Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA 5
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nadia alifika nyumbani kwao akapokea kwa furaha na wazazi wake.

Baada ya wiki mbili kupita tangu Nadia arudi nyumbani kutoka vacation, maisha yake yalionekana kuendelea kama kawaida. Alijaribu kusahau kilichompata lakini moyoni mwake bado alihisi pengo kubwa maana hata mchumba wake alikuwa anajua yeye ni mwanamwari na hakujua anajibu nini siku alikutwa hana bikra.

Siku moja jioni Nadia alikuwa jikoni akiandaa chakula cha usiku mama yake alimuita sebuleni.
" Nadia mama....
" Abeee...
" Bado haujamaliza kupika?
" Nimemaliza namalizia kufuta futa.
" Fanya uje nina maongezi na wewe .
" Sawa.
Baada ya dakika chache Nadia alienda sebleni alimkuta mama yake
uso wake ukiwa na tabasamu la furaha.
" Kuna nini mama ?
" Njoo ukae hapa. Nadia alikaa pembeni ya mama yake huku akimuangalia usoni kwa makini.
“Nadia mwanangu, kuna habari njema.
" Habari gani?
"Jawad amekuja kuzungumza na baba yako. Anataka mwezi ujao tufanye harusi yenu.
Nadia alibaki ameduwaa, moyo wake ukiganda , alimuangalia mama yake moja kwa moja.
“Mama… mwezi ujao? Mbona haraka sana?” aliuliza kwa sauti ya mshangao.
Mama yake alitikisa kichwa.
“Harusi ni heri, mwanangu. Kwa nini tusubiri tena? Jawad yupo tayari. Familia zote zimekubaliana hivyo .

Nadia alihisi dunia ikizunguka. Moyoni mwake kulikuwa na umesinyaa kwa zile taarifa, lakini kwa uso wake alilazimisha tabasamu dhaifu.
“Mama bado nina mitihani ya chuo. Na pia… nadhani hatujaandaa vya kutosha. Labda tusubiri kidogo.
" Unajua Jawad anakupenda sana na amejichimbia kwa muda mrefu tangia ulipomaliza kidato cha nne na sasa hakuna kipingamizi tena mwanangu.
" Lakini mama
Kwanini msinipe uhuru wa mimi kumaliza masomo yangu na hata nipate kazi ndio hayo mengine yote yaendelee?

Kabla mama yake hajaongea chochote baba yake aliingilia kwenye mazungumzo yao kwa sauti nzito akasema.
“Hapana Nadia, tumeshaamua. Utamaliza mitihani yako baada ya hapo maandalizi yataendelea. Hii ndiyo baraka ya maisha yako.
Hakukuwa na nafasi ya kubishana tena. Nadia alijua mapambano yake ya kujitetea yamefika mwisho kabla hata ya kuanza.
Alinyanyuka na kwenda chumbani kwake.
Alichukua barua ya kabir akirudia kuisoma kwa mara ya nyingine kisha akasema.
" Tangia nikutanie na kabir najikuta sitamani tena kuwa na Jawad nahisi kabir ndio mwanaume sahihi kwangu.
Kesho yake Nadia alienda kukutana na dada yake.
" Hakuona bibi harusi mtarajiwa.
" Dada sitamani hii ndoa .
Zakia alimuangalia huku akiwa kakunja uso wake alafu akauliza.
" Kwanini?
" Unajua sijawahi kuwa na hisia na jawadi ni shinikizo la wazazi wamenichsgulia mwanaume sababu ya kujuana kwao tu na kuendeleza urafiki wao.
" Lakini Jawad anakupenda sana na kumbuka amekuwa akikutunza tangia zamani. Na wewe ulikubali.
" Nilikubali kwakuwa nilikuwa sijui lolote kuhusu mapenzi, kupenda na niliona sawa kwa kila kitu lakini sasa naelewa kila kitu juu ya swala zima la kupenda.
" Nadia usiniambie kuwa unampenda mtu mwingine.
" Sijasema hivyo.
" Naomba uridhie ndoa yako na Jawad usitake kuudhi wazazi.
Nadia alitulia kimnya.
" Hata mimi sipo upande wako na sikuungi mkono kabisa kwenye hayo mawazo yako. Tena mlaani shetani huenda sio akili yako.

Siku zilienda Nadia alifanya mtihani wake wa mwisho .
Baada ya kumaliza mitihani yake ya chuo Nadia alianza maandalizi kwaajili ya harusi yake na Jawad . Alianza kuzunguka madukani na mama yake kutafuta nguo, viatu na mapambo ya harusi. Alijitahidi kucheka na kuonekana mwenye furaha, lakini moyoni mwake kulikuwa na mzigo mzito.
Mara kwa mara walipokuwa kwenye mizunguko Nadia alihisi kuchoka sana, mwili ulipoteza nguvu. Kila alipojaribu kumweleza mama yake, alijibiwa kwa urahisi:
“Ni kawaida mwanangu. Maandalizi ya harusi ni shughuli kubwa, kila msichana hupitia haya hiyo ni hofu tu ya ndoa . Ndoa ikipita utakuwa sawa.
Hata mimi kipindi nataka kufunga ndoa na baba yako nilikuwa na hofu sana mpaka nilikonda.
Nadia akanyamaza, akijifariji kuwa ni kweli. Hakuwahi kufikiria zaidi ya hapo.

💍Hatimaye siku kubwa ilifika. Nyumbni kwa kina Nadia kulipambwa kwa mapambo mazuri, wageni walijaa kila kona, muziki ulipiga kwa shangwe. Nadia alivishwa gauni la kifahari, sura yake ikipambwa kwa tabasamu la bandia huku moyo wake ukiwa na hofu isiyoelezeka.
Marafiki na ndugu walimtia moyo kwa kumwambia hiyo ni kawaida na ajitahidi sana kuficha hofu yake kwa tabasamu.
Baada ya muda magari ya kutoka upande wa bwana harusi yaliingia , watu walichungulia madirishani.
" Mashaallah bwana harusi kapendeza sana yani hii ndoa mbona itafana.
Nadia alivyosikia hivyo moyo wake ulidunda kwa kasi huku kijasho chembamba kikimtoka .
Walifunika na mitandio mwepesi huku akiwa kainama. Watu waliimba na kufurahi.

Kwa upande wa Nadia mambo yalianza kubadilika dakika chache kabla ya kufungishwa ndoa. Nadia alianza kujisikia vibaya ghafla. Jasho jingi lilianza kumtiririka mwilini kana kwamba amemwagiwa maji. Mapigo ya moyo yake yalikuwa yanadunda kwa kasi mno.
“Mama… sijisikii vizuri,” aliongea kwa sauti dhaifu.
Kabla hata hajamaliza maneno, mwili wake ulilegea, macho yakafunga, na akapoteza fahamu mbele ya wageni wote. Sherehe ikasimama ghafla, makelele ya furaha yakabadilika kuwa vilio na mshangao.
" Jamani mwanangu ... Mama Nadia alilia huku akipewa na kanga .
" Nadia, Nadia mwanangu fungua macho....
Wengi walijua huenda Nadia amefariki .
" Mmmmmh kwenye hii dunia kuna ushirikina sana kigagura wameshafanya yao.

Taarifa ziliwafikia wanaume ikabidi zoezi la kufungisha ndoa liahurishwe Jawad alinyanyuka haraka na kukimbilia chumbani kwa bibi harusi wake.
Alimkuta Nadia Kalala huku watu wakiwa wamemzunguka.
" Hebu pisheni , nipeni nafasi...
Nadia, Nadia naomba uamke usijifanye hivyo nilisubiri sana hii siku amka Nadia....
" Jamani pisheni tumuwahishe hospitali.
Alisema mwanaume mmoja wakambeba na kumkimbiza hospitali.
Walifika hospitali walipokelewa na Nadia akakimbizwa wofldini na kuanza kufanyiwa vipimo huku nje kila mtu alikuwa akiomba dua yake, Jawad akili yake haikuwa sawa alihisi kuchanganyikiwa msimamizi wake alikuwa pembeni yake akimfariji.

Baada ya muda mfupi, Nadia alifumbua macho yake akajikuta yupo kwenye kitanda cha hospitali na Mama yake alikuwa pembeni akimshika mkono kwa hofu, baba yake akizunguka huku na kule akiuliza madaktari.
Daktari alifika na kusema kwa sauti tulivu
“Msihofu sana. Nadia yupo salama. Amechoka....
" Uchovu tu ndio awe hivi? Aliuliza baba Wakati huo Nadia alikuwa akimuangalia daktari huku akiwa na hofu
"Tatizo sio hilo pekee. Tumefanya vipimo na tumegundua kuwa ni mjamzito wa mwezi mmoja na wiki kadhaa.

Maneno hayo yalitua kama bomu. Mama yake akashika kichwa, baba yake akakosa nguvu ya kusimama, na Nadia akabaki akitazama dari la hospitali machozi yakimtiririka.
Mimba aliyodhani ni siri moyoni mwake sasa ilikuwa imetangazwa mbele ya kila mtu. Na mbaya zaidi, ilikuwa mimba ya vacation na muhusika ni kabir mwanaume asiejulikana anaishi wapi na atampataje.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA 5



Nadia alifika nyumbani kwao akapokea kwa furaha na wazazi wake.

Baada ya wiki mbili kupita tangu Nadia arudi nyumbani kutoka vacation, maisha yake yalionekana kuendelea kama kawaida. Alijaribu kusahau kilichompata lakini moyoni mwake bado alihisi pengo kubwa maana hata mchumba wake alikuwa anajua yeye ni mwanamwari na hakujua anajibu nini siku alikutwa hana bikra.

Siku moja jioni Nadia alikuwa jikoni akiandaa chakula cha usiku mama yake alimuita sebuleni.
" Nadia mama....
" Abeee...
" Bado haujamaliza kupika?
" Nimemaliza namalizia kufuta futa.
" Fanya uje nina maongezi na wewe .
" Sawa.
Baada ya dakika chache Nadia alienda sebleni alimkuta mama yake
uso wake ukiwa na tabasamu la furaha.
" Kuna...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura
 MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA  13---14
MIMBA YA DHARURA 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest