Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 129
Gonga94 ยท Stories

๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 129

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“


โ€œTotoo, tunaweza kuondoka sasa?โ€
Nikawatazama wale wafanyakazi wengine namna wanatutazama na nilimtazama My boss na kusema kwa kichwa tu maana aibu zimenijaa nashindwa hata kuinua miguu yangu.

Alinishika mikono yangu na taratibu tulianza kutembea kuelea juu. Ofisini kwake yaani. Nilifika pale na yeye alinikalisha kwa kiti chake, nilikaa kwa kiti cha boss wangu. Mimi mtu wa maisha ya kawaida tu ambaye sio kukaa tu hata kuwa na ukaribu wa huyu mwanaume wa aina hii haikuwa ni kitu cha kawaida ila ndiyo amekua mpenzi wangu. Mbali zaidi kwangu huyu mwanaume hajivuni, linapokuja suala langu haofii kufanya lolote lile.

Alizungusha kiti upande mwingine, kisha neno la kwanza alisema โ€œSijakusaliti Ndeana. Tangu nimekutana na wewe, tangu nitamke neno Nakupenda kwako sijawahi kukusaliti.

Achana na kutamani tu nje, sijawahi hata kuwaza wala kufikiria kwamba mbali yako wewe ninatakiwa kuwa na mwanamke mwingine.

Ndeana, pumzi yangu inayoingia na kutoka, usingizi wangu ninao lala na kuamka, kazi zangu ninazofanya na kila ninapotembea au ninapokuwa ni wewe.

Nakuwaza wewe peke yako, nawaza mwanamke wangu nikupende vipi ili na wewe unipende, penzi letu liwe na furaha. Nawaza nikufanyie nini ili usihangaike nje na maisha haya.

Tafadhali Ndeana, najua usaliti ni nini, najua maana ya kupenda na kupendwa na wewe ndiyo umenifundisha. Nimekukosea kwasababu sikukuambia kuhusu Martha. Ni msunbufu tu ila siwezi kuwa naye.

Sitaki kukiri kila kitu kwako kwa maana unajua tayari nilikuwa mbaya sana. Ila yeye yupo kwaajili ya pesa bila pesa huwezi kuwa naye. Na sijui hata kwanini tangu nimekuwa na wewe kawa msumbufu sana.

Amekuwa akiniambia vitu vingi kuhusu familia yenu na kusema yeye ni bora kuliko wewe. Ila namjua sana, ndiyo maana nikakuchagua wewe. Totoo, dady loves you. Upendo wangu kwako ni upendo wa kweli kabisa.

๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 130

Sikutanii na namaanisha kila kitu. I love you kama namna neno lilivyo. Nakupenda sana, Nakupenda kuliko kitu chochote. Naomba usikasirike katika siku yetu nzuri namna hii. Naomba usikasirike ili tukafurahie hizo siku nilizokuambia vizuri. Ndena Please ongea kitu.โ€

Nilimtazama, mimi tena kutaka kudeka eti nami nimenuna nikaitikia tu โ€œsawa, hakuna shida!!โ€

Akanitazama na kusema โ€œhapa serikali iingilie kati. Ndeana hivi kweli unanijibu hivyo na unataka niendelee kupumua vizuri kabisa. Unakuaje hivi mtoto mzuri, nisamehe mzee wa watu mimi nitajifia bure unajua.โ€

Nikamtazama nikitamani kucheka ila hasira sasa, nilianza kuongea kwa upole maana nilitaka nianze kufoka. Nilikumbuka maneno ya dada yangu kuwa hawa viumbe hawataki kelele na wanawake wengi tuna kelele nijitofautishe nao nisifoke hawapendi kabisa kufokewa anaweza kuondoka na asirudi tena.

Nilivuta pumzi kwa kudeka nikasema โ€œulipaswa kuniambia nikae naye mbali, maana alikuwa anaingilia mpaka maisha yangu binafsi. Na alikuwa akijifanya kuniita wizo na vitu vingine kama hivyo akinichimba. Sasa ndiyo nini hivi.โ€

Akanitazama akisema โ€œnisamehe baby wangu, nimekosa mwenzio. Umenipigisha goti mbele za watu, unafikiri mchezo, niliona wazi nakupoteza. Na sipo tayari kuyabeba hayo maumivu ya kukupoteza kwasababu ninakupenda sana Ndeana.

Huyo sio wifi yako, wala sio rafiki mzuri kwenu. Naomba achana naye, mimi nimezaliwa peke yangu. Ukitaka kuitwa wifi basi niite mimi mwenyewe.โ€
Nikacheka nikisema โ€œsio mzima wewe.โ€
Akasema โ€œwaooo!!, hilo tabasamu, futa basi machozi.โ€

Nikafuta kisha aliniambia โ€œbaby asante kwa zawadi. Mungu akubariki sana. Ingawa unajua kuwa wewe ndiyo zawadi yangu kubwa sana kwenye maisha yangu.โ€
Nilitabasamu na akaniuliza โ€œeenh, umeniletea nini?โ€
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 131

Nikacheka na kusema โ€œhakuna kufungua mpaka mimi niondoke.โ€
Akacheka. Na kisha alikuja pale kwenye kiti, aliniinua mimi, akakaa yeye na kisha alinipakata. Mimi nikawa nafurahi tu maana kupakatwa nako ni raha haswa akupakate mtu anayekupenda sana na wewe unampenda sana.Ingawa huku moyoni ninajisikia vibaya sana. Maana wivu uliwaka baada ya kuona wizo wa mchongo akipambana kuvua nguo na kulazimisha busu ninalopewa mimi na yeye apewe.

Alinifungua droo na kusema โ€œnimekununulia zawadi. Ila Sharti lake kwa mwanzo tunatumia wote.โ€
Nikasema โ€œsasa zawadi ni yangu tunatumiaje wote.โ€
Akanitazama akisema โ€œuchoyo si ni haramu baby!!โ€
Nikacheka tu. Alitoa kitu cha kuchekesha kwa sisi watu wazima. Alitoa pipi, tena pipi kijiti . Kuna hizi pipi zilikuwepo kipindi fulani hivi zina umbo la love halafu zina radha tofauti tofauti. Na hizi pipi hata ile siku alinipeleka kununua vitu na hii alininunulia. Ni tamu sana. Nilimtazama na kucheka nikusema โ€œkwahiyo umenunua moja tu na unajua ni tamu.โ€
Akasema โ€œndiyo ujue kuwa sio malaki, mamilioni na pesa nyingi zitafanya ufurahie penzi lako. Haya sasa fungua tule.โ€
Nikacheka tu, nikafungua basi nikawa nakula na kisha namlisha. Ananitazama anasema โ€œafu wewe unanyonya sana kuliko mimi.โ€
Nami namwambia โ€œaku wewe hapo ndiyo mlafi.โ€
Akaniambia โ€œbasi nipe pipi yangu!โ€
Nakatalia, si akaanza kunitekenya. Basi nikaanza kucheka, yaani huko ofisini sijui kwasababu muda mwingi yupo peke yake tu sio ofisi za kuingia sana watu. Nilicheka mpaka nakaa chini. Nacheka mpaka machozi. Aliniinua na kusema โ€œbasi basi totoo, usije ukapaliwa.โ€
Nikamtazama na kusema โ€œnalipa, nitalipa tu.โ€
Alijipa ushindi akisema โ€œAnd the winner is Mr Stewart.โ€
Nikamtazama kwa kudeka tu.

Basi akacheka na kisha aliniambia โ€œsikia, nataka uende pale kwa aunt. Katengeneze nywele vizuri. Kisha mimi nitakufuata nyumbani. Nataka upendeze sana. Nataka utokelezee. Nitakufuata nyumbani, au nitakupeleka. Sijui nina kazi hapa ila unaweza kwenda tu hakuna shida.โ€
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 132

Nilitabasamu, mara akashika simu yake. Baada ya muda akaniambia โ€œNjoo uone, unajua pale nalia nilikuwa nachukuliwa video. Basi Kaka Fabian kanitafuta hapa mpaka page za umbea wameshare.โ€
Nikasema โ€œwewe usiniambie!!โ€

Akatabasamu akisoma comment anasema โ€œwasichana wengi wanateseka sana na mapenzi. Ukiona Comment zao utajua. Mpenzi tuwaombee na wao wayapate mapenzi kama sisi.โ€
Nikacheka nikisema โ€œhakika, tuwaombee na wao wafurahie.โ€

Tukacheka na alisema โ€œeenh Mungu hawa watu wameshare sana itakuwa simu zao zimejaa lile tukio. Sasa hata najali, nasijali wala nini. Najali nini na nilikuwa natetea utamu wangu wa maisha. Wewe ni tamu yangu Ndeana, nitakutetea kivyovyote hata kama itagharimu maisha yangu ila nataka wajue kuwa wewe ni wangu. Na nakupenda sana.โ€

Kabla sijajibu, mlango uligongwa. Aliruhusiwa wakati huo mimi nimesimama na Boss wangu amekaa. Akaingia yule dada ambaye ananichukia. Boss alipomuona alinitazama na kuuliza โ€œwewe tena?โ€

Sasa nikaona ni bora niwaache niondoke zangu. Nikafika mlangoni na pipi kijiti yangu. Boss akaita โ€œtotoo, njoo mara moja.โ€

Nikarudi na kisha alimtazama yule dada alisema โ€œhuyu ni Ndeana, na ndiye mke wangu mtarajiwa. Unataka kufanya kazi kwa amanj basi sitaki kelele zote huko kazini kwenu. Unavyoniheshimu ndiyo umuheshimu. Sitaki kusikia lolote. Na kwasasa huruhusiwi kuja kwangu bila kupita kwa meneja.

Nitamwambia awatangazie maana naona mmenizoea sana. Mipaka, mimi ni Boss wenu, mbali na hilo nina familia yangu naheshimu. Kwahiyo kama ni kazi ongea, kama ni ujinga wako wa kila siku naomba uondoke eneo hili sasa hivu.โ€

Huyu dada aliinamisha kichwa chake chini kwa aibu. Na alinitazama kisha akamtazama Boss akisema โ€œlakini hata mimi Nakupenda.โ€

Eenh Mungu nipe uvumilivu ndiyo nilikuwa nasema moyoni huku natazama pembeni kama nicheke vile. Kumbe hata Stewart alikuwa anajisikia kama mimi. Tulipotazama tukajikuta tunacheka halafu Stewart alisema โ€œtoto, sasa unaondokaje, majaribu ni mengi. Nipe busu nishibe nipate nguvu ya kupambana.โ€

Malizia season four kwa sh 1000
No 0743433005 iko WhatsApp

๐‘ต๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š๐’‘๐’ ๐‘ฝ๐’๐’…๐’‚๐’„๐’๐’Ž ๐‘ด ๐’‘๐’†๐’”๐’‚ 0743433005 ๐’‹๐’Š๐’๐’‚ ๐‘จ๐‘ฎ๐‘ถ๐‘บ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ต๐‘ถ
๐‘ผ๐’Œ๐’Š๐’๐’Š๐’‘๐’‚ ๐’๐’Š๐’„๐’‰๐’†๐’Œ๐’Š ๐‘พ๐’‰๐’‚๐’•๐’”๐‘จ๐’‘๐’‘ ๐’Œ๐’–๐’‘๐’Š๐’•๐’Š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ +255743433005 ๐’๐’Š๐’Œ๐’–๐’‰๐’–๐’…๐’–๐’Ž๐’Š๐’†

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 129

๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“


โ€œTotoo, tunaweza kuondoka sasa?โ€
Nikawatazama wale wafanyakazi wengine namna wanatutazama na nilimtazama My boss na kusema kwa kichwa tu maana aibu zimenijaa nashindwa hata kuinua miguu yangu.

Alinishika mikono yangu na taratibu tulianza kutembea kuelea juu. Ofisini kwake yaani. Nilifika pale na yeye alinikalisha kwa kiti chake, nilikaa kwa kiti cha boss wangu. Mimi mtu wa maisha ya kawaida tu ambaye sio kukaa tu hata kuwa na ukaribu wa huyu mwanaume wa aina hii haikuwa ni kitu cha kawaida ila ndiyo amekua mpenzi wangu. Mbali zaidi kwangu huyu mwanaume hajivuni, linapokuja suala langu haofii kufanya lolote lile.

Alizungusha kiti upande mwingine, kisha...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-boss-mi-naona-aibu-129

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-boss-mi-naona-aibu
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž 1- 5 ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž 1- 5 ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ
Season four  ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 154
Season four ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 154
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  105
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 105
  ๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  165 - 172
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 165 - 172
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:26
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:26
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  76
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 76
	๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’˜๐’  81 - 89.. ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’˜๐’ 81 - 89.. ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:
๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:21
๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:21
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’˜๐’ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  60
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’˜๐’ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 60
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’“๐’†๐’†  ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  11
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’“๐’†๐’† ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 11
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 141
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 141
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 147
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’‡๐’๐’–๐’“ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 147
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:45
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:45
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’˜๐’ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  68  Akaniuliza
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’˜๐’ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 68 Akaniuliza
11 - 20๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž
11 - 20๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’“๐’†๐’† ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  90
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’“๐’†๐’† ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 90
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’“๐’†๐’† ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž:  95
๐‘บ๐’†๐’‚๐’”๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’“๐’†๐’† ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 95
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 133
๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž: 133
6 - 10๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž
6 - 10๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ๐Ÿšฉ ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐๐Ž๐’๐’ ๐Œ๐ˆ ๐๐€๐Ž๐๐€ ๐€๐ˆ๐๐” ๐Ÿ’๐Ÿ™ˆ๐Ÿ’ž
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.69K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikaseโ€‹ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest