Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA 15
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Misukosuko haikuishia kati ya kabir na jayden mara kwa mara walikuwa wakipishana kauli. Nadia akiona hali inaenda kuwa mbaya aliamua kuchukua maamuzi magumu .
Siku hiyo alitoka ofisini kwake akaenda ofisini kwa kabir.
" Karibu sana mwandani wa moyo wangu.
Nadia akiweka barua mezani kwa kabir.
" Boss hii ni barua yangu ya kuacha kazi.
Kabir alimuangalia usoni kwa makini kisha akachukua ile barua na kuisoma.
" Nini sababu ya wewe kuacha kazi?
" Nilijua mambo yanaenda sawa lakini naona kila siku zinavyoenda mambo yanazidi kuwa magumu kelele kati yako na jayden haziishii.

Kabir alimuangalia kisha akaichana ile barua na kutupia vipande vya karatasi kwenye dastbin.
" Naomba unipe muda wako , naomba jioni tukapata pamoja chakula cha usiku.
Nadia alimuangalia huku akiwa anajiambia.
" Sasa muda wa kumueleza ukweli umefika.
" Vipi unafikiria nini?
" Sasa nipo tayari .
" Asante kwa kukubali ombi langu.

Ilifika muda wa kutoka kazini Nadia alirudi kwanza nyumbani kwake kumuangalia mtoto wake .pia hakutaka kutoka akiwa kavalia mavazi ya kiofisi . Aliingia bafuni akaoga na kujiweka vizuri.
Alichukua gauni lake safi na zuri akavaa , alichukua pochi yake ndogo kisha akaondoka na kuelekea hotel ya Rose garden.
Alifika na kumkuta kabir ameshafika alikuwa akimsubiri.
" Pole kwa kuchelewa.
" Usijali .
Muhudumu alifika hadia aliagiza kinywani na chakula .
" Nimeitikia wito nakusikiliza boss wangu.
Wakati Nadia anaongea macho yake yalikuwa yakimkagua kabir jinsi alivyokuwa kapendeza . Kusema kweli kabir alikuwa ni bonge la mwanaume, anakipenda na kujijali. Yani ukimuangalia tu mwili wako unasisimka.
" Nadia nina mambo mengi ya kuongea na wewe kwanza kabisa naomba nikuombe msamaha kwa kile kilichotokea kipindi kile porini.
Nilitamani niongee kitu na wewe lakini hukunipa nafasi , kama ungenipa nafasi basi nisingepitia misukosuko niliyopitia na wala haya yote yasingetokea.
" Umepita misuko siko gani?
“Nadia… hujui nimepitia
Siku niliyoondoka pale hotelini nilihusi nimeacha kitu kikubwa sana huko nyuma.
Nilitamani kujua ulipo kuna muda nilienda dar nikikupa matumaini naweza kukuona lakini haikuwa rahisi nilikata tamaa na kurudi Arusha.
Yani kuna wakati nilihisi napagawa hakuwa chizi kwaajili yako Nadia
Ndugu zangu waliona kama nachanganyikiwa wakaamua kunilazimisha kuowa Ndio maana hata ndoa yangu haikuwa chaguo langu. Nilikaa nikijifariji labda ipo siku nitakutana na wewe.
Siku niliyokuona nilihisi mwili mzima kupata ganzi, kwanza sikuamini kama wewe ndio ipo kwenye sherehe yangu ya harusi. Nilikosea furaha mpaka mke wangu akajua sipo sawa.
Nadia leo hii umekaa mbele yangu, unanifanya niamini miujiza ipo.” sasa hebu niambie kuteseka kote huko leo hii nikuache uende kwa Jayden?

Maneno yale yalimgusa Nadia moja kwa moja moyoni. Hisia zilizokuwa zimefichwa kwa muda mrefu zikafufuka kama moto uliokuwa unataka kuzima alafu upepo ukaufufua tena. Machozi madogo yalimtoka bila hata yeye kujua.

Walijikuta wote wakinyamaza, wakitazamana tu kwa muda mrefu. Ndipo Kabir aliponyoosha mkono wake na kumgusa Nadia taratibu. Nadia hakujizuia, alijisogeza karibu zaidi na kabla hajajua walijikuta midomo yao imekutana na kupigana busu zito
Hawakujali tena muda wala sehemu, walijikuta wakihitaji faragha.
Kabir alisimama
" Nisubiri hapa nakuja .
Nadia aliitikia kwa kichwa
kabir alienda kuchukua chumba kwenye ileile hotel waliyokuwa wamekaa.
Baada ya muda kabir alirudi na kunyoosha mkono na Nadia alimpa mkono wake , walishikana mikono yao na kwenda kwenye chumba alichochukua
walijumuika pamoja kwenye ulimwengu wao wa mahaba. Safari hii Nadia hakuaogopa alikuwa huru sana na kabir alionekana kuwa na hisia nzito sana , sauti za mahaba na miguuni ulitawala ndani ya kile chumba.
Usiku mzima uligeuka kuwa wa hisia kali, Ilikuwa kama ndoto ambayo kila mmoja hakutaka aamke

Baada ya mapumziko kadhaa Nadia akawa amejipata juu ya kifua cha Kabir, moyo wake ulijaa wasiwasi na mchanganyiko wa furaha na . Alijua muda umefika. Hakutaka tena kuficha.

“Kabir…” alitamka kwa sauti ndogo
“Hmmm, my love…” Kabir alimjibu huku akipapasa nywele zake.
" Lakini wewe una mke ujue.
" Usijali kuhusu hilo mimi nitakua nini cha kufanya.
" Au unataka kunifanya mchepuko?
" Kamwe haitawezekana wewe ni nafasi yangu ya kwanza lazima nifanye halali.
" Unataka kumuowa mke wa pili?
" Ndio nadhani dini yangu inaruhusu.
" Vipi mkeo atakubali?
" Haitajalisha amekubali au amekataa nitaangalia msimamo wangu na uzuri anajua iuwa kuna mwanamke nampenda anaitwa Nadia.
Nadia hakuamini kwa haraka maneno ya kabir akimchukulia kama wanaume wengine na porojo zao.

Nadia akavuta pumzi ndefu.
“Kuna kitu muhimu sana nataka nikueleze. Naomba usinishangae, naomba usinihukumu ila ni lazima ujue.”
Kabir akatazama uso wake kwa makini. “Nadia, niambie. Hata iwe nini, nitakuelewa.”
" Nataka ujue mimi ni mama , nimezaa na nina mtoto wa kiume.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA 15



Misukosuko haikuishia kati ya kabir na jayden mara kwa mara walikuwa wakipishana kauli. Nadia akiona hali inaenda kuwa mbaya aliamua kuchukua maamuzi magumu .
Siku hiyo alitoka ofisini kwake akaenda ofisini kwa kabir.
" Karibu sana mwandani wa moyo wangu.
Nadia akiweka barua mezani kwa kabir.
" Boss hii ni barua yangu ya kuacha kazi.
Kabir alimuangalia usoni kwa makini kisha akachukua ile barua na kuisoma.
" Nini sababu ya wewe kuacha kazi?
" Nilijua mambo yanaenda sawa lakini naona kila siku zinavyoenda mambo yanazidi kuwa magumu kelele kati yako na jayden haziishii.

Kabir alimuangalia kisha akaichana ile barua na kutupia vipande vya karatasi kwenye dastbin.
" Naomba unipe...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura
 MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA  13---14
MIMBA YA DHARURA 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest