MZEE WA BAKORA
EPISODE 3
Aliingia ndani na kumkuta salome anachezea kikopo cha asali na kidole alikuwa kafumba macho na yupo uko mlimani haelewi kuwa rafiki yake vai kaingia ndani vai alirudi nje na kumchungulia kwenye katobo ka kitasa
Alishangaa kuona rafiki yake anazidi kukitikisa kikopo na kidole mara ghafla alihisi kuna kitu kinakuja kwa mbali si tunauita utyaaaamu akabana miguu kikopo cha asali kikaanguka na asali ilimwagika kwa kasiiii
Aaaaaaaaaaahhjhhhhhhh tyaammmmmu nani aje ale hii asali jamani alisema salome huku akimuonea wivu vai kwa kuwa yeye ana mtoa mashetani mzee wa bakora ukipenda muite MIDDLE KISHETI.....
Mwisho vai aliingia na salome alijifunika asijue kuwa rafiki yake anajua kuwa mwenzake anajichukulia sheria mkononi mwake .wakati matabibu wapo wengi sana sema kanajifanya hakataka motokumbe kanautaka sitaki nataka ....
SIKU ILIYOFUATA ...............
Inaanza na mazungumzo kati ua mtoto wa mangi na victor
"Anaishia chumba cha pili kushoto," victor alimnong’oneza mtoto wa Mangi huku akitabasamu kwa ujanja.
Mtoto wa Mangi alicheka kimtoto, akamwambia, "Hujawahi kumgusa, si ndiyo?"
Mrisho alimtazama kwa jicho la ukali, kisha akageuka na kuondoka. Huwa hapendi kuonyesha udhaifu wake mbele za watu ...lakini kilichomfanya aondoke ni baada ya kumuona sandra ....
Sandra alikuwa ametoka sokoni, amebeba kikapu kidogo cha matunda. na alipofika aliingia ndani kwake na haikupita sekunde mlango wake uligonga na sandra alipofungua alikuta ni victor
" Nimefuata kodi yangu mama "
" Mmmmh baba si univumilie mpaka kesho?"
" Sawa naweza nikakaa nawe saizi"
" Hamna shida baba mwenye nyumba"
"Ah, Sandra," akasema kwa sauti ya uchovu, "si ungenisaidia kidogo? Mbavu zangu zinauma."
Sandra akamuangalia, macho yake yakiwa makini, "Mbavu zako zinauma halafu unafungua mlango wangu kwa nguvu hivyo?"
Mrisho alicheka kwa aibu, akashika mbavu, "Ni kwasababu nilijikaza, lakini sitaki kukusumbua."
Sandra alimkaribia polepole, "Unaumwa kweli au unanitafuta tu?"
Swali lilimkata pumzi. Alijua hapo ndipo mchezo uanze. Akajifanya mnyonge, akashusha macho, "Ni kweli. Nilikuwa nakutafuta."
"Ahaaa," Sandra akatabasamu, "Sasa sema unachotaka, baba mwenye nyumba."
"Acha kunifurahisha hivyo… nataka tu tule matunda haya pamoja, na kisha tule na tunda la kati "
Sandra akacheka, "Wewe ushindwe tunda gani hilo la kati ?"
"Wacha nikuonyeshe leo ulijuwe , au si unaruhusu nikuonyeshe ?"
Hakuwa amekataa. Hakuwa amekubali. Alinyamaza tu. Ndani ya dakika tano alikuwa kashamsogelea kumuonyesha hilo tunda la kati
"Mh, Sandra," akamwita kwa sauti ya chini, una mpj mzr "
"Kwa nini? mbona ya kawaida ."
"unaniruhusu niyakague et?."
Sandra hakujibu. Alimwangalia tu. Mdomo wake wa chini ulikuwa umelegea kidogo. Alikuwa karibu kusema kitu, lakini badala yake, alinyamaza. Victor alisogea. Hakuwa na haraka. Alikata kipande cha nanasi, akamkaribia zaidi, akamlisha.
Akafumba macho kutazama alihisi kama mkono wa victor upo kwenye kitumbua anakishika shika
We victor mmmmmh acha bhana .......