ππππππ ππππ ππ πππππ ππππ πππ:45
Akaniambia βtotoo, unaniruhusu nile, please dont say no, naomba nile please.β
Nikaitikia kwa kichwa βeenh!!, eenh!!, eenh!!β
Akaniuliza tena βunataka ipi, slowly au faster!!β
Nikapiga βboth.β
Hakuchelewa, alishika mguu wangu akasogeza pembeni, akakusanya mikono yangu pamoja huku juu kichwani, kisha yeye akawa katikati ya mapaja yangu na mikono kanishikilia. Mimi naona kama anachelewa vile.
Sitaki kuelezea sana ila hakika sikuwahi kuhisi kama kuna watu wanajua kuhusu mahaba kama Stewart Boss wangu. Alivyo kiumri na hili ninaloona ni tofauti. Nilielezea kuhusu fimbo yake nene na ndefu kimtindo. Sasa namna ananichapa hata haiumi yaani, ni taratibu sana, taratibu huku ananiambia βtotooo, nakupenda sana. Toto be mine, nakupenda sana, nakupenda sana.β
Mimi naye utamu kolea nalia kwa burudani, nikisema βongeza, sana, tena, tena.β
Basi huku nachapwa huku napulizwa kwa mabusu kemukemu. Sitaki kusahau mitindo na nilizopata huku akiniambia βyour so sweet, kila kitu chako ni kitamu eti.β
Ninaona aibu yaani, tena tulitumia muda mrefu sana. Mwanaume hachoki, tena ananichapa mpaka analia na anapiga kelele kila akiwa anamaliza kunichapa. Tena kelele mpaka wewe mwenyewe unasema nimemkomesha. Basi tukawa hoi, tukajikuta tumelala tena tumekumbatiana kabisa.
Wakati mimi naamka nakuta yeye tayari ameamka ananitazama. Nilijisikia aibu sana, Nikageukia pembeni kwa aibu. Akaniambia βtotoo thanks so very much, umenifanya mtu mzima nilie na kelele nipige. Nakushukuru sana Ndeana. Unanipenda?β
Aliniuliza swali ambalo tena kwa mara nyingine nashindwa mjibu.
Badala yake nikamwambia βnataka kuoga!!β
Akaniambia kwa tabasamu βtotoo ina maana hunitazami tena?β
Nikatabasamu pembeni, akaniambia tena kwa upole βbasi tukaoge wote.β
Nikajikuta nasema βnooo!!, no!!, no sitaweza.β
"Kwanini sasa??"
"JAMANI BOSS MI NAONA AIBU
Akacheka , akainuka akaenda bafuni na kurudi na taulo. Alinipati na kisha aliniambia βwewe ni mzuri sana. Haya sasa nenda kaoge.β
Kwa aibu niliinuka kwenda bafuni, sijui hata navaa nini maana nguo kachana. Nikiwa bafuni naoga huku nacheka mwenyewe kisha najiuliza
ππππππ ππππ ππ πππππ ππππ πππ:46
βumefanya nini sasa, Akikunyima kazi itakuaje, utamkuta wapi.β
Nikajikuta naanza kujuta hata sijafika mbali.
Ni kweli sijawahi kufurahia kiboko kama anavyochapa yeye hii asilimia mia. Kuna mahali kafika hapajawahi kufikiwa na mtu. Yeye kafika lakini imekuwa haraka sana nitafanyaje sasa.
Nilioga na nilipomaliza nikatoka, nikashangaa naona chakula na nguo zangu pale pembeni. Aliniambia βnilinunua nguo nyingine ila vaa hizi ambazo umekuja nazo usigombane na dada nyumbani. Pia kula ushibe tuondoke, nimepokea simu ya dharula. β
Moyoni nasema βmmh ndiyo nakimbiwa hivyo mbona haongelei kazi kabisa.β
Basi mimi nikasema βlabda wanifungie nitakula tu nyumbani.β
Alinitazama na kusema βtotoo are you ouk?β
Nikamtazama na kuitikia kwa kichwa tu, akaniambia βsikia totoo, natamani kukaa na wewe tuongee mengi sana. Ila nina simu muhimu sana. Umenisamehe?β
Nikaitia kwa kichwa, alinitazama kwa upole akaja kunikumbatia akisema βchangamka basi, nakupenda kweli mwenzako.β
Nikatabasamu kidogo ila kiukweli nilijua wazi nimeliwa bure.
Kwa uhalisia kweli hakuonekana sawa nami sikupata nafasi ya kumuuliza. Basi nikawekewa kila kitu sawa. Nakumbuka tuliondoka pale na tena hakunipeleka mpaka anapoishia. Na hata barabarani hakuniongelesha kama ambavyo hufanya. Hakika nilikuwa najiona mjinga. Natamani kulia, natamani kumtukana, natamani anishushe.
Nilifika mahali ndiyo akasimamisha hapo. Aliniambia βsiku yetu ya kwanza mimi na wewe imeisha vibaya. Nisamehe sana totoo, ila nakuahidi nitakutafuta haraka. Shika pesa ya nauli, natamani nikusindikize ila nina haraka sana sana.β
Chozi lilinitoka, akashtuka na kuniuliza βtotoo nimekukera?β
Nashindwa kujibu nasema tu βasante, tutawasiliana.β
Alinipatia laki moja ya nauli, na mzigo wangu ambao nguo kanunua na chakula. Nikashuka, sikutaka hata kumuaga niliondoka nalia. Tena sikutaka chelewa nyumbani nikapanda pikipiki mpaka nyumbani.
Dada yangu alikuwa ananisubiri na baba yangu. Waliponiona walinikaribisha kwa furaha sana. Nami nikaigiza kuwa sawa. Nikawasalimia na kusema nimechoka sana, naomba kupumzika. Tutaongea kesho.β
ππππππ ππππ ππ πππππ ππππ πππ:47
Dada aliondoka mimi nasubiri simu ya Boss. mpaka usiku sana hakuna cha umefika, umefurahi au zile meseji zake.Hakuna chochote hata simu sioni akinipigia. Natamani nimtafute siwezi. Nilianza kujilaumu kwa kulia nikisema βmjinga sana wewe, kwanini ulikubali, umeona sasa umeachwa, umeachwa siku moja tu baada ya ujinga wako.β
Mimi sikulala, sikufumba macho, roho inauma mno. Ikawa kesho yake, dada alinifuata chumbani, akaniuliza tatizo langu. Nami nilisema βjana nilifanya sana kazi huko mpaka nahisi homa.β
Maskini dada yangu alinipatia dawa, akaenda nichukulia maji. Sikuwa na namna nikanywa zile dawa na siumwi. Dada yangu akaniandalia na chai, kwani niliweza kunywa, kiasi nikifumba macho tu machozi yananitoka. Simu yangu ipo kimya, sitafutwi na boss wala Mar. Nipo tu nimeishiwa.
Dada aliniletea chakula akiniambia βzile chips za wapi ni tamu sana.β
Nikamtazama nikisema βhata sijui kuna mtu alienda nunua akanipa.β
Dada alisema βtamu sana.β
Mimi moyoni nasema βungejua najuta hapa usingefurahia.β
Sikuweza kula, dada aliniacha na chakula sikugusa, hamu inatoka wapi. Hamu naitoa wapi mimi, dada alirudi akisema βsasa mdogo wangu kesho kazini utaweza kweli twende hospitali.β
Natamani niseme βnimefukuzwa kazi siwezi.β
Nikamwambia dada βnikiamka hivi itabidi nitafute namna dada, ila nitapona.β
Na hapo najiambia βnitasema wamenikatalia ruhusa hivyo basi tena.β
Yaani nawaza mengi. Ila dada hakuacha nipa moyo akisema kesho nitaamka sawa.
Ninatamani niseme namna nimejuta, nimelia peke yangu yaani siku ya pili mpaka saa 6 usiku kimya ina maana kazi sina. Nazidi kuchanganyikiwa. Niliamua kupiga simu inaita tu, nikapiga tena hivyohivyo. Nikasema maboss ni watu wabaya, maboss sio watu wa kuamini. Tazama nimeliwa na hakuna mpya. Nilibaki nalia tu chumbani maana tangu aliponiacha mpaka sasa hakuna simu wala meseji. Uchungu moyoni ambao yeyote nikimuelezea atanitukana na kusema ukome na umalaya wako. Sithubutu kusema nabaki nalo moyoni.
ππππππ ππππ ππ πππππ ππππ πππ:48
Nakumbuka ilikuwa saa 7, nimekaa nawaza na kuwazua. Nalia na kujifuta meseji. Nimechoka sina hamu maana kama ni kulaani nimelaani, kujichukia nimejichukia. Maskini machozi yananitoka hayakauki. Najiona mpumbavu, mwenzenu nimetoa mwili na kazi sina.
Nikiwa katika hali hiyo, Uliingia ujumbe kwa simu yangu. Haraka nikafungua, alikuwa Boss. Nikafuta machozi yangu ili nione vizuri pengine ninakengeza. Alikuwa ni yeye, boss wangu, kanitumia ujumbe, tena sio ujumbe tu ni ujumbe mzuri sanaa. Mimi sijawahi tumiwa ujumbe mtamu wa kunipa raha vile.
Nilisoma ujumbe nikitabasamu, nilisoma nikiwa nasikia raha, nilisoma kwa furaha, mapenzi matamu sana haswa umpate mtu anayethamini furaha yako.
Aliniandikia hivi βBaby your love is soo special.. Sikujua you are this sweet and lovable.. Sikujua I would dive deeper into this. I am enjoying every moment darling.. you are mine totoo. The first time I met you.. I had no damn idea that I would love you this much. I miss you Ndeana.(Baby penzi lako ni la pekee sana. Sikujua kuwa wewe ni mtamu na wakupendwa hivi. Sikujua nitazama hivi katika penzi lako. Wewe ni wangu toto. Nilipokutana na wewe kwa mara ya kwanza, sikuwaza ningekupenda namna hii.Nimekukumbuka Ndeana.β)
Nyie!!, nilikuwa nimekaa kitandani, nikashuka chini. Nilisoma kwa kucheka, nilisoma kwa tabasamu, nikasoma kwa kulia, nilisoma tena nikasoma tena na kukumbatia simu nikisema βAsante Mungu, Asante Mungu wangu, nilichanganyikiwa mimi.β
Nikaaa kitandani nianze mjibu, simu yangu ikaita, alikuwa Boss wangu ananipigia. Haraka nikapokea na aliniambia βHello my sweet person. I miss you loads.β
Nikacheka, yaani mimi naitwa mtu wake mtamu, mnajua raha yake, mwili wote ulisisimka tena na ile sauti yake tamuπ€£π€£π€£π€£nyie hata mimi natamani mjueπππ kama hujanipigia kura na unatamani unipigie
ππππππ ππππ ππ πππππ ππππ πππ:49
Nikaitikia kwa sauti iliyojaa furaha na wasiwasi mkubwa sana βHello, Boss umenipigia?β
Boss wangu aliniambia βulidhani sitakupigia. Ndeana nawezaje mimi nisikupigie wewe. Sikia Ndeana, nilikuwa na tatizo, mambo yalinizonga ila sikuacha kukufikiria totoo, ninakuwaza kwenye kila kitu ina maana hujui hilo?β
Nikavuta pumzi na kisha nikasema βnilifikiri...β
Akamalizia kwa kusema βsitakutafuta tena, unawezaje kuwaza mawazo mabaya namna hiyo haswa kwangu nitafanya vyote ila sio kwako. Ni usiku nimekupigia ila ni muhimu sana. Ndeana kesho unatakiwa kuwahi kazini si unajua hilo?β
Nikatoa macho na kumuuliza βkweli?β
Akaniambia kwa kushangaa βina maana hujui hilo, si nilikuambia tangu majuzi kuwa jumatatu kazini. Mbona mzembe hivyo sasa totoo.β
Nilifurahi kiasi chozi lilinitoka nikashindwa kuongea. Na aliendelea kuniuliza βna kwanini hujala mpaka sasa wakati unajua kesho unatakiwa kuwahi kazini?β
Nikajikuta huku nalia nasema βnilikuwa nasubiri, nilikuwa nakusubiri wewe useme.β
Akatulia kwa muda, halafu aliniambia βNdeana, futa machozi yako. Na ukimalizia kufuta weka katika kichwa chako kuwa Nakupenda sana tena sana. Kisha unatakiwa upande kitandani ulale na tukutane kesho kazini. Nakupenda.β
Sikuwa na uwezo wa kumjibu, yaani vile anaitwa Boss inanisumbua sana kichwani kwangu. Nashindwa kumzoea kabisa. Simu ikakata.
Baada ya simu kukata nikabaki nina furaha hata mwili ukapata nguvu. Haraka nikaanza kuandaa nguo ya kuvaa asubuhi. Nikarudia kusoma ule ujumbe wake anaosema hakujua kuwa atazama kwenye huba langu. Nikajikuta nacheka nikisema βila Boss kwahiyo hakujua kuwa atazama alitaka kuchezea usichana wangu huyu.β
ππππππ ππππ ππ πππππ ππππ πππ:50
Nikacheka tena, niulize basi nacheka nini, nimefurahi sana, maneno matamu ni tiba ya moyo. Wanaume wengi sana hawana hii, ila hakika wanaume wote wangekuwa hivi mpaka huko kwenye ndoa basi watu wengi wangetamani ndoa, kwa maana mapenzi ni kitu pekee kizuri na kikubwa sana kwenye hii dunia.
Nilikuwa nalala, baada ya dakika 3 nashtuka, nalala baada ya dakika kumi nashtula kuangalia muda. Yaani usingizi sipati, nina hamu ya kazi. Si mnajua mtu ambaye kazoea kwenda kazini ghafla akakosa kazi kasota ndiyo kapata nyingine huyo ndiyo mimi sasa. Nina hamu sana na kazi. Nina hamu.
Nilikutana na ujumbe wake tena , ulikuwa tu wa kawaida βTotoo, umeamkaje my sweet person.β
Nilitabasamu na kisha nikamwambia kwa ujumbe βmamshukuru Mungu.β
Akaniuliza βare you ouk totoo?β
Nikatabasamu na kujibu βYes iam.β
Basi akanipa maelekezo kidogo ya kazini na alinipa namba pia kisha aliniambia maneno haya βMay your day be as bright as your smile and as sweet as you are my flashlight, nakutakia heri kwa siku yako ya kwanza kazini.Nakupenda Ndeana wanguβ£οΈ.β
Nikatabasamu na hapa nikajikaza, nataka niandike βnakupenda Stewart wangu.β
Lakini siwezi yaani. Nikajikuta namtumia βNashukuru sana, sina cha kukulipa ila Mungu ndiyo anajua.β
Akaniuliza βhivi Ndeana, ni lini na wewe utajifunza kuniambia maneno matamu ili wote tufurahi?β
Nikashindwa kujibu. Akanitumia tena ujumbe βYou know what?, when you understand each other, everything becomes sweet(Unajua nini?, kama kila mmoja akimuelewa mwenzake, kila kitu kinakuwa kizuri sana.)
Nikamjibu kwa upole βNakuelewa, nitajitahidi.β
Akaniambia tu kwa ufupi βouky, Goodday totoo.β
Nilijiandaa harakaharaka, ninakumbuka nilipokuwa natoka nilikutana na baba yangu na dada yangu. Kusema ukweli nyuso zao zilikuwa na furaha sana.
Hata dada yangu aliniambia βMungu akutangulie kazini kwako kipenzi. Dada yako nakuombea.β
Nikamtazama na kumjibu kwa tabasamu pana βAmen.β
Baba yangu alikuwa amekaa kwa kochi, aliniita mbele yake, nilifika na kupiga goti mbele zake.
Mwisho wa season one
Usikose season two


Maoni