ,kumbe huyo ni Celina ,
" Huyu mtoto vip au sio yeye ,?
Bado mama Celena alijiuliza maswali huku akiendelea kumsaka shuleni hapo bila mafanikio ,
Mama Celena aliamua kurudi nyumbani huku akiwa amechukia ,

Celina akarudi nyumbani baada ya kumkosa Celena kule shuleni kwao ,kumbuka Celina anakaa pale kwa kina Stefano baada ya wazazi wa Stefano kuamua kumsaidia yeye na mama yake kichaa , na ukumbuke kuwa mama Stefano ameamua kumsaidia Celina kwa sababu anampenda Kama mwanae , na hajui Kama ni mwanae , na kinachomchanganya ni kwamba hao watoto wapo mapacha, na kwanini mmoja yupo kule kwa matajiri na mwingine yupo huku kwa kichaa , Hilo ndio swali analojiuliza na hajapata jibu ,
Celina na Stefano wakafika nyumbani ,wakamsalimia mama Stefano na kuingia ndani ,
Wakashangaa ndani kumevurgika ,kumbuka Celena ndio kavuruga vuruga humo ndani , yaan makoch katupa tupa ,nguo chumbani katupa tupa ,
" Mama mbona kuko hivi huku ndani ,"?
Celina alimuuliza mama Stefano na kumbuka Celina anamuita tu mama Stefano MAMA kutokana na heshima tu ila anajua sio mama yake ,anajua mama yake ni yule kichaa ,
" Amekuja Celena ameshinda hapa ,"
Mama Stefano alimjibi Celina ,
'celena alikuja hapa nyumbani,"?
Celina aliuliza huku akishangaa ,
" Ndio tena ameondoka muda sio mlefu Kama masaa mawili yamepita ,"
Aliongea mama Stefano ,
" Jamani mama si ungemzuia mi nikaja kumuona ,"?
Aliongea Celina ,
Kumbuka mama Stefano akiitwa mama na Celina au Celena moyo wake hustuka na hujihisi tofauti kabisa ,

Kule kwa mama Celena alirudi nyumbani huku akiwa na mawazo tele ,kwanza kwanini Hawa watoto wako wawili , pili kwanini yule mama kichaa anakaribia kupona , Cha tatu kwanini Celena amemuona kule shuleni akamkimbia ,
Sasa wakati anaingia kwake akamuona Celena ameshavua nguo za shule tena amekaa mezan anakula ,
" He huyu mtoto vip amefikaje huku mala hii ,"
Alijiuliza huku anamuangalia Celena ,
Celena yeye alikuwa anakula bila hata wasiwasi ,
"Au nilizaa mapacha ,"?
Bado alijiuliza bila jibu ,
" Vip mke wangu mbona umesimama unashangaa ,"?
Alikuwa Mr Benson akimuuliza mkewe ,
Mama Celena akastuka na kukaa kwenye sofa ,
" Hapana ni mawazo tu ,"
Aliongea mama Celena ,
Wakati wanaongea akaja Celena na kumuuliza baba yake ,
" Baba eti Celina ni nani mbona nimefanana nae ,"?
Swali Hilo likawastua wote , maana ni kweli Celena anahaki ya kujua kwanini amefanana na Celina ,swali ambalo hata wazazi wake hawana jibu la kumpa ,
" Baba na mbona Mimi nimefanana na mama yake Stefano au sisi ni ndugu ,"?
Celena aliuliza tena swali ambalo hawakuwa na majibu yake ,
" Kama ni ndugu zetu mi nataka kwenda kuishi kule ,"
Celena bado aliwaumiza vichwa wazazi wake ,

Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu namba ni 0655772653 njoo whtsap

Je itakuwaje hapo ndani , wazazi watajibu nini , na Je watamruhus aende , na Je itakuwaje wakigundua ni mapacha ,na Je mama Stefano akigundua ni watoto wake itakuwaje , na Je ukichaa wa yule mama kichaa ilikuwaje ,
Usikose Leo saa 12 jion

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

WATOTO MAPACHA
sehemu ya 15

Celena aliendelea kulala huku amepakatwa na mama yake Stefano ,tena Cha ajabu aliuchapa usingizi kabisa ,
Sasa kumbuka mama Celena bado alikuwa anamtafuta yule mama kichaa , Nia yake amwangalie Kama bado kichaa anacho au amekaribia kupona , maana Kama anaweza kukumbuka vitu inamaana anakaribia kupona , Sasa akawa anauliza uliza mpaka akaelekezwa anapopatikana , akaja mpaka kwenye mtaa huo ,kumbe mtaa huo ndio anaokaa , mama Stefano na tena yupo nje kwenye kibaraza amempakata Celena , mama Celena yeye alikuwa kwenye gari huku akiangalia huku na kule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

883
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

678
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

624
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

398
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

244
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

167
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

45
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

11

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest