Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi yule madame akasema sawa kama hutembei nae.ila nishakupiga marufuku chezewa kwanza na wanuka mikojo wenzio .usitake kuluka stage. We kurupu na watu wazima ukomeee msenge ww. Khaaaaa nilibaki nimeshangaaa mno. Kisha yule madame akaniacha akaondoka zake. Nyieee mie nikarudi darasani machozi yananilenga lengaa. Mh shoga angu ananijua akanmbia twende chooni. Basi tukanyanyuka mpka chooni . Aseee uko nililia sana . Yani nililia mpka yusta akanitoa chooni . akanipeleke nyuma ya choo kuna kipori kidogo ndo akawa ananibemebeleza uku ananambia nyamaza kwanza unielezee shida nn. Nijue nakusaidiaje au umegombana na mlige. Nikasema hapana mi mlige ataniua mimi..naumia sanaa. Shoga akanmbia aya acha kuumia unielezeee. Basi nikamuelezee alivyonambia madame zahara. Shoga akanambia kwanza uyo madame ana bahati kakukuta ww mjinga mjinga. Ningekuwa mm tungenyukana leo. Akanmbia sikia we bwana ako handsome alafu ana hela lazima kuna vijanamke vitajimilikisha tu sijuh unanaielewa

Nikasema kanmbia ana mimba ya mlige lakini. Akanmbia ww sikia usimnunie bwana ako kisa maraya mmoja. We baadae kaongee na mlige na umuelezee na usimuogope. Muulize vizuri na akuelezeee sijuh unaelewa. Mimba ndo nn. We unauwakika gani kama ya mlige. Ebu achana nae mshamba yule. Kaaa kwa kutulia shoga au ndo wachawi sasa wa penzi lako na mlige na hakuna kumuogopa mtu maraya wakubwa aoa. Hakuna cha madame wala nn . Na hakuna kupoa et usiende kwa bwaa wako kisa nn. Kwanza twende huu mda nakupeleka mwenyewe. Nyieee mie nikasema hapana tutaenda ata kesho . Akanmbia sawa bwana. Basi tukaludi darasani ila sikuwa na rahaa jamani . Nawaza je kama ni kweli anatembea nae inakuwaje. Nikawa naogopa sana. Basi tulivyoruhusiwa mie nikajiandaa kuondoka na shoga yangu. Nashangaaa mlige ananiita. Mie nikaenda akaningalia akanmbia njooo ofisini nna maongezi ma ww. Mie nikasema sawa.kisha nikamwambia yusta ningoje tu akasema.sawa.

Basi mie nikaenda mpaka kwa mlige ofisni kabisa . Basi na madame zahara aliniona kabisa. Akanikata jicho hiloo. Basi mie sikujali wala nn nikaingia ofisini. Nikamkuta mlige ananisubir. Akaningalia sana akaniuliza ulikuwa unalia nn. Nikasema sikuwa nalia. Akanmbia ulikuwa unalia nimeshaongea na yusta. Sikia mama naomba unisikilize kwa makini. Unaelewa nimekwambia nisikilize kwa makini. Faridah kwangu we ni mdogo sana .we nimekupita miaka mingi ila kwako mi fala. Kwako mo ni mdhaifu kwako mm sio kitu. Sababu nakupemda sana..na sina mwanamke mm katika hii shule tofauti na ww unanaielewa faridah . Nikasema ndio . Akanmbia uyo zahara simtaki ananaitaka yeye. Na ile mimba sio yangu unaelewa ww. Unalia lia nn sasa. Mi si nipo apa. .kwa nn unashindwa kuja kuniuliza unabaki unasononeka na moyo. Sitaki farida iyo ni tabia mbayaa sawa we mrembo. Nikasema ndio akanmbia aya njoo unikumbatie..basi nikainuka nikamkumbatia. Akanmbia sitaki ulie kwa ajili ya watu na uyo zahara ntamkomesha atahama hii shule. Mie tena apo ndo moyo ukapoa nakwambia mana doooh presha ilikuwa kubwa sana.

Basi bwana mie nikamalizana na baby nikaondoka zangu . Nikampitia yusta .tukaanza kuelekea nyumbni. Mie nikasema yusta ww mbea jamani yani hujapoa umeenda kuongea na mlige. Yusta akanmbia we mie sipoi . Na sijawahi kupoa nimeenda kumwambia vizuri . Na kasikitika ww. Na anakujua akaanza kulalamika kuwa ushalia na utakaa kimya tu. Nikacheka .nikasema kanambia nisilie tena sio kweli bwana.basi tukaw atunacheka mie nikarudi zangu mpaka homeeee

Basi apo bifu la mie na madame zahara ndo likaanza .jamani uyu madame alikuwa ananifanyia visa sijapata kuona. Alikuwa anapenda kunipiga. Yani kosa sio kosa ananipiga mno. Kunichamba ndo siwaambia kitu kidogo anaanza maraya mtoto.wewe
Kazi kuikalia mimboo ya watu wazima.alafu ni mbele ya darasa .yani kila mtu alikuwa anajua kuwa now nimeshaanza mapepe. Ila walikuwa hawamjua bwana ni yupi. Yani madame alinikalia kohoni aswaa. Na ndo alikuwa anatufundisha sie kiswahili. Basi bwana mie nikawa nampotezea tu na nilivyo mkimya sikuwahi ata kumuelezea mligee juu ya anayonifanyia madame zahara ata siku moja kiukweli.

Siku iyo sasa. Ilikuwa ni j mos nakumbuka. Nimekaa tu zangu home nimeboeka sana. Sasa huwa najua kabisa mala nyingi mlige j mosi anakuja shule. Nikaona acha niende shule nikamuone ..huwa siendagi sana na wala.sio kawaida yangu ila hii siku na chini kulikuwa kunawasha. Basi mie nikamdanganya mama naenda kwa kina yusta.kisha taratibu nikaanza kupandisha shule. Basi bwana nimefika shuleni kumepoa mno kupo kimya si j mosi hakuna ata watu. Ila nikaona gari ya mlige imepaki.nikafurahi kweli kwrli nikajua yes baby yupo. Basi mie nikaenda mpka ofisini ile nataka kusukuma mlango mh nikahisi mbona umu kma kuna mtu mwengine. Yani kama mlige yupo na mtu na wanazungumza
Shoga yenu nikategesha sikio vizuri mnooo

Heeee si nasikia sauti ya mlige anasema zahara ni nn sasa unanaifata mpaka kazini. Kwani si ningeludi ungekuja kwangu ama shida ni nn mbona unanisimbua sana ww. Kwani mimba mm ndo wa kwanza kumtia mtu ..zahara akasema nyoooo mimba yako inanaisumbua we hunipendi mimi kabisa upo busy na kale.katoto cha form four konachonuka mkojo. Nyieeeee nusu nife ila nikajikaza nisikie ya zaidi. Mlige akasema sasa issuee za farida zimefata nini apa. Mi si nipo na ww. Acha kuongea mambo ya faridah tuongee story zetu. Zahara akasema yaa lazima umtetee si amekupa bikraa. Mlige akasema ebu acha mambo yako we nenda nyumbani mie ntakuja kwako tutakuja kuongeaa. Zahara akasema siendi nyumbani najisikia kukaa na ww leo ndo mana ulivyonambia upo shule nami nimekuja. Mlige akasema.najuta sana kusex na ww kukupa iyo mimba .we demu ni msumbufu sana. Yani mambo yako kma mtoto wakati ni mtu mzima kabisaa

Nyie apo sasa ndo nilielewa sasa kuwa kweli mimba ya madame zahara ni ya sir mlige. Mwanaume wangu . Mwanaume nnayempenda sana . Aseee niliumia sana . Moyo uliiuma sana. Sikujifikilia nilifungua mlango kwa nguvu. Ile nafika nakuta mlige kampakata madame zahara wanakisss. Nyieeee mlige alistuka sana aliponiona. Nami nilitaka anione ajue kuwa nimeeona na kusikia kila kitu. Asee mlige akasema faridaah. Nikasema.ndio mm mlige .kumbe kipindi chote ulikuwa unanaidanganya si ndio. Kumbe ni mimba yako kweli si ndio. Nyie mlige alipata mpkaa kigugumizi akanmbia plss mama naomba nikuelezee. Zahara akasema umueleze nn .we binti si nilishakwambia aya nna mzigo wake wa miez 3. Na yeye ndo muhusika na mda wowote mimi na uyu bwana tunatombana. Mda wowte naenda kwake runzewe habari ndo iyo. Ata mm niliamini mana walikuwa wanakiss. Walikuwa washamisiana. Nyieeeeeee moyo unauumaaa kaa position yangu kisha ufeel napitia nn kwa sasa. Kumuamini kote na sio kumuanin tu mi nampemda sana mlige..leo ndo nayasikia aya. Kiukweli mlige ata kukataa alishindwaaa. Yani alishindwa kabisaa. Alibaki kama anaweweseka pale.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35


Basi yule madame akasema sawa kama hutembei nae.ila nishakupiga marufuku chezewa kwanza na wanuka mikojo wenzio .usitake kuluka stage. We kurupu na watu wazima ukomeee msenge ww. Khaaaaa nilibaki nimeshangaaa mno. Kisha yule madame akaniacha akaondoka zake. Nyieee mie nikarudi darasani machozi yananilenga lengaa. Mh shoga angu ananijua akanmbia twende chooni. Basi tukanyanyuka mpka chooni . Aseee uko nililia sana . Yani nililia mpka yusta akanitoa chooni . akanipeleke nyuma ya choo kuna kipori kidogo ndo akawa ananibemebeleza uku ananambia nyamaza kwanza unielezee shida nn. Nijue nakusaidiaje au umegombana na mlige. Nikasema hapana mi mlige ataniua mimi..naumia sanaa. Shoga akanmbia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-34-na-35

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

717
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

505
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

395
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

251
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

83
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest