Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
sehemu ya 15

Celena aliendelea kulala huku amepakatwa na mama yake Stefano ,tena Cha ajabu aliuchapa usingizi kabisa ,
Sasa kumbuka mama Celena bado alikuwa anamtafuta yule mama kichaa , Nia yake amwangalie Kama bado kichaa anacho au amekaribia kupona , maana Kama anaweza kukumbuka vitu inamaana anakaribia kupona , Sasa akawa anauliza uliza mpaka akaelekezwa anapopatikana , akaja mpaka kwenye mtaa huo ,kumbe mtaa huo ndio anaokaa , mama Stefano na tena yupo nje kwenye kibaraza amempakata Celena , mama Celena yeye alikuwa kwenye gari huku akiangalia huku na kule Kama atamuona yule mama kichaa gafra akaona Kuna mama amekaa kibarazani ,na kampakata mtoto, alipomuangalia vzr mtoto mwenyewe akagundua ni Celena,
" He huyu si ni Celena huyu , au ndio yule mtoto aliefanana na Celena ,"?
Alijiuliza maswali Sasa kumbuka gari ya mama Celena inatinted yaani sio rahis wa nje amuone wa ndani lakin wa ndani anamuona wa nje , mama Stefano yeye alikuwa anaangalia tu ile gar nakuishangaa maana ilipaki mbele ya nyumba yake na dereva hata hatelemki ,
Sasa ule mlio wa gari ukamstua Celena na alipoamka akaliona gari la mama yake , akamwambia mama Stefano " huyo aliesimamisha gari ni mama yangu , " mama Stefano akashangaa , "ni mama yako kivipi ,"?
Mama Stefano alimuuliza Celena ,
" Ni mama yangu mzazi ,"
Sasa wakati wanaongea mama Celena hakuwasikia maana alikuwa ndani ya gari , lakin alikuwa anawaona , Sasa kosa alilofanya mama Celena akaona ngoja aende shule kwa kina Celena ,halafu amchukue Celena aje nae mpaka hapa kwa kwa kina Stefano ,ili awakutanishe na huyu mtoto anaefanana na mwanae, na amuulize mama Stefano kuwa kwanini Hawa watoto wamefanana kiasi hiki au Kama ni mapacha ajue ni wanani Kama ni wakwake au ni wanani ,"?
Akaondoka haraka eneo Hilo ,
Celena akamwambia mama Stefano kuwa mama yake atakuwa amemuona na hapo anakwenda shuleni kwao ,ili kuhakikisha Kama yupo ,
Celena akanyanyuka upesi upesi akaenda ndani na kuvaa nguo zake za shule na akamuaga mama Stefano kuwa anaondoka zake kurudi nyumbani maana mama yake akimkosa shule lazima atakuja nyumbani kumuangalia ,

Sasa huku shuleni kwa kina Celena, kumbe Celina alikuja hapo shuleni ili aonane na Celena , na ukumbuke Celena hajaenda shule alienda kule kwa kina Stefano ili asubilie Celina akitoka shule amuone yaan waonane ,
Sasa huku kwa Celina akaanza kuuliza wanafunzi Kama wamemuona Celena , wanafunzi wenzake wakaanza kumcheka , " yaani we unajitafuta mwenyewe, "
Wanafunzi walicheka walijua ni Celena ,
" Jamani Mimi sio Celena Mimi naitwa Celina namtafuta Celena ,"
Aliongea Celina lakin bado wanafunzi wenzake hawamuelewi ,ndio kwanza walicheka na kumuona Kama amechanganyikiwa ,
" Yaani Celena sijui anamawazo Gani eti anamtafuta Celena wakati Celena ni yeye ,"
Waliongea wanafunzi huku wakiondoka ,
Sasa wakati Celina anashangaa akamuona mama yake na Celena kumbuka yeye hamjui ila anajua huyu mama ndie yule aliepigana na mama yake kichaa kule hospital, Sasa alivyomuona akaogopa na kukimbia ,
Mama Celena akashangaa kumuona mwanawe anamkimbia , kumbuka yeye mama Celena anajua huyu ndie Celena ,kumbe huyo ni Celina ,
" Huyu mtoto vip au sio yeye ,?
Bado mama Celena alijiuliza maswali huku akiendelea kumsaka shuleni hapo bila mafanikio ,
Mama Celena aliamua kurudi nyumbani huku akiwa amechukia ,

Celina akarudi nyumbani baada ya kumkosa Celena kule shuleni kwao ,kumbuka Celina anakaa pale kwa kina Stefano baada ya wazazi wa Stefano kuamua kumsaidia yeye na mama yake kichaa , na ukumbuke kuwa mama Stefano ameamua kumsaidia Celina kwa sababu anampenda Kama mwanae , na hajui Kama ni mwanae , na kinachomchanganya ni kwamba hao watoto wapo mapacha, na kwanini mmoja yupo kule kwa matajiri na mwingine yupo huku kwa kichaa , Hilo ndio swali analojiuliza na hajapata jibu ,
Celina na Stefano wakafika nyumbani ,wakamsalimia mama Stefano na kuingia ndani ,
Wakashangaa ndani kumevurgika ,kumbuka Celena ndio kavuruga vuruga humo ndani , yaan makoch katupa tupa ,nguo chumbani katupa tupa ,
" Mama mbona kuko hivi huku ndani ,"?
Celina alimuuliza mama Stefano na kumbuka Celina anamuita tu mama Stefano MAMA kutokana na heshima tu ila anajua sio mama yake ,anajua mama yake ni yule kichaa ,
" Amekuja Celena ameshinda hapa ,"
Mama Stefano alimjibi Celina ,
'celena alikuja hapa nyumbani,"?
Celina aliuliza huku akishangaa ,
" Ndio tena ameondoka muda sio mlefu Kama masaa mawili yamepita ,"
Aliongea mama Stefano ,
" Jamani mama si ungemzuia mi nikaja kumuona ,"?
Aliongea Celina ,
Kumbuka mama Stefano akiitwa mama na Celina au Celena moyo wake hustuka na hujihisi tofauti kabisa ,

Kule kwa mama Celena alirudi nyumbani huku akiwa na mawazo tele ,kwanza kwanini Hawa watoto wako wawili , pili kwanini yule mama kichaa anakaribia kupona , Cha tatu kwanini Celena amemuona kule shuleni akamkimbia ,
Sasa wakati anaingia kwake akamuona Celena ameshavua nguo za shule tena amekaa mezan anakula ,
" He huyu mtoto vip amefikaje huku mala hii ,"
Alijiuliza huku anamuangalia Celena ,
Celena yeye alikuwa anakula bila hata wasiwasi ,
"Au nilizaa mapacha ,"?
Bado alijiuliza bila jibu ,
" Vip mke wangu mbona umesimama unashangaa ,"?
Alikuwa Mr Benson akimuuliza mkewe ,
Mama Celena akastuka na kukaa kwenye sofa ,
" Hapana ni mawazo tu ,"
Aliongea mama Celena ,
Wakati wanaongea akaja Celena na kumuuliza baba yake ,
" Baba eti Celina ni nani mbona nimefanana nae ,"?
Swali Hilo likawastua wote , maana ni kweli Celena anahaki ya kujua kwanini amefanana na Celina ,swali ambalo hata wazazi wake hawana jibu la kumpa ,
" Baba na mbona Mimi nimefanana na mama yake Stefano au sisi ni ndugu ,"?
Celena aliuliza tena swali ambalo hawakuwa na majibu yake ,
" Kama ni ndugu zetu mi nataka kwenda kuishi kule ,"
Celena bado aliwaumiza vichwa wazazi wake ,

Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu namba ni 0655772653 njoo whtsap

Je itakuwaje hapo ndani , wazazi watajibu nini , na Je watamruhus aende , na Je itakuwaje wakigundua ni mapacha ,na Je mama Stefano akigundua ni watoto wake itakuwaje , na Je ukichaa wa yule mama kichaa ilikuwaje ,
Usikose Leo saa 12 jion

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

WATOTO MAPACHA
sehemu ya 15

Celena aliendelea kulala huku amepakatwa na mama yake Stefano ,tena Cha ajabu aliuchapa usingizi kabisa ,
Sasa kumbuka mama Celena bado alikuwa anamtafuta yule mama kichaa , Nia yake amwangalie Kama bado kichaa anacho au amekaribia kupona , maana Kama anaweza kukumbuka vitu inamaana anakaribia kupona , Sasa akawa anauliza uliza mpaka akaelekezwa anapopatikana , akaja mpaka kwenye mtaa huo ,kumbe mtaa huo ndio anaokaa , mama Stefano na tena yupo nje kwenye kibaraza amempakata Celena , mama Celena yeye alikuwa kwenye gari huku akiangalia huku na kule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

977
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

226
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

202
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

197
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

193
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

178
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

143
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

127
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

115
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest