Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA ,

Sehemu ya ,,,,,. 5

Mama stefano moyo ulilia PAAAH,,,!!
Akajishika kifuani na kujiuliza kwanini hali kama ile inamtokea ,

Kule nnje stefano na Celina wakat wanabishana baba Stefano alikuwa anarud kutoka kazini ,akapaki gari lake dogo Toyota Mack 11

Wakati anashuka macho yote yalikuwa kwa Celina ,
Alijiuliza mbona huyu mtoto kafanana na mke wake ,
""Shikamoo baba ,,""
Stefano alimsalimia baba yake ,

"Malhabaa ,,""
Baba Stefano aliitikia huku bado macho yakiwa kwa Celina ,
"" Shikamoo baba Stefano ""
Celina nae alisalimia ,

"Malhabaa bint hujambo ,,"

"Sijambo ,,""
Celina akajibu,

""Celina ona gari ya baba angu ,aaammmh pipiiii""
Stefano badala ya kumpokea baba yake ye aliingia ndani ya gari na kujifanya anaendesha gari hilo , huku akimlingishia Celina ,

" Stefano toka kwenye gari umpokee baba vitu na uviingize ndani ,,""
Celina alimfokea Stefano mbele ya baba yake ,na Stefano akashuka kwenye gari na kuvibeba vile vitu na kuingia navyo ndan ,
Baba yake Stefano aliona kama miujiza ,akashangaa,
Siku zote Stefano alikuwa mtundu ,mjeuri na ukimwambia kitu hafanyi kifupi alikuwa anadeka sana ,
Kitendo cha Celina kumfokea Stefano ,kilimfurahisha sana baba Stefano ,

"Mwanangu ingia ndani ""
Baba Stefano alimwambia Celina ,
Celina alikataa lakini alibembelezwa sana aingie japo wapate chakula cha pamoja ,
Celina alipoingia ndani ya nyumba ile alijihisi tofauti ,alihisi kama yupo sehemu salama na anaweza kufanya chochote atakacho,

Mama Stefano alimsalimia mumewe ,na mumewe akamuuliza kama anamfaham yule mtoto ,mama Stefano akajibu yeye mwenyewe hamjui na anashangaa kwanini wamefanana nae,

Mama Stefano alitenga chakula lakini kila anapojalibu kumsogelea Celina ,mapigo ya moyo wake yalikuwa yanakwenda mbio ,
" Unaishi wapi mwanangu," ?
Mama Stefano alimuuliza Celina ,kabla Celina hajajibu Stefano akajibu ,
" Mama huyu mama yake ni kichaa "
"Weee nani kakwambia wakati wa kula watu wanaongeaga ? Haya macho kwenye sahani na ukae kimya wakubwa wakiongea ,"
Celina alimwambia Stefano na Stefano akatii ,mama Stefano wakaangaliana na baba Stefano maana walichokiona ni kwamba Stefano akiambiwa chochote na Celina anatii na anamchukulia Celina kama dada ,
"Ni kweli mama yangu ni kichaa ila kuna baba mmoja amenichukua ndo ananisomesha ,"
Aliongea Celina kwa upole ,
"Ooh pole sana mwanangu MUNGU atakusaidia ,"
Aliongea baba Stefano na wakaendelea kula ,

Walikula huku wanapiga story za hapa na pale ,
Walipomaliza kula Stefano ndo alikuwa wakwanza kunawa na kunyanyuka ,huku akiacha vyombo pale mezani ,
" Weeewe Stefano unamwachia nani atoe vyombo ? Haya haraka na upesi toa vyombo futa meza ,"
Celina alimwambia Stefano, Stefano akawa anatoa vyombo huku amekunja sura yaan amechukia , huku mama yake na baba yake wakicheka na kusema " tunaomba uwe unakuja kila siku huyu Stefano atanyooka ,"

Na celina alifanya kila kitu pale nyumbani ,
Aliosha vyombo na alipomaliza alimfulia $tefano nguo zake za shule na kumwambia
""sitaki kesho uje shuleni ukiwa mchafu ""
Mama Stefano alikuwa anamuangalia tu Celina maana hajui hata wazazi wake na ni mtoto mtulivu na mpole , na hakuelewa kwanini anafanya yote hayo bila hata kuambiwa ,

Alipomaliza akaaga na kuondoka zake , ila mama Stefano alimpa elfu mbili Kama zawadi tu ya kununua anachotaka, Celina alishukuru Sana ,na kuondoka ,
hali ilikuwa ngumu kwa Mama stefano ,alijikuta anaenda chumbani na kuanza kulia na alipoulizwa na mumewe hakuwa na majibu sahihi ,ila alijihisi tu uchungu na alitamani yule mtoto awepo pale ,

Celina alienda nyumbani kwa docta Mathias ili akabadili nguo za shule na arudi kwa Mama yake kule jalalani,
Lakini alipoingia tu alipokelewa na bonge lakofi ,

"Wee mjinga ulikuwa wapi ,"?
Unataka vyombo aoshe nani ,,? Na kwataarifa yako hakuna kula mpaka uoshe vyombo ufue zile nguo zangu na udeki nyumba nnzima ,,""!
Mke wa docta Mathias alimfokea mfululizo na kumpiga celina kofi lingine ,
Celina alianguka chini na kuanza kulia , aliponyanyuka alitoka zake nnje na kuondoka zake ,

""Na kama unaondoka usirudi hapa mshenzi weweee,,""
Mke wa docta Mathias alimsindikiza na maneno ya chuki,

""Heli niende kwa Mama yangu hata kama ni kichaa ""
Celina alijisemea kimoyomoyo na kuondoka zake,

Zilipita week kama mbili Celina hajakanyaga kwa docta Mathias ,ikabidi docta Mathias aende shuleni kwao ,
Alipoonana nae akamuuliza kwa upole kwanini haji nyumbani ,Celina nae hakutaka kumficha alimwambia kila kitu mkewe alivyokua anamfanyia ,

Docta alikasirika sana na aliporudi nyumbani alimfokea mkewe na kumwambia amtafute Celina popote alipo na amuombe msamaha na Celina arudi nyumbani ,bila hivyo hapa nyumbani hakutakuwa na amani,

Na kweli nyumbani hapo kulikuwa hakuna amani kabisa docta alimchukia mkewe kwa kitendo alichokifanya ,
Siku tatu baadae mke wa docta Mathias alikuwa super market ,akamuona mtoto kafanana na Celina kila kitu yaani huulizi ,mtoto yule alikuwa na mama yake wananunua vitu mbali mbali ,
Akashangaa ,
""Si niliambiwa mama yake Celina ni kichaa ,?Sasa mbona huyu ni tajiri tena ni mzima wa afya,,""?
Aliwaza mke wa docta Mathias bila majibu ,

Mke wa docta hakuamini akamfuata yule mtoto aliefanana na Celina ,akaanza kumkagua ,
"Dada vip mbona unamkagua mwanangu "?
Aliongea mama Celena ,
" Aah Celina hunikumbuki mimi " ?
Mke wa doctor badala ya kujibu swali ye akamuuliza swali Celena akizan ni Celina,
" Mi mbona SIKUJUI ,"
" Hunijui vip Celina twende nyumbani ,"
Watu wote wakashangaa ,
"Wee dada hebu Kaa mbalia na hii familia ,"
Aliongea bodyguard mmoja na kumtoa pale ,
Mama yake na Celena akawa anashangaa na hata Celena pia alikuwa anamshangaa ,
"Mama mbona yule dada ananiita mimi Celina ,"?
Celena alimuuliza mama yake wakati gari inaondoka maeneo yale ,
"Mwanangu mi hata sijui labda amekufananisha tu ,"
Mama Celena alimjibu mwanae ,

Mke wa doctor ikabidi ampigie mumewe pale pale na kumwambia kuwa amemuona Celina lakini mbona huyu Celina kwao ni matajili tena baba yake anaonekana ni kiongozi mkubwa serikalini ,?
" We hebu nitolee upuuzi wako mama yake Celina ni kichaa tena muokota makopo na uchafu ,"!
Aliongea doctor kwa msisitizo,
"Mume wangu hebu nielewe basi "
Aliongea mke wa doctor kwa msisitizo,
" Nikuelewe nini wewe hebu mtafute Celina na uhakikishe anarudi nyumbani sitaki upuuzi mimi "
Aliongea doctor kwa hasira akakata simu ,

KUMBUKA Kuna CELINA NA CELENA ,

KUMBUKA STORY hii utaipata yote kwa elfu moja tu na ukilipia utapewa na story ya PANYA buree, 0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 26 Aug 2025 11:37
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5

WATOTO MAPACHA ,

Sehemu ya ,,,,,. 5

Mama stefano moyo ulilia PAAAH,,,!!
Akajishika kifuani na kujiuliza kwanini hali kama ile inamtokea ,

Kule nnje stefano na Celina wakat wanabishana baba Stefano alikuwa anarud kutoka kazini ,akapaki gari lake dogo Toyota Mack 11

Wakati anashuka macho yote yalikuwa kwa Celina ,
Alijiuliza mbona huyu mtoto kafanana na mke wake ,
""Shikamoo baba ,,""
Stefano alimsalimia baba yake ,

"Malhabaa ,,""
Baba Stefano aliitikia huku bado macho yakiwa kwa Celina ,
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

503
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

448
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

439
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

324
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

295
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

193
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

181
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

135
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

124

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest