Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA ,

Sehemu ya ,,,,,. 5

Mama stefano moyo ulilia PAAAH,,,!!
Akajishika kifuani na kujiuliza kwanini hali kama ile inamtokea ,

Kule nnje stefano na Celina wakat wanabishana baba Stefano alikuwa anarud kutoka kazini ,akapaki gari lake dogo Toyota Mack 11

Wakati anashuka macho yote yalikuwa kwa Celina ,
Alijiuliza mbona huyu mtoto kafanana na mke wake ,
""Shikamoo baba ,,""
Stefano alimsalimia baba yake ,

"Malhabaa ,,""
Baba Stefano aliitikia huku bado macho yakiwa kwa Celina ,
"" Shikamoo baba Stefano ""
Celina nae alisalimia ,

"Malhabaa bint hujambo ,,"

"Sijambo ,,""
Celina akajibu,

""Celina ona gari ya baba angu ,aaammmh pipiiii""
Stefano badala ya kumpokea baba yake ye aliingia ndani ya gari na kujifanya anaendesha gari hilo , huku akimlingishia Celina ,

" Stefano toka kwenye gari umpokee baba vitu na uviingize ndani ,,""
Celina alimfokea Stefano mbele ya baba yake ,na Stefano akashuka kwenye gari na kuvibeba vile vitu na kuingia navyo ndan ,
Baba yake Stefano aliona kama miujiza ,akashangaa,
Siku zote Stefano alikuwa mtundu ,mjeuri na ukimwambia kitu hafanyi kifupi alikuwa anadeka sana ,
Kitendo cha Celina kumfokea Stefano ,kilimfurahisha sana baba Stefano ,

"Mwanangu ingia ndani ""
Baba Stefano alimwambia Celina ,
Celina alikataa lakini alibembelezwa sana aingie japo wapate chakula cha pamoja ,
Celina alipoingia ndani ya nyumba ile alijihisi tofauti ,alihisi kama yupo sehemu salama na anaweza kufanya chochote atakacho,

Mama Stefano alimsalimia mumewe ,na mumewe akamuuliza kama anamfaham yule mtoto ,mama Stefano akajibu yeye mwenyewe hamjui na anashangaa kwanini wamefanana nae,

Mama Stefano alitenga chakula lakini kila anapojalibu kumsogelea Celina ,mapigo ya moyo wake yalikuwa yanakwenda mbio ,
" Unaishi wapi mwanangu," ?
Mama Stefano alimuuliza Celina ,kabla Celina hajajibu Stefano akajibu ,
" Mama huyu mama yake ni kichaa "
"Weee nani kakwambia wakati wa kula watu wanaongeaga ? Haya macho kwenye sahani na ukae kimya wakubwa wakiongea ,"
Celina alimwambia Stefano na Stefano akatii ,mama Stefano wakaangaliana na baba Stefano maana walichokiona ni kwamba Stefano akiambiwa chochote na Celina anatii na anamchukulia Celina kama dada ,
"Ni kweli mama yangu ni kichaa ila kuna baba mmoja amenichukua ndo ananisomesha ,"
Aliongea Celina kwa upole ,
"Ooh pole sana mwanangu MUNGU atakusaidia ,"
Aliongea baba Stefano na wakaendelea kula ,

Walikula huku wanapiga story za hapa na pale ,
Walipomaliza kula Stefano ndo alikuwa wakwanza kunawa na kunyanyuka ,huku akiacha vyombo pale mezani ,
" Weeewe Stefano unamwachia nani atoe vyombo ? Haya haraka na upesi toa vyombo futa meza ,"
Celina alimwambia Stefano, Stefano akawa anatoa vyombo huku amekunja sura yaan amechukia , huku mama yake na baba yake wakicheka na kusema " tunaomba uwe unakuja kila siku huyu Stefano atanyooka ,"

Na celina alifanya kila kitu pale nyumbani ,
Aliosha vyombo na alipomaliza alimfulia $tefano nguo zake za shule na kumwambia
""sitaki kesho uje shuleni ukiwa mchafu ""
Mama Stefano alikuwa anamuangalia tu Celina maana hajui hata wazazi wake na ni mtoto mtulivu na mpole , na hakuelewa kwanini anafanya yote hayo bila hata kuambiwa ,

Alipomaliza akaaga na kuondoka zake , ila mama Stefano alimpa elfu mbili Kama zawadi tu ya kununua anachotaka, Celina alishukuru Sana ,na kuondoka ,
hali ilikuwa ngumu kwa Mama stefano ,alijikuta anaenda chumbani na kuanza kulia na alipoulizwa na mumewe hakuwa na majibu sahihi ,ila alijihisi tu uchungu na alitamani yule mtoto awepo pale ,

Celina alienda nyumbani kwa docta Mathias ili akabadili nguo za shule na arudi kwa Mama yake kule jalalani,
Lakini alipoingia tu alipokelewa na bonge lakofi ,

"Wee mjinga ulikuwa wapi ,"?
Unataka vyombo aoshe nani ,,? Na kwataarifa yako hakuna kula mpaka uoshe vyombo ufue zile nguo zangu na udeki nyumba nnzima ,,""!
Mke wa docta Mathias alimfokea mfululizo na kumpiga celina kofi lingine ,
Celina alianguka chini na kuanza kulia , aliponyanyuka alitoka zake nnje na kuondoka zake ,

""Na kama unaondoka usirudi hapa mshenzi weweee,,""
Mke wa docta Mathias alimsindikiza na maneno ya chuki,

""Heli niende kwa Mama yangu hata kama ni kichaa ""
Celina alijisemea kimoyomoyo na kuondoka zake,

Zilipita week kama mbili Celina hajakanyaga kwa docta Mathias ,ikabidi docta Mathias aende shuleni kwao ,
Alipoonana nae akamuuliza kwa upole kwanini haji nyumbani ,Celina nae hakutaka kumficha alimwambia kila kitu mkewe alivyokua anamfanyia ,

Docta alikasirika sana na aliporudi nyumbani alimfokea mkewe na kumwambia amtafute Celina popote alipo na amuombe msamaha na Celina arudi nyumbani ,bila hivyo hapa nyumbani hakutakuwa na amani,

Na kweli nyumbani hapo kulikuwa hakuna amani kabisa docta alimchukia mkewe kwa kitendo alichokifanya ,
Siku tatu baadae mke wa docta Mathias alikuwa super market ,akamuona mtoto kafanana na Celina kila kitu yaani huulizi ,mtoto yule alikuwa na mama yake wananunua vitu mbali mbali ,
Akashangaa ,
""Si niliambiwa mama yake Celina ni kichaa ,?Sasa mbona huyu ni tajiri tena ni mzima wa afya,,""?
Aliwaza mke wa docta Mathias bila majibu ,

Mke wa docta hakuamini akamfuata yule mtoto aliefanana na Celina ,akaanza kumkagua ,
"Dada vip mbona unamkagua mwanangu "?
Aliongea mama Celena ,
" Aah Celina hunikumbuki mimi " ?
Mke wa doctor badala ya kujibu swali ye akamuuliza swali Celena akizan ni Celina,
" Mi mbona SIKUJUI ,"
" Hunijui vip Celina twende nyumbani ,"
Watu wote wakashangaa ,
"Wee dada hebu Kaa mbalia na hii familia ,"
Aliongea bodyguard mmoja na kumtoa pale ,
Mama yake na Celena akawa anashangaa na hata Celena pia alikuwa anamshangaa ,
"Mama mbona yule dada ananiita mimi Celina ,"?
Celena alimuuliza mama yake wakati gari inaondoka maeneo yale ,
"Mwanangu mi hata sijui labda amekufananisha tu ,"
Mama Celena alimjibu mwanae ,

Mke wa doctor ikabidi ampigie mumewe pale pale na kumwambia kuwa amemuona Celina lakini mbona huyu Celina kwao ni matajili tena baba yake anaonekana ni kiongozi mkubwa serikalini ,?
" We hebu nitolee upuuzi wako mama yake Celina ni kichaa tena muokota makopo na uchafu ,"!
Aliongea doctor kwa msisitizo,
"Mume wangu hebu nielewe basi "
Aliongea mke wa doctor kwa msisitizo,
" Nikuelewe nini wewe hebu mtafute Celina na uhakikishe anarudi nyumbani sitaki upuuzi mimi "
Aliongea doctor kwa hasira akakata simu ,

KUMBUKA Kuna CELINA NA CELENA ,

KUMBUKA STORY hii utaipata yote kwa elfu moja tu na ukilipia utapewa na story ya PANYA buree, 0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5

WATOTO MAPACHA ,

Sehemu ya ,,,,,. 5

Mama stefano moyo ulilia PAAAH,,,!!
Akajishika kifuani na kujiuliza kwanini hali kama ile inamtokea ,

Kule nnje stefano na Celina wakat wanabishana baba Stefano alikuwa anarud kutoka kazini ,akapaki gari lake dogo Toyota Mack 11

Wakati anashuka macho yote yalikuwa kwa Celina ,
Alijiuliza mbona huyu mtoto kafanana na mke wake ,
""Shikamoo baba ,,""
Stefano alimsalimia baba yake ,

"Malhabaa ,,""
Baba Stefano aliitikia huku bado macho yakiwa kwa Celina ,
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

683
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

259
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

68
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

57
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest