Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 36 & 37
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 36 & 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nilitoka njee nikiwa na hasira sana na machozi yakinishuka . Uku moyo unauma sana . Asee naona mlig ananifata. Eti simama please simama. Tuongeee farid nyie niligeuka na kibao.

Sitaki kukumbuka ata zile nguvu nilizipata wapi .Yani nilimpiga kibao cha maana. Mlige akashika shavu ata haamini. Akasema faridah please nisikilizeeee. Yani hajaongea lolote nikamtandika kibao cha pili.

Nyiee hii siku nilichafukwa mno. Mnajua uyu baba kanipita umri mnooo. Ila nilimuona kam mtoto. Nilikuwa na hasira sana. Niliumia sana .kiukweli nilimwambia mligi. Kuanzia leo mm na ww basi. Mligi akasema hapana sio kweli we nipige tu unavyotaka ila nataka tuelewana nakupenda farida ntakuelezea mengine mke wangu please . Mi sikutaka kumsikiliza nilimsukuma kw nguvu mpaka akaanguka chini

Kisha mimi sikugeuka tena nyuma nilikimbia sana kuelekea nyumbani nililia mnoo uko njiani . Moyo uliuma. Jamni niliumia moja kwa moja mi nilienda kwa kina yusta kwanza mana nilihisi namuhitaji kwa uo mda .nilimkuta nje kwao anaosha vyombo. Yani nilifika nikajibwaaga chini nikaanza kulia kwa nguvu. Tena kwa kwikwi mpaka natetemeka . Nyie yust alishanga akaniuliza farida vp .umefiwa kwani. Nikasema yust simtaki mlig. Simpendi na namchukia sana . Simtaki mimi ata kumsikia .nililia nyie yusta akiniinua kwa akuniburuza akainiingiza chumbani kwake. Nililia jamani . Mpaka yusta anambia taratibu basi utajiumiza kwani shida nn. Nilimwambia mlige mlige alikuwa ananidanganyaaa. Nyie nilimuelezea yista kwa kulia na nikiwa na mchungu sana moyoni yani nilikuwa nalia mnooo. Yust akasema yani uyu mlige kumbe ana date kweli na zahara na mimba ni yake. Nikasema ndio ni kweli kabisa

Mnajua ata yust alinionea huruma sana. Mana anaelewa kabisa ni kwa kiasi gani mm nampenda mlige. Yani yust anaelewa sana .ni kwa jinsi gani nampenda yule baba. Mapenzi yanauma sana. Nililia sana😭😭😭😭. Nikisema sitamini kuwa nae tena .namuona ni mwanaume muongo na. Asiyekuwa na msimamo. Mana mm na mlige tuna kama miez 6 tupo katika mahusiano. Alafu yule madame alisema mimba yake ni ya miezi 3.Nikajua kabisa kuwa mlig kanisaliti apa kati. Na wala sio mm nimewaingilia katika mahusiano yao. Niuliumia sana ila yust alinituliza sana ila kiukweli sikuwa sawa .jioni ilibidi niondoke tu. Mana nilijua mama yake yust ataludi na akinikuta katika hali ile itakuwa sio sawa. na yista akanisindikiza mpka kwetu.

Ase nilivyofika nyumbani nilijikaza mama asijue ila mama aliponiona alinliza shida nn mbona kama haupo sawa..Nikasema hamna mama mbona nipo powa tu . Ila wapi nyie . Niliingia chumbani kwngu nililia kweli kweli mpaka pressure jlikanipanda. Na pumu ikaja nikawa napumua kwa shida mnoo. Nyie kumfumania mwanaume au mwanamke unayempenda kunauma mnoo. .yani mpaka.kupumua kulikata.mama aliponiona alichanganikiwa. Akamuita mzee .bibie mimi nikabebwa mpka hospitali. Yani ile kufika tu .niliekewa dripu tatu za maji Apo apo. Nyiee nilibanwa aseee yani mlige alijua kunikomesha a. Wazazi waliangika na mimi pale siku nzima.na nikalazwa kabisa. Nikaja kutolewa kesho yake j pili jioni kabisaa. Ase bado sikuwa saw kabisa. Mpaka amma alisema mh hii homa kweli imekukamata mwanangu kesho nitampigia simu mwalimu wako mligi kumpa taarifa. Nyie nikamwambia mama ukimpigie mlige mwambie sipo nyumbani . Mana hapendi uteseke wakati upo nyumbani labda uwe hospital na ulazwe . Nilisema hivyo ili uyo mlige asije akaja kutaka kuniona apa nyumbani.

Basi bwana kma masihara shoga yenu sikuenda shule homa bado ilinikamata mno nikawa naendelea nayoo. Ila sasa jioni yusta ndio alikuja kuniona akanisalimia pale . Bado alikuwa sawa nilikuwa mnyonge mno. Akanmbia pole sana shoga. Ila lazima upige moyo konde na maisha yaende. Faridah ww ni mzuri sana . Yani ww ni mzuri aswaa una sura .una shepu na tabia nzuri huwezi kukosa mwanaume. Kama yeye anakuona cha nn wapo kina fahidi mwanajiuliza watakupata lini. Nikasema sawa bwana..akanmbia sikia mlige kaniita leo ofsini kwake..et ohhhh kwa nn shoga yako hajaj shule.
Wala.sijambakisha nimemchamba apo apo. Nimemwambia ukweli.nimemuacha ofisini mimacho kodo. Nimemwambia kabisa sababu ya ulichomfanyia kapata na homa..nikasema yan yust mimi simtaki tena yule mwanaume simtaki kabisa ni muuaji kabisa. Yani simtaki kabis kwenye maisha yangu. Apo naongea uku nalia . Basi yust akaanza kunibembeleza akanmbia bassi nyamaza haitajiyokea tena hii kuwa na amani. Basi nikatulia na jioni akaludi kwao.ila sasa usiku mzima nalia tuu
Yani kila nikikumbuka mahaba ya mlige mwenzenu nabaki kulia japo kimya kimya yani silalai nakula kwa tabu na kulia ndo sana.mama anshangaa kila nikiamka.naamka na homa..na sikuenda shule week 3Homa haishuki kabisa mapka mama akawa anachanganikiwa.

Basi baada ya week 1 . Ndo kidogo nikaona moyo umepoa . Yan apo na yust ndio alikuwa ananipa maneno ya furaha. Na alishanambia ntapata tu mwanume mwengine mzuri tu na tutapendana . So nikaona acha nisome bwana mapenz yashanishinda nisije nikaalibu na shule. Basi juma tatu ya iyo wiki ndo nikajikokote nikampitia yusta ila nilikuwa nimekonda sana .week 3 nilibaki kama mti yote mapenzi. Basi hii siku sasa ndo nikaingia shule ila kiukweli mi binafsi nilishajizatiti kuwa simtaki tena uyu mlig ..namuachia tu na mtu wake wazae. mpka washatiana mimba asa mimi nna nini. Akaa wala.sina . Sio siri nilionana na mlige uso kwa uso. Ila mlige ndio alikwepesha macho kunitazama .mi sikujali na wala sikumfatilia na mda wa darasani mi nikaingia zangu darasani. Yani ile tunaingia tu darasani. Kaja mwanafunzi anambia farida anakuita sir mlige ofisini kwake. Nikasema kamwambie faridah kasema hataki na ukome kumjua kama ulivyokoma katika zima la mama yako. Nyiee nilikuwa nna hasira nae kisha anakuja kuniita nini. nikaona yule mwanafunzi kama anagwaya kwenda kumwambia Nikamwambia unangoja nn ebu nenda kamwambie mlige hivyo. Mwambie ayo maneno kayasema faridah basi kale katoto kakaenda kwa mkuu. Sasa sijuh alimwambia aje laa. Sijuh kabisaa.

💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 36 & 37

Nilitoka njee nikiwa na hasira sana na machozi yakinishuka . Uku moyo unauma sana . Asee naona mlig ananifata. Eti simama please simama. Tuongeee farid nyie niligeuka na kibao.

Sitaki kukumbuka ata zile nguvu nilizipata wapi .Yani nilimpiga kibao cha maana. Mlige akashika shavu ata haamini. Akasema faridah please nisikilizeeee. Yani hajaongea lolote nikamtandika kibao cha pili.

Nyiee hii siku nilichafukwa mno. Mnajua uyu baba kanipita umri mnooo. Ila nilimuona kam mtoto. Nilikuwa na hasira sana. Niliumia sana .kiukweli nilimwambia mligi. Kuanzia leo mm na ww basi. Mligi akasema hapana sio kweli we nipige tu unavyotaka ila nataka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-36-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

594
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

544
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

375
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

322
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

36

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest