Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  76
Gonga94 Β· Stories

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 76

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Akacheka akisema β€œkwa ulivyonichosha sitaki hata ufanye nini.” Nikasema β€œya kweli hayo?” Akacheka akisema β€œkwanza haramu. β€œ Tukacheka nikisema β€œunajua nasubiriwa na leo nawahi kutoka kwaajili ya maandalizi ya kesho.” Akanitazama akasema β€œhata mimi nawahi kutoka naenda msaidia totoo kujiandaa. Sasa sikia ukitoka fanya unaloweza kanisubiri pale kona ya kanisani. Mimi nakufuata hapo chapu nakupeleka saluni nzuri mama yangu nilikuwa nampeleka hapo. Ukapendeze.” Nikamuuliza β€œtunaenda wote saluni?” Akaniambia akicheka β€œhaya nenda ubishi ni haramu.” Nikacheka na kuanza kutoka. Wakati natoka tu, nikakutana na mfanyakazi mwingine mlangoni na yeye ndiyo alikuwa anaingia. Natamani ungemuona alivyokuwa ananitazama. Nikasema wewe usinitanie, mimi nikarudi tena ndani kwa Boss. Nilipofika tu. Boss alimuuliza yule dada β€œUnahitahi nini?” Yule dada alinitazama jicho kali, kisha alisema β€œsamahani naomba kuzungumza na wewe.” Boss alinitazama na kisha alimwambia β€œmara ngapi nikuambie hii sio sehemu ya kuja ovyo kila unapojisikia. Shida na malalamiko yenu nayapata kwa meneja. Haya nenda kamwambie matatizo yako ndiyo kisha utajibiwa na meneja.” Huyu dada alijisikia aibu sana. Alinitazama kwa hasira akatoka. Alipotoka nikauliza β€œkwani huyu kafuata nini?” Akaniambia akitabasamu β€œusijali baby, najua namna ya kumalizana mambo madogo madogo.” Nikamtazama kwa jicho, akatabasamu akasema β€œbaby kununa ni haramu wallahi nakuambia, dini zote haikubaliki.” Nikatabasamu tu na kutoka. Nilipotoka nilikwenda moja kwa moja kwa Joan. Joan aliponiona aliniambia β€œndugu yangu muda wote huo?” Moyoni nasema angejua huyu mwenzake nimetoka kuchangamsha damu asingeniuliza maswali. Basi nikamwambia β€œnisamehe kipenzi, kuna maagizo ya Boss nikatoka kabisa hapa ndiyo narudi na nina njaa hatari, si unajua hata simu hatuna nikashindwa kukuambia rafiki yangu.” Joan akasema β€œmimi nishakula, nimekubakishia. Kula basi haraka haraka tuondoke.” Basi wakati nataka kula yule dada nimekutana naye kwa Boss akapita na kusonya. Joan akashangaa na kusema β€œkachanganyikiwa nini?”

...
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 77 Nikamuuliza β€œkwani ni vipi huyu dada, nimekutana naye muda ule natoka kwa Boss. Basi alinitazama kwa jicho hilo nikaogopa.” Joan alianza kucheka alicheka akisema β€œhao ndiyo wanaohangaika waolewe na Boss. Boss mwenyewe hacheki na kima, yeye akikupitia tu tayari si bora watulie kama mimi hapa?” Nikashtuka na kuuliza β€œhata wewe pia?” Akasema β€œndugu yangu kupata kazi sio rahisi hivyo, mtu mwenyewe ana dharau kama nini unaweza nenda naye room akaishia kukutazama tu. Ya nini mimi.” Nikacheka tu, nikisema β€œtuondoke, nitakula tu nyumbani.” Joan alisema β€œyamekuwa hayo, au unampenda Boss ndugu yangu. Kama unampenda bora usahau tu. Yile sijui hana Moyo.” Nikacheka tu nikisema β€œnitamuanzia wapi mimi, na usikute anaye mke nyie mnahangaika tu.” Naongea hapo moyoni kuna waka moto. Nachukia kusikia hayo maneno sana, ila nitafanyaje sasa na mtu kakiri. Nilichukia ila moyoni nasema β€œMungu anajua.” Basi tulienda kuchukua simu, na kubadili nguo. Nilipowasha tu simu nilikuta na semeji zake zimejipanga. Honey babe Hunny bunny Honey pot My sweet person Totooo Kipenzi Ndeana wangu, na maneno matamu matamu mengi. Nikacheka tu. Na kisha ujumbe mwingine aliandika β€œ Nisubiri nilipokuambia, tunaenda saluni pamoja leo.” Kiukweli siku hii sikuwa na story nyingi na Joan. Basi tulipotoka tu tuliagana vizuri tu. Nilitembea mpaka hiyo sehemu aliyoniambia. Nilimtumia ujumbe kuwa nipo hapo. Hakuchelewa ndani ya muda mfupi tu alifika. Niliingia ndani ya gari na alinitazama na kuniambia β€œUnaonekana umenuna kuna nini totoo!!!” Nikamtazama na kumuuliza β€œKwani kazini umetembea na wanawake wangapi?” Akasimamisha gari na kusema β€œNdeana nilijua umenielewa na yameisha. Ina maana unataka nilie tena. Mumy mimi mtu mzima ujue, please nipe muda. Ningekuwa sikupendi nisingekuwa nahangaika hivi. Please jiweke mbali na hayo mambo kama ni hivyo basi uache kazi.”

...
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 78 Nikamtazama na kusema β€œNiache kazi kivipi sasa?” Akavuta pumzi na kuniuliza β€œunanipenda mimi?” Nikamtazama tu, akaniambia β€œnisikilize mimi, mimi nakupenda peke yako wewe tu.” Nikaitikia kwa kichwa. Akaniita β€œNdeana!!!” Nikaitikia β€œabee!!” Akaniuliza β€œunajua kwanini napenda kukubusu?” Nikamtazama kwa aibu na kusema β€œHapana, sijui?” Akniambia β€œkwasababu kila busu lako linaanzisha maisha mapya ndani ya moyo wangu. Mwili wote unasisimuka na kuwa na furaha. Nakupenda Ndeana.” Nikasema kwa upole β€œTuachane na hayo sasa tuendelee na safari.” Akatabasamu. Basi akaweka nyimbo zake kama kawaida, kwa mara ya kwanza, tangu nitoke kwenye tumbo la mama yangu. Ninaonaga kwa tv tu, ila sasa hivi yananitokea mimi mwenyewe katika maisha yangu. Nilishuka kwa gari, na Boss akashuka. Kapendeza mwenyewe, anavutia yaani hata ukisimama ukisema huyu ni mpenzi wangu, lazima upewe maua yako. Alinishika mkono, alinibebea pochi yangu. Nilikuwa najisikia aibu sana. Tulitembea mpaka saluni. Ile tunaingia tu, wadada wote wa saluni wakaacha walichokuwa wanafanya wakatutazama. Kisha Boss wangu, aliita kwa sauti ya wote kusikia β€œAunt, nimekuletea mkweo leo, maana kila siku unanipigia kelele haya huyu hapa, anaitwa Ndeana, ni mke wangu mtarajiwa.” Aunt sasa akashangaa akisema β€œStewart, usinambie unanitania, mbona mrembo hivi, nitambulishe vizuri.” Mwanaume wangu sasa, alivyo anajiachia kwa raha, si mwenzenu nilianza kutambulishwa alianza kwakusema β€œAunt, she is my sweet person.” Aunt sasa β€œumh!!, uhm!!” Aliendelea akisema β€œMimi namuitaga totoo, Aunt huyu sasa ndiyo roho yangu, nampenda sana huyu mrembo anaitwa Ndeana. Ni mwanamke wa pekee sana kwangu. Ndeana huyu ni aunt yangu. Rafiki kipenzi wa mama yangu. β€œ Mimi sasa mpaka aibu wadada wengine wanavyoshangaa yaani huku moyoni nasema β€œNdeana mimi, sijawahi kupendwa hivi, zamani nilikuwa kama hawa wanaoshangaa.” Basi nikasalimiana na Aunt kwa furaha na kisha Boss wangu alisema β€œNakaaa hapa nataka nione anavyopendeza. Naomba mtengeneze vizuri sana. Vyovyote ili mradi apendeze. Totoo enjoy kipenzi.” πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œna leo mkikoment kama jana kesho mpaka miaπŸ’ƒπŸ»

...
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 79 Nikacheka. Akasema β€œBaby kwani kukusubiri hapa ni haramu.” Nikamjibu nikicheka β€œni haramu baby dini zote zinakataza.” Akacheka akisema β€œumoja wa mataifa uingilie kati nakusubiri kipenzi.” Watu wakajikuta wanacheka na kuanza kunong’onezana. Mimi na yeye tunatazamana na kukonyezana huku akiwa na pochi pembeni. Nyie mapenzi matamu mjue, mimi ndeana nawaambia. Basi tena, Aunt mkwe tena kajua mimi ni mkwe wake. Basi ananifurahia mwenyewe, ananitengeneza nywele akiwa na furaha sana.Boss wangu amekaa tu anachezea simu yake hana habari, wadada mule ndani wanapiga story wanamuangalia Boss wangu napata wivu maana wasije niibia njiwa wangu akapeperukia mbali sana. Nilipendeza sana, unajua kuna kule kupendeza mpaka wewe mwenyewe unajua wazi ya kuwa umependeza. Basi nilipomaliza Aunt mkwe alisema β€œmkwe wangu umependeza mno, yaani hapa sasa kila mawimbi yakivurugika njoo tunatengeneza mtindo mwingine. Hili wiki ni kama lilitengenezwa maalumu kwaajili yako. Stewart unasemaje, umemuona mwenzio.” Boss alitabasamu na kusema β€œnimemuona aunt, ni mzuri sana. Amependeza sana.” Akanisogelea na kisha akanishika mkono tulienda kukaa kwenye sofa pamoja. Akawa ananishika nywele zangu huku ananiambia β€œbaby hawa wadada wanaona wivu, itakuwa hawapendwi hawa.” Nikajikuta nacheka na akaniziba mdomo watu wanatutazama. Mimi nikamwambia β€œhuna akili kabisa.” Akatabasamu na kusena β€œNdeana wewe ni mzuri sana. Umependeza sana. Umependeza vibaya mno.” Nikamwambia β€œNashukuru sana. Haya uliza basi gharama nilipie.” Boss wangu alitabasamu na kusema β€œuna matatizo wewe. Nikusifie na Bill ulipe wewe. Hii ni juu yangu. Mwanaume akikusifia ahakikishe yeye ndiyo ana gharamia. Yaani akikusifia umevaa nguo mpya umependeza, viatu vipya ama chochote na yeye hana tatizo lolote lile, yupo tu kukuonea, anakufanyia makusudi mbinafsi.” Nikamtazama na kusema β€œbaby lakini mwingine kipato kidogo?” Akatabasamu akisema β€œkipato kidogo pia kuna vitu vidogo vya kunogesha penzi lao. Sasa baby niwe sina hela hata kijola ukose, hata kukupeleka kula mihogo nishindwe, masihara sasa.” Nikacheka na kusema β€œuna maneno kama nini?”
...
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 80 Aliinuka na kisha alienda kwa Aunt yake. Walizungumza kidogo kisha Aunt alinifuata na kusema β€œKipenzi, sasa usiwaze kuhusu nywele. Wewe njoo hapa kila ukiona nywele haifai. Njoo hapa na utengeneze. Ushalipiwa kabisa, na bill ikiisha mpenzi wako analipa hana shida.” Nikamtazama Boss na kutabaasamu kwa kushangaa yaani, kisha akaniuliza β€œUtanishangaa tu totoo, hutonikumbatia?” Nikacheka na kwa aibu nilikumbatia nikisema β€œAsante sana, Mungu akubariki.” Basi alinishika mkono mpaka kwenye kioo eti akaniambia β€œhaya baby jishaue kidogo nakuchukua video hapa.” Huyu mwanaume ana vituko yaani nikajikuta ninacheka. Basi tukapigana picha na tukiwa timekumbatiana huku tunaonesha picha na video za hapa na pale. Tukamaliza basi nakuambia nikabebewa pochi tena tukamuaga Aunt huku msalimie mama zikiwa nyingi, nitakuja na vitu kama hivyo. Nikafunguliwa mlango totoo mie tukaingia ndani ya gari. Mimi mwenzenu nimepata dereva binafsi, napelekwa nyumbani na nimepata furaha ndani ya muda mchache. Huyu mwanaume amenifanya nifurahie mapenzi ndani ya muda mfupi sana. Hata wiki hatujamaliza ila ananidekeza ananijali na kunitunza ni kama yaani tumejuana kwa muda mrefu sana. Ni kama vile tunajua miaka na miaka. Amenifanya nimzoee na amenifanya nijihisi huru kwake. Ninampenda, ila naona aibu nami kufunguka nahisi bado ni mapema sana. Basi mwenyewe kwa gari humo nilikuwa na furaha sana. Maana nasifiwa na kutaniwa tu huku na yeye akijisifia kuwa katika wanaume wamepata wanawake wazuri basi na yeye ni mmoja kati ya hao wanaume. Tulifika mpaka mitaa karibu na nyumbani. Alisimamisha gari na baada ya hapo alinitazama na kusema β€œTotoo, nimesimamisha kukuambia kuwa jambo ambalo linaenda kutokea kesho ni jambo kubwa sana. Ni jambo ambalo sikumbuki kama katika hotel yetu limewahi kutokea. Kwanza hotel itakuwa busy, kuanzia vyumba, na hata upande wa chakula. Pesa zitaingia za kutosha. Pia itatangazwa sana Hotel hii na tutapata watu wapya wengi sana. Yote haya ni kwasababu yako. Natamani nikufanyie kila kitu kizuri ndiyo uwezo sina.

Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 76

Akacheka akisema β€œkwa ulivyonichosha sitaki hata ufanye nini.” Nikasema β€œya kweli hayo?” Akacheka akisema β€œkwanza haramu. β€œ Tukacheka nikisema β€œunajua nasubiriwa na leo nawahi kutoka kwaajili ya maandalizi ya kesho.” Akanitazama akasema β€œhata mimi nawahi kutoka naenda msaidia totoo kujiandaa. Sasa sikia ukitoka fanya unaloweza kanisubiri pale kona ya kanisani. Mimi nakufuata hapo chapu nakupeleka saluni nzuri mama yangu nilikuwa nampeleka hapo. Ukapendeze.” Nikamuuliza β€œtunaenda wote saluni?” Akaniambia akicheka β€œhaya nenda ubishi ni haramu.” Nikacheka na kuanza kutoka. Wakati natoka tu, nikakutana na mfanyakazi mwingine mlangoni na yeye ndiyo alikuwa anaingia. Natamani ungemuona alivyokuwa ananitazama. Nikasema wewe usinitanie, mimi nikarudi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-boss-mi-naona-aibu-76

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-boss-mi-naona-aibu
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
JAMANI BOSS MI NAONA AIBU πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž 1- 5 🚩🚩🚩🚩🚩
Season four  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
Season four π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 154
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  105
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 105
  𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  165 - 172
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 165 - 172
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:26
	𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’  81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ 81 - 89.. π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:
🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:21
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 60
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆  π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 11
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 141
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒖𝒓 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 147
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:45
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 129
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  90
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 90
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  95
𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒉𝒓𝒆𝒆 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 95
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 133
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
6 - 10🚩🚩🚩🚩🚩🚩 π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest