Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SEHEM YA 14    MWANDISHI ::HURU MEDIA  Bilionea ndani ya hoteli
Gonga94 Β· Stories

SEHEM YA 14 MWANDISHI ::HURU MEDIA Bilionea ndani ya hoteli

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Qassano akamuuliza Vicky ama mumeo ni mkorofi??

Vicky akasema hapana sijaolewa kaka yangu nipo tu nyumbani kwetu.,,,

Qassano akasema basi itakuwa busara kama nikikupeleka kwenu!!"

Vicky alikataa akasema ataenda mwenyewe tu, Qassano nae akakataa kumuacha aende mwenyewe mwisho aliona ngoja akubali tu kuepusha mazozano

Qassano akampigia simu Rahul akamwambia wataonana baadae kuna sehemu anaenda "

"Vipi kwa masha hauta enda mana ananipigia sana simu"

""Nitakwenda baada ya kutoka huku"

"Kuwa makini Kiongozi wanawake wa huku wamejawa tama sana "

Rahul akampa onyo boss wake, Qassano hakujibu alicheka kidogo tu ,
Akakusanya mizigo ya Vicky akatoa mizigo nje akaiweka ndani ya gari

Kisha akamrudia Vicky taratibu akamchukua Vicky kwa kumshika mkono taratibu mpaka ndani ya Gari

Vicky alimwambia anapo ishi, kwakuwa Qassano alikuwa ni mgeni akaamua kuweka Raman itakayo mfikisha hiyo mitaa ambayo Vicky anaishi
Kwenye gari palikuwa kimyaa kila mtu alikuwa akiwaza lake kichwani ..

Qassano aliona sehemu kuna duka la simu akakumbuka Vicky hakuwa na simu akasimamisha gari pembeni

"Unaweza kushuka kidogo "

"Kuna Usalama"

"Yeah tupate chai kidogo "

"Ah usijali kaka yangu usijali niko sawa twende tu"

"Kama wewe upo sawa mimi na mtoto hatupo sawa, inabidi ule kwa sababu yake tu"

Vicky alicheka baada ya kudadavua akilini maneno ya utani ya Qassano ikabidi tu aache ubishi wake ashuke

Kabla ya kuelekea mgahawani ,akashangaa wanaingia ndani ya Duka la simu lipo pembeni ya Mgahawa , hakutaka hata kubishana na Qassano akafata tu nyuma

" simu yako imepotea Angalia simu hapa tuchukue"
Vicky hata hakuongea neno alitembeza macho yake simu itakayo mvutia ,macho yake yakatua kwenye kisimu kidogo Juu ya batani zake kilikuwa kimeandikwa SUNELAN bila shaka hiyo ndio ilikuwa kampuni ya simu

"Aah Vicky angalia ingine hayo makampuni hayajulikani yanashida"

'Lakini kazurii"
Angalia ingine "

Vicky akatembeza jichoo akalidhishwa na simu ingine Imeandika Tecno ,T230 ,Qassano akajikuta anachekea tumboni

Mana alikua Vicky atachagua simu zile kubwaa lakini mambo ya Vicky yanamchekesha tuu

Qassano hakumsemesha tena Vicky aliichukua ile batani alioichagua akailipia Kisha akachukua simu ingine Kampuni kubwa smart phone , ilikuwa ya bei kubwa kweli kweli akailipia zote akazifunga pamoja yaan ile ndogo na kubwa zote akampatia Vicky

"Moja yako moja ya mtoto Never Say No!!"
Vicky akajikuta anacheka sana maneno ya Qassano kwa mbalii Qassano akajikuta anapenda kicheko cha Vicky yaan Vicky akicheka yeye anasikia raha

"Haya twende tukapashe tumbo then nyumbani, lakini kwenu hakuna mbwa wakali eeh mie mgeni hivyoo!!"

"Hahah ndo mana nikamwambia niache niende mwenyewe "

"Wee kwahiyo kuna mbwa wakalii??"

"Wengii"

"Serious????"

"Nakutania hahah"

"Thanks God" Qassano akaweka ishara ya msaraba huku anacheka

Qassano hakumpa nafasi ya kuagiza chai Vicky alijua akimpa nafasi hakawii kuagiza vitu vya ajabu kuogopa bajeti

*******



Recho alishangaa kuona kuna gari ya pesa nyingi inakuja Nyumbani kwao,, akazidi kushangaa ilipo ingia kabisa uwanjani kwao
Akasimama akashika kiuno kuishangaa, mama yake nae alikua jikoni akavutiwa na muungurumo wa gari unaingia kwenye uwanja wao,,, yeye hajui gari ya kitajiri wala masikini kwake yeye gari ni gari

"We gari ya nani hiyoo?" Mama Recho alimuuliza Recho huku macho yake yote yanatazama gari kwa makini

"Sa nitajuaje mimi mama"

"We ndo huishi kuleta vitu vya ajabu ajabu huku ndani"

"Mama Ume........eeeh we Mtoto Mungu wangu wewee "
Recho alikatisha kauli ya kumjibu mama yake baada ya kuona alieshuka kwenye gari

Alikimbia haraka kumuwahi Vicky , na muda huo huo akashuka ,Mr Qassano

"Ulikuwa wapi hupatikani hata kwenye simu??"
Resho akamuuliza huku anamsogelea zaidi ,Mkononi Vicky alikuwa na Ile sindano ya kuwekea Dripu.

Ilimshtua kila mtu kuwa huenda Vicky alikuwa anaumwa

Itaendelea ......
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SEHEM YA 14 MWANDISHI ::HURU MEDIA Bilionea ndani ya hoteli



Qassano akamuuliza Vicky ama mumeo ni mkorofi??

Vicky akasema hapana sijaolewa kaka yangu nipo tu nyumbani kwetu.,,,

Qassano akasema basi itakuwa busara kama nikikupeleka kwenu!!"

Vicky alikataa akasema ataenda mwenyewe tu, Qassano nae akakataa kumuacha aende mwenyewe mwisho aliona ngoja akubali tu kuepusha mazozano

Qassano akampigia simu Rahul akamwambia wataonana baadae kuna sehemu anaenda "

"Vipi kwa masha hauta enda mana ananipigia sana simu"

""Nitakwenda baada ya kutoka huku"

"Kuwa makini Kiongozi wanawake wa huku wamejawa tama sana "...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sehem-ya-14-mwandishi-huru-media-bilionea-ndani-ya-hoteli

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sehem-ya
SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
SEHEM YA 12 πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’—
SEHEM YA 12 πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’—
BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’—  SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’— SEHEM YA 18
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 15
BILLIONEA NDANI YA HOTELI πŸ’—πŸ’—  SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI πŸ’—πŸ’— SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI πŸ’—πŸ’—  SEHEM YA 06
BILLIONEA NDANI YA HOTELI πŸ’—πŸ’— SEHEM YA 06
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 08
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 08
BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’—  SEHEM YA 09
BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’— SEHEM YA 09
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 03
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 03
MTOTO WA BOSS  Sehem ya pili   Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!
MTOTO WA BOSS Sehem ya pili Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯️ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š  πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„           SEHEM YA 34
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯️ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„ SEHEM YA 34
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆ β™₯️ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️  SEHEM YA 09
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆ β™₯️ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ SEHEM YA 09
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 17
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 17
π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ Sehem ya ::03 &04 &5
π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ Sehem ya ::03 &04 &5
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š  πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„         ::  SEHEM YA 40  Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu...
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„ :: SEHEM YA 40 Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu...
π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️    𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š    SEHEM YA 01
π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦__; π‰π€πŒπ€ππˆ π’π€π‹πŒπ€ 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEM YA 01
MTEULE WA KUZIMU  SEHEM YA KUMI
MTEULE WA KUZIMU SEHEM YA KUMI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest