Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

SEHEM YA 12 😄😄😄 BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗

3rd Aug, 2025 Views 65






Mr Qassano aliketi pembeni ya Vicky akaendelea kuangalia mgongo wa Vicky kwa muda sana kichwa kilikuwa kinawaza mengiiiii moyoni anasema mbona ni huyuuu au ndo wawil wawil Dunianiii

Masha huku alijiandaa kisawa sawaaa kumpokea Mr Alberto ,Alitoa wafanyakazi wotee akabaki peke yake , sasa usiku umeingia jumba lake kubwaa yupo peke yakee hakuna mtu hata mmoja Zaidi ya mlinzi wa nje alikuwa Getini ndio eneo lake la kazi

Vyakula alipika akaandaa meza ,Sasa alikuwa juu ya meza peke yake anatazamana na vyakula vyake ...

"Mpaka sa hiziii ,Au Rahul kaamua kuniongopea??" Akachukua simu yake akaweka namba ya Ofisi ya Rahul

Rahul hakuwahi kumpa namba yake ya simu wala kumuonesha anapo ishi ,akiwa na shida apige simu ya Ofisini ndio
Aliambiwa

Aliipiga sana ile simu ya ofisini kwa Rahul inaita tuu bila kupokelewa ,Ilikuwa ni usiku sidhani kama rahul alikuwa bado ofisini

Na kila akipiga namba ya Mr Alberto haikuwa inapatikana namba aliyokuwa nayo ni ya nje ya nchi haiwezi kupatikana akiwa Tanzania

Akaingia WhatsApp piga na kupiga hata online mtu hakuwepo

"Wamenichezea auuu?? Ooh Rahul hakiamungu nakuachisha kazi labda hunijui mimi ni masha sijawahi kukupenda hata kidogo mfyuu"

Meza ilikuwa imejaa vyakula ,hasiraaa zikamjaa akajiona mpuuzi kwelii kwelii,

Alitoka akamuita mlinzi wake akamwambia asafishe meza , mlinzi akabaki anashangaa kazi yake ni nje leo anapewa za ndaniii
Masha kama alijua hilo akamwambia safisha nitakupa malipo ya ziada

Basi mlinzi akaanza kazi ya kusafisha mpaka akamaliza ,Kweli masha akampatia pesa ya kazi hiyo kaka akamshukuru akatoka

Mlinzi kutoka jumba kubwaa hajazoea kulala peke yake amezoea wafanyakazi kibaoo ,
"Kumbe nyumba ndio inatisha hivii,,Siwezi kutoboaa"

Akatoka tena kumuita mlinzi

"Boazi njoo ulale basi huku ndani siwezi kabisa kulala peke yangu naogopa kweli"

Boazi akabisha bisha lakini masha akambembeleza sana akamwambia basi kama unataka nikulipe nitakulipa nakuomba ujee jamani

Mwisho Boazi akakubali kwenda kulala huko ndani ...
Boazi akawa Sebleni juu ya sofa ,masha chumbani ..
Kati kati ya usiku masha kiu kilimshika akainuka kwenda kuchukua maji , wakati anaenda alimpita Boaz amelala

"Duh kitambo sijaona mwanaume amelalaaa" akajisemea huku anamtazama Boazi

Akajikuta anakumbuka wakati ule baada ya kupata Bingo kwa Rahul maisha yakabadilika Gafla Akakumbuka akivyo mkatia bwana wake wa chuo ,

"Yule mjinga sijui anamaisha gani siku hizii lakini alikuwa mtam mmh"

Baada tu ya kuwaza hivyo akajikuta mwili wake unasisimkaa kwa hamuu

"Halafu mimiii,Mfyuuu"
Akanywa maji wakati anarudi ndani akapita tena alipo kuwa amelala Boazi akajikuta anamtazama sanaaa

Mwili taratibu ukaanza kumchemkaa, kama mwanamke hai anakulaa lakini Sumu hatoi alijikaza sanaa hizo siku lakini kumuona Boazi yupo ndani kwake tena wapo wao tu

Kuvumilia kulifika mwisho na Siku hiyo alikuwa ameshaiandaa akili yake kuwa atapata chakula cha mwili kutoka kwa Mr Alberto lakini imeshindikana

"We Boazi wewee!!" Masha akamwamsha Boazi akaamka ni usiku .

"Vipi boss"

Masha kaujibu akaachia kile kitaulo chake alichokuwa amekifunga kifuani ,Ndani alikuwa mweupee

Boazi alishtuka akaangalia pembeni

Wakati Boazi alikuwa amelala juu ya Sofa alikuwa amelalia mgongo
Masha akamshika kwenye surual yake hapo kati
Palikuwa Tayari pameshatuna kitamboo, ukiwa mwanaume kamili hii ni kawaida hata kama wewe hutaki mwenzio anakuaibisha kwa kihele hele chake cha kusimama dede kwa kumuona mchumba wake wakati wewe wala hakuwa unahitaji pengine

Masha akaanza Ma njonjo yake Boazi akajikuta hawezi hata kuongeza neno hakusema kitu alikuwa kama kipofu akaacha fimbo iongoze njiaa yeye ataruka tu hiyo mitalo hakuna shida ....

Masha akaanza kumtoa nguo Boazi hakuonesha ushirikiano wowote yeye alikuwa kama kipofu kimyaa amelala vile vile baada ya masha kumtoa nguo akawa sasa kama anabaka

Mpaka sehem ya kwanza inaisha masha ndio alikuwa staring wa mchezo baada ya kujiridhisha akainuka kuondoka kimya kimyaa

Wakati anataka kuondoka, Boazi akamvuta akamrudisha na wakati huu Boazi alikuwa tayari ameshainukaa wima akamvuta Masha mpaka kifuani kwake Taulo yake tena ikaanguka akabaki mtupu

Boazi akaanza kumnyonya lips huku mikono inafanya kazi nyingine kwenye mwili wa Mashaaaa
Masha damu ikaanza upya tenaa ....

******
Rahul alishamtafuta Boss wake mpaka kachoka kwenye simu hakuwa anapatikana, Alikuwa amekaa ofisini kwake kichwa kinamuuma anakwenda wapi sasa hiviii aelekee upande gani Boss wake amepatwa na Tatizo ganii

Simu ya masha ilikuwa inaita anaiona akaitazama tu mara zote hakutaka kuipokea .......

*******

Mr Alberto Nae Ndo akaja kukumbuka mawasiliano baada ya Vicky kuwa amepitiwa na usingizi ndio akakumbuka simu yake ilikuwa kwenye mifuko ya surual wakati wote wa heka heka hakuichukua wala kuishika
Akaingiza mkono mfukoni akaitoaa

"Ooh" alipata ki mguno kidogo baada ya kukutana na hali mbaya ya simu yake

"Kumbe umeumiaa??" Aliuliza simu , ilikuwa imegongwa kioo chake kimevunjika akajaribu kuiwasha haikuwakaa

Akatoka mpaka mapokezi akamuomba muuguzi mmoja simu yake atumie , hawakuwa na shida wakampatia

Mtu wa kwanza kumpigia alikuwa ni Rahul

Wakati huo Rahul yupo Ofisini kichwa inauma anaomba lisiwe baya limemkuta boss wake anajuta kumuacha aende peke yake bora hata wangeongozana akahakiki kuwa amfika salama yeye ndio afate mambo yake ..

Namba ngeni ndio ilikuwa inaitwa kwenye simu yake ,akaipokea kivivu huku anajivuta kupokea bora hata angekausha kwani angejua na sa hivi ni usiku si bora angejifanya amelala tu

Lakini ndo alikuwa kashapokea hata kuiweka sikioni alitumia Sec kadhaa wakati Mr Alberto alikuwa ashasema haloo mpaka kachoka

Anataka kuikata simu ndo anasikia Aloo tena ya kichovuuu

"Kwa lugha Rahisi umeshalala??"

"Bossss!!!!!????" Rahul alisimama wimaa baada ya kusikia sauti ya Mr Alberto

"Umelala"

"Nilale nina raha Gani nakutafuta karibu siku nzima sikupatii upo wapii??"
Mr Alberto alimtajia Hospital aliyopo akamuuliza umepata shida akamwambia hapana ila nimesababisha shida kwa mtu ndio nipo nae hapaa ..

Kwakua ni hospital ambayo ipo chini ya Rahul kwa sasa yeye ndie msimamizi mkuu hapo haikuwa shida akamwambia nina kuja sasa hivii kiongozi wangu ....

Rahul anakwenda kumuonaaa Mr Alberto na yupo na Vicky nae kitamboo hajamuona Vicky sa itakuwajeee akimuona mtu ambae anaamini ni mdogo wa masha yupo na Alberto na tena hajamuona muda mrefuu

Masha nae huku ameshindwa kuvumiliaa amejitolea sumuu kwa Boazi mlinzi wa getini kwakee , ameshindwa kuvumiliaa zaidii...

What's Next!!!!!??????

Tukutane sehemu ya 13

ITAENDELEA..
KWETU morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SEHEM YA 12 😄😄😄 BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗   >>> https://gonga94.com/semajambo/sehem-ya-12-billionea-ndani-ya-hoteli
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

BLOOD MOON EPISODE 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest