VYOTE NDANI GONGA94
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi yule madame akasema sawa kama hutembei nae.ila nishakupiga marufuku chezewa kwanza na wanuka mikojo wenzio .usitake kuluka stage. We kurupu na watu wazima ukomeee msenge ww. Khaaaaa nilibaki nimeshangaaa mno. Kisha yule madame akaniacha akaondoka zake. Nyieee mie nikarudi darasani machozi yananilenga lengaa. Mh shoga angu ananijua akanmbia twende chooni. Basi tukanyanyuka mpka chooni . Aseee uko nililia sana . Yani nililia mpka yusta akanitoa chooni . akanipeleke nyuma ya choo kuna kipori kidogo ndo akawa ananibemebeleza uku ananambia nyamaza kwanza unielezee shida nn. Nijue nakusaidiaje au umegombana na mlige. Nikasema hapana mi mlige ataniua mimi..naumia sanaa. Shoga akanmbia aya acha kuumia unielezeee. Basi nikamuelezee alivyonambia madame zahara. Shoga akanambia kwanza uyo madame ana bahati kakukuta ww mjinga mjinga. Ningekuwa mm tungenyukana leo. Akanmbia sikia we bwana ako handsome alafu ana hela lazima kuna vijanamke vitajimilikisha tu sijuh unanaielewa
Nikasema kanmbia ana mimba ya mlige lakini. Akanmbia ww sikia usimnunie bwana ako kisa maraya mmoja. We baadae kaongee na mlige na umuelezee na usimuogope. Muulize vizuri na akuelezeee sijuh unaelewa. Mimba ndo nn. We unauwakika gani kama ya mlige. Ebu achana nae mshamba yule. Kaaa kwa kutulia shoga au ndo wachawi sasa wa penzi lako na mlige na hakuna kumuogopa mtu maraya wakubwa aoa. Hakuna cha madame wala nn . Na hakuna kupoa et usiende kwa bwaa wako kisa nn. Kwanza twende huu mda nakupeleka mwenyewe. Nyieee mie nikasema hapana tutaenda ata kesho . Akanmbia sawa bwana. Basi tukaludi darasani ila sikuwa na rahaa jamani . Nawaza je kama ni kweli anatembea nae inakuwaje. Nikawa naogopa sana. Basi tulivyoruhusiwa mie nikajiandaa kuondoka na shoga yangu. Nashangaaa mlige ananiita. Mie nikaenda akaningalia akanmbia njooo ofisini nna maongezi ma ww. Mie nikasema sawa.kisha nikamwambia yusta ningoje tu akasema.sawa.
Basi mie nikaenda mpaka kwa mlige ofisni kabisa . Basi na madame zahara aliniona kabisa. Akanikata jicho hiloo. Basi mie sikujali wala nn nikaingia ofisini. Nikamkuta mlige ananisubir. Akaningalia sana akaniuliza ulikuwa unalia nn. Nikasema sikuwa nalia. Akanmbia ulikuwa unalia nimeshaongea na yusta. Sikia mama naomba unisikilize kwa makini. Unaelewa nimekwambia nisikilize kwa makini. Faridah kwangu we ni mdogo sana .we nimekupita miaka mingi ila kwako mi fala. Kwako mo ni mdhaifu kwako mm sio kitu. Sababu nakupemda sana..na sina mwanamke mm katika hii shule tofauti na ww unanaielewa faridah . Nikasema ndio . Akanmbia uyo zahara simtaki ananaitaka yeye. Na ile mimba sio yangu unaelewa ww. Unalia lia nn sasa. Mi si nipo apa. .kwa nn unashindwa kuja kuniuliza unabaki unasononeka na moyo. Sitaki farida iyo ni tabia mbayaa sawa we mrembo. Nikasema ndio akanmbia aya njoo unikumbatie..basi nikainuka nikamkumbatia. Akanmbia sitaki ulie kwa ajili ya watu na uyo zahara ntamkomesha atahama hii shule. Mie tena apo ndo moyo ukapoa nakwambia mana doooh presha ilikuwa kubwa sana.
Basi bwana mie nikamalizana na baby nikaondoka zangu . Nikampitia yusta .tukaanza kuelekea nyumbni. Mie nikasema yusta ww mbea jamani yani hujapoa umeenda kuongea na mlige. Yusta akanmbia we mie sipoi . Na sijawahi kupoa nimeenda kumwambia vizuri . Na kasikitika ww. Na anakujua akaanza kulalamika kuwa ushalia na utakaa kimya tu. Nikacheka .nikasema kanambia nisilie tena sio kweli bwana.basi tukaw atunacheka mie nikarudi zangu mpaka homeeee
Basi apo bifu la mie na madame zahara ndo likaanza .jamani uyu madame alikuwa ananifanyia visa sijapata kuona. Alikuwa anapenda kunipiga. Yani kosa sio kosa ananipiga mno. Kunichamba ndo siwaambia kitu kidogo anaanza maraya mtoto.wewe
Kazi kuikalia mimboo ya watu wazima.alafu ni mbele ya darasa .yani kila mtu alikuwa anajua kuwa now nimeshaanza mapepe. Ila walikuwa hawamjua bwana ni yupi. Yani madame alinikalia kohoni aswaa. Na ndo alikuwa anatufundisha sie kiswahili. Basi bwana mie nikawa nampotezea tu na nilivyo mkimya sikuwahi ata kumuelezea mligee juu ya anayonifanyia madame zahara ata siku moja kiukweli.
Siku iyo sasa. Ilikuwa ni j mos nakumbuka. Nimekaa tu zangu home nimeboeka sana. Sasa huwa najua kabisa mala nyingi mlige j mosi anakuja shule. Nikaona acha niende shule nikamuone ..huwa siendagi sana na wala.sio kawaida yangu ila hii siku na chini kulikuwa kunawasha. Basi mie nikamdanganya mama naenda kwa kina yusta.kisha taratibu nikaanza kupandisha shule. Basi bwana nimefika shuleni kumepoa mno kupo kimya si j mosi hakuna ata watu. Ila nikaona gari ya mlige imepaki.nikafurahi kweli kwrli nikajua yes baby yupo. Basi mie nikaenda mpka ofisini ile nataka kusukuma mlango mh nikahisi mbona umu kma kuna mtu mwengine. Yani kama mlige yupo na mtu na wanazungumza
Shoga yenu nikategesha sikio vizuri mnooo
Heeee si nasikia sauti ya mlige anasema zahara ni nn sasa unanaifata mpaka kazini. Kwani si ningeludi ungekuja kwangu ama shida ni nn mbona unanisimbua sana ww. Kwani mimba mm ndo wa kwanza kumtia mtu ..zahara akasema nyoooo mimba yako inanaisumbua we hunipendi mimi kabisa upo busy na kale.katoto cha form four konachonuka mkojo. Nyieeeee nusu nife ila nikajikaza nisikie ya zaidi. Mlige akasema sasa issuee za farida zimefata nini apa. Mi si nipo na ww. Acha kuongea mambo ya faridah tuongee story zetu. Zahara akasema yaa lazima umtetee si amekupa bikraa. Mlige akasema ebu acha mambo yako we nenda nyumbani mie ntakuja kwako tutakuja kuongeaa. Zahara akasema siendi nyumbani najisikia kukaa na ww leo ndo mana ulivyonambia upo shule nami nimekuja. Mlige akasema.najuta sana kusex na ww kukupa iyo mimba .we demu ni msumbufu sana. Yani mambo yako kma mtoto wakati ni mtu mzima kabisaa
Nyie apo sasa ndo nilielewa sasa kuwa kweli mimba ya madame zahara ni ya sir mlige. Mwanaume wangu . Mwanaume nnayempenda sana . Aseee niliumia sana . Moyo uliiuma sana. Sikujifikilia nilifungua mlango kwa nguvu. Ile nafika nakuta mlige kampakata madame zahara wanakisss. Nyieeee mlige alistuka sana aliponiona. Nami nilitaka anione ajue kuwa nimeeona na kusikia kila kitu. Asee mlige akasema faridaah. Nikasema.ndio mm mlige .kumbe kipindi chote ulikuwa unanaidanganya si ndio. Kumbe ni mimba yako kweli si ndio. Nyie mlige alipata mpkaa kigugumizi akanmbia plss mama naomba nikuelezee. Zahara akasema umueleze nn .we binti si nilishakwambia aya nna mzigo wake wa miez 3. Na yeye ndo muhusika na mda wowote mimi na uyu bwana tunatombana. Mda wowte naenda kwake runzewe habari ndo iyo. Ata mm niliamini mana walikuwa wanakiss. Walikuwa washamisiana. Nyieeeeeee moyo unauumaaa kaa position yangu kisha ufeel napitia nn kwa sasa. Kumuamini kote na sio kumuanin tu mi nampemda sana mlige..leo ndo nayasikia aya. Kiukweli mlige ata kukataa alishindwaaa. Yani alishindwa kabisaa. Alibaki kama anaweweseka pale.
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
