Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

	𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒘𝒐  81 - 89.. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:
Gonga94 · Stories

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒘𝒐 81 - 89.. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
81 Nakuomba sana uwe makini leo, ulale mapema na uamke mapema maana wewe ndiyo tunakutegemea. Najua utakuwa umetingwa sana mwezi huu wote. Nashindwa kusema nitakukumbuka sana, nitakumiss ila sitaacha kukuona hilo kaa ukijua na pia usiku najua utakuwa unapata muda kidogo kwaajili yangu si ndiyo totoo.” Nukamshika mikono na kusema “usinishukuru zaidi inatosha sasa. Kikubwa ni kuwa Mungu ametusaidia na tutafanikiwa. Sijawahi kufanya kazi kubwa kama hii ila nakuahidi nitafanikiwa. Ila nina kitu nafikiriia..” Haraka akaniuliza “ni kitu gani hiko?” Nikavuta pumzi na kusema “Kuhusu wageni wetu na sehemu za kulala najua mnashughulikia sasa. Ila kumbuka mimi na wenzangu wawili tu ndiyo tunaotakiwa tuwahudumie hawa wageni. Sasa kama hivi tunaishi mbali nafikiria..” Akasema “umewaza kama mimi totoo, kusema ukweli tumeandaa chumba kwaajili yenu mpaka kazi iishe.” Nikatabasamu. Akatabasamu pia na kusema “Si unajua nimetoroka kazini, hapa natafutwa sana, ila nikaona mpaka nikulete kisha nirudi.” Nikamwambia kwa upole “Asante sana, Haya rudi basi kazini.” Akaniuliza akitabasamu “kivipi sasa bila busu, yaani wewe kunibusu ni mpaka kifo kinichukue.” Nikacheka nikisema “mjinga kweli wewe.” Nikambusu kama anavyopenda basi nikashuka ndani ya gari. Basi nikawa natembea mwenyewe najua nimependeza. Nywele yenyewe ya gharama. Sitaki kuongea sana maana walimwengu kupendwa hawajazoea na hata wakipendwa wanaogopa. Basi nikae kimya ila nywele ni nzuri sana, na pia ni nywele ya gharama. Saluni yenyewe sio saluni zetu hizi, nimepelekwa saluni yakishua. Basi natabasamu nikikumbuka wale wadada nimewaacha kule. Natabasamu vile wanahangaika kututazama mimi na Stewart. Nilifika nyumbani bahati mbaya palikuwa kimya sana. Hapakuwa na baba wala dada yangu. Hivyo niliamua kwenda tu chumbani kwangu. Nilipofika nikachukua kioo changu ambacho nacho nahitaji kununua kipya tu. Kioo ni cha elfu moja na bado kimevunjika ovyoovyo.

...
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 82 Baada ya hapo nilikuwa natabasamu tu ila nilikuwa nikikumbuka Joan na yeye amelala na mwanaume wangu nachoka yaani moyo wangu unaniuma sana. Natamani hata nisiwe rafiki wa Joan. Ila nakumbuka dada yangu, na hata mwanaume amesema ukweli isije ikanifanya nikaanza kuchukia Hotel nzima. Nikajikuta ninasema “Hekima ni muhimu sana, Hekima. Nilikuwa nimechoka kusema ukweli, usingizi haukuniacha, nikasinzia pale kitandani. Nilikuja kushtushwa na dada yangu. Baada ya mimi kuamka tu dada alianza kusema “wacha weee!!, wacha weee!!.” Sasa mimi nimesahau hata kama nimependeza kichwani nikawa nashangaa tu.Nikasema “dada kuna nini kwani?” Dada alisema “Hivi unqjua kuwa umependeza sana. Mdogo wangu nywele ya gharama umetoa wapi?, nywele imenyooka hii unajua.” Nikamtazama na kujikuta nimeanza kucheka kwa sauti. Nilicheka nikisema “Mambo ya shemeji yako hayo.” Dada akasema “weee, boss wako huyo?” Nami natamba nikisema “nani tena?” Dada akaniambia “inuka twende sebuleni kwanza nimekuja na miguu ya kuku, utumbo na chips, najua unapenda huwezi kukataa.” Nikasema “nakaaa vipi kwa mfano dada.” Dada alicheka akisema “umbea wa leo hatari eenh.” Basi tulifika wenyewe tukawa tunakula namwambia “basi dada yangu, nikapelekwa saluni.” Dada sasa anasema “wee!!!, ikawaje” Namuambia namna alivyobeba pochi na kunitambulisha. Dada alicheka akisema “sasa huo ndiyo utambulisho, sio ile kutana na huyu ndiyo mwenzangu ninayekuambiaga, tunaimba wote kwaya, pale kazini tupo wote.” Nilicheka nikisema “dada bora hiyo ina maneno mengi. Unakumbuka yule mjinga alivyokuwa ananifanyia yaani tukienda mahali linasema “Huyu mshikaji wangu, anaitwa Ndeana.” Basi tukacheka mno. Nikamsimulia dada pia kuhusu yote yaliyotokea na alivyonielezea na kisha nilisema “kusema ukweli nashindwa kujizuia nampenda sana dada. Ila naogopa na mimi kuwa wazi kwake si ataniacha si eti?” Dada alisema “huo ni ubinafsi mdogo wangu. Mapenzi ya upande mmoja yanauma na yanachosha sana. Fikiria ungekuwa wewe, unafanya anavyokufanyia na huwezi hata kusema nakupenda.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 83

Si unaona unasababisha matatizo. Na umekaa hapa unazungumzia wanawake wanavyohangaika wapate mahusiano. Mdogo wangu kuna zaidi katika mapenzi. Mapenzi ni kujaliana, kupendana, kuelewana, kufurahiana, kuombana msamaha na mambo mengi kama hayo.

Katika mapenzi kila dakika ina maana, kila sekunde ina maana. Unavyofanya hivi mwenzako anaumia ni vile hawezi kusema na pengine kakupa muda kuwa zikifikika wiki mbili au wiki hasemi kama ananipenda basi nitamuacha.

Mdogo wangu. Unatakiwa kufurahia sasa kuachwa, au kuolewa ni mipango ya Mungu. Huwezi kusema sitamwambia mpenzi wangu namna nampenda kwanza sio mume wangu, wewe unajuaje?.

Wewe furahia sio kwaajili yake pekee. Hata wewe utakuwa na furaha hata ukiachwa utakuwa na kitu cha kusema, na ukiolewa pia utasimulia namna pendo lenu lilivyo.

Ndeana kama unampenda leo na wewe mwambie namna unampenda, mwambie namna alivyo wa muhimu kwako. Utaona namna anavyofurahia na hapo ndiyo utajua namna gani alivyokuwa anatamani kusikia maneno kama hayo.”

Nilivuta pumzi na kusema “dada unajua una hekima sana kwenye suala la mapenzi. Mungu akujalie mwanaume mzuri.”
Dada alitabasamu akisema “Sina papara mdogo wangu ni suala la muda tu.”
Nikatabasamu na kisha dada aliniambia tuendelee kula huku akikumbushia eti huyu mshikaji wangu anaitwa Ndeana basi tunacheka mpaka baba anaingia alitukuta na hali hiyo.

Alikuwa na mfuko akitushangaa kwa kusema “wanangu wanangu, nini kimetokea mbona furaha namna hiyo.”

Tukacheka tu tukisema “karibu baba. Karibu basi nikainuka na kumpokea mfuko. Baba alisema “Kuna zawadi zenu humo, sasa sijui nimepatia.”
Tukatazama na kusema kwa pamoja “Zawadi, eenh baba zawadi gani tena.”

Baba alisema tufungue ili tujionee. Waooo!!, waoo!!, baba alikuwa ametuletea viatu, sendozi za chini chini. Tulifurahia sana na kusema “baba asante, baba asante sana tunakupenda.”

Baba alitabasamu tu, tulimkumbatia baba yetu na yeye alikuwa amefurahia akisema “nimepita sehemu nikatamani. Sasa mmpendeza.”
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 84

Tukacheka. Kiuhalisi hivi viatu vilikuwa ni vya kawaida, bei yake ni ndogo sana, ila namna vimekuja kwetu, vimekuja na upendo pesa haiwezi kununua. Nikavipenda sana, nikavifurahia sana.

Kusema ukweli baba alitushangaza na kitu kama hiki boss alisema kuwa hata kama sio tajiri kuna vitu tu vya hadhi yenu vinaleta furaha ili mradi tu vimekuja na upendo kama ambavyo dada kaniletea miguu ya kuku.

Kumbe kila mmoja anaweza kufurahia kwa hadhi yake bila kuumia. Turidhike na hali zetu na kufurahia nini mazingira yanatupa.

Baba yangu pia hakupitwa na kupendeza kwangu. Alinisifia akisema “unaonekana kama bibi harusi leo.”
Dada alicheka akisema “nimemwambia mimi.”
Nyumba ikawa na vicheko juu ya vicheko na kisha nami nikawaelezea kuhusu kazi ambayo tunayo kuanzia kesho. Hakuna ambaye alipinga, wote walinipa baraka zao. Huku baba yangu akionekana mwenye furaha akisema “Mungu ambaye tunamuomba amejibu maombi.
Nilitabasamu na kisha kama familia tuliongea hili na lile huku baba akimuuliza na dada biashara yake. Dada naye alisema yake basi familia ikafurahi.

Mimi niliwahi kuingia chumbani. Dada naye alinifuata na kusema “mdogo wangu nimesahau kitu ingawa nakujua mdogo wangu huna marafiki. Ila muweke mpenzi wako mbali na marafiki. Wasimzoee wewe ndiyo mlinzi weka mipaka. Usije ukathubutu kujinadi kwa unayofanyiwa naamiji kitu kizuri wao wenyewe wataona. Wewe kazi yako ni kupendwa na kupenda tu.”

Nikatabasamu, nikamkalisha dada kitandani nikisema “asante sana dada.Nakupenda. Ila nina kitu. Nataka dada yangu uende hospitali ukaangalie hilo tumbo kwanza. Nilipewa pesa kidogo ya maandalizi. Nakupa laki mbili sawa dada. Nataka upone na usijitese kufanya kazi ngumu. Ukichoka acha. Pia pesa kidogo baba yetu apate dawa nami nikiwa kazini nikipata kidogo nakuwa natuma kwaajili ya familia yetu. Sawa dada.”

Dada yangu alinishangaa na kunikumbatia akisema “una roho nzuri sana mdogo wangu. Wewe sio mbinafsi. Na unaipenda familia yako. Mungu akubariki sana. Mungu azidi kukufungulia mdogo wangu. Sina neno nakupenda tu.”
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 85

Nilimwambia kwa upole “dada huna sababu ya kulia kwasababu jukumu la familia yetu ni letu pamoja. Wewe ndiyo rafiki yangu, ndugu yangu, ni kama mama. Dada nakupenda sana.”
Tulikumbatiana na nilimpatia pesa. Dada alifurahi sana. Alifurahi mno. Niliona hilo.

Basi dada yangu alitoka chumbani na aliniacha nikiwa na amani sana moyoni. Nilishika simu yangu, sikuona ujumbe wowote. Nikakumbuka maneno ya dada yangu nikaona ni heri nami nimuoneshe upendo. Sijui ninafanya nini ila nitazoea. Ndipo na mimi kwa mara ya kwanza, nilichukua simu yangu na kuanza kuandika.

Nilikuwa na mengi moyoni ila siku hii nilisema “Stewart, Asante kwa kila kitu. Wewe ni mwanaume mzuri sana. Kuelezea ninavyokupenda peke yake haitoshi. Ninatafuta kitu cha kuubebea upendo ambao ninao kwako nakosa kabisa.

Mapenzi yangu kwako ni makubwa. Asante unanipenda nw unanijali. Sina kitu cha kukupatia zaidi ya penzi langu la dhati na la kweli. Nakupenda sana Stewart wangu, natamani kungekuwa na neno kubwa zaidi ya neno nakupenda ila hakuna na sijui nifanye nini ujue namna nakupenda. NAKUPENDA.”

Nikasoma huu ujumbe, nikasema “Mungu wangu sijui nimeweza, sijui sasa nifanye nini. Nifute nianze upya au nifanye nini. Nikaituma ule ujumbe na kuweka simu yangu pembeni. Kwasababu nilikuwa naona aibu yaani. Nawaza sijui atapokeaje ule ujumbe.

Basi mimi nikaenda kuoga, na niliporudi simu yangu niliikuta ikiita. Niliitazama alikuwa ni Boss wangu. Nilitabasamu na kujisema “My boss.”
Basi Nikapokea, Boss aliniambia “Ndeana ni wewe?”
Nikamuuliza “vipi mbona sielewi, unauliza kuhusu nini tena.”
Akaniuliza kwa kimuhemuhe “umesema unanipenda si ndiyo, unanipenda sana. Umesema unanipenda.”
Nikatabasamu na kujibu kwa sauti ya chini “Nakupenda sana.”
Akacheka sana akisema “Ndeana unanipenda kweli, kama ambavyo mimi Nakupenda.”
Nikamwambia kwa masihara “umeniambia niwahi kulala leo ujue!!”
Akasema “acha utani Ndeana hapa serikali iingilie kati. Nakuacha vipi ulale na ndiyo kwanza penzi limeanza upya.”
Nikacheka sana.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 86

Ni kweli inaonekana alikuwa anasubiri kwa hamu sana siku hii itokee. Alifurahi sana na hata aliniruhusu nilale kwa maana kazi ya kesho ni muhimu kwa maslahi ya Hotel yetu tunayofanyia kazi. Nilikuwa natabasamu tu muda wote. Moyoni ni kama nimetua mzigo mzito sana baada ya hili kutokea. Ninafuraha sana.

Ninakumbuka sana asubuhi hii, niliamka nikajiandaa vizuri sana. Wakati natoka nilikutana na baba na dada pale nje. Baba yangu alinitania akisema “sasa ndiyo nakuona vizuri zaidi. Binti yangu umependeza sana.”
Nilitabasamu na kisha baba alisema “Dada yako amenielezea mwanangu. Mungu akubariki uwe na moyo huo huo. Asante sana. Nafurahi kuona mnapendana. Nafurahi sana.”
Nilitabsamu na kusema “Nashukuru baba, kila kitu kitakuwa sawa.”
Baba alisema “Ni furaha kuona mmoja kati ya familia hii anafanya kazi katika hotel ya ufahari. Nimekuombea usiku wote mwanangu ikawe heri kwako.”
Nikatabasamu na kusema “Kila siku unanibariki baba yangu. Ina maana leo hutoshika kichwa changu.”
Baba akacheka na kusema “Njoo binti yangu.”
Nilimsogelea, nikainama mbele yake akabibariki. Na dada yangu pia alinibariki. Nikafurahi sana na kuondoka zangu.

Nilifika katika geti la Hotel, wakati naingia simu yangu ikaita. Alikuwa ni Boss na yeye aliniambia “Ndeana kabla hujaingia ndani naomba njoo parking, ninataka kukuona.”
Nikashangaa nikisema “tunaweza kuonekana lakinu.”

Aliniambia “sijali nani ataona kwa maana mwisho wa siku kila kitu kitakuwa wazi. Hata hivyo kwanini tunajificha?, please njoo.”

Nikavuta pumzi yangu na kuelekea aliposema. Baada ya kufika tu alinionesha ishara nami nikamfuata. Alinifungulia mlango wa gari, nilipoingia tu alisalimia vizuri na kisha aliniambia “Nakuomba geukia upande wangu, nataka nione sura yako nzuri.”

Nikatabasamu tu, nakumbuka alichukua mkono wake akanishika uso wangu kwa upendo.

Huku ananitazama usoni, kwa utulivu na mahaba mazito aliniambia “Ndeana unaweza?, unaweza kusema tena yale maneno ya jana nikiwa nakutazama, unaweza kusema unanipenda sana ukinitazama, unaweza kusema mimi ni mwanaume wa pekee kwako ukinitazama.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 87

Tafadhali totoo, niambie unanipenda. Nataka kuona midomo yako mizuri na laini yenye muonekano wa kupendeza ukiniambia namna unanipenda, Please niambie baby, nataka kukusikia, nataka kukuona, niangalie usoni na uniambie unanipenda, please baby.”

Mimi sijawahi kuwa na mwanaume mtulivu namna hii. Anaongea maneno unasisimuka mpaka unahisi kujikojolea kwa furaha. Nilijikuta namtazama machozi kwa mbali na nikasema nikimtazama usoni tena kwa kumaanisa. Nilisema “Yes, Nakupenda sana Stewart, Nashindwa kujizuia hisia zangu. Kila nikitaka nikae mbali na wewe upendo unazidi. Your so sweet, Romantic, lovely, wewe ni waajabu sana. Ni kama vile mapenzi yameumbwa kwaajili yako. Unanifundisha kupenda, Nakupenda.”

Alinitazama kwa hisia, akisema “Dont stop, usiache kuongea, usiache kunipenda. Endelea kuongea. Ndeana maneno yako yameumba kitu kipya moyoni. Maneno matamu yanayotoka kwenye kinywa na moyo wa mwanamke mwenye heshima, mtulivu, na mpole kama wewe ni sababu mpya ya mwanaume kuishi maisha marefu. Ndeana, usiache kuniambia namna unanipenda, ili niweze kuishi maisha marefu na kukupenda zaidi unatakiwa uumbe maisha mapya kwa kuniambia Nakupenda kila siku. Nakupenda Ndeana, nimefurahi sana na nakutakia kila jema katika kazi yako. Mungu akubariki.”

Nikamtazama na kusema “Asante sana, basi naomba niende.”
Akanishika mkono na kusema “totoo si tukikubaliana uchoyo ni haramu.”
Nikacheka na kusema “ndiyo baby dini hairuhusu ni haramu.”
Akasema “sasa mbona unaninyima busu langu.”
Nikacheka lakini nilimbusu na kisha nilitoka huku akiniambia “Nakupenda.”
Tena wakati sijafika hata mbali alinitumia ujumbe akisema “Ndeana wangu, umependeza sana. Umependeza.”
Nikatazama nyuma na kucheka tu kisha nikaelekea sehemu nahitajika.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 88
Basi niliingia ndani nikasalimia baadhi ya wafanyakazi wenzangu wakawa wananitazama tu wananipandisha wananishusha. Moyoni nikawa najiuliza tatizo hata sielewi. Basi ilinibidi nitulie tu nimtafute Joan, aliniambia yupo chumba cha kubadilishia nguo na vitu kama hivyo. Nikapanda mpaka sehemu ya kubadili nguo. Nilipofika tu kitu cha kwanza nikauliza “Kuna nini jamani, ninasalimia watu huko chini hawanijibu wananinyari tu.”

Joan alimtazama yule dada mwingine na kusema “Vumilia tu, na itafika muda utazoea. Watu wamechukia kwanini wewe ndiyo usimamie hili na wakati kuna wakongwe na hawajapata nafasi.”

Nikavuta pumzi na kusema “Makubwa haya, sasa mimi hapa kosa langu nini?”
Yule dada mwingine akasema “hata sisi tumewaambia badala yake wakaanza kutusema na sisi na vitu kama hivyo yaani maneno kibao.”

Nikavuta pumzi na kusema “ni sawa hata hivyo hapa ni kazini. Kazi yetu ni kufanya kazi na kurudi nyumbani. Mahusiano mazuri ya wafanyakazi ni muhimu ila hatuwezi lazimisha tusipotakiwa. Hatupaswi kukasirika ila kufanya kazi nzuri. Tuvae tukaanze kazi. Wanatakiwa kujifunza kutoka kwetu na sio kulalamika.”
Joan alitabasamu na kusema “sahihi kabisa.”

Basi tulivaa na baada ya muda ilikuja taarifa Boss anatuhitaji chumba cha dharula nasi tulitii. Baada ya kufika mule, ile naingia tu macho yetu yakagongana na kisha akatabasamu kiwizi.

Kisha akawa ananitazama na kunikonyeza. Wale wenye mahusiano ya hivi hapa wanaelewana, na mimi natabasamu ili mradi tu kumchanganya. Kisha nacheka kidogo unajua tena kunogesha penzi letu eenh.

Basi alitoa maelekezo yake kikubwa ilikuwa ni kuhusu wageni, hivyo usafi, utulivu na mambo kama hayo. Basi ndiyo hivyo alipomaliza macho yote kwangu, meneja naye alisema yake kisha walipomaliza wengine wote waliondoka, akabaki meneja, Boss na sisi watatu.

Mimi nilikuwa namsikiliza huku tunakonyezana na baada ya hapo sasa wakati anatoka si akajichanganya akasema “Totoo, Ooh sorry!!, sorry!!, Ndeana all the best na Team yako.”
Nikashtuka na kisha kuzuga nikajibu “asante sana boss.”
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞: 89

Na wengine wakajibu hivyo, kisha Joan akanitazama na kusema “totoo!!”
Nikacheka nikisema “Yes, dada yangu aliyeniunganisha hapa. Anapenda kuniita hivyo, anapenda sana sasa na Boss kazoea hivyo kutoka kwa dada.”

Nikazuga zuga pale, meneja akatoa maelekezo na akatuacha. Basi tukabaki tunacheka tu huku nikisifiwa nimependeza nywele ya gharama na vitu kama hivyo huku wakifikiri nimetoka familia nzuri kumbe kumbe familia yangu inanitegemea nipambane mambo yaende sawa.

Chuki, wivu, majungu na vitu kama hivi havikosekani kazini. Kwasababu nimepitapita mahali basi hili halinipi shida kabisa. Halinisumbui mimi watajua wenyewe.

Wageni walianza kufika, nasi tuliwapokea. Wageni hawa walikuwa ni wengi sana. Yaani tofauti na ambavyo tulikuwa tunategemea. Kulikuwa na viongozi wa nchi, kulikuwa na watu wa mataifa mbali mbali. Tulifanya kazi sana siku hii, tulifanya sana kazi. Nakumbuka kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na moja ndiyo mkutano wao ulikuwa unaisha.

Basi wakati watu wanatawanyika, ninakumbuka niliitwa na huyu mtu mkubwa sana kwenye ule mkutano. Ni mmoja kati ya viongozi wakubwa sana.

Alinisimamisha na aliniambia “Asante sana kwa huduma nzuri, hakika sikuwaza kama Tanzania kuna huduma nzuri kama hizi.”
Nikatabasamu na kusema “karibu sana, na sisi pia tunayo furaha kufanya kazi nanyi.”

Akatabasamu na kusema “huu hautakuwa mwisho, tutafanya kazi pamoja na nitaleta na wengine. Mnastahili pongezi.”
Nikatabasamu na kumjibu “tutafurahi sana.”

Akacheka akisema “Unaitwa nani muhudumu mrembo kuliko wote.”
Nikacheka na kumjibu “Ndeana, naitwa Ndeana.”

Akasema “waoo!!, Waoo!!, jina zuri kama wewe ulivyo. Wewe ni mzuri sana. Natumai tutazunguka zaidi. Naitwa Mr Tarick. Here is my busness Card.”
Nikapokea na kusema tu “Nashukuru sana. Asante.”

Akatabasamu na kuanza kuondoka. Ile mimi nageuka nyuma ili nibebe vitu vyangu nakutana na uso wa Boss, hakuwa na furaha. Niliita “Boss!!”
Alinitazama na kusema bila hata tabasamu “Nifuate Ndeana.”
🀣🀣🀣🀣kivumbi leo🙌🙌mjue leo ilikuwa nisipost nimebanana hatari ila nilipokumbuka ni haramu weee nikakurupuka🀣🀣🀣🀣💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻

MWISHO WA SEASON TWO
SEASON THREE IPO WHATSAPP KWA SH 1000 UNAISOMA
𝑵𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒍𝒊𝒑𝒐 𝑜𝒐𝒅𝒂𝒄𝒐𝒎 𝑎 𝒑𝒆𝒔𝒂 0743433005 𝒋𝒊𝒏𝒂 𝑚𝑮𝑶𝑺𝑻𝑰𝑵𝑶
𝑌𝒌𝒊𝒍𝒊𝒑𝒂 𝒏𝒊𝒄𝒉𝒆𝒌𝒊 𝑟𝒉𝒂𝒕𝒔𝑚𝒑𝒑 𝒌𝒖𝒑𝒊𝒕𝒊𝒂 𝒏𝒂𝒎𝒃𝒂 +255743433005 𝒏𝒊𝒌𝒖𝒉𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒆

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 𝒕𝒘𝒐 81 - 89.. 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:

81 Nakuomba sana uwe makini leo, ulale mapema na uamke mapema maana wewe ndiyo tunakutegemea. Najua utakuwa umetingwa sana mwezi huu wote. Nashindwa kusema nitakukumbuka sana, nitakumiss ila sitaacha kukuona hilo kaa ukijua na pia usiku najua utakuwa unapata muda kidogo kwaajili yangu si ndiyo totoo.” Nukamshika mikono na kusema “usinishukuru zaidi inatosha sasa. Kikubwa ni kuwa Mungu ametusaidia na tutafanikiwa. Sijawahi kufanya kazi kubwa kama hii ila nakuahidi nitafanikiwa. Ila nina kitu nafikiriia..” Haraka akaniuliza “ni kitu gani hiko?” Nikavuta pumzi na kusema “Kuhusu wageni wetu na sehemu za kulala najua mnashughulikia sasa. Ila kumbuka mimi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/season-two-81-89-jamani-boss-mi-naona-aibu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi season-two
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU Ya tisa*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA*
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TATU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA TANO*
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35*  Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA NNE*
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*      *SEHEMU YA 40*  Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 40* Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *36--40* *______________________________________*  *SEHEMU YA 36*  Kiswahili cha mama si kizuri sana ila kinaeleweka🀣🀣🀣
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *36--40* *______________________________________* *SEHEMU YA 36* Kiswahili cha mama si kizuri sana ila kinaeleweka🀣🀣🀣
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38*  Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38* Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39*  Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 33*  Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 33* Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*     *SEHEMU YA 28*  Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37*  Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37* Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*  *SEHEMU YA 31*  Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🀗🀗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🀗🀗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34*  Nilipiga simu ya mama  ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34* Nilipiga simu ya mama ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32*  How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32* How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

649
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

246
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

91
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀ sehemu ya 108

MY WANGU❀ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❀ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈🊈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest