Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA 12
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Waliongea huku Jayden wakisisitiza kupewa nafasi ya kumlea Tawakal. Lakini jibu la Nadia lilikuwa
" Muda ukifika kila kitu kitaenda sawa.

Siku zilienda Jayden waliongeza kumjali Tawakal na alionyesha mapenzi ya dhati kwa mtoto alinunua kila kitu kinachohitajika kwaajili ya mtoto.

Siku moja watu wakiwa kwenye ofisi zao wakifanya kazi kiliitishwa kikao .
" Boss wamerudi anataka kukutana na wafanyakazi wote.
Ilikuwa ni sauti ya wafanyakazi.
" Kwani Boss alienda wapi? Mbona kila siku yupo . Aliuliza Nadia.
" Hassan sio boss alikuwa kwa muda boss mwenyewe ndio karudi na anataka kuongea na wafanyakazi wote.

Watu wote waliingia kwenye chumba cha mkutano, kila mmoja akakaa kwenye sehemu yake wakisubiri boss aingie.
Baada ya dakika kadhaa alingia kabir na kwenda kukaa kiti cha mbele na kuwaangalia wote.
Nadia alipomuona kabir moyo wake ulishituka alimtolea macho kama mjusi alibanwa na mlango.
Chumba kizima kilikuwa ukimya wa ghafla. Macho ya wafanyakazi wote yalielekezwa kwa Kabir, lakini moyo wa Nadia ndiyo uliokuwa unadunda kwa kasi isiyo ya kawaida. Alijikuta akishusha pumzi nzito, akitetemeka mikono huku akijizuia kumwangalia moja kwa moja.

“Karibuni nyote. Kabir alianza kwa sauti yake ya kujiamini, akitazama kila mmoja kwa makini.
“Najua muda mrefu nimekuwa mbali, lakini sasa nimerudi rasmi kushika tena nafasi yangu.
Wafanyakazi wakapiga makofi ya furaha. Wengine walibaki kumtazama kwa heshima, wakionekana kufurahia kurejea kwake. Lakini Nadia hakuwa na hata chembe ya furaha badala yake, moyo wake ulikuwa kama unavunjwa vipande vidogo.
Jayden aliyekaa upande wa pili alimgeukia Nadia . Aliona jinsi Nadia alivyokuwa akitetemeka, macho yake yakiwa hayana amani. Alihisi kitu kisicho cha kawaida, lakini hakusema neno.

Baada ya kikao
Wafanyakazi walitoka mmoja baada ya mwingine. Nadia alijaribu kujipenyeza katikati ya wenzake ili asiweze kuonana na Kabir. Lakini ghafla akasikia sauti nzito nyuma yake:
“Nadia… njoo ofisini kwangu, nataka kuongea na wewe.
Mwili mzima wa Nadia ulitetemeka. Wenzake wakamgeukia kwa mshangao, wengine wakaanza kunong’ona. Jayden akabaki akimwangalia kwa macho ya kuuliza, lakini hakuwa na uwezo wa kuuliza chochote.
Nadia aliingia ofisini kwa Kabir alisimama mbele ya meza.
" Kaa kwenye kiti. Alisema kabir huku akimuangalia kwa makini.
Nadia alikaa kwenye kiti mbele yake huku mikono yake ikitetemeka. Kabir alimwangalia kwa makali.
“Nilidhani sitakuona tena, Nadia…” Kabir alianza kwa sauti ya chini .
" Hata mimi sikujua kama tutakuwa kuonana tena. Imekuwa kama ajabu kwangu na tena wewe ni boss wangu.
Nadia aliongea huku akijaribu kujifichahisia zake lakini sauti yake ilitetemeka.
Kabir macho yake kunuangalia Nadia na kujaribu kusoma hisia zake.
“Kwani ulitarajia nini, Nadia?” aliuliza kwa sauti tulivu lakini nzito. “Ulikimbia kana kwamba mimi ni adui yako, kumbe nilikufanyia nini cha kukufanya unitoroke bila kuonana na mimi?
" Nilijaribu sana kutaka kuonana na wewe ili tuweke sawa tofauti zetu lakini hukunipa hiyo nafasi Nadia.
“Kabir mambo mengi yamepita. Sitaki kuyafufua. Maisha yangu yamebadilika sana .
Kabir alinyanyuka pale kwenye akasogea mbele kidogo, akiegemea kwenye meza yake huku macho yake yakimtazama Nadia kwa hali flani.
“Badiliko lolote halitafuta ukweli, Nadia. Na ukweli ni kwamba bado nakukumbuka. Kila siku, kila saa, kila dakika nimekuwa na kufikiria wewe na hasa lile tukio zima lililotokea ule usiku.
Maneno hayo yakamchoma Nadia kama sindano moyoni. Alitamani kusimama na kuondoka, lakini miguu yake ilikuwa mizito.
“Usinifanye nikumbuke mambo ambayo nimehangaika sana kuyafuta kwenye akili yangu,” alisema kwa sauti ya chini, macho yake yakiwa na ukungu wa machozi.

Kabir alinyamaza, alimuangalia kwa muda mrefu kana kwamba alikuwa akisoma nafsi yake. Kisha akainua mkono wake, akashika faili lililokuwa mezani,
“Kwa sasa wewe ni mfanyakazi wangu. Lakini usisahau… hata kabla ya kazi hii, ulikuwa mtu cha thamani zaidi kwangu.”
Nadia alibaki amekaa, moyo wake ukipiga kwa kasi. Maneno ya Kabir yalikuwa yakimvuruga. Na ghafla mlango ukagongwa na Jayden akaingia bila kuruhusiwa, macho yake yakizunguka usoni kwa Nadia na Kabir kama vile anasoma kitu.
“Boss, kuna mambo ya kusaini…” alisema Jayden kwa heshima, lakini akabaki akimtazama Nadia kwa makini.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA 12


Waliongea huku Jayden wakisisitiza kupewa nafasi ya kumlea Tawakal. Lakini jibu la Nadia lilikuwa
" Muda ukifika kila kitu kitaenda sawa.

Siku zilienda Jayden waliongeza kumjali Tawakal na alionyesha mapenzi ya dhati kwa mtoto alinunua kila kitu kinachohitajika kwaajili ya mtoto.

Siku moja watu wakiwa kwenye ofisi zao wakifanya kazi kiliitishwa kikao .
" Boss wamerudi anataka kukutana na wafanyakazi wote.
Ilikuwa ni sauti ya wafanyakazi.
" Kwani Boss alienda wapi? Mbona kila siku yupo . Aliuliza Nadia.
" Hassan sio boss alikuwa kwa muda boss mwenyewe ndio karudi na anataka kuongea na wafanyakazi wote.

Watu wote waliingia kwenye chumba cha mkutano, kila mmoja akakaa kwenye sehemu yake...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura
 MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA  13---14
MIMBA YA DHARURA 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest