???????? KIKOBA CHANZO CHA MIMI KULIWA sifuri????
Sehemu ya tatu.
???? Akazima taa kukawa na giza natoa nguo sasa dah yani...????
Namsikia ananiambia.
" Kweli wewe bado.
" Samahani naomba unielekeze wenzangu wanafanyaga nini?.
" Njoo hapa kitandani nikwambie.
( Nikasogea kitandani nikiwa na nguo ya ndani tu..akanipakata akaanza kuniambia)
" Wenzio wanakuwaga na mipira yao yani akija ndani na mwanaume humu cha kwanza anataka pesa yake cha pili ataki giza ndani ya chumba kwa sababu amwamini mwanaume Chengine akimaliza moja anaomba umsindikize tigo pesa akaweke pesa na simu wanaachaga uko kwa wakala wanaomjua ndio anakuja kulala sasa na mwanaume uwaga wapo makini sana wewe ukiwa ivi kuna siku utatumiwa alafu utaachwa na pesa mwanaume anaondoka nayo.
" Asante kwa kunifundisha.
" Ila Samahani unaonaje uwe wangu kabisa uachane na hii kazi.
" Utanihudumia?
" Ndio nitakuhudumia mimi nataka uwe wangu kabisa.
" Sawa mimi nina matatizo ndio maana nimeamua aya.
" Kama utatulia mimi nitakupa unachotaka.
" Sawa.
" Sasa umekula au?
( Nikaona niseme sijakula hili nipate nafasi ya kumuaga tina ajue nalala uku na kichwa)
" Sijakula.
" Vaa nguo twende tukale turudi tulale mpenzi wangu.
" Sawa.
( Nilinyanyuka ila kibaba iki cha ajabu kimesimamisha ila akijataka ata kupiga moja tu...akawasha taa nilikuwa nishamaliza kuvaa tukatoka nje sijamuona tina ila nawaona wanawake tofauti tofauti tu wapo kwenye mawindo...nikala chakula mala ndio tina namuona nikamwita)
" Tina tina.
" Niambie zabibu.
" Njoo.
( Akaja nikamwambia)
" Mimi naenda kulala na uyu.
" Sawa kalale nae mimi acha nikimbizane na upepo leo kumechangamka.
" Sawa kwaiyo kesho tuonane wapi?
" Zabibu shika simu yako alafu nimesahau nenda kaweke pesa Kwenye simu yako kwanza alafu ndio ukalale nae ila simu usimpe mtu wakala tunayemwamini ayupo siku izi lala na simu yako kuwa makini mwanaume sio ndugu yako.
( Yani akusubili ata nimjibu akalikimbilia gali la kifahari...duniani kuna mambo anashuka mwanamama anakuja kununua na yeye mwanamke nikasema duu kweli dunia hii tembea uone anapatana na tina bei nikashangaa)
" Kweli tena mama kulala laki tatu.
" Sasa unavyo vifaa.
" Ninavyo.
" Mimi ninayo yangu utaitumia iyo vifaa vyenu sivitaki.
" Sawa.
( Tina anaingia kwenye gali anaondoka mimi nikabaki nimeshangaa namuuliza kibaba)
" Yule sasa anaenda kumfanya tina?
" Wamama hawa ni wale waliolaaniwa na ndio walioanzisha usemi wanaume mbwa tu yani pale anaenda kuwa yeye mwanamke alafu tina mwanaume na ndio maana aliuliza vifaa.
" Duu sasa icho kifaa ndio kifaa gani?
" Nipe mkono nikugusishe.
( Nikampa mkono akauweka mbele yake akasema)
" Iki ila wa bandia.
" Duu sijawai kuona mimi.
" Utaona tu mengi aya nenda kwa wakala ukaweke pesa tuingie ndani kule aina kuongea tena ni show tu.
" Sawa.
( Kweli nilienda kwa wakala nikaweka laki tatu kwenye simu yangu alafu laki moja nikamtumia mama yangu nikampigia namwambia)
" Mama itakusaidia iyo pesa Kwenye matumizi yako binafsi.
" Asante mwanangu.
( Mimi uyo sasa naenda na kibaba ndani safari hii naona nijizime data nimfurahishe nimzoee tu ghafra alafu awe wangu..tulipofika ndani nikamkumbatia uku taa inawaka akaniambia)
" Asante sasa umekuwa mjanja ata utetemeki tena au ilikuwa njaa.
" Amna nilikuwa naona aibu ila kama nimekuzoea vile.
" Sawa aina kuongea tufanye yetu.
" Sawa.
( JAMANI JAMANI SIJAWAI KUFANYIWA NILIYOFANYIWA NA UYU KIBABA TOKA NIYAJUE MAPENZI KUMBE KITABU CHA MAPENZI KINA KURASA NYINGI ALAFU KUNA KURASA HARAMU...)
" Usiweke mkono uko jamani mimi sijawai kuguswa uko jamani toa mkono wako kwanza.
ITAENDELEA.
Hii ni ngumu kumeza.
KUNAPO3NDELEA NI PAMOTO..
SANA MAANA AKUNA NENO LENYE PAZIA.
FULL 1000.
ILA UKINUNUA TATU...2000
1..KIKOBA.
2..KIKUKU
3..KITUMBUA.
NAMBA YA MALIPO 0657774735
JINA MKEGANI MPONDA
MTANDAO NI TIGO.