Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,, 8

Sasa humo ndani pakawa mtafutano ,,

Celena akimpiga Stefano, Stefano nae hakubali anamrudishia halafu anakimbia , wakakimbizana mpaka jikoni ,Stefano akapanda juu ya meza ya vyombo kwa bahat mbaya akateleza na vyombo vikaanguka na grass moja ya udongo ikapasuka , Celena akakimbilia kwa mama yake Stefano ,
" Mamaa Stefano kavunja grass ,"
Celena aliongea kwa kudeka , mpaka mama Stefano akawa anamshangaa ,na alikuwa anajiuliza huyu mbona sio Celina ,? Maana kinachowatofautisha Celina na Celena ni tabia , Celina hapendi michezo ye ni mtu wa vitendo ,alimaliza kula atatoa vyombo afagie na akavioshe , sasa Celena hata kutoa vyombo hajatoa tayari wamekimbizana na Stefano, na hata hivyo Celina nguo zake ni chafu chafu , huyu nguo zake ni safi na zinanukia kabisa kama mtoto anaeishi maisha ya kitajiri,
" Mamaa nimeteleza bahati mbayaa ,"
Alijitetea Stefano,
" Mamaa huyu Stefano muongo alipanda juu ya meza , akalipiga teke beseni "
Celena bado alimsemea mwenzako ,
" Basi wanangu tutanunua grass nyingine "
Aliongea mama Stefano ,huku akiwaza kuwa akija mumewe lazima amwambie kioja cha leo ,
Celena aliyafurahia maisha ya kwa kina Stefano kuliko yale yakule kwao ya kitajiri,
Japo ni kwa muda mfupi lakini aliinjoi mpaka akaona ni bora hapo ndo pangekuwa kwao ,
Turudi huku alipoletwa Celina ,ye alikuwa mgeni Sana kwenye jumba hilo , kila akiangalia mazingira alijihisi tofauti sana ,ndani ya jumba hilo kulikuwa na kila kitu Cha kupendeza ,

"Wee Celena mbona unashangaa tu ,,? Kabadilishe hizo nguo nizifue,,""
Mfanyakazi mmoja ambae Celena alizoea kumuita anti alimwambia Celina akijua ni Celena ,

""Chumba cha Celena kiko wapi""?
Celina aliuliza na kumfanya yule mfanyakazi kumcheka ,

"Inamaana leo hii hukijui chumba chako ,,""??
Yule mfanyakazi alimuuliza Celina, ye akijua anaongea na Celena ,

"Sikijui nimekisahau ,,"

""Haya twende chumbani kwako ""
Yule mfanyakazi alimshika mkono Celina akijua anamfanyia utani kumbe nikweli Celina hajui kitu kwenye nyumba ile .

""Haya ingia humu,,""
Celina aliingizwa kwenye chumba cha Celena ,

Chumba cha Celena kilipambwa na picha za ukutani za aina mbali mbali ,midoli ya kuvutia ,hakika hicho chumba kilipendeza ,picha za Celena akiwa na wazazi wake ,picha za Celena akiwa mdogo mpaka amekuwa mkubwa ,zilikuwa zimewekwa ukutani zilipendezesha chumba hicho ,

"We vipi leo ,,""? Mbona unashangaa chumba chako ,,""?
Yule ant alimuuliza Celina ,
Celina akajifanya kuzuga tu ,akabadilisha nguo na kuvaa za Celena ,hapo ndo akaonekana Celena mtupu ,

" Huyo Celena akija sijui itakuwaje ,,""
Aliwaza Celena huku akijiangalia alivyopendeza ,
Aliangalia picha za Celena alishangaa kabisa maana ni yeye mtupu ,
Akaanza kuzurula humo ndani bila mtu yoyote kumstukia , maana mama yake na Celena alikuwa bado kalazwa hospital, kwa hiyo ndani ya jumba hilo walibaki wafanyakazi tu maana hata baba Celena alikuwa kazini ,
Huku kwa kina Stefano ,
Celena kutokana na utoto na kuzidiwa na michezo akajikuta analala kule kwa kina Stefano huku wazazi wa Stefano wakijua mtoto huyo mama yake ni kichaa hivyo hata akilala pale hatatafutwa , baba Stefano alirudi nyumbani ,na mama Stefano akamuhadisia kilichotokea siku hiyo , lakini kwa vile ilikuwa usiku na aliwakuta watoto wameshalala , baba Stefano akamwambia kuwa labda itakuwa Leo alichangamka tu ,maana haiwezekani mtoto kufanana kiasi kile , na hata ingekuwa sio yeye huyu ni lazima angeonesha ugeni ,hivyo akapuuzia na kulala ,

Kule Celina nae alishangaa huyu Celena mbona harudi nyumbani kwao ,maana yeye ndo alikuwa anataka amuone ,akajikuta anakula na kulala sehemu nzuri sana ,asubuhi aliamshwa na akaandaliwa kwa ajili ya kwenda shule , alivalishwa nguo nyingine za shule na akapakiwa kwenye gari akapelekwa shule anayosoma Celena , na akashushwa bila yeyote kugundua kuwa sio Celena ,akaingia darasani kama kawaida huku akijua lazima huyo Celena aje na wataonana tu ,

Kule nyumban kwa kina Stefano Celena nae alijiandaa na nia yake ni kwenda kwenye shule ya kina Stefano akamuone Celina ,wakaongozana na Stefano mpaka shuleni kwao nae akaingia darasani na hakuna mtu aliestuka kuwa yule sio Celina ,hata mwalimu alifundisha na akaambiwa Celena akusanye daftari , na azipeleke ofisin , na kweli Selena alikusanya daftari kwa wanafunzi wenzake na kuzipeleka ofisini ,

Celina alikuwa kule kwenye shule ile ya kina Celena akapata wazo la kutoroka ili aende kule shuleni kwao , na kweli akatoroka ,
Akaja mpaka shuleni kwao ,

kuna mwalimu mmoja wa kiume akaingia ofisini humo , cha ajabu mwalimu huyo akaanza kumshangaa Celena ,
"We umefikaje humu ofisini ," ?
Yule mwalimu alipouliza walimu wakashangaa ,
"Kwan vip " ?
Mwalimu alimuuliza mwalimu mwenzake ,
" Huyu nimemkuta nyuma ya shule na nikamwambia aingie darasani yaani sasa hivi "
Celena aliposikia hivyo akajua alionekana ni Celina inamaana Celina amekuja shuleni hapo akaachia madaftar na kutoka spidi nia ni kumuona huyo aliefanana na yeye , mwalimu nae akatoka sped walimu nao wakapigwa na mshangao nao wakafuata nyuma , nia Celena ni kukutana na Celina maana Kama wamefanana kiasi hicho Cha watu kushindwa kuwatofautisha inamaana basi Kuna undugu uko hapo , Celena akapiga Kona ya kwanza tu na akashangaa ,,,

je wakikutana itakuwaje,,?
KUMBUKA STORY HII UTAIPATA YOTE MWANZO MWISHO KWA ELFU MOJA TU 0655772653 NJOO WHTSAP

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,, 8

Sasa humo ndani pakawa mtafutano ,,

Celena akimpiga Stefano, Stefano nae hakubali anamrudishia halafu anakimbia , wakakimbizana mpaka jikoni ,Stefano akapanda juu ya meza ya vyombo kwa bahat mbaya akateleza na vyombo vikaanguka na grass moja ya udongo ikapasuka , Celena akakimbilia kwa mama yake Stefano ,
" Mamaa Stefano kavunja grass ,"
Celena aliongea kwa kudeka , mpaka mama Stefano akawa anamshangaa ,na alikuwa anajiuliza huyu mbona sio Celina ,? Maana kinachowatofautisha Celina na Celena ni tabia , Celina hapendi michezo ye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

503
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

448
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

442
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

324
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

295
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

193
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

182
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

181
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

135
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

125

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.15K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest