Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
Gonga94 Β· Stories

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nikamuuliza β€œkwanini uniite boss.”
Hakujibu badala yake akaendesha gari nami nikishangaa jiji lilivyo zuri.

Kisha tukafika mahali akasimamisha gari na kusema β€œNdeana, Nakupenda. Kuwa mpenzi wangu tafadhali. Siwezi kujizuia kwako. Hisia hizi ni kweli na ndiyo. Nipo tayari kufanya lolote kwaajili yako.

Nipo tayari kufanya kila kitu kwaajili yako kwasababu wewe ndiyo furaha yangu. Nakupenda na nasikia furaha ambayo sijawahi kuwa nayo kabla.”

Nikamtazama. Yeye akatanitazama na kutabasamu halafu akashuka na kuja kunifungulia mlango. Mimi mwenzenu nilizoea super market moja tu, Mliman city pale nikichoka nibebane na wenzangu tukasafishe macho.

Huyu mwanaume alinipeleka moja kati ya supermarket nzuri na kubwa sana huko maeneo ya Posta. Tena alinishika mkono wangu na tuliingia kwa kushikana mikono. Huku akiwa ana furaha sana. Baada ya kufika ndani akaniuliza β€œUnataka nini totoo?”

Nikamtazama tu kwa maana mimi sikuwa nimejipanga. Akatabasamu na kusema β€œwakati unafikiria Icecream kwanza.”

Mimi huyu napelekwa sehemu ya icecream wakati mimi nikinunua icecream nimejitahidi ni koni ya buku au huku jero zaidi ni zile ukwaju, mara maziwa na vitu kama hivyo.

Leo hii nanunuliwa kubwa sana na ya gharama tena aliniuliza β€œNyumbani si kuna friji totoo.”
Sasa friji la nyumbani kwetu lilivyo, leo linawaka kesho linazima. Nikamwambia tu β€œMoja inatosha zaidi zitaharibika.”
Alinitazama na kusema β€œnimeelewa. Haya chagua utakayo kisha sasa useme tununue nini kwenye soko hili.”

Nikamtazama tu usoni. Akatabasamu na kusema β€œhujanizoea tu. Basi sawa nanunua mahitaji ya nyumbani.”
Nikasema β€œwanajua sina pesa sasa nitasemaje?”
Akanitazama na kusema β€œkama ukishindwa kusema mpenzi wangu kanunua basi useme mtoto wa Mungu kanunua.”

Akaanza kucheka na mimi nikajikuta nacheka. Basi akanunua vyakula pale vya nyumbani. Na mafuta mara maziwa ya kopo, sukari na vingine vingi tu. Kisha akaninunulia vitu vya kitoto kama chocolate na pipi nzuri na vingine vingi. Tukaenda kulipia nakumbuka alilipa kwa kadi na kisha aliniambia β€œnaomba nikupeleke nyumbani.”
Nikamuuliza β€œnyumbani?”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:27

Akanijibu β€œina maana hutaki nipajue kwenu?”

Nikamtazama na kusema β€œhapana ila sio sasa. Naomba tuongee kuhusu kazi.”
Stewart aliniambia β€œnilikuahidi kazi, na nitakupa kazi. Ila nami ninaomba uwe mpenzi wangu. Kazi hata ukisema Jumatatu utaanza ila uwe mpenzi wangu nakuomba sana. Sitaweza kukaa na wewe kazini ukinikataa mimi.”
Nikavuta pumzi na kuuliza β€œunataka penzi langu kwa mara moja au unanipenda?”

Nikamuona Stewart akinitazama kwa kushangaa. Na kisha aliniuliza β€œNdeana ina maana unaona mimi wale vijana wa kula na kukimbia. Mimi nakupenda nataka penzi lako maisha yote.”
Nikamwambia kwa upole β€œmimi siwezi kuwa mpenzi wako Stewart. Ninazo sababu nyingi sana. β€œ

Akatabasamu na kusema huku akiwasha gari β€œHutaki kuwa mpenzi wangu ila unaweza kunipa penzi upate kazi si ndiyo Ndeana.”
Nikainamisha kichwa na kusema β€œsina maana hiyo, kwa maana siwezi kutoa utu wangu kwaajili ya kazi.”
Akacheka na kusema β€œbasi unatakiwa kunipenda. Nipende Ndeana hutojuta kunipenda mimi. Utafurahia sana. Tafadhali nipende.”
Nikanyamaza tu.

Aliendesha gari tukiwa kimya sana na alipofika mahali nikamwambia β€œniache hapa nitachukua bajaji mpaka nyumbani.”

Akatabasamu na kusimamisha gari. Kisha mimi nikawa nataka kushuka. Akanishika mkono akiitazama mikono yangu akisema kwa hisia β€œNdeana nimekuelewa, kuwa hunipendi na hunitaki. Nakuahidi nitakaa mbali na wewe. Ila nitafanya hivyo walau ukinibusu hata kidogo tu. Ndeana naomba busu lako, please nakuomba sana.”

Namna anaongea kwa hisia mpaka nasisimka. Nikajikuta nasema β€œStewart.”
Stewart akaniambia kwa sauti ya mahaba β€œplease kiss me beutiful. Usiwe mchoyo please.”

Akasema hivyo wakati tayari amegonganisha vichwa vyetu, yaani komwe langu na lake vimegongana na mimi nimeinama tu siwezi hata kuinuka yeye ananiita kwa mahaba β€œNdeana, Ndeana please kiss me, sitaki unipende, siwezi kukulazimsha but please. β€œ
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:28

Alikuwa anaongea hivyo huku akiwa amenifikia kwenye midomo yangu. Na hapo ndipo alipoanza kunibusu tena kwa ufundi sana. Niliyafumba macho yangu ni kelele za midomo ndizo zilizosikika huku akichukua mkono wangu akiweka juu ya zipu ya suruali yake kunionesha namna pale juu palivyo tuna. Nilisisimka sana kwa maana ilikuwa inaonekana kubwa.

Sijui hata alifanyaje aliitoa palepale nami nikshtuka kwa maana sikuwahi kuona mtu mwenye sehemu nene na kubwa kubwa namna ile. Nilijikuta nazidi sisimka. Na yeye akionekana kunogewa aliniambia β€œNdeana Suck me Please!!”

Nikashtuka, ina maana huyu mwanaume anataka afanye mapenzi na mimi kirahisi hivi, nikajikuta nasema β€œno inatosha, inatosha naomba kushuka.”

Akanifungulia mlango, kisha akaniambia β€œNdeana, kesho nataka nikupeleke mahali, kama hutojali niambie na Nitafanya maandalizi yote Jumatatu uanze kazi. Ndeana Asante.”

Nikamtazama tu, kusema ukweli wa moyoni mwangu sikuwa nimechukia kabisa. Yaani anajua kubusu huyu Boss. Siwezi kusema ni mubaba, wala siwezi kusema kaka ila yupo hapo katikati. Namna alinibusu mimi Ndeana ninakiri kuwa ilikuwa ni kwa namna ya pekee sana.

Nilishuka, na yeye pia baada ya muda akashuka huku akinitazama kwa upendo sana. Akashusha mizigo yangu. Na kisha akawa ananipa mkono hivi kuagana. Nami nikampa mkono wangu vizuri tu, ila aliniachia pesa mkononi. Na kisha aliingia kwa gari na kuniacha pale. Nilipokunjua mkono wangu ilikuwa ni elfu 50.

Nikatabasamu huku moyoni nikisema β€œkajuaje kama sikuwa hata na nauli sasa maana hizi safari za kuonana nao zinanimaliza Pesa.”
Nikabeba vifurushi vyangu mpaka kwa bajaji. Sasa nipo kwa bajaji nawaza lile jambo nimetoka kufanya ndani ya gari. Inajirudia vilevile yaani mpaka najikuta ninasema kwa sauti β€œunafanya nini Ndeana acha ujinga ulishindwa kujizuia walau hata kidogo.”
Abiria mwenzangu akanitazama na akaniuliza β€œdada upo sawa kweli?, unaongea mwenyewe.”
Nikajisikia aibu, nikatabasamu ba kusema β€œnipo sawa nipo sawa.”
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:29

Basi nikawa ninatamani tu ifike sehemu nishuke na ndivyo ilikuwa. Ilifika mahali mimi nikashuka na kuendelea na safari kidogo tu maana ninaposhukia sio mbali na nyumbani kwetu.

Nimefika tu nyumbani nakuta dada yangu amejilaza sebuleni. Aliponiona na mizigo akainuka na kusema β€œmdogo wangu, umerudi, karibu. β€œ
Nami nikamuitikia β€œasante mama wa mimi.”
Akaniambia β€œmbona vifurushi tena.”
Nikamtazama na kutabasamu tu. Kisha nikapeleka jikoni. Na kurudi sebuleni.
Nilipofika niliketi huku nikivuta pumzi na kusema β€œdada yangu mbona kulala tena kuna shida gani?”
Dada yangu akaniambia β€œmdogo wangu tumbo linanisumbua sana. Yaani ninateseka acha tu.”
Nikamtazama na kusema β€œpole sana dada yangu. Tutafute pesa tu inabidi utibiwe hilo tumbo sio kawaida ujue kuumwa mara kwa mara.”
Dada alinitazama na kusema β€œni kweli mdogo wangu, ni kweli kabisa. Niambie imekuaje huko.”
Nikajikuta natabasamu.

Dada akaguna na kusema β€œunatabasamu tena. Niambie umepata kazi au hujapata maana umeenda huko unarudi usiku na unacheka tu hapa.”
Nikasema kwa upole β€œdada si unaumwa wewe sasa mbona mkali.”
Akacheka na kusema β€œunanikera ujue, niambie basi.”
Nikamtazama na kusema β€œyaani dada kabla sijasema habari za kazi. Nataka nikuambie kitu.”
Dada yangu akasema β€œunajizungusha ujue, si useme sasa.”
Nikavuta pumzi na kusema β€œdada, eti ananipenda.”
Dada akanitazama na kuniuliza β€œnani anakupenda?”
Nikajibu β€œBoss, Boss wangu ameniambia ananipenda sana. Anataka tuwe wapenzi na ana lengo la kunioa.”
Dada akaniuliza β€œna ndiyo kakununulia vyakula.”
Nikaitikia kwa kichwa.

Dada yangu akakaa vizuri, kisha akanoa sauti yake saafi kabisa nami nikawa na hofu ninamtazama tu. Akaniambia kwa upole akiniuliza β€œNdeana nikuulize kitu?”
Nikasema kwa upole tu β€œniulize dada?”

Akaniambia kwa upole β€œushawahi kuona au kusikia mwanaume anamtaka mwanamke akamwambia ninataka kukuchezea tu sitakuoa?”
Nikajikuta nasema β€œhaiwezekani, kivipi sasa dada?”

Dada akacheka kidogo na kusema β€œ
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:30

β€œmdogo wangu hakuna mwanaume mbaya anapomtaka mwanamke. Kama ni mlevi akijua wewe hupendi pombe basi ataacha akupate, akiwa mwizi atajificha usijue, akiwa malaya hutojua kwa mwanzo. Tabia zote mbaya huwa zinajificha kabisa mpaka pale atakapokumiliki na kukuweka kwa viganja vyake.

Mimi sijasoma hata kama wewe, wewe mwenzangu kidogo umesoma unaelewa. Ni nani amekuambia unaweza kuwa na uhisiano na Boss. Najua utasema wapo na wanaolewa na wanaishi.

Ni kweli mdogo wangu ila ni moja ya kumi. Ndeana huyo mwanaume utafanya naye vipi kazi mkiwa wapenzi?, utaishi vipi kazini mkiwa wapenzi. Na vipi kama humpendi na yeye akawa anakutumia tu kisa kakupa kazi ukimkataaa anakutishia au anakufukuza kazi. Kwanini akupende wewe mdogo wangu kwanini wewe.

Ile ni Hotel kubwa, wewe una uzuri gani wa ajabu kuwashinda wageni wanaofika pale, wafanyakazi wa pale. Mdogo wangu Ndeana. Kama mtu huyo humpendi muache akunyime kazi mbona tunaishi tu.

Au Lah kama anakupenda kweli inabidi akuelewe kuwa wewe humpendi ndiyo muwe wapenzi. Sitaki kabisa masuala ya kukutumua kingono na wakati hujalelewa hivyo. Sijui unanielewa mdogo wangu?, sasa nakuuliza swali, Unampenda huyo mwanaume na upo tayari kumpa penzi ili akupe kazi?”

Nikasema kwa upole nikimdanganya dada yangu β€œdada kazi amenipa tayari tu amekiri upendo.”

Dada alinitazama na kusema β€œmimi siwezi kukupangia nani wa kuwa naye na nani usiwe naye. Wewe ni mtu mzima sasa. Ila ninachoweza kusema ni kuwa usitoe penzi kisa sisi. Kinachokuja kirahisi huwa hakidumu siku zote. Kama anakupenda utajua na kama hakupendi pia utajua. Maisha haya ni yetu na yametukuza sisi wote. β€œ

Nikatabasamu. Dada yangu akatabasamu na kuanza kucheka akisema β€œnimefurahi sana umepata kazi ya ndoto yako. Ina maana jumatatu kazini. Nimefurahi sana sana mdogo wangu ndoto imetimia.”

Nilimkumbatia huku nikisema β€œasante sana dada yangu. Ni wewe umesababisha. Nakushukuru sana.”

Dada alisema β€œwacha nimshukuru Mar kwakweli nimefurahi sana mdogo wangu amefanikiwa mno. Asante Mungu.”

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:31

Mimi na wewe sasa tunajua ukweli. Ukweli ni kuwa natakiwa kutoa penzi jumatatu niingie kazini. Yaani sielewi kabisa. Dada yangu alipotaka kumpigia Martha mimi nikamuulizia baba wakati yeye anatafuta namba. Dada akaniambia β€œbaba si unajua afya yake, leo kalala mapema.”

Nikasema β€œWacha nikamuone.”
Basi nikatembea na nikafika sehemu nikasimama nikawa namsikia dada yangu akisema β€œMartha ndugu yangu asante sana. Mdogo wangu amepata kazi kwasababu yako nashukuru sana.”

Sasa sikuwa nasikia ya upande mwingine, nikawa nasikia tu cheko huku dada akisema β€œnakuja kesho ndugu yangu tuzungumze. Nakuja.”
Basi mimi nikafumba macho kinyonge na kuvuta pumzi nikiwa nimechoka sana.

Taratibu nilianza kutembea kuelekea chumbani kwa baba. Nilibisha hodi bila mafanikio. Ikabidi nichungulie, baba yangu alikuwa amelala. Hivyo ilinibidi nirudi chumbani kwangu.

Nilipokuwa hata sijafika ujumbe ukaingia. Ulitoka kwa dada Martha. Nikasoma na yeye aliandika β€œSaafi sana mdogo wangu. Kiukweli ningekushangaa sana kuacha hii nafasi kubwa na nzuri. Hongera sana kwa kupata kazi naamini hutoniangusha.”

Sikuweza hata kujibu kiukweli. Nikaingia chumbani. Nikatupa simu kitandani ili nikaoge nichangamshe mwili wangu maana na lile busu najisikia sio vizuri yaani alijua kunichanganya.

Mara simu yangu kwa mara nyingine tena ujumbe ukaingia kwa simu yangu. Kama nisiseme nani alinitumia ujumbe. Alikuwa ni Boss kubwa, Stewart ndiye alinitumia ujumbe.

Nakumbuka aliandika β€œMidomo yako, totoo, midomo yako mizuri, na laini sana. Natamani nikuambie namna nimejisikia pale tulipokutanisha midomo yetu kwa mara ya kwanza.

Wewe ni wa pekee totoo, mtu mzima hapa nishavurugwa, natamani nirudi tena walau unibusu mara ya mwisho. Ladha yako bado imebaki katika moyo na midomo yangu.

Ni kama upo kando yangu, please, Please totoo kesho naweza kukuona tena, nakuomba nikuone tena nipate muda wa kutazama kwa uzuri uumbaji wa Mungu. Sema ndiyo basi nikupe zawadi. One, Two, Threee.... Yeees!!
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:32

Si nikajikuta nashika midomo yangu tena taratibu na kuketi kitandani. Nikawa nataka kumjibu kila nikiandika nafuta, kila ninachoandika nafuta. Ujumbe mwingine tena ukaingia kutoka kwa boss kubwa, aliniulizwa swali β€œhivi totoo unajisikia kama ninavyojisikia?. No ungekuwa unajisikia hivi ningejua. Mwenzako nipo tayari kuuza hata Hotel yenyewe nikupe niwe na wewe🀣🀣🀣🀣.”
Alimalizia hivyo na emoji za kucheka na mimi nikajikuta nacheka kwa emoji β€œπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.”
Akaniambia kwa upole β€œFinally, totoo amecheka. Niambie basi kesho upo tayari kutoka na mimi?”
Maneno ya dada yangu yakawa yanapita moyoni mwangu kwa kasi. Lakini nataka kwaajili yetu na familia. Hata hivyo mwanaume mwenyewe sio wa kutisha.

Nikawa najiuliza β€œhivi ni kweli nina hisia naye, hapana sitaki kutoa penzi sasa nifanye nini.”
Kumbuka kazi nataka hivyo sitaki kumuudhi tajiri hapa nacheza sitaki nataka. Nikamuuliza β€œtunaenda wapi sasa boss?”

Akaniambia kwa ujumbe β€œsiwezi kusema kwasababu ni for you totoo. Nikikuambia itakuwa mbaya. Kesho utapaona.”
Nikaanza β€œmimi sitaki kwenda mbali, baba anaumwa na dada pia hajisikii vizuri.”

Boss akajibu β€œNdeana, Ndeana kwahiyo kesho tunatoka mimi na wewe?”
Nikavuta pumzi na kuuliza β€œsi ni kutoka tu kwani kuna lingine boss?”

Nakumbuka akaniambia β€œsipendi neno boss, kuwa huru kwangu nakuomba sana. Pia Ndeana acha utoto. Kesho nakufuata hapo mida ya saa 6 hivi naomba upendeze sana.”
Nikamuuliza kwa kushangaa β€œkupendeza tena?”

Akaniambia β€œHata hivyo wewe ni mzuri.”
Nikavuta pumzi na kuweka simu pembeni bila kujibu, nikajiuliza β€œnafanya nini sasa Mungu wangu. Hivi inawezekana kweli?”

Simu yangu ikaita. Nikatazama simu, alikuwa boss. Nikashusha pumzi na kusema β€œkazi ipo.”
Nikapokea ile simu.Nilipopokea tu sauti tamu ya mapenzi iliniita kwa upole β€œSweetheart!!!”

Nikanyamaza. Akaniambia β€œHivi si unajua Mungu hapendi kumnunia mtu anaye kupenda hiyo si ni dhambi totoo!!!”
Nikajikuta natabasamu. Na kusema β€œsamahani nilikuwa nataka nikaoge.”

Basi akaniambia β€œOoh jamani, i wish nipae. Kwahiyo umejiandaa unaenda kuoga.”
🀣🀣🀣 ila penzi jipyaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26



Nikamuuliza β€œkwanini uniite boss.”
Hakujibu badala yake akaendesha gari nami nikishangaa jiji lilivyo zuri.

Kisha tukafika mahali akasimamisha gari na kusema β€œNdeana, Nakupenda. Kuwa mpenzi wangu tafadhali. Siwezi kujizuia kwako. Hisia hizi ni kweli na ndiyo. Nipo tayari kufanya lolote kwaajili yako.

Nipo tayari kufanya kila kitu kwaajili yako kwasababu wewe ndiyo furaha yangu. Nakupenda na nasikia furaha ambayo sijawahi kuwa nayo kabla.”

Nikamtazama. Yeye akatanitazama na kutabasamu halafu akashuka na kuja kunifungulia mlango. Mimi mwenzenu nilizoea super market moja tu, Mliman city pale nikichoka nibebane na wenzangu tukasafishe macho.

Huyu mwanaume alinipeleka moja kati ya supermarket nzuri na kubwa sana huko maeneo ya Posta....

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-boss-mi-naona-aibu-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-boss-mi-naona-aibu
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
Season four  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
Season four π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  105
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 105
  𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  165 - 172
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 165 - 172
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  76
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 76
	𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’  81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ 81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  90
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 90
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  95
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 95
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest