Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 46
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 46

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa waachege ndo umri wao. Mama yusta mzungu na ndo mana yusta kwao ana uhuru sio kama.mie shoga yenu. Basi bwana mama.na mama yusta walituletea keki moja tu tukakata haraka harka pale..kisha wakatwambia etchakur mtakuja kula nyumbani tumechanga piah. Tukasema sawa. Basi hakukaaa tena wakatuaga wakaondoka. Mie na shoga tukabaki kun bonge la dundo yani mziki.. basi nikiwa na yusta tumekaa tunaongea mh mala kaja mkaka mrefu mkubwa tu . Mzuri tu. Aknisalimia mambo faridah. Yani kanichangamkia kama ananijua mpaka nikastuk. Nikasema.unanaisalimia mm. Akasema ndio nakusalimia ww faridah. Mh nikasema.salama

Akanmbia sie tumekuja kwa ajili yako nimeona ushamalizana na mama yako..vp unaweza ukajoini na sisi sasa. Mana tumetoka mbali kwa ajiri yako nikaogopa.nikamuuliza kwani we nani.mbona mm.sikujuh. akanambia usijali utanijua tu..twende basi na shost yako. Mh yusta akanmbia twende. Nyie yusta ata hamjui. Na pale hii skku watu walikuwa wengi sana.basi sie si tukaanza kumfata yule.kaka. ntukaenda mpka.nyuma ya madarasa ya form twoo. Hee nakuta kuna viti pale kama 5 . Alafu kuna vyakula vya maana. Yani makuku. Mapilau na kuna bonge la keki .limeamdikwa congrs faridah..mh na kwa pembeni kuna mama mtu mzima .

Alivyoniona akanichangamkia sana..akanmbia woow jamni .habari kipenzi chetu.mie.nilihisi au wamenifananisha.nikajibu tu sijambo shikamo mama . Akanmbia marhaba hongera kwa kukalibia kumaliza kidato cha nne .na hongera kwa kupendeza sana. Mh mie nikajibu asante. Mama aksema.sie tumekuja kwa ajili yako tumetoka kahama for you tu. Nikawa najiuliza maswali mh namuona mlige na sir tupa pale wanakuja . Ndoa akili ikacheza sasa. Namuanglia yule mkaka vizur ambae alikuja kuniita .ndo nikagundua anafanana na mlige..nimajja basi uyu ni kaka yake. Na uyu mama.atakuwa ni mama yake.

Mlige akafika mpaka.pale . Akasema faridah hongera mama. Mie nilitamani nisimjibu ila ni mbele za watu .nikasema asante..mlige akasema faridah uyu ni mama. Na uyu ni broo jamal. Wamekuja hapa kwa ajili yako kukupongeza . Mh sikutaka pale kukataa mana kuna mtu mzima...nikasema sawa asante nashukuru. Basi kukawa na kama.kiparty pale. Mama ake mlige alinichangamkia sana. Nikakata keki. Nyie keki keki kweli. Nikawalisha wote. Basi mlige ananingalia sana. Baada ya apo. Mama ndo akatupakulia chakura . Tulikuwa pale. Ila mm sikula.sana. ila yusta alishindilia kuku aswaa. Kilikuwa na vitu vingi jamani. Yani mpka.saa 10.jioni tulikuwa pale. Mama akasema sasa sisi tunataka kwenda faridah tumefurahi sana kukuona. Na mm nikasema nimefuahi sana kuwaona na asante mama kwa kuwaona. Mama aksema ila si utanisindikiza na mm mpaka.runzewe. au hutaki kunisindikiza mama yako. Nikasita kwanza . Ila nikasema nitakusindikiza mama. Mama aksema sawa tunaenda na gari ya jamal. Mh yusta akanmbia basi we nenda mie nakungoja apa.shule..nikasema.sawa.mana mda huo ndo disko lilikolea sana . Basi et mama ake mlige akanishika mkono. Uku tunaelekea parking ananiuliza maswali sijuh utakuja lini kwangu. Angejua nna ugomvi na mwanae angeniacha tu.

Basi bwana tukafika mpaka parking tutakuta prado ya maana nyiee. Alafu jamal.ndo akawa dereva. Mlige na yeye akapanda akakaa mbele mimi na mama tukakaa nyuma. Safari ikaanza .mh nyie uyu mama ni muongeaji sana..aanmbia yani nimekupenda bule we binti sijuh mtulivu. Yani ananisifia mno. Jamal.nae anasema ahaa farida we mzuri bwana bola ata mimi ndo nikuoe. Apo mlige ni amekaa kimya wala hakuwa anaongea. Mie nikawa nacheka tu na mama. Yani uyu maam ni muongeaji sana mpka nikajikuta nimemzoea.basi tukaenda mpaka.runzewe kwa mlige.tumefika tukaingia mpkaa ndani. Kiukweli mi sijutaka kukaa sna pale. Yani nilikaa kama dakika 10. Nikasema maam mi nahitaji kurudi nyumbani sasa. Mama mlige akanmbia hapana kwanza nataka tuongee kesi faridah. Kijana wangu ameshanieleza yaliyotokea kati yake na ww. Mie nikasema hapana mi sitaki kuongea kitu nataka.kwenda nyumbani. . Uyu mama akanisogelea akanishika mkono. Akanmbia faridah utaniulia mwanangu naomba tuyaonge. Mi nikawa kama nagoma mlige akasema farida plss msikilize mama. Mi sipo sawa faridah . Mie nikamuangalia kwa hasira . Kisha mama yake akanambia faridah usijali nalewa sana nini kimetokea lakini nyie mnapendsna farida ebu mlaani shetani.nyie yule mama alivyosema.hivyo.nkamhisi uchungu unanichoma moyoni .nikajikuta naanza kulia mno. Yule mama akanikumbatia na mm nikamkumbatia nikaanza kulia kwa nguvu.

ASEEEEEEEEEE TUKUTANE MSIMU WA 3 WA SERIES LETU. MAMBO NDO KWANZAA . YANI APO BADOOOO KABISAA. BADOOOO FARIDAH ANAENDELEA KUTUELEZA HISTORIA YA MAISHA YAKE . TUTAJUA UKO MBELE KILITOKEA NN.NAWAPENDA❤️

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 46



Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-46

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

717
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

503
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

391
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

248
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

75
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest