Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 09 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 09 (S2)

ALWAYS MEN ARE CHEATER
Tulielekeaa chumban kwa ajili ya kupumzika lakin ukweli sikuwa sawa hata kidogo. Kitu ambacho nilikua nawaza akilini ni kumtafuta Rola tu niongee nae tu maana yeye ndio alikua mwanamke pekee ninaempenda kwa dhati japo kuna mda alikengeuka lakin nilijiambia kwamba huwenda zile zilikua ni hasira tu. Niliwaza piaa siku ambayo Rely ataondoka mazima kwenye maisha yangu itakuaje?? Maana pamoja na kwamba nampendaa sana ndugu yake lakin ahta yeye pia nilikuwa nimemzoea, nilijikuta naumia sana na kubaki njia panda huku swala la ujauzito wa Rely pia likizidi kunipa 'headache' kwasababu sikua na uhakika kama ujauzito ni wangu au lah..! Niliwaza sana na kuwazua mda huu Rely alikua tayari ameshazama kwenye usingizi mzito huku mimi nikiendelea kujigeuza kama chapati tu pale kitandan.

Kulikucha asubuhi na wa kwanza kuamka nilikua Mimi maana nilikua naisubiri sana hii siku ifike, niliandaa chai mim mwenyewe kisha tukanywa na baada ya hapo tulijiandaa kwenda hospital kupima afya ya Rely..

Tulifika daktari akachukua vipimo na majibu yalitoka kwamba Rely ana ujauzito wa miezi mitatu. Nilifurahi kwa kiasi chake japo sikua najua kama furaha yangu ingedumu kwasababu sijui mtoto ni wa nani?? Pamoja na kwamba nilikua najua Rely ananicheat ila sikuwahi hata siku moja kumwambia na yeye alijua sijui kwamba ana mwanaume kumbe naujua mkanda mzima sema nilichokua nakifanya ni kujiandaa tu kisaikolojiaa.

Tulirudi nyumban tukiwa na furaha sana, nilimuandalia chakula kisha nikamuaga kwamba naelekea kwa mama kumuona maana alinipigia simu. Nilielekea kwa Mama na nilimkuta akiwa jikoni kuandaa chakula..
"Mmh nimefikia pazuri maana naskia tu harufu nzuri nzuri huko jikon.."

"Upewe hayo kula tu, za huko utokako kwanza??" Aliniuliza mama yangu huku akikaa kwenye sofa.

"Za huko salama tuu za hapa..?"

" Za hapa kama unavyoziona ni nzuri nakula tu kiyoyozi.." Alinijibu hvyo mama yangu huku akiwa anapitisha macho kweny sebule yake ambayo naweza sema ni nguvu za wazazi wa Rely.

"Naona maisha ni safi"

"Eeeh, huyo mkeo hajambo?"

"Hajambo lakin hivi karibuni naenda kuitwa baba.."

"Kheee jaman.!!! Bora maana naona siku zinaenda tuu na sion dalili za kuitwa bibi, bora azae maana nilitaka kujua labda Mgumba maana sio kwa kukawia huko..!!"

"Mama maneno gani hayo?? Hujui kama kuzaa ni mpango wa Mungu..??" Nilimuulza kwa hasira maana niliona anataka kwenda mbali zaidi.

" Eeeh nisiseme sas..??"

"Hata hivo sikuja kwa ajili ya hilo apa..!!"

"Umejia nin sasa?"

"Nimekuja tu kukupa taarifa kwamba lolote linaweza kutokea kati yangu mim na Rely..!"

"Unamaanisha nin?? Mnataka kufa au?"

"Sio kufa mama, we elewa hivyo tu"

"Mtajua wenyewe bana, sasa mambo yenu mie yananihusu nin..?? Mtajuana huko, Em wacha kwanza nikuletee chakula ule ushibe uende kwa mkeo.." alijibu Mama huku akisimama kuelekea jikon.

Siku moja Rola alikua kazini kwake akiendelea kufanya kazi ndipo sim yake ikaita lakin namba haikua na jina hivyo akapokea na ilisikika sauti ya kike..
"Haloo.."

"Haloo, habari yako??"

"Salama"

"Unaongea na Rola, nan mwenzangu??"

"Sikia wewe mwanamke, najua unaitwa Rola ila nina jambo langu moja tu ambalo ndio limenifanya nikupigie sim sahivi" Aliongea yule mwanamke ambaye ongea yake tu ilionesha dhahiri kwamba alikua amevurugwa.

"Taratibu basi, sas unavyoongea hivyo kwa shari mi nikuelewe vip??"

"Utajua wew sas kama naongea kwa shari au kwa kheri lakin swala lililopo ni wewe kuachana na mume wangu la sivyo nitakutenganisha na huu ulimwengu!!"

"Kheee wew em samahan kwanza, we unamuongelea mumeo nani maana mi sina mahusiano na mume wa mtu.."

"We ndio unavojua hivyo, lakin achana na Hussein lasivyo tutaonana wabaya...!!" Alimaliza kuongea na kukata sim kabisa.
Rola alihisi kuchanganyikiwa maana hakua anajua kama Hussein ana mwanamke mwingine tofaut na yeye na hizi habari ndo kwanza anazisikia.
Alijikuta anachoka hata nguvu ya kufanya kazi tena ikaisha na kuamua tu kufunga safari ya kurudi nyumban kupumzika.

Majira ya usku wakiwa wanakula Rola pamoja na Hussein, Rola aliona amuulize Hussein juu ya kile alichoambiwa wakati yupo kazin.
"Hussein una mwanamke mwingine tofaut na mim??" Aliuliza swali ambalo lilimfanya Hussein kupaliwa na chakula.

"Uko sawa??" Aliuliza tena Rola baada ya kuona kwamba swali lake limemshtua Hussein na kumfanya apaliwe.

"Nipo sawa.."

"Okay, nijbu swali nililokuuliza, una mwanamke mwingine tofauti na mimi???" Aliuliza Rola na safari hii aliweka mkazo kabsa ila kumaanisha kwamba alikua serious na kile kitu na alidhamiria kujua ukweli kutoka kwa Hussein. ITAENDELEAA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

ALWAYS MEN ARE CHEATER
Tulielekeaa chumban kwa ajili ya kupumzika lakin ukweli sikuwa sawa hata kidogo. Kitu ambacho nilikua nawaza akilini ni kumtafuta Rola tu niongee nae tu maana yeye ndio alikua mwanamke pekee ninaempenda kwa dhati japo kuna mda alikengeuka lakin nilijiambia kwamba huwenda zile zilikua ni hasira tu. Niliwaza piaa siku ambayo Rely ataondoka mazima kwenye maisha yangu itakuaje?? Maana pamoja na kwamba nampendaa sana ndugu yake...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-09-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

909
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

782
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

604
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

415
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

200
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

118
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

85
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

51
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest