MY WANGU❤️ sehemu ya 46
Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa waachege ndo umri wao. Mama yusta mzungu na ndo mana yusta kwao ana uhuru sio kama.mie shoga yenu. Basi bwana mama.na mama yusta walituletea keki moja tu tukakata haraka harka pale..kisha wakatwambia etchakur mtakuja kula nyumbani tumechanga piah. Tukasema sawa. Basi hakukaaa tena wakatuaga wakaondoka. Mie na shoga tukabaki kun bonge la dundo yani mziki.. basi nikiwa na yusta tumekaa tunaongea mh mala kaja mkaka mrefu mkubwa tu . Mzuri tu. Aknisalimia mambo faridah. Yani kanichangamkia kama ananijua mpaka nikastuk. Nikasema.unanaisalimia mm. Akasema ndio nakusalimia ww faridah. Mh nikasema.salama
Akanmbia sie tumekuja kwa ajili yako nimeona ushamalizana na mama yako..vp unaweza ukajoini na sisi sasa. Mana tumetoka mbali kwa ajiri yako nikaogopa.nikamuuliza kwani we nani.mbona mm.sikujuh. akanambia usijali utanijua tu..twende basi na shost yako. Mh yusta akanmbia twende. Nyie yusta ata hamjui. Na pale hii skku watu walikuwa wengi sana.basi sie si tukaanza kumfata yule.kaka. ntukaenda mpka.nyuma ya madarasa ya form twoo. Hee nakuta kuna viti pale kama 5 . Alafu kuna vyakula vya maana. Yani makuku. Mapilau na kuna bonge la keki .limeamdikwa congrs faridah..mh na kwa pembeni kuna mama mtu mzima .
Alivyoniona akanichangamkia sana..akanmbia woow jamni .habari kipenzi chetu.mie.nilihisi au wamenifananisha.nikajibu tu sijambo shikamo mama . Akanmbia marhaba hongera kwa kukalibia kumaliza kidato cha nne .na hongera kwa kupendeza sana. Mh mie nikajibu asante. Mama aksema.sie tumekuja kwa ajili yako tumetoka kahama for you tu. Nikawa najiuliza maswali mh namuona mlige na sir tupa pale wanakuja . Ndoa akili ikacheza sasa. Namuanglia yule mkaka vizur ambae alikuja kuniita .ndo nikagundua anafanana na mlige..nimajja basi uyu ni kaka yake. Na uyu mama.atakuwa ni mama yake.
Mlige akafika mpaka.pale . Akasema faridah hongera mama. Mie nilitamani nisimjibu ila ni mbele za watu .nikasema asante..mlige akasema faridah uyu ni mama. Na uyu ni broo jamal. Wamekuja hapa kwa ajili yako kukupongeza . Mh sikutaka pale kukataa mana kuna mtu mzima...nikasema sawa asante nashukuru. Basi kukawa na kama.kiparty pale. Mama ake mlige alinichangamkia sana. Nikakata keki. Nyie keki keki kweli. Nikawalisha wote. Basi mlige ananingalia sana. Baada ya apo. Mama ndo akatupakulia chakura . Tulikuwa pale. Ila mm sikula.sana. ila yusta alishindilia kuku aswaa. Kilikuwa na vitu vingi jamani. Yani mpka.saa 10.jioni tulikuwa pale. Mama akasema sasa sisi tunataka kwenda faridah tumefurahi sana kukuona. Na mm nikasema nimefuahi sana kuwaona na asante mama kwa kuwaona. Mama aksema ila si utanisindikiza na mm mpaka.runzewe. au hutaki kunisindikiza mama yako. Nikasita kwanza . Ila nikasema nitakusindikiza mama. Mama aksema sawa tunaenda na gari ya jamal. Mh yusta akanmbia basi we nenda mie nakungoja apa.shule..nikasema.sawa.mana mda huo ndo disko lilikolea sana . Basi et mama ake mlige akanishika mkono. Uku tunaelekea parking ananiuliza maswali sijuh utakuja lini kwangu. Angejua nna ugomvi na mwanae angeniacha tu.
Basi bwana tukafika mpaka parking tutakuta prado ya maana nyiee. Alafu jamal.ndo akawa dereva. Mlige na yeye akapanda akakaa mbele mimi na mama tukakaa nyuma. Safari ikaanza .mh nyie uyu mama ni muongeaji sana..aanmbia yani nimekupenda bule we binti sijuh mtulivu. Yani ananisifia mno. Jamal.nae anasema ahaa farida we mzuri bwana bola ata mimi ndo nikuoe. Apo mlige ni amekaa kimya wala hakuwa anaongea. Mie nikawa nacheka tu na mama. Yani uyu maam ni muongeaji sana mpka nikajikuta nimemzoea.basi tukaenda mpaka.runzewe kwa mlige.tumefika tukaingia mpkaa ndani. Kiukweli mi sijutaka kukaa sna pale. Yani nilikaa kama dakika 10. Nikasema maam mi nahitaji kurudi nyumbani sasa. Mama mlige akanmbia hapana kwanza nataka tuongee kesi faridah. Kijana wangu ameshanieleza yaliyotokea kati yake na ww. Mie nikasema hapana mi sitaki kuongea kitu nataka.kwenda nyumbani. . Uyu mama akanisogelea akanishika mkono. Akanmbia faridah utaniulia mwanangu naomba tuyaonge. Mi nikawa kama nagoma mlige akasema farida plss msikilize mama. Mi sipo sawa faridah . Mie nikamuangalia kwa hasira . Kisha mama yake akanambia faridah usijali nalewa sana nini kimetokea lakini nyie mnapendsna farida ebu mlaani shetani.nyie yule mama alivyosema.hivyo.nkamhisi uchungu unanichoma moyoni .nikajikuta naanza kulia mno. Yule mama akanikumbatia na mm nikamkumbatia nikaanza kulia kwa nguvu.
ASEEEEEEEEEE TUKUTANE MSIMU WA 3 WA SERIES LETU. MAMBO NDO KWANZAA . YANI APO BADOOOO KABISAA. BADOOOO FARIDAH ANAENDELEA KUTUELEZA HISTORIA YA MAISHA YAKE . TUTAJUA UKO MBELE KILITOKEA NN.NAWAPENDA❤️
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi