Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 MIMBA YA DHARURA 13 13---14
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA 13 13---14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nadia alishindwa kuendelea kukaa pale ofisini alinyanyuka na kutoka huku kabir akiwa anamsindikiza kwa macho na kusahau kama Jayden yupo pale.
" Vipi kuna tatizo? Jayden aliuliza
" Hapana.
Jayden valimuonyesha sehemu ya kusain kisha akatoka na kuelekea moja kwa moja ofisini kwa Nadia.
" Vipi Nadia kuna jambo lina kusumbua?
" Hapana.
" Unajua haipaswi kujificha kitu Nadia.
" Naomba uniachie nataka kukaa pekee yangu .
" Kuna kitu kinaendelea kati yako na kabir na ndio maana siku ile kwenye sherehe ulikuwa huna amani hata kidogo.
Nadia hakuwa na cha kujitetea alinyamaza kimnya.
" Una uhusiano nae kimapenzi?
" Hapana.... Alijibu Nadia kwa sauti ya ukali.
Jayden nimesema toka ofisini kwangu sitaki maswali.
" Sawa natoka lakini nakuhakikishia nitajua kila kitu , hata kama sio leo basi siku za mbeleni nitajua tu Nadia.
Jayden alitoka ofisini kwa Nadia kwa hasira akabamiza mlango.

Kwa upande wa kabir bado alikuwa akimfikiria Nadia na kuona kama bahati imerudi tena kwa mara ya pili hakukumbuka kama yeye ni mume wa mtu bado tamaa zake zilikuwa ni ku mmiliki Nadia.
" Haijalishi nipo na nani au yupo na nani Nadia yupo kwenye nafasi yangu.
Maombi yangu yamefanya kazi na ndio maana yupo karibu na mimi hivi sasa. Hii ndio karma yangu.

Nadia alibaki ofisini kwake akiwa na mawazo Maneno ya Jayden bado yalikuwa yakirindima kichwani:
“Nitakuja kujua kila kitu, Nadia…”
Alijaribu kujishughulisha na faili lililokuwa mezani, lakini maandishi hayakuonekana, yalikuwa kama michoro isiyoeleweka. Kila akijaribu kushika kalamu mikono yake ilitetemeka.

Wakati huo Jayden alikuwa ameshuka chini kwenye parking, lakini hasira zake zilimfanya ashindwe hata kuendesha gari. Alijigonga kwenye kiti cha dereva, akapiga ngumi kwenye usukani.
“Huyu Kabir ana nini na Nadia? Na kwa nini moyo wangu unaniuma hivi?” aliwaza kwa uchungu.

Saa chache baadaye, Nadia alipokuwa anaondoka ofisini, Kabir alitokea na kumuita.
“Nadia,” Nadia alisimama kumsikiliza “tunahitaji kuongea.
Nadia akatikisa kichwa “Kabir, acha usinifanye nionekane dhaifu mbele ya kila mtu. Hii siyo sawa. Kama ni mambo ya zamani basi yaishi kila mtu aendelee na maisha yake .
Kabir alimshika mkono na kumvutia ndani ya lift .
" Niangalie usoni .
Nadia hakutaka kumuangalia aliangalia pembeni
“Kwa nini inakuwa tatizo ukiniangalia machoni? Kwa nini kila neno langu linafanya moyo wako kudunda?” Kabir alimvuta kidogo karibu, macho yao yakatazamana
Nadia alijaribu kujiokoa, akatazama pembeni, lakini pumzi yake ilikuwa nzito.
“Tafadhali… acha Kabir. Usinifanye tukarudia makosa yale yale.”
" Acha ijirudie na haitakuwa kosa tena.
Wakati huo huo, mlango wa lifti ulifunguka, na Jayden akatokea akiwa ameshika simu yake. Macho yake yalishitushwa na kile alichokiona Kabir alikuwa amesimama karibu mno na Nadia. Baada ya kumuona jayden alimuachia

Kimya kikali kikatawala kati ya watatu hao.
Huu ulikuwa mwanzo wa moto mpya, moto ambao ungeunguza kila kitu kama usipozimwa mapema…

MIMBA YA DHARURA 14

Jayden alisimama pale mlangoni huku akiwa anabonyeza simu yake, lakini alikuwa akimuangalia Nadia kwa jicho la pembeni.walifija ghorofa ya kwanza mlango wa lift ulifunguka kila mmoja alitegwa kutoka.
Nadia aliamua kutoka na kuwaacha jayden na kabir.
Alienda kuchukua usafiri wa pikipiki na kwenda nyumbani kwake.
Ile ameingia tu ndani huku nyuma mlango uligongwa.
" Dada kafungue mlango.
Alisema Nadia huku yeye alimchukua mtoto wake.
Baada ya mlango kufunguliwa Jayden aliingia ndani.

“Nadia…” aliita kwa sauti nzito yenye hasira “Kumbe kile ndicho alichokuwa unachojificha? Hii ndiyo sababu unasema hupendi kuulizwa maswali?”
Nadia alimpa mtoto dada wa kazi .
" Nendeni chumbani.
Waliondoka na kuwaacha wao wawili .
" Jayden kwanini unanifuatilia hivi? Kwani mimi na wewe tuna makubaliano gani?
" Hatuna makubaliano yoyote lakini huoni kuwa kabir ni mume wa mtu?
" Najua kama ni mume wa mtu.
" Kwahiyo imeridhika kuwa mchepuko wake?
Nadia alitoa tabasamu dogo.
" Unadhani sana ya kujua kila kitu lakini nasikitika kukwambia kuwa haiwezekani kujua kinachoendelea kati yangu na kabir.
" Kwahiyo kuna siri nzito ipo kati yenu?
" Sina la kujibu ila ni bora ukae mbali na hili.
" Sikiliza Nadia nasema lazima nitajua nini kinachoendelea na ikizidi nitahakikisha mke wa kabir anajua mchepuko wa mume wake. Nitahakikisha anakujua.
Mara amina akaingia .
" Hizi kelele nizanini?
Amina aliwaangalia usoni kwa zamu lakini hakuna alijibu . Jayden aliamua kuondoka na akina akimsindikiza kwa macho.
" Nadia nini kinaendelea?
Nadia alikaa kwenye kochi kama mtu aliechoka.
" Usiniambie leo tena umekuja na mapya.
" Hivi ni kubwa kuliko.
Eheeee....
Amina alikaa kwenye kochi ili kusikiliza
" Kabir ndio boss kwenye kampuni ninayofanyia kazi na amekuja kwa kasi ya ajabu anataka kuendekeza pale tulipoishia.
"Weweeeeeee.....
Amina alipiga kelele
" Acha ujinga kelele za nini?
" Nilikwambia rafiki yangu lazima ulikutana na kabir mambo yanaenda vizuri.
" Hakuna uzuri wowote kama unavyoona vita imeanza jayden ananifuatilia na kutaka kujua kinachoendelea kati yangu na kabir.
" Huyu nae chefuuu ananifuatilia kama nani? Kwani ulimkubalia?
" Hapana .
" Basi achana nae alafu mwambie kabir kuwa kuna kiume chake cha mbegu huku.
" Ni mapema sana kumueleza hivyo hilo linahitaji muda.
" Kujua ndio huki my dear ulichelewa kuuanika utautwanga mbichi.

Siku zilizidi kwenda kabir hakuchoka kumfuata Nadia na kumuomba mashairi matamu ya mapenzi ili kumvutia kwake.
Siku moja kabir alienda ofisini kwa Nadia , alimkuta kasimama moja kwa moja alienda na kumkumbatia.
" Unafanya nini .... Alisema Nadia huku akitaka kujitoa kwenye kumbatio. Lakini haikuwa rahisi kabir alimbana kwa nguvu
" Siwezi kuvumilia nilikuta usiku , nipe dakika moja nikumbatie huenda nitajisikia vizuri.
" Jiheshimu, wewe ni boss alafu ni mume wa mtu.
Mara mlango wa ofisi ya Nadia ulifunguliwa na jayden alizama ndani na kukuta wamekumbatiana.
" Hivi ni nini kinaendelea kati yenu nyie wawili?
Jayden alijikuta aliuliza kwa sauti ya ukali.
Kabir alivunja kumbatio na kumgeukia .
" Unauliza kama nani? Kaka, mjomba au baba yake Nadia?
" Wewe ni mume wa mtu kabir hiki unachofanya sio.
" Kwani mke wangu alikuwa kibarua cha kunilinda au kunichunga ninachofanya?
Hivi kwa nini kila anapokuwa Nadia na wewe upo kwani umekuwa kimvuli chake?
Jayden alijikuta anashindwa kujizuia alipaniki na kutaka kumvamia kabir.
Nadia akasimama katikati ya wanaume hao wawili, machozi yakianza kutoka. “Acheni! Kabir, Jayden… sihitaji vita hapa. Hii ni kazi tupo kazini sitaki mfaidishe watu.

Kabir alimgeukia Nadia kisha akaingia kwa sauti nzito.
“USema hivyi Nadia lakini moyo wako unasema vingine kabisa.
Jayden alikuwa na hasira mpaka akarudia simu ukutani, ikapasuka. “Moyo wake sio mali yako Kabir! Na nitahakikisha unajua kuwa Nadia ni wangu. Wewe nenda katulie na mke wako ambae haujamaliza nae hata miezi sita.
" Nimeshasema mambo ya familia yangu hayakuhusu. Nataka ujue huyu Nadia nimeanza kumfahamu kabla yako au kabla ya huyo unasema ni mke wangu.
Nadia alisimama katikati yao huku akiwa anawaangalia wanavyotupiana maneno.

Nadia alifuta machozi haraka, akapumua kwa nguvu.
“Sitaki kumuumiza mtu yeyote lakini msinilazimishe kutoa maamuzi yangu.
Aliongea Nadia kisha akaondoka na kuwaacha ofisini. Kabir aliondoka akamuacha jayden akiwa haelewi .
" Hawa wamekutana lini na Nadia kampa nini kabir mpaka anasahau kuwa ni mume wa mtu na heshima yake hapa
Nadia alikaa akafikiria sana akaona mwisho wa siku mambo yanaweza kuwa magumu . Alimuomba jayden waongee ili kuweka mambo sawa.
Baada ya kazi walienda kukaa sehemu wakapata chakula.
" J kuna jambo nataka kuongea na wewe na naomba unielewe kwa jicho ninachokwambia.
" Ongea nakusikiliza ila usiniambie kuwa unampenda kabir na mimi ukanipotezea.
" Nataka kukwambie ukweli .
Jayden alitulia kimnya huku akiwa anamuangalia .
" Kabir ni baba wa mtoto wangu .
Jayden alishituka Alitaka kuongea lakini alijikuta anapata kigugumizi.
" Kwahiyo inakuwaje sasa Nadia, mimi mahitaji kuwa na wewe.
" Kabir hebu acha hili swala liende taratibu na kabir ajue kuhusu mtoto wake baada ya hapo.....
" Unamaana kabir hajui kuwa una mtoto nae?
" Ndio
" Basi naomba usimwambie kaa kimnya hivyo hivyo.
" Unamaanisha nini kusema nikae kimnya.
" Wewe tulia mimi nitajua la kufanya na pia nakuomba sana, nakuomba Nadia usirudishe mapenzi yako kwa kabir yeye ni mume wa mtu hata Kupa mapenzi ya kweli zaidi atakufa ya mwanamke wa kando hautakuwa na thamani , tofauti na mimi nitakupa thamani na heshima kama mke wa mtu.
Nadia alimuangalia jayden na kushusha pumzi ndefu.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA 13 13---14


Nadia alishindwa kuendelea kukaa pale ofisini alinyanyuka na kutoka huku kabir akiwa anamsindikiza kwa macho na kusahau kama Jayden yupo pale.
" Vipi kuna tatizo? Jayden aliuliza
" Hapana.
Jayden valimuonyesha sehemu ya kusain kisha akatoka na kuelekea moja kwa moja ofisini kwa Nadia.
" Vipi Nadia kuna jambo lina kusumbua?
" Hapana.
" Unajua haipaswi kujificha kitu Nadia.
" Naomba uniachie nataka kukaa pekee yangu .
" Kuna kitu kinaendelea kati yako na kabir na ndio maana siku ile kwenye sherehe ulikuwa huna amani hata kidogo.
Nadia hakuwa na cha kujitetea alinyamaza kimnya.
" Una uhusiano nae kimapenzi?
" Hapana.... Alijibu Nadia kwa sauti ya ukali.
Jayden nimesema toka ofisini kwangu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-13-13-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA  13---14
MIMBA YA DHARURA 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest