Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA 7
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Siku ile haikuwa ya kawaida kwa Nadia. alikuwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa alikuwa na imani anaenda kutafuta mwanga mpya wa maisha yake na ya mwanawe.
Akitoka na kuchukua usafiri wa pikipiki ukampekeka mpaka kwenye kampuni moja ya simu. Alishika kwenye pikipiki akasimama huku akiangalia lile jengo huku akiomba dua aweze kupata kazi baada ya kuzunguka na vyeti vyake kwa muda na bila mafanikio.
Alipiga hatua kwa ujasiri japokuwa ndani yake hofu ilimtafuna.
Alijipa moyo kwa kusema
“Usiogope Nadia kumbuka unatafuta riziki sio kwa ajili yako peke yako bali kwa ajili ya malaika wako mdogo. Hii ni hatua ya mwanzo.

Nadia akavuta pumzi ndefu, wakaingia ofisini. Walikaa kwenye viti vya kungojea zamu ya kuingia chumba cha usaili. Baada ya muda, sekretari akawaita mmoja mmoja.
Nadia akabaki akihisi tumbo linacheza kwa wasiwasi. Wakati anasubiri, kijana mmoja nadhifu, mwenye suti ya kijivu ya heshima na sura ya upole, aliketi karibu naye.
“Habari yako dada?”
Nadia akahema, akajibu kwa heshima:
“Nzuri,
“Umefika kwa ajili ya nafasi ya kazi?” aliuliza kwa upole huku akimtazama kwa macho yenye upendo.
“Ndio, natumai Mungu atanijalia leo.”

Kabla mazungumzo kuendelea, sekretari akaita jina lake:
“Bi. Nadia, tafadhali ingia.”
Moyo wa Nadia ukadunda kwa nguvu. Aliingia ndani ya chumba cha mahojiano. Ndani aliketi jopo la watu watatu mwanaume mmoja mzee, mama wa makamo, na kijana mmoja aliyeonekana kuwa boss mdogo wa kampuni hiyo.
Aliulizwa maswali mengi kuhusu elimu yake, uwezo wake wa kufanya kazi, na ndoto zake za baadae. Ingawa mara nyingi alijikuta akitetemeka, kila mara alipojibu alikumbuka uso wa mtoto wake Tawakal na kupata nguvu mpya.

Mwisho wa mahojiano, yule boss kijana akamuuliza swali moja lililomgusa zaidi:
“Kwa nini unataka hii kazi, Bi. Nadia?”
Alikaa kimya kwa sekunde chache, kisha akajibu kwa ujasiri.
“Kwa sababu nina mtoto mdogo ambaye nataka nisimame kwake kama mama jasiri anayepambana. Sitaki amkute mama dhaifu aliyeachwa na dunia. Nataka amkute mama atakayeweza kumsomesha, kumlisha, na kumfundisha maana ya kupigania maisha.
Chumba kizima ukanyamaza. Maneno yake yaligusa mioyo ya wote waliokuwepo.
" Asante miss Nadia unaweza kwenda tutakutafuta.
Nadia alitoka pale, hakuwa na hakika kama atapewa kazi ama la. Alienda nje akawa amesimama akitafakari afanye nini .

Siku mbili zilizofuata Nadia alikuwa anasubiri kwa hamu. Hatimaye, simu yake ikalia. Ilikuwa kutoka kwa kampuni alivyofanyiwa interview mara ya mwisho.
“miss Nadia, tunafurahi kukujulisha kwamba umepitishwa. Tafadhali fika kesho kuanza kazi rasmi.
" Asante.
Nadia alipiga kelele ya furaha. Amina akakimbia kutoka chumbani:
“Nini tena rafiki yangu?”
Nadia akamkumbatia kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtiririka.
“Amina… nimepata kazi! Hatimaye nimepata kazi!”
Wote walifurahi wakalia na kushangilia. Kwa Nadia, hiyo haikuwa tu kazi bali ilikuwa mwanzo wa hadithi mpya ya matumaini, mapambano.

Kesho yake Nadia alienda kuanza kazi kwenye idara ya masoko alikabidhiwa ofisi yake mpya na kuanza kazi.
Nadia alifanya kazi zake kwa bidii na kwa umakini mkubwa sana.
Mkuu wa kitengo cha idara ya masoko Jayden alitokea kuvutiwa sana na utendaji wake wa kazi pia alihisi kuwa na hisia na Nadia. Alianza kwa kumtoa lunch huku wakiwa wanaongea maswala ya kazi.
Ikafikia muda walizoeana sana wakawa kama marafiki staffment.
Siku moja wakiwa lunch jayden alimwambia.
" Nadia kesho jioni kuna rafiki yangu anafanya sherehe baada ya kutoka Fungate na sina mtu wa kwenda nae, unaonaje kama utanipa kampani.
" Samahani Jayden sitaweza "
" Usijifanye hivyo bwana tafadhali nikubalie ombi langu.
" Huo muda natakiwa kuwa na mtoto wangu .
Jayden alimuangalia usoni kwa makini.
" Usinitanie wewe. Inamaana una mtoto?
" Ndio mimi ni mama wa mtoto wa miezi 8.
" Siamini hauonekani kama una mtoto mdogo.
" Ukweli ndio huo.
" Hongera.
" Asante.
" Kwahiyo wewe ni mke wa mtu?
" Hapana am a single mother.
Jayden alitoa tabasamu ambalo lilimpa matumaini flani. Na pia alitaka kujua mambo zaidi.
" Vipi baba wa mtoto .....
" Mr J naomba tusifukue makaburi ila jua mimi ni mama .
" Ok sawa . Vipi kuhusu ombi langu?
" Nitaongoza na na wewe ila kitachukua muda mrefu nitawahi kurudi kwaajili ya mtoto wangu.
" Sawa.
Walimaliza kupata chakula wakarudi kazini kila mmoja alienda kwenye ofisi yake wakati Nadia anaelekea ofisini kwake akipishana na mwanaume mmoja alikuwa akiongea na simu Nadia alipomuangalia usoni moyo wake ulipuke.
Walipishana na yule mwanaume Nadia aligeuka tena kumuangalia .
" Hapana sitaki kuamini kama ni yeye.

Full 1000
Whats 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA 7



Siku ile haikuwa ya kawaida kwa Nadia. alikuwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa alikuwa na imani anaenda kutafuta mwanga mpya wa maisha yake na ya mwanawe.
Akitoka na kuchukua usafiri wa pikipiki ukampekeka mpaka kwenye kampuni moja ya simu. Alishika kwenye pikipiki akasimama huku akiangalia lile jengo huku akiomba dua aweze kupata kazi baada ya kuzunguka na vyeti vyake kwa muda na bila mafanikio.
Alipiga hatua kwa ujasiri japokuwa ndani yake hofu ilimtafuna.
Alijipa moyo kwa kusema
“Usiogope Nadia kumbuka unatafuta riziki sio kwa ajili yako peke yako bali kwa ajili ya malaika wako mdogo. Hii ni hatua ya mwanzo.

Nadia akavuta pumzi ndefu, wakaingia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura
 MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 4
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA  13---14
MIMBA YA DHARURA 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest