Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO*  *11--15* *__________________________________*  *SEHEMU YA 11*  Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu
Gonga94 · Stories

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *11--15* *__________________________________* *SEHEMU YA 11* Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,    nilipokutana macho kwa macho na mjomba niliganda nikiwa nimetoa macho,   kisha nilisimama juu na kumuita:



"Mjomba!


General nae alishtuka na kugeuka haraka kumuona mjomba wangu,  mjomba alisogea adi tulipokuwa na kunishika mkono akanipeleka nje kwenye gari yake,   bila kusema kitu chochote kisha akafungua mlango wa gari na kuingia na  kisha akawasha gari tukaanza safari,   kiukweli alikuwa na hasira sana  njia nzima alikuwa kimya hakuongea kitu,    nilihisi kuchanganyikiwa sana kwani sijawahi kumuuzi namna hii mjomba wangu,    amekuwa akiniamini sikuzote  niliwaza sana,    na General tumeachana hata namba ya simu hajanipa hapajui kwetu wala sijajua kambi ipi anaenda kufikia,    nilijikuta natokwa na machozi kwa mengi kisha nilimuambia mjomba:



"Mjomba  nisamehe"


Lakini hakujibu kitu mjomba aliendelea kuendesha gari akiwa kimya,   nilihisi leo sijui itakuwaje tulipita chalinze na kusonga mbele kuelekea dar,  kumbe tulipo ondoka  huku nyuma  General aliingia nae kwenye gari,   na kutufuata nyuma  hadi tunaingia dar alikuwa nyuma yetu,  tulienda hadi nyumbani kunduchi  bichi General alikuwa nyuma nyuma akatushudia tunaingia kwenye geti la nyumbani hivyo alipaki hapo na kusubili kwa muda kisha alishuka na kuja mpaka getini akagonga mlinzi alifungua na kumuuliza:



"Nikusaidie nini?


"Samahani nilikuwa namuulizia hapa ninyumbani kwa kina Laura?


"Ndio wewe nani  mkuu?


"Mimi ni soja mwenzie tumemaliza leo mafunzo,   je amefika nyumbani tayari?


"Kaingia sio muda mkuu karibu ndani,  au nikuitie?


"Ooh! Asante kama kaingia sio muda atakuwa na mjomba pamoja shangazi yake wanafurahia,    sitaki kuwaharibia furaha yao,   ngoja nikupe hii kadi yangu utampatia sawa,   akikuuliza muambie Ethane"



"Ok sawa  mkuu"



Kwakuwa alikuwa anamavazi ya kijeshi hivyo hata mlinzi alimuongopa na kumuita mkuu,  alimuachia kadi na kisha akaondoka na kurudi kambini,  sasa tulipoingia ndani mimi na mjomba tuliposhuka nikiwa na mavazi yangu yakijeshi  shangazi mke wa mjomba wangu alikuwa akinisubili kwa hamu sana tulipofika alinipokea kwa furaha mno na kuniita:

"Karibu nyumbani soja wangu nilikuwa nimekumiss sana mwanangu"


"Mimi pia mama"


Napenda kumuita mama kwani amenilea tangu nikiwa mdogo,   nikamkumbatia akanishika mkono na tukaingia ndani,  nilikuta kaniandali  vitu vingi hatari,   ila mjomba alienda zake moja kwa moja chumbani,   hata shangazi alielewa tuu kuwa hayupo sawa,  shangazi akaniuliza:


"Kwani kulikoni mbona mjomba yupo hivyo kipenzi changu  ameudhiwa na nani tena?



"Mama nimemuudhi mimi"


"Ehee!  Nini tena,   ndio mmekutana tuu leo muda mrefu mliokukuwa mbali kulikoni?


"Nisaidie mamab kumbembeleza,    kanikuta nalishwa chakula  na General ndio kakasirika hataki kuongea namimi kabisa"


"Mmh!  Haya niambie General kwanini akulishe chakula wewe kunanini hapo?


"Mama nakuambia ukweli,   kiukweli  nimpenzi wa maisha yangu,   ninampenda sana General Ethane"


"Mmh! Haya hayo mambo umeanza lini kipenzi jamani?


"Mama jamani nenda kwanza kambembeleze,   kisha nitakuelezea kilakitu  ngoja nikabadili haya mavazi kwanza"



"Sawa lakini umependeza sana kipenzi changu,  umekuwa sasa yaani upo vizuri hatari"


"Asante mama"


Kisha shangazi aliondoka na kwenda chumbani kwao,  kumkuta mjomba,  namimi nilianza kuonja onja mapishi niliyoandaliwa  na shangazi,   kisha nikataka kuoondoka kuelekea chumbani kwangu,  lakini ile naanza kuondoka tu mlinzi akaniita:


"Samahani mkuu Laura"


Nikageuka na kutabasam kwani leo hii mlinzi ananiita mkuu,   kutokana na haya mavazi ya jeshi m,  nika muitikia:


"Unasemaje uncle moris?


"Kwanza kabisa hongera kwa kuhitimu mafunzo mkuu,  kingine ninahii kadi hapa kuna mkuu moja alikuja hapo getini  na kunigongea,    nae kavaa mavazi ya jeshi  kasema mmetoka kuhitimu wote,   hivyo hakutaka kuvuruga furaha yenu na wazazi wako,    kaniachia hiyo kadi tuu nikupatie"


Nikaiponea  hiyo kadi kusoma jina nilishtuka sana,   nikakimbia hadi getini nikafungua mlango,   nikatoka nje na kutizama kote lakini sikuona kitu chochote,  nikarudi ndani lakini nilikuwa natabasam tuu,   kiukweli nilifurahi sana kugundua kumbe General Ethane alikuwa anatufatilia hadi nyumbani kwetu,   nilifurahi sana  nikawa naingia ndani  mlinzi tena akaniita:



"Mkuu Laura huyo jamaa kasema anaitwa Ethane"


Nilitabasam tuu na kuelekea ndani  bila kumjibu  chochote,   nilienda hadi chumbani kwangu nilikuwa nafuraha sana kiukweli,   nilivua nguo na kuingia bafuni kuoga,   kisha nilipotoka nilivaa pensi yangu fupi na tisheti,  kisha nilitoka  kuelekea dining nilipoandaliwa misosi mitam tam na shangazi,  shangazi  alimuambia  mjomba:


"Mumewangu binti tayari nimkubwa sasa,   chamsingi tushukuru hata hajatuaibisha,   amefanikiwa kuhitim vizuri mafunzo yake,   apo anasubili apangiwe  jeshi la yeye kujiunga tu,   jivunie yeye  wengine wanawaibisha wazazi mapema sana,   kwakubeba mimba au kutoroka na wanaume eeh!,    Shukuru mtoto ametuheshimu  kuwa namoyo mzuri kwake mumewangu,   haya inuka twende tukafurahi nae asijisikie vibaya"



Mjomba alielewa na kuinuka kutoka na kuja dining nilipokuwa mimi,   alikuwa na furaha tuu tukala chakula pamoja,  tukafungua mvinyo na kuanza kunywa,   shangazi akaenda ndani na kuniletea  box la simu,  na kuniambia:


"Zawadi yangu hii kipenzi kwako"


Nikamkumbatia kwani alijuaje nahitaji simu kwa wakati huu,   nilifurahi sana  na laini akanipa nikaiweka kwenye simu,   na kisha nikaweka vocha pia  wakwanza kumpigia alikuwa General,  simu iliita sana kisha ilikuja kupokelewa na mdada yaani sauti ya kike




Je nini kitatokea Laura  baada ya kusikia sauti ya kike  unatamani kujua endelea kuifuatilia...........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *11--15* *__________________________________* *SEHEMU YA 11* Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu

,    nilipokutana macho kwa macho na mjomba niliganda nikiwa nimetoa macho,   kisha nilisimama juu na kumuita:



"Mjomba!


General nae alishtuka na kugeuka haraka kumuona mjomba wangu,  mjomba alisogea adi tulipokuwa na kunishika mkono akanipeleka nje kwenye gari yake,   bila kusema kitu chochote kisha akafungua mlango wa gari na kuingia na  kisha akawasha gari tukaanza safari,   kiukweli alikuwa na hasira sana  njia nzima alikuwa kimya hakuongea kitu,    nilihisi kuchanganyikiwa sana kwani sijawahi kumuuzi namna hii mjomba wangu,    amekuwa akiniamini sikuzote  niliwaza sana,    na General tumeachana hata namba ya simu hajanipa hapajui kwetu wala sijajua kambi ipi anaenda kufikia,    nilijikuta natokwa na machozi kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-11-15-__________________________________-sehemu-ya-11-nilishtuka-sana-m

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *01--05* *__________________________________*   *SEHEMU YA 01*  "Kikosi namba saba, wote mnatakiwa  pared,  leo jioni kutakuwa na ugeni,   hivyo mjiandae"
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *01--05* *__________________________________* *SEHEMU YA 01* "Kikosi namba saba, wote mnatakiwa  pared,  leo jioni kutakuwa na ugeni,   hivyo mjiandae"
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

899
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

490
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

434
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

419
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

308
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

220
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

210
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

182
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

139
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

96

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest