Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BILIONEA NDANI YA HOTELI 49/50     (  SEASON THREE)
Gonga94 · Stories

BILIONEA NDANI YA HOTELI 49/50 ( SEASON THREE)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.




“kwan si umesema alikuwa anatoa mimba unakuja kuniuliza nini tena hapa” recho alimjibu huku anainuka kuhama hilo eneo ,, Rahul akamvuta mkono

“okay Samahan kwa yale niliyoyasema mwanzo sikujua kama ni Vicky ,,Vicky ni mwanamke wa thamani sana kuliko hataa pumzi zanguu,,tafadhal nijuze alikunywa nini na ilikuwaje akanywa”

Recho alimtazama chinii akampandish juu ‘juice mfyuu” recho akamsonya huku anageuka pembeni akamtupia na jibu lake
“juice?? Hakuna kingine maana doctor wanasema ametumia dawa za kuharibu mimba”

Recho ndo akashtuka hakuwa anaelewa nini kinaendele tangu mwanzo unasema ninii wewee??”

“juice ndio ilikuwa kitu cha mwisho au kuna kingine alitumia “
“noo ,ni juice ndio na baada ya kunywa ndio tumbo likaanza kumuuma “

“juice gani na aliitoa wapi”

“juice ya mtunda aliletewa na rafiki yake” recho aliishiwa pozi baada y kupokea maelezo y kutosha kutoka kwa Rahul ,, ilikuwa inakuja inakataa sasa kwanini yule mtu amuwekee dawa
Rahul akamuuliza hiyo juice ipo akasema ndio hakuimaliza akamwambia twende tukaichukue ifanyiwe uchunguzi ,, waliondoka haraka kurudi nyumban , wakachukua juice ,,, wakati wamefika getin kuingia hospital walikutna na alberto nae ndio alikuwa anafika akamuwahi recho kumuuliza vipi hali ya abby , akamwambia ndio ameingizwa kwenye upasuaji

Rahul akamsogele boss wke akamwambia nenda nyumbani kwa masha kachukue ile saa yako ulio mpatia kipindi kile then njoooo nayo hapaa

Alberto akaona huyu nae namchanganyia mada tu hapaa akasema siwezi Kwenda hukoo

Rahul akamsogelea kwa hasira akamkaba koromeo kwa nguvuu mpaka albrto akanza kukohoa yaan Rahul kama kachanganyikiwa et hata alberto limshngaa haijawahi kutokea ,, akamwambia kwa kufok nenda kaichukue ile saa njoo umpe Vicky ,, alberto akasema vickyy ,,Vicky ganii ??”

50 ( SEASON THREE)

“okay ni abby,,, iwe abby awe Vicky whatever kalete ile saaa kabla ya jua halijachomoza ,, akamsuukuma alberto hajawwahi kumuona hivi Rahul ikabidi achuke gari Kwenda nyumbni kwa masha hakuwa anataka hata kidogo kuonana na masha ..

Aligonga geti kwa muda likafunguliwa na maria akamuuliza bos wako yupo wapi akampa maelezo kilichotokea ,, akili yake ilikuwa inamuwaza tu Vicky wakati huo akauliza u hoosptal aliyopelekwa masha ili akitulia aende kumuona ,, akaingia chumbani kwa masha akasasambua kila kona kutafuta saa ,, kweli aliikuta kwenye dro za dresstabble …
Akaichukua fast na kutoka kurudi hospital ,,,,

alikutan na Habari njema ambazo hatokuja kusahau hisia alizo pata hapo ,, akapewa tarifa abby amejifungua mtoto wa kike na ametoka salama hakuna ambae taarifa hizi hazikumfurahisha kila mtu alifurahi lakini alberto yeye ilikuwa mara elfu yaoo ,, wakaomba kumuona mama wakaambiwa watamuona baada ya masaa nane ndio atakuwa sawa ataweza hata kuongea kwa sasa hivi haruhusiwi kuongea

Alberto aliomba sana Kwenda kumuon mtoto alikuwa chumba cha uangalizi wa Watoto,, wakingia kumtazama mtoto ,,,

“Mungu wanguuu!!!!”recho ndio alikuwa wa kwanza kustuka akaziba mdomo wake baada ya kumuona mtoto

“samahani ness ,, sijui umetuchanganyia mtotoo” Me alberto yeye alimuwahi ness aliekuwa anatoka baada ya kuwaonesha kitanda cha mtoto wao

‘”nyie nii ndugu wa Abigael??”

“ndio”

“yeah ndo mwanae huyoo”

Alberto alisogea taratibu mpaka karibu kabisa na kitanda cha mtoto huku anamtazama kwa makini kitu alichokuuwa anatarajia na hichi kipo mbele yake vilimchanganya sanaa ,, Rahul alijikuta anacheka sanaaaaaa ,,

ni yeyee pekeee ndie alikuwa anaelewa mpaka sasa nini kinaendelea,,recho alikuwa kainama chini hajui aulize niiini au aseme ninii moyoni alibak kusema Vicky hadi yeye alimuongopea

Rahul alimuinua mtoto akamshika mikononi akamwangalia kwa ukaribu ,, mtoto alikuwa mzungu puree hakuchanganya hata kwa mbalii sura yake na alberto kama zimetolewa copy ,, midomo pua macho hata masikio yalikuwa alberto mtupuu

Ness akaja na sindano kwa ajili ya kumchoma mtoto ,, akamuangalia alberto

”wewe bila shaka ndio baba wa mtoto aisee kama unamashine hahah hongera una ka bint kazuri sanaaa”

itaendelea....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTELI 49/50 ( SEASON THREE)





“kwan si umesema alikuwa anatoa mimba unakuja kuniuliza nini tena hapa” recho alimjibu huku anainuka kuhama hilo eneo ,, Rahul akamvuta mkono

“okay Samahan kwa yale niliyoyasema mwanzo sikujua kama ni Vicky ,,Vicky ni mwanamke wa thamani sana kuliko hataa pumzi zanguu,,tafadhal nijuze alikunywa nini na ilikuwaje akanywa”

Recho alimtazama chinii akampandish juu ‘juice mfyuu” recho akamsonya huku anageuka pembeni akamtupia na jibu lake
“juice?? Hakuna kingine maana doctor wanasema ametumia dawa za kuharibu mimba”

Recho ndo akashtuka hakuwa anaelewa nini kinaendele tangu mwanzo unasema ninii wewee??”

“juice ndio ilikuwa kitu cha mwisho au kuna kingine alitumia “
“noo ,ni juice ndio na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hoteli-49-50-season-three

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi bilionea-ndani-ya-hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  53__54       (  SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI 53__54 ( SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI  55__56      (  SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI 55__56 ( SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI 45,46,47,48
BILIONEA NDANI YA HOTELI 45,46,47,48
SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTELI EP40
BILIONEA NDANI YA HOTELI EP40
BILIONEA NDANI YA HOTELI  EP 30
BILIONEA NDANI YA HOTELI EP 30
SEHEM YA 14    MWANDISHI ::HURU MEDIA  Bilionea ndani ya hoteli
SEHEM YA 14 MWANDISHI ::HURU MEDIA Bilionea ndani ya hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 17
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest