MOYO WA MJEDA (Am his number one)????
Page Bahari ya simulizi
WHATSAPP 0755090082
Sehemu ya 05
nilimtizama nikakumbuka aliyonifanyia, nikaamua kuzira asinichekee Ili nimpende, sitaki Mimi..
Aliniuliza mama tunakula nini usiku huu, sikujibu au nikuchangamshe mwili ndo utajibu? Nilivyosikia tu Ivo nikaogopa, nilijua kabisa hashindwi kunibaka tena bila huruma..
Nilijibu amna nilikuwa natafakali, unajua Natakiwa kuludi Leo naenda nyumbani, nitakula tu nyumbani, nisipoludi nitajibu Mimi na tuko nyumbani wenzangu niwageni huku Mimi ndio mwenyeji, nilianza kujiekeza Ili nisibaki japo sio kweli kama nilikuwa naenda nyumbani japo ni huku huku ila tulikuwa field na wenzangu Kwa tabia zao ilikuwa bola kupanga geto kuliko kuwapeleka Kwa Mzee wangu..
frank aligoma kuniluhusu kuondoka, jioni alinipikia tukala, zilipita siku 6 ndo nikawa, sawa siku ya Saba frank alinipatia simu yangu nakusema aliidaka, hakutaka kunipa kuepusha kerere, nafield alienda kunifanyia mchakato Kila kitu kilikuwa sawa, akaniludisha mpaka geto..
Alinishusha akaondoka nilichukua limtu nimekaa nalo siku 6 ata jkunipa pesa ya matumizi hakuna nililaani kimya kimya lakini nikiwa ninagonga nifunguliwe simu ilingiza sms kucheki muamala huo kutoka Kwa frank, pesa ya maana tu nilifurahi vibaya mno..
Niliingia ndani nakuta wenzangu, wananijadili, ehee mwenzetu siku 6 kweli we kiboko, SEMA mwenzetu sijui umemoataje uyo muhimu aisee anajua kuhudumia umu ndani sio Kwa mahemezi hata tuliyofanyiwa shoga, shem tumemkubali, Hana mbambamba..
Ila bila umeludi tunatakiwa kuludi kesho chuoni barua yetu ilikosewa sio miezi miwili na wiki mbili ni miezi miwili tu na imeisha, niliwajibu Haina shida, dikujisumbua kumpigia frank, ata Asante sikusema nikikumbuka alichonifanyia mzuka wakumpenda unakatika..
Niliwapigia wazazi wangu nikawajulisha, walinielewa nikatumiwa nauli na porcet money, jiona tukiwa tumeshakata ticket, zilikuja toyo tano, wakafuka nakupaki, hao kwamu oya shem lake, niaje brother katuahiza tukabidhi hesabu kwako, sikuwa hata nawaekewa nikiwa nawashangaa simu ikaita, sikuipokea, kati ya hao toyo mmoja simu yake ikaita, akapokea alivyoweka sijui kama dk 1, akanipatia Mimi, ee haloo..
JE NINI KItaenderea...????
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU
NAMBA YA MALIPO 0755090082 MPESA JINA LA USAJILI ZAINABU SUNGITA MPESA
UKISHALIPIA wahi haraka
WhatsApp 0755090082.