Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi nilipomaliza kuongea na mlige . Nikakata simu yangu. Mama akaingia sasa chumbani. Akanambia vp ushalala mrembo wangu. Nikasema hapan mama ndo najianda kulala. Mama akanmbia nataka tuongee kidogo . Nikasema sawa mama . Basi mie nikakaa kitako . Mama akanmbia faridah naomba umuheshimu sana mlige. Uyu mwanaume anakupenda . Unanielewa faridah . Umepata bahati mapema sana . umekutana na mtu sahihi kwenye maisha yako sana. Faridah tulia sana na usije ukadanganyika na chochote katika maisha yako ukaachana na mlige unaeelwa mama. Nikasema ndio mama. Mama akanmbia ni kweli mkubwa na amekupita miaka. Ila anakupenda sana. Anakuhitaji sana .na anakuwazia mema ndo mana anapmbna sana na ww. Sababu ana malengo dhabiti na ww. Naomba utulize sana akiri faridah. Mi najua umri wako uhuu ndo wa balehe. Unaweza ukakutana na mambo mengi mengi .ukakengeuka akiri. Naomba utulie na tuliza akiri.mlige ndio mwanaume . Kwanza haogopi kusema kokote kama anakupenda

Ile siku nimegundua unatembea na mlige. Nilichukia sana. Usiku mzima sikulala nikihis mlige ni mwalimu muharibifu . Nikisema kabisa nitamfunga mlige.lakini nilipoa baada ya kuongea nae. Sababu alinambia ukweli kuwa anakupenda sana na hawez kukuacha. So faridah naomba utulie hii ni bahati . Mwanangu tuliza kichwa. Naomba utulize kichwa kweli kweli. Ata nikifa kesho mlige ndio mwanume mshikilie kweli kweli unaelewa ww. Nikasema ndio mama. Kisha mama akatoka chumbani kwangu. Mie nikavuta shuka. Nikapumzikaaa .

Kesho yake nilienda kwa shoga yangu yusta nikampanga juu ya mlige kunipeleka shule ya private. Yusta akanambia shoga una bahati na uyu baba jamani. Mh mpaka rahaa. Shoga tulia jamani. Una bahati mnoo. Basi nikawa nacheka tu. Na baada ya week . Mwanaume akanmbia nataka tukafanye shopping ya shule. Basi kweli week end ilipofika mie nikaaaga home kuwa naenda kwa mlige kuandaa vitu vya shule. Mama akaniruhusu wala hakuwa na shida . Akanambia sawa we nenda ila uludi plssss . Si unajua baba yupo eeeh. So uludi. Nikasema sawa mama. Kweli mie nikaenda kwa baby . Aseeee akanichukua tukaenda kahama . Uko ndo tulienda kuemea. Nilichagua nilichotaka mm. Yani suala la bei ye hakutaka kujua cha muhimu iko kiti mimi nikipemde tu. Kuanzia begi . Viatu. Sockss. Traki za michezo. Na alikuwa ananichukulia pea pea yani . Ata 2. Zengine mpaka 3.

Tranka .na kila kitu amabcho kama binti natakaiwa kwenda nacho shule alinibebea. Sijuh sabuni. Chupi. Pedi . Taiti na kila kitu . Yani tumemaliza kuemea jioni tupo hoi.tukaludi mpaka kwake runzewe. Akanmbia et nilalae kwake.mh mi nikakataa si unajua baba kule. Basi akakubali ila kishingo upande. Ata game hakuomba nahisi aliona nimechoka ..tukashusha tu vitu vyote pale mana alinambia dafari tutaanzia apo kwake. So vitu vyite niliacha pale..akanmbia ntakukamata tu wala hakuna shidaa. Baada ya kushusha vitu vyote. Akanipeleka tena mpaka nyumbani. Na akawaeleza wazazi kuwa tushafanya maemezi ya vitu vyote na baada ya week natakiwa shule. Mana shule za private ni tunawahi. Mzeee akamshukuru sana mlige pale. Akasema.sawa kijana wangu wala haina shidaa. Basi mlige akaniaga pale akaondoka zake.

Basi mie nikawa nipo tu nyumbani mama.akinisihi sana . Nikasome yani nikajitahidi aseaaa kwenye kusoma . Basi mie nilimuhaidi mama kuwa nitasoma na mie ndo nitabadili maisha ya nyumbani. Basi kweli nilikaaa home week . Na baada ya week bibi mie safari ya shule ilifika ma mlige ndo alinifata. Mzee akatutakia kila la heri na tisafiri salama .apo nilishamuaga shoga yangu yusta. Yeye alikuwa na kama week 3 ndo analiport shuleni kwao. Basi sie tukatoka nyumbani pale.tukapitia kwanza kwake runzewe. Tumefika ananmbia ahaa bole nimekuiba mke wangu. Apa unakaa weeek 2 ndo unaenda shule. Ila mlige. Nikasema ww. Akanmbia nn sasa mimi nimekumiss sana. Na wazazi wanakubana. Kaa kwanza apa week 2. Theni ndo nakupeleka shule.haitapitwa sana . Nimekumiss sana alafu uende shule miezi 6 hapana. Nikabaki nacheka tu na mambo yake

Badi nikawa mke wa mtu kwa week 2. Bwana anaenda kazini. Mie nipo ndani namfulia nampigia pasi nampikia. Akiludi nampa anavyotaka ananitombaa aswaa. Ila tu alikuwa makini hakuwa ananimwagia ndani kabisa mlige. Ananmbia ahaa naogopa jela. Basi nakuwa nacheka ila nampenda sana . Mlige alinmbia nakupeleka shule nzuri ila nataka ukasome ukizingua uko faridah utamalizana na mm.ntakuvunja kiuno. Alafu shule unayoenda ni boys na girlss. Ila ni shule nzuri sana na ndo mana nakupeleka sasa kajiangaishe ukoo. Ntakuchinja.nyie nilipigwa mikwara na uyu bwana sio ya masiharaa. Mie nilibaki kusema tu nimeelewa na nitasomaa

Na siku ya kwenda shule ilivyofika sasa . Uyu bwana ndo akanipeleka singida. Woow ilikuwa ni shule nzuri sana yani sana. Ina mazingira mazuri kwa kusoma. Ina madara mwngi na mazuri. Aseee mlige alinifikisha pale .na yeye mdo akijiandikisha kama mzazi wangu. Ila alisema.ni kaka. Na akatoa sleep ya malipo ya ada na alilipa ya mwaka mzima. Alinisisitiza sana juu ya kusoma. Na akanmbia issue yoyote inayohusiana na sulaa la pesa niwe nampigia yeye . Nikiwapigia wazazi ni wa kusalimia tu. Akanmbia kuwa makini. Unajua jinsi gani nakupenda. Unaelewa hilo..so kuwa makini. Nikasema.sawa na wewe uwe makini ole wako uludiane na zahara et kisa nipo mbali. Akacheka kweli.mlige. akasema.mh ndo ushanipiga mkwara apo. Siwezi mh uninunie kama.kile kipindi hapana .siwez kabisa mke wangu mimi.ntakusibili wewe tu. Mie nikasema sawaa. Basi bwana akamaliza na kunilipia pesa nyengine pale.na akanipa laki 3 ya matumizi nikiwa shuleni. Kisha akaniga sasa akaludi kagera kuendelea na majukumu yake na mimi maisha ya advanve yakaanza bwana.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54



Basi nilipomaliza kuongea na mlige . Nikakata simu yangu. Mama akaingia sasa chumbani. Akanambia vp ushalala mrembo wangu. Nikasema hapan mama ndo najianda kulala. Mama akanmbia nataka tuongee kidogo . Nikasema sawa mama . Basi mie nikakaa kitako . Mama akanmbia faridah naomba umuheshimu sana mlige. Uyu mwanaume anakupenda . Unanielewa faridah . Umepata bahati mapema sana . umekutana na mtu sahihi kwenye maisha yako sana. Faridah tulia sana na usije ukadanganyika na chochote katika maisha yako ukaachana na mlige unaeelwa mama. Nikasema ndio mama. Mama akanmbia ni kweli mkubwa na amekupita miaka. Ila anakupenda sana....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-53-na-54

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 100
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

719
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

691
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

505
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

398
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

251
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

89
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest