Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
Gonga94 · Stories

SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Rahul akatoka haraka kuelekea alipo Mr Alberto ,

Masaa matatu masha ndio alikuwa anaachiwa kwenye mikono ya Boazi anahema kama ametoka kwenye mashindano ya mbio miguu inamtetemeka
Mbio alizokimbizwa hazikuwa zile alozoea
Akasimama kwenda ndani miguu ikakataa akajikuta anarudi tena kwenye kochi
Boazi akamtuliza avute pumzi , hapo ilikuwa ni kimya kimyaa...

Rahul akafika hospital ,Mr Alberto alikuwa akimsubiri nje

"Daah utanifanya nichanganyikiwe ujuee!!" Rahul akalalamika kiutani

"Bora wewe aisee mie ndo nilikuwa na data "

"Ilikuwaje??"

Mr Alberto akamsimulia jinsi alivyokutana na hiyo ajali

"Twende basi nikamuone"

"Amelala kesho utamuona "

Rahul alikuwa anafahamika hapa kwamba boss wao hakuna aliekuwa anamjua mr Alberto, kwahiyo alivyofika Rahul alimtambulisha Mr Alberto kama V.V.I.P Customer
Kwasababu mwenyewe hakuwa tayari kujulikana kama ndie mmiliki wa hapo

Walipiga story sanaa na Rahul wakapeana habari nyingii, lakini Mr Alberto alipo omba simu ya Rahul ampigie simu masha , Rahul akamwambia kesho utazungumza nae itakuwa ameshalala usimsumbue

Hakuwa tu anataka aongee na masha , Sio mashaa tu hata Rahul hakuwa anampenda wala kumkubali kabisa masha siku zote alikuwa anasema Masha ni Gold Digger yaan msichana mwenye Tamaa nyingiii sanaa

Mr Alberto alimuomba Rahul akapumzike wataonana kesho , Rahul akamshauri waondoke wote yeye atatafuta Muuguzi mmoja watamlipa ziada ili akae kumuuguza Vicky mpaka atakapo pona

Lakini Mr Alberto alikataa akamwambia yule dada ni mjamzito mimi ndio nimesababisha awe vile kwahiyo nitawabika hata usijali

Rahul hakubishana nae sana mana anamjua boss wake huwa anajali sana watu kuliko hata yeye anavyo jali mambo yake binafs

Rahul akaondoka zake kwakua Rahul alishamtambulisha kuwa ni Mtu maalumu walimuongezea kitanda kingine ndani wodi ya Vicky ikampa urahisi yeye kupumzika ukizingatia tangu afike Nchini hajatulia kabisa

Asubuhi panakucha ndio Masha anashtuliwa na kengele ya Geti kwamba kuna mtu nje anaomba kufunguliwa getii
Alikuwa amelala juu ya kifua cha Boaz pale pale juu ya kochi tena akiwa mtupu Boazi alikuwa na boxa yake hafifuu iliyokuwa imejichokea na joto la mwili ..

"Mungu wangu,,,weweee ,,,weee boazi!!!! Khaaa ,,weweee!!"

Alimpiga kibao baada ya kuona anamuita muda mrefu haitiki

"Eeh madam"

"Embu vaa haraka!"

Boazi alivaa haraka haraka ,Masha yeye alikuwa ameshajifunga taulo lake

"Sikia wewe tulicho fanyaa huu ni ujingaa ,na Ujinga huu usije tena kujirudia abadani unanielewa??? Fanya kama hujawahi kuuona mwili wangu kabisaaa "

"Nimekuelewa naomba unisamehe madam"

"Toka nenda huko kuna mtu ana bisha hodi"

Boazi alitoka kwa mapana 60 (mie sichezagi mechi za kitoto madam hahah utakuja tu kwa lile boli la jana aah utaniita tu tena hahaha)
Boazi akatoka anajipiga kifua kwa raha zake alikuwa na uhakika na shuguli yake kwa madam wake huyo Masha

Akafungua Geti kama sio yule alimgalagaza Boss usiku wa jana ,

"Boazi mbona unachukua mda mrefu kufungua jamaniii aah " mmoja wa wafanyakazi wa ndani akalalamika baada ya kuwa wamegonga muda mrefu bila kufunguliwa

"Vipii Boss mkubwa alikuja ndani jana "

"Mana sio kwa kufukuzwa kule hahaha"

Wakapokezana kuongea huku wanacheka Boazi alicheka akawaambia Hakuna aliekuja

"Kwahiyo we ulibaki na Gomaa na hujafanya kitu hahaha"
Acheni utani bwanaa" Boazi akapotezea baada ya kuona Masha kwa mbalii kama anawatazama Dirishan juu ya chumba chake

Wakaingia ndani kuanza majukumu yao,

********

Vicky ndio alikuwa mtu wa kwanza kuamka , hali yake alioona nzuri Qassano alikuwa bado amelala na hakuonesha hata dalili za kuamka kwa wakati huo ...

Alioga akavaa nguo ingine kati ya zile nguo alizokuwa ameletewa na Qassano, kafanya mambo yake yote ndio Qassano akaamka

'"Ooh ungeacha ningefanya tu bibie embu" Qassano alimpokonya Vicky nguo alikuwa anakinja anaziweka kwenye mfuko

"Aah naweza hata usijali "

"Hapana Embu achaa hutakiwi kufanya" Qassano akazipanga zile nguo vizuri kwenye mfuko

Akamwambia anatoka mara moja atarudi mchana ,Vicky akamwambia mi nipo Vizuri nataka kwenda nyumbani pia niko sawa ...

"Unaenda nyumbani??? Hapana unatakiwa kubaki chini ya uangalizi at least two days "

"Niko sawa kaka yangu ,hata usiwe na shaka As log as Doctor amesema sina shinda naamini nitakuwa sawa, Natakiwa kwenda nyumbani mana hawana taarifa zozote na simu yangu haipatikani watakuwa na wasi wasi sanaa, Asante kwa ulivyonisaidia mpaka hapa mungu atakubariki kaka yangu"

Maneno ya Vicky yakamkata mdomo Qassano akabaki kimya hakuwa nala kuongezea

"Chukua hii itakusaidia siku mbili tatu ,kukiwa na shida yeyote nijulishe"

"Ooh asante asante kaka anguu, wala usiwe na shakaa mie nipo sawa na nitakuwa sawa kunitibia inatosha hakuna haja ya hela "
Qassano alitoa pesa kumpa Vicky akazikataa huku anatabasam ,Qassano alishangaaa

Akasema "lakini nimekuharibia biashara yako ,nimekuharibia mipango kwa ajili yangu umelala hapa ukaacha kufanya shuguli zako"

"Acha bwana ,Hata usijali" Vicky akainua mfuko wake anataka kuondoka ,Qassano akamshika mkono bado alikuwa anamtafakari huyu bint vipii sio rahisi mtu kukataa pesa ujue?? Tena Tanzania??

Muda ambao Mr Alberto au Qassano anataka kuenda kwa Mashaa ndio Vicky anaamsha mambo mengineee ...

Mr atafanya niniii ?? Kwenda kwa Masha au kubaki kumbembeleza Vicky???
ITAENDELEA.....
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli



Rahul akatoka haraka kuelekea alipo Mr Alberto ,

Masaa matatu masha ndio alikuwa anaachiwa kwenye mikono ya Boazi anahema kama ametoka kwenye mashindano ya mbio miguu inamtetemeka
Mbio alizokimbizwa hazikuwa zile alozoea
Akasimama kwenda ndani miguu ikakataa akajikuta anarudi tena kwenye kochi
Boazi akamtuliza avute pumzi , hapo ilikuwa ni kimya kimyaa...

Rahul akafika hospital ,Mr Alberto alikuwa akimsubiri nje

"Daah utanifanya nichanganyikiwe ujuee!!" Rahul akalalamika kiutani

"Bora wewe aisee mie ndo nilikuwa na data...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sehem-ya-13-bilionea-ndani-ya-hoteli

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sehem-ya
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
SEHEM YA 12 😄😄😄 BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗
SEHEM YA 12 😄😄😄 BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗
SEHEM YA 14    MWANDISHI ::HURU MEDIA  Bilionea ndani ya hoteli
SEHEM YA 14 MWANDISHI ::HURU MEDIA Bilionea ndani ya hoteli
BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗  SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗 SEHEM YA 18
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 15
BILLIONEA NDANI YA HOTELI 💗💗  SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI 💗💗 SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI 💗💗  SEHEM YA 06
BILLIONEA NDANI YA HOTELI 💗💗 SEHEM YA 06
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 08
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 08
BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗  SEHEM YA 09
BILLIONEA NDANI YA HOTELI💗💗 SEHEM YA 09
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 03
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 03
MTOTO WA BOSS  Sehem ya pili   Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!
MTOTO WA BOSS Sehem ya pili Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈♥️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊  🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄           SEHEM YA 34
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈♥️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄 SEHEM YA 34
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈 ♥️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️  SEHEM YA 09
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈 ♥️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ SEHEM YA 09
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 17
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 17
𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦__; 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐋𝐌𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Sehem ya ::03 &04 &5
𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦__; 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐋𝐌𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Sehem ya ::03 &04 &5
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈♥ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊  🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄         ::  SEHEM YA 40  Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu...
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈♥ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄 :: SEHEM YA 40 Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu...
𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦__; 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐋𝐌𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️    𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊    SEHEM YA 01
𝑆𝑡𝑜𝑟𝑦__; 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐋𝐌𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEM YA 01
MTEULE WA KUZIMU  SEHEM YA KUMI
MTEULE WA KUZIMU SEHEM YA KUMI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest