Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 36 & 37
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 36 & 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nilitoka njee nikiwa na hasira sana na machozi yakinishuka . Uku moyo unauma sana . Asee naona mlig ananifata. Eti simama please simama. Tuongeee farid nyie niligeuka na kibao.

Sitaki kukumbuka ata zile nguvu nilizipata wapi .Yani nilimpiga kibao cha maana. Mlige akashika shavu ata haamini. Akasema faridah please nisikilizeeee. Yani hajaongea lolote nikamtandika kibao cha pili.

Nyiee hii siku nilichafukwa mno. Mnajua uyu baba kanipita umri mnooo. Ila nilimuona kam mtoto. Nilikuwa na hasira sana. Niliumia sana .kiukweli nilimwambia mligi. Kuanzia leo mm na ww basi. Mligi akasema hapana sio kweli we nipige tu unavyotaka ila nataka tuelewana nakupenda farida ntakuelezea mengine mke wangu please . Mi sikutaka kumsikiliza nilimsukuma kw nguvu mpaka akaanguka chini

Kisha mimi sikugeuka tena nyuma nilikimbia sana kuelekea nyumbani nililia mnoo uko njiani . Moyo uliuma. Jamni niliumia moja kwa moja mi nilienda kwa kina yusta kwanza mana nilihisi namuhitaji kwa uo mda .nilimkuta nje kwao anaosha vyombo. Yani nilifika nikajibwaaga chini nikaanza kulia kwa nguvu. Tena kwa kwikwi mpaka natetemeka . Nyie yust alishanga akaniuliza farida vp .umefiwa kwani. Nikasema yust simtaki mlig. Simpendi na namchukia sana . Simtaki mimi ata kumsikia .nililia nyie yusta akiniinua kwa akuniburuza akainiingiza chumbani kwake. Nililia jamani . Mpaka yusta anambia taratibu basi utajiumiza kwani shida nn. Nilimwambia mlige mlige alikuwa ananidanganyaaa. Nyie nilimuelezea yista kwa kulia na nikiwa na mchungu sana moyoni yani nilikuwa nalia mnooo. Yust akasema yani uyu mlige kumbe ana date kweli na zahara na mimba ni yake. Nikasema ndio ni kweli kabisa

Mnajua ata yust alinionea huruma sana. Mana anaelewa kabisa ni kwa kiasi gani mm nampenda mlige. Yani yust anaelewa sana .ni kwa jinsi gani nampenda yule baba. Mapenzi yanauma sana. Nililia sana😭😭😭😭. Nikisema sitamini kuwa nae tena .namuona ni mwanaume muongo na. Asiyekuwa na msimamo. Mana mm na mlige tuna kama miez 6 tupo katika mahusiano. Alafu yule madame alisema mimba yake ni ya miezi 3.Nikajua kabisa kuwa mlig kanisaliti apa kati. Na wala sio mm nimewaingilia katika mahusiano yao. Niuliumia sana ila yust alinituliza sana ila kiukweli sikuwa sawa .jioni ilibidi niondoke tu. Mana nilijua mama yake yust ataludi na akinikuta katika hali ile itakuwa sio sawa. na yista akanisindikiza mpka kwetu.

Ase nilivyofika nyumbani nilijikaza mama asijue ila mama aliponiona alinliza shida nn mbona kama haupo sawa..Nikasema hamna mama mbona nipo powa tu . Ila wapi nyie . Niliingia chumbani kwngu nililia kweli kweli mpaka pressure jlikanipanda. Na pumu ikaja nikawa napumua kwa shida mnoo. Nyie kumfumania mwanaume au mwanamke unayempenda kunauma mnoo. .yani mpaka.kupumua kulikata.mama aliponiona alichanganikiwa. Akamuita mzee .bibie mimi nikabebwa mpka hospitali. Yani ile kufika tu .niliekewa dripu tatu za maji Apo apo. Nyiee nilibanwa aseee yani mlige alijua kunikomesha a. Wazazi waliangika na mimi pale siku nzima.na nikalazwa kabisa. Nikaja kutolewa kesho yake j pili jioni kabisaa. Ase bado sikuwa saw kabisa. Mpaka amma alisema mh hii homa kweli imekukamata mwanangu kesho nitampigia simu mwalimu wako mligi kumpa taarifa. Nyie nikamwambia mama ukimpigie mlige mwambie sipo nyumbani . Mana hapendi uteseke wakati upo nyumbani labda uwe hospital na ulazwe . Nilisema hivyo ili uyo mlige asije akaja kutaka kuniona apa nyumbani.

Basi bwana kma masihara shoga yenu sikuenda shule homa bado ilinikamata mno nikawa naendelea nayoo. Ila sasa jioni yusta ndio alikuja kuniona akanisalimia pale . Bado alikuwa sawa nilikuwa mnyonge mno. Akanmbia pole sana shoga. Ila lazima upige moyo konde na maisha yaende. Faridah ww ni mzuri sana . Yani ww ni mzuri aswaa una sura .una shepu na tabia nzuri huwezi kukosa mwanaume. Kama yeye anakuona cha nn wapo kina fahidi mwanajiuliza watakupata lini. Nikasema sawa bwana..akanmbia sikia mlige kaniita leo ofsini kwake..et ohhhh kwa nn shoga yako hajaj shule.
Wala.sijambakisha nimemchamba apo apo. Nimemwambia ukweli.nimemuacha ofisini mimacho kodo. Nimemwambia kabisa sababu ya ulichomfanyia kapata na homa..nikasema yan yust mimi simtaki tena yule mwanaume simtaki kabisa ni muuaji kabisa. Yani simtaki kabis kwenye maisha yangu. Apo naongea uku nalia . Basi yust akaanza kunibembeleza akanmbia bassi nyamaza haitajiyokea tena hii kuwa na amani. Basi nikatulia na jioni akaludi kwao.ila sasa usiku mzima nalia tuu
Yani kila nikikumbuka mahaba ya mlige mwenzenu nabaki kulia japo kimya kimya yani silalai nakula kwa tabu na kulia ndo sana.mama anshangaa kila nikiamka.naamka na homa..na sikuenda shule week 3Homa haishuki kabisa mapka mama akawa anachanganikiwa.

Basi baada ya week 1 . Ndo kidogo nikaona moyo umepoa . Yan apo na yust ndio alikuwa ananipa maneno ya furaha. Na alishanambia ntapata tu mwanume mwengine mzuri tu na tutapendana . So nikaona acha nisome bwana mapenz yashanishinda nisije nikaalibu na shule. Basi juma tatu ya iyo wiki ndo nikajikokote nikampitia yusta ila nilikuwa nimekonda sana .week 3 nilibaki kama mti yote mapenzi. Basi hii siku sasa ndo nikaingia shule ila kiukweli mi binafsi nilishajizatiti kuwa simtaki tena uyu mlig ..namuachia tu na mtu wake wazae. mpka washatiana mimba asa mimi nna nini. Akaa wala.sina . Sio siri nilionana na mlige uso kwa uso. Ila mlige ndio alikwepesha macho kunitazama .mi sikujali na wala sikumfatilia na mda wa darasani mi nikaingia zangu darasani. Yani ile tunaingia tu darasani. Kaja mwanafunzi anambia farida anakuita sir mlige ofisini kwake. Nikasema kamwambie faridah kasema hataki na ukome kumjua kama ulivyokoma katika zima la mama yako. Nyiee nilikuwa nna hasira nae kisha anakuja kuniita nini. nikaona yule mwanafunzi kama anagwaya kwenda kumwambia Nikamwambia unangoja nn ebu nenda kamwambie mlige hivyo. Mwambie ayo maneno kayasema faridah basi kale katoto kakaenda kwa mkuu. Sasa sijuh alimwambia aje laa. Sijuh kabisaa.

💗💗💗💗💗💗💗💗💗

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 36 & 37

Nilitoka njee nikiwa na hasira sana na machozi yakinishuka . Uku moyo unauma sana . Asee naona mlig ananifata. Eti simama please simama. Tuongeee farid nyie niligeuka na kibao.

Sitaki kukumbuka ata zile nguvu nilizipata wapi .Yani nilimpiga kibao cha maana. Mlige akashika shavu ata haamini. Akasema faridah please nisikilizeeee. Yani hajaongea lolote nikamtandika kibao cha pili.

Nyiee hii siku nilichafukwa mno. Mnajua uyu baba kanipita umri mnooo. Ila nilimuona kam mtoto. Nilikuwa na hasira sana. Niliumia sana .kiukweli nilimwambia mligi. Kuanzia leo mm na ww basi. Mligi akasema hapana sio kweli we nipige tu unavyotaka ila nataka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-36-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

717
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

504
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

393
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

250
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

79
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest