Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 41 na 42
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 41 na 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Yani nilimuangalia kwa hasira na sikut jali. kweli kanidunda yani mpaka mkono nahisi umekufa ganzi alafu alikuwa ananipiga kwa hasira sana. Yani kwa hasira mnoo. Ila nilikaza ata chozi langu akuliona ila analia yeye. Akanmbia unafanya hivi kuniumiza sio. Umeanza na wanaume sio. Nambie farida umeanza kuwa na wanaume wengine . Hunitki tena mimi mama . Nambie faridah. Mi sikumjibu kabisa nikanyamaza kimya. Akanmbia uyo mtoto wa kiume ni nani. Nakuuliza wewe ni nani. Nikamunaglia kwa dharau nikampandisha nikamshusha kisha nikasema na mm simjuh uyo mwanaume.

Akanmbia unanijibu hivyo mm nakuuliza ww unanijibu mm hivyo. Nikasema ndio kwan wewe nani . Kwani unzani nakuogopa mm. Ilikuwa zamani sio sasa sikuogopi ata kidogo. Mlige akaningalia kwa hasira. Akaniilukia alinipiga mabao ya maana. Mpka nilipiga kelele mana nilihisi anataka kuniua. Kwa bahati mlango ukafunguliw akaingia sir . Akakuta nimekwidwa nadundwaa. Sir tupa ndo akamzuia mlige. Akamshika akamwambia nn sasa mlige utauua. Shida nn. Yani kanipiga kweli ila sikulia lia mie. Machozi tu yalikuwa yanashuka na mm nilikuwa na hasira nae sana. Mlig na yeye hakuweza ata kuongea. Anatwetwa kwa mahasira yake

Sir meja akanmbia nenda darasani farida. Mi nikanyanyuka nikaondoka nikawaacha. Yani mi ata darasani sikukaa nilienda kuchukua begi na mda uo uo mi nikaludi home kwanza kanipiga mno. Unajua ni ule ujeuri tu wa kukaza ila kanidunda aswaa mwili mpaka umetutumuka yani . Umejaa na kuvimba mnoo. Mie mdogo mdogo mpaka home. Nilivyofika nikamkuta mama alivyoniona akashangaa akasema we mbona umevimba sula.imekuwajee. nikasema kichwa kinauma ndo nimepewa ruksa niludi nyumbani . Mh wapi mangumi ya mlige ayoo. Mama akasema mh kichwa kinauma mpaka umevimba farida. Nikasema ndio mimi naenda kulala. Mama akabaki ananaishangaa tu. Nilivyoingia ndani ndio nililila sasa. Moyo unauma naona ata sijielewi. Na mkono ukawa unauma alinidunda mnoo. Kunipiga tu alinipiga jamani. Basi mie nikalia mnoo. Mpaka nikalala zangu. Mama akaja kuniamsha jioni sana . Akanmbia kaoge nishakuchemshia maji kisha uje kula. Basi mie nikajivuta na nikaelekea choon kuoga nilipotoka nakala . Nikameza dawa kisha nikapumzika.

Basi asubuh na mapema .mama ndo aliniamsha akaniuliza vp leo umeamkaje mana umekuwa mbovu siku hizi faridah. Kuumwa kil siku mwanangu nikasema mam mi nendele powa. Mama akambia shule unaendaa. Nikasema ndio mama naenda nimeamka swa. Mama akanambia sawa .aya jiandae sasa. Jiandae haraka mwanangu usije ukaenda kupigwa na uzingatie zaidi masomo si mnaona mpo kipindi cha mwisho .nikasema ndio mama naelewa hakuna shida

Basi harka nikainuka nikaanza kujiandaa kwa ajili ya shul.na niliwahi tu nikampitia yusta tukaanza kuelekea shule . Basi tukiwa njiani yusta akanambia ww kwani jana na ofisini na mlige imekuwaje .mana umekuja umechukua tu begi lako umeondoka kwa hasira. Nikamuonesha tu mkono. Bado ulivimba. Akanmbia mh ndo alikupiga hivi. Nikamuuliza na dua huoni imevimba ni yeye alinipiga mangumi ya maana. Ila wala sikulia nimemuonesha jeuri ya mwaka hakuamini mbona. Kunipiga kanipiga mimi kisha kalia yeye. Yust akasem shoga kuna mda namuonea huruma mlige. Jana kaja darasan kukuita tena . Sindo haukuwepo.nikamwambia kaondoka kaniita mieee. Anaanza kunihoji kwa hasra ni nani kakuandikia ile barua. Shoga mie kila nikimwambia sijuh ataki ata kunielewa. Mpaka nikabaki tu kimya .nikamuacha anaongea kwa hasiraa. Na kasema leo utamueleza nani alikupa ruksa ya kuondoka nyumbani ule mda. Nikasema ataangaika sana na ndo simtaki.

Basi tukafika mpaka shule.. ile tunaingia tu .getini kakaa yeye. Kaja mnoo. Mh mie natka kumpita .akanita we faridah simama apo. Mie nikasimama aknmbia njooo ofisini. Nlitaka kugoma ila yust akanioneshea ishara ya kwamba niende.basi mie nikaenda na yeye ananifaa nyuma.tumefika yupo serious mnoo. Na mie ndo nikazidi kujinunisha.her kavuta droo kanitupia barua nenda kamuite mzazi wako. Looooh mie nilivyojeuri nikaiokot ile barua sikumuuliza hii barua ya nn. Sikumuuliza kwa nn nikaite mzazi. Yani sikumuuliza chochote. Nikachukua barua nikasema.sawa. aknmbia hakuna kwenda darasni. Wala kurudi mstalini. Naomba uende nyumbani kuleta mzazi sas hivi. Nataka tujadili tabia zako . Umekuwa mtovu wa nidhamu. Na ukifanya masihara ntakufukuza na shulee . Kheee anatumia madaraka kwenye mapenzi. Mie nikasema sawa. Nikatoka zangu jee..ila nilivurugwa kuita wazazi tena. Kwa ajili ya utovu wa nidhamu

Mh basi niikuta yust ananisubir nje ya ofisi akaniuliza vp. Nikamwambiua knipa barua.nikamuite mzazi. Yust akasema toba mbona mambo yanataka kuwa mengi we kamuombe msamaha. Nikasema mm siendi kumuomba msamaha ata dunia ianguke. Ye si kasema nikaite mzazi sawa mi naenda kumuita baba. Yust akanmbia mh ebu kaongee na mlig yaishe. Nikasema.siendi . Kisha uyo nikaludi zangu mpkaa nyumbani. Nyiee mama alivyoniona . Akasema vp umezidiwa nikasema hapana . Nimepewa barua na sir mlig mnaitwa shule. Nyie mama akasema umefanyaje shule tena farida .nikasema mie wala sijafanya kitu. Mama akasema ngoja nimwambia baba yako ndo aende mie nikienda ntakudunda uko uko. Nyieee kweli mama akingia ndani akaongea na baba. Baba alivyotoka mie nikampa ila barua ya wito. Baba aknmbia umechelewa na leo nikasema hapana bbaa mie wala.sijachelewa baba akanmbia twende mama yangu. Tutajua uko uko. Na kweli mie mpaka shule na mzee msukuma.

Basi kukafika tukakalibishwa ndani na mlige.. mlige akamkaribisha baba vizuri. Mzee akasema nimekalibia kijana wangu .eeeh mtoto wetu kafanya nn tena. Au kuna nn. Mana namjua faridah nae .au kachelewa na leo. Mlige akanikata jicho na mie nikamuangalia vizuri wala sikumuogopa. Heeee mlige akasema mzee nimekuita .kwa sasa binti yako amekuwa mtovu wa nidahamu. Anajibidhana na walimu wa kike sana . Ana dharau mno mtoto wko. Amekuw ana tabia mbaya mnoo. Yani kwanza ata kunijibu mm haoni shida mtoto wako. Hana adabu ata kidogo na mabaya zaidi jana kakamatwa na barua ya mapenzi. Nyie akatoa ile barua akampa baba. Ambyo nilikamatwa nayo jana.kheeee baba akaanza kuisoma mh niliogopa . Mana mimi sikuwahi kuwa na tabia za hivi kabisa. Nyiee mlige akuishia apoo. Alijaza maneno mpaka yasiyokuwepo. Et mpaka nataka kupigana na walimu. Et sina adabu . Natukana mpaka wenzangu darasani. Jamani mi skuelewa nia ya uyu baba. Alafu akamalizia kwa tabia zake hizo . Ntamsimamisha shule mpka skku ya mtihani wa nec ndo nimuone apa..khaaaaaa mpaka nilishangaa

💗💗💗💗💗💗💗💗💗

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 41 na 42

Yani nilimuangalia kwa hasira na sikut jali. kweli kanidunda yani mpaka mkono nahisi umekufa ganzi alafu alikuwa ananipiga kwa hasira sana. Yani kwa hasira mnoo. Ila nilikaza ata chozi langu akuliona ila analia yeye. Akanmbia unafanya hivi kuniumiza sio. Umeanza na wanaume sio. Nambie farida umeanza kuwa na wanaume wengine . Hunitki tena mimi mama . Nambie faridah. Mi sikumjibu kabisa nikanyamaza kimya. Akanmbia uyo mtoto wa kiume ni nani. Nakuuliza wewe ni nani. Nikamunaglia kwa dharau nikampandisha nikamshusha kisha nikasema na mm simjuh uyo mwanaume.

Akanmbia unanijibu hivyo mm nakuuliza ww unanijibu mm hivyo. Nikasema ndio kwan wewe nani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-41-na-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

719
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

505
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

398
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

251
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

89
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest