Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA ,

Sehemu ya ,,,,,. 5

Mama stefano moyo ulilia PAAAH,,,!!
Akajishika kifuani na kujiuliza kwanini hali kama ile inamtokea ,

Kule nnje stefano na Celina wakat wanabishana baba Stefano alikuwa anarud kutoka kazini ,akapaki gari lake dogo Toyota Mack 11

Wakati anashuka macho yote yalikuwa kwa Celina ,
Alijiuliza mbona huyu mtoto kafanana na mke wake ,
""Shikamoo baba ,,""
Stefano alimsalimia baba yake ,

"Malhabaa ,,""
Baba Stefano aliitikia huku bado macho yakiwa kwa Celina ,
"" Shikamoo baba Stefano ""
Celina nae alisalimia ,

"Malhabaa bint hujambo ,,"

"Sijambo ,,""
Celina akajibu,

""Celina ona gari ya baba angu ,aaammmh pipiiii""
Stefano badala ya kumpokea baba yake ye aliingia ndani ya gari na kujifanya anaendesha gari hilo , huku akimlingishia Celina ,

" Stefano toka kwenye gari umpokee baba vitu na uviingize ndani ,,""
Celina alimfokea Stefano mbele ya baba yake ,na Stefano akashuka kwenye gari na kuvibeba vile vitu na kuingia navyo ndan ,
Baba yake Stefano aliona kama miujiza ,akashangaa,
Siku zote Stefano alikuwa mtundu ,mjeuri na ukimwambia kitu hafanyi kifupi alikuwa anadeka sana ,
Kitendo cha Celina kumfokea Stefano ,kilimfurahisha sana baba Stefano ,

"Mwanangu ingia ndani ""
Baba Stefano alimwambia Celina ,
Celina alikataa lakini alibembelezwa sana aingie japo wapate chakula cha pamoja ,
Celina alipoingia ndani ya nyumba ile alijihisi tofauti ,alihisi kama yupo sehemu salama na anaweza kufanya chochote atakacho,

Mama Stefano alimsalimia mumewe ,na mumewe akamuuliza kama anamfaham yule mtoto ,mama Stefano akajibu yeye mwenyewe hamjui na anashangaa kwanini wamefanana nae,

Mama Stefano alitenga chakula lakini kila anapojalibu kumsogelea Celina ,mapigo ya moyo wake yalikuwa yanakwenda mbio ,
" Unaishi wapi mwanangu," ?
Mama Stefano alimuuliza Celina ,kabla Celina hajajibu Stefano akajibu ,
" Mama huyu mama yake ni kichaa "
"Weee nani kakwambia wakati wa kula watu wanaongeaga ? Haya macho kwenye sahani na ukae kimya wakubwa wakiongea ,"
Celina alimwambia Stefano na Stefano akatii ,mama Stefano wakaangaliana na baba Stefano maana walichokiona ni kwamba Stefano akiambiwa chochote na Celina anatii na anamchukulia Celina kama dada ,
"Ni kweli mama yangu ni kichaa ila kuna baba mmoja amenichukua ndo ananisomesha ,"
Aliongea Celina kwa upole ,
"Ooh pole sana mwanangu MUNGU atakusaidia ,"
Aliongea baba Stefano na wakaendelea kula ,

Walikula huku wanapiga story za hapa na pale ,
Walipomaliza kula Stefano ndo alikuwa wakwanza kunawa na kunyanyuka ,huku akiacha vyombo pale mezani ,
" Weeewe Stefano unamwachia nani atoe vyombo ? Haya haraka na upesi toa vyombo futa meza ,"
Celina alimwambia Stefano, Stefano akawa anatoa vyombo huku amekunja sura yaan amechukia , huku mama yake na baba yake wakicheka na kusema " tunaomba uwe unakuja kila siku huyu Stefano atanyooka ,"

Na celina alifanya kila kitu pale nyumbani ,
Aliosha vyombo na alipomaliza alimfulia $tefano nguo zake za shule na kumwambia
""sitaki kesho uje shuleni ukiwa mchafu ""
Mama Stefano alikuwa anamuangalia tu Celina maana hajui hata wazazi wake na ni mtoto mtulivu na mpole , na hakuelewa kwanini anafanya yote hayo bila hata kuambiwa ,

Alipomaliza akaaga na kuondoka zake , ila mama Stefano alimpa elfu mbili Kama zawadi tu ya kununua anachotaka, Celina alishukuru Sana ,na kuondoka ,
hali ilikuwa ngumu kwa Mama stefano ,alijikuta anaenda chumbani na kuanza kulia na alipoulizwa na mumewe hakuwa na majibu sahihi ,ila alijihisi tu uchungu na alitamani yule mtoto awepo pale ,

Celina alienda nyumbani kwa docta Mathias ili akabadili nguo za shule na arudi kwa Mama yake kule jalalani,
Lakini alipoingia tu alipokelewa na bonge lakofi ,

"Wee mjinga ulikuwa wapi ,"?
Unataka vyombo aoshe nani ,,? Na kwataarifa yako hakuna kula mpaka uoshe vyombo ufue zile nguo zangu na udeki nyumba nnzima ,,""!
Mke wa docta Mathias alimfokea mfululizo na kumpiga celina kofi lingine ,
Celina alianguka chini na kuanza kulia , aliponyanyuka alitoka zake nnje na kuondoka zake ,

""Na kama unaondoka usirudi hapa mshenzi weweee,,""
Mke wa docta Mathias alimsindikiza na maneno ya chuki,

""Heli niende kwa Mama yangu hata kama ni kichaa ""
Celina alijisemea kimoyomoyo na kuondoka zake,

Zilipita week kama mbili Celina hajakanyaga kwa docta Mathias ,ikabidi docta Mathias aende shuleni kwao ,
Alipoonana nae akamuuliza kwa upole kwanini haji nyumbani ,Celina nae hakutaka kumficha alimwambia kila kitu mkewe alivyokua anamfanyia ,

Docta alikasirika sana na aliporudi nyumbani alimfokea mkewe na kumwambia amtafute Celina popote alipo na amuombe msamaha na Celina arudi nyumbani ,bila hivyo hapa nyumbani hakutakuwa na amani,

Na kweli nyumbani hapo kulikuwa hakuna amani kabisa docta alimchukia mkewe kwa kitendo alichokifanya ,
Siku tatu baadae mke wa docta Mathias alikuwa super market ,akamuona mtoto kafanana na Celina kila kitu yaani huulizi ,mtoto yule alikuwa na mama yake wananunua vitu mbali mbali ,
Akashangaa ,
""Si niliambiwa mama yake Celina ni kichaa ,?Sasa mbona huyu ni tajiri tena ni mzima wa afya,,""?
Aliwaza mke wa docta Mathias bila majibu ,

Mke wa docta hakuamini akamfuata yule mtoto aliefanana na Celina ,akaanza kumkagua ,
"Dada vip mbona unamkagua mwanangu "?
Aliongea mama Celena ,
" Aah Celina hunikumbuki mimi " ?
Mke wa doctor badala ya kujibu swali ye akamuuliza swali Celena akizan ni Celina,
" Mi mbona SIKUJUI ,"
" Hunijui vip Celina twende nyumbani ,"
Watu wote wakashangaa ,
"Wee dada hebu Kaa mbalia na hii familia ,"
Aliongea bodyguard mmoja na kumtoa pale ,
Mama yake na Celena akawa anashangaa na hata Celena pia alikuwa anamshangaa ,
"Mama mbona yule dada ananiita mimi Celina ,"?
Celena alimuuliza mama yake wakati gari inaondoka maeneo yale ,
"Mwanangu mi hata sijui labda amekufananisha tu ,"
Mama Celena alimjibu mwanae ,

Mke wa doctor ikabidi ampigie mumewe pale pale na kumwambia kuwa amemuona Celina lakini mbona huyu Celina kwao ni matajili tena baba yake anaonekana ni kiongozi mkubwa serikalini ,?
" We hebu nitolee upuuzi wako mama yake Celina ni kichaa tena muokota makopo na uchafu ,"!
Aliongea doctor kwa msisitizo,
"Mume wangu hebu nielewe basi "
Aliongea mke wa doctor kwa msisitizo,
" Nikuelewe nini wewe hebu mtafute Celina na uhakikishe anarudi nyumbani sitaki upuuzi mimi "
Aliongea doctor kwa hasira akakata simu ,

KUMBUKA Kuna CELINA NA CELENA ,

KUMBUKA STORY hii utaipata yote kwa elfu moja tu na ukilipia utapewa na story ya PANYA buree, 0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 26 Aug 2025 11:37
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,.
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5

WATOTO MAPACHA ,

Sehemu ya ,,,,,. 5

Mama stefano moyo ulilia PAAAH,,,!!
Akajishika kifuani na kujiuliza kwanini hali kama ile inamtokea ,

Kule nnje stefano na Celina wakat wanabishana baba Stefano alikuwa anarud kutoka kazini ,akapaki gari lake dogo Toyota Mack 11

Wakati anashuka macho yote yalikuwa kwa Celina ,
Alijiuliza mbona huyu mtoto kafanana na mke wake ,
""Shikamoo baba ,,""
Stefano alimsalimia baba yake ,

"Malhabaa ,,""
Baba Stefano aliitikia huku bado macho yakiwa kwa Celina ,
...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

901
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

685
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

680
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

468
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

345
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

225
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

66
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest