Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,, 8

Sasa humo ndani pakawa mtafutano ,,

Celena akimpiga Stefano, Stefano nae hakubali anamrudishia halafu anakimbia , wakakimbizana mpaka jikoni ,Stefano akapanda juu ya meza ya vyombo kwa bahat mbaya akateleza na vyombo vikaanguka na grass moja ya udongo ikapasuka , Celena akakimbilia kwa mama yake Stefano ,
" Mamaa Stefano kavunja grass ,"
Celena aliongea kwa kudeka , mpaka mama Stefano akawa anamshangaa ,na alikuwa anajiuliza huyu mbona sio Celina ,? Maana kinachowatofautisha Celina na Celena ni tabia , Celina hapendi michezo ye ni mtu wa vitendo ,alimaliza kula atatoa vyombo afagie na akavioshe , sasa Celena hata kutoa vyombo hajatoa tayari wamekimbizana na Stefano, na hata hivyo Celina nguo zake ni chafu chafu , huyu nguo zake ni safi na zinanukia kabisa kama mtoto anaeishi maisha ya kitajiri,
" Mamaa nimeteleza bahati mbayaa ,"
Alijitetea Stefano,
" Mamaa huyu Stefano muongo alipanda juu ya meza , akalipiga teke beseni "
Celena bado alimsemea mwenzako ,
" Basi wanangu tutanunua grass nyingine "
Aliongea mama Stefano ,huku akiwaza kuwa akija mumewe lazima amwambie kioja cha leo ,
Celena aliyafurahia maisha ya kwa kina Stefano kuliko yale yakule kwao ya kitajiri,
Japo ni kwa muda mfupi lakini aliinjoi mpaka akaona ni bora hapo ndo pangekuwa kwao ,
Turudi huku alipoletwa Celina ,ye alikuwa mgeni Sana kwenye jumba hilo , kila akiangalia mazingira alijihisi tofauti sana ,ndani ya jumba hilo kulikuwa na kila kitu Cha kupendeza ,

"Wee Celena mbona unashangaa tu ,,? Kabadilishe hizo nguo nizifue,,""
Mfanyakazi mmoja ambae Celena alizoea kumuita anti alimwambia Celina akijua ni Celena ,

""Chumba cha Celena kiko wapi""?
Celina aliuliza na kumfanya yule mfanyakazi kumcheka ,

"Inamaana leo hii hukijui chumba chako ,,""??
Yule mfanyakazi alimuuliza Celina, ye akijua anaongea na Celena ,

"Sikijui nimekisahau ,,"

""Haya twende chumbani kwako ""
Yule mfanyakazi alimshika mkono Celina akijua anamfanyia utani kumbe nikweli Celina hajui kitu kwenye nyumba ile .

""Haya ingia humu,,""
Celina aliingizwa kwenye chumba cha Celena ,

Chumba cha Celena kilipambwa na picha za ukutani za aina mbali mbali ,midoli ya kuvutia ,hakika hicho chumba kilipendeza ,picha za Celena akiwa na wazazi wake ,picha za Celena akiwa mdogo mpaka amekuwa mkubwa ,zilikuwa zimewekwa ukutani zilipendezesha chumba hicho ,

"We vipi leo ,,""? Mbona unashangaa chumba chako ,,""?
Yule ant alimuuliza Celina ,
Celina akajifanya kuzuga tu ,akabadilisha nguo na kuvaa za Celena ,hapo ndo akaonekana Celena mtupu ,

" Huyo Celena akija sijui itakuwaje ,,""
Aliwaza Celena huku akijiangalia alivyopendeza ,
Aliangalia picha za Celena alishangaa kabisa maana ni yeye mtupu ,
Akaanza kuzurula humo ndani bila mtu yoyote kumstukia , maana mama yake na Celena alikuwa bado kalazwa hospital, kwa hiyo ndani ya jumba hilo walibaki wafanyakazi tu maana hata baba Celena alikuwa kazini ,
Huku kwa kina Stefano ,
Celena kutokana na utoto na kuzidiwa na michezo akajikuta analala kule kwa kina Stefano huku wazazi wa Stefano wakijua mtoto huyo mama yake ni kichaa hivyo hata akilala pale hatatafutwa , baba Stefano alirudi nyumbani ,na mama Stefano akamuhadisia kilichotokea siku hiyo , lakini kwa vile ilikuwa usiku na aliwakuta watoto wameshalala , baba Stefano akamwambia kuwa labda itakuwa Leo alichangamka tu ,maana haiwezekani mtoto kufanana kiasi kile , na hata ingekuwa sio yeye huyu ni lazima angeonesha ugeni ,hivyo akapuuzia na kulala ,

Kule Celina nae alishangaa huyu Celena mbona harudi nyumbani kwao ,maana yeye ndo alikuwa anataka amuone ,akajikuta anakula na kulala sehemu nzuri sana ,asubuhi aliamshwa na akaandaliwa kwa ajili ya kwenda shule , alivalishwa nguo nyingine za shule na akapakiwa kwenye gari akapelekwa shule anayosoma Celena , na akashushwa bila yeyote kugundua kuwa sio Celena ,akaingia darasani kama kawaida huku akijua lazima huyo Celena aje na wataonana tu ,

Kule nyumban kwa kina Stefano Celena nae alijiandaa na nia yake ni kwenda kwenye shule ya kina Stefano akamuone Celina ,wakaongozana na Stefano mpaka shuleni kwao nae akaingia darasani na hakuna mtu aliestuka kuwa yule sio Celina ,hata mwalimu alifundisha na akaambiwa Celena akusanye daftari , na azipeleke ofisin , na kweli Selena alikusanya daftari kwa wanafunzi wenzake na kuzipeleka ofisini ,

Celina alikuwa kule kwenye shule ile ya kina Celena akapata wazo la kutoroka ili aende kule shuleni kwao , na kweli akatoroka ,
Akaja mpaka shuleni kwao ,

kuna mwalimu mmoja wa kiume akaingia ofisini humo , cha ajabu mwalimu huyo akaanza kumshangaa Celena ,
"We umefikaje humu ofisini ," ?
Yule mwalimu alipouliza walimu wakashangaa ,
"Kwan vip " ?
Mwalimu alimuuliza mwalimu mwenzake ,
" Huyu nimemkuta nyuma ya shule na nikamwambia aingie darasani yaani sasa hivi "
Celena aliposikia hivyo akajua alionekana ni Celina inamaana Celina amekuja shuleni hapo akaachia madaftar na kutoka spidi nia ni kumuona huyo aliefanana na yeye , mwalimu nae akatoka sped walimu nao wakapigwa na mshangao nao wakafuata nyuma , nia Celena ni kukutana na Celina maana Kama wamefanana kiasi hicho Cha watu kushindwa kuwatofautisha inamaana basi Kuna undugu uko hapo , Celena akapiga Kona ya kwanza tu na akashangaa ,,,

je wakikutana itakuwaje,,?
KUMBUKA STORY HII UTAIPATA YOTE MWANZO MWISHO KWA ELFU MOJA TU 0655772653 NJOO WHTSAP
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,, 8

Sasa humo ndani pakawa mtafutano ,,

Celena akimpiga Stefano, Stefano nae hakubali anamrudishia halafu anakimbia , wakakimbizana mpaka jikoni ,Stefano akapanda juu ya meza ya vyombo kwa bahat mbaya akateleza na vyombo vikaanguka na grass moja ya udongo ikapasuka , Celena akakimbilia kwa mama yake Stefano ,
" Mamaa Stefano kavunja grass ,"
Celena aliongea kwa kudeka , mpaka mama Stefano akawa anamshangaa ,na alikuwa anajiuliza huyu mbona sio Celina ,? Maana kinachowatofautisha Celina na Celena ni tabia , Celina hapendi michezo ye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

743
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

684
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

368
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

259
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

236
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

225
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

68
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

57
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest