Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 09 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 09 (S2)

ALWAYS MEN ARE CHEATER
Tulielekeaa chumban kwa ajili ya kupumzika lakin ukweli sikuwa sawa hata kidogo. Kitu ambacho nilikua nawaza akilini ni kumtafuta Rola tu niongee nae tu maana yeye ndio alikua mwanamke pekee ninaempenda kwa dhati japo kuna mda alikengeuka lakin nilijiambia kwamba huwenda zile zilikua ni hasira tu. Niliwaza piaa siku ambayo Rely ataondoka mazima kwenye maisha yangu itakuaje?? Maana pamoja na kwamba nampendaa sana ndugu yake lakin ahta yeye pia nilikuwa nimemzoea, nilijikuta naumia sana na kubaki njia panda huku swala la ujauzito wa Rely pia likizidi kunipa 'headache' kwasababu sikua na uhakika kama ujauzito ni wangu au lah..! Niliwaza sana na kuwazua mda huu Rely alikua tayari ameshazama kwenye usingizi mzito huku mimi nikiendelea kujigeuza kama chapati tu pale kitandan.

Kulikucha asubuhi na wa kwanza kuamka nilikua Mimi maana nilikua naisubiri sana hii siku ifike, niliandaa chai mim mwenyewe kisha tukanywa na baada ya hapo tulijiandaa kwenda hospital kupima afya ya Rely..

Tulifika daktari akachukua vipimo na majibu yalitoka kwamba Rely ana ujauzito wa miezi mitatu. Nilifurahi kwa kiasi chake japo sikua najua kama furaha yangu ingedumu kwasababu sijui mtoto ni wa nani?? Pamoja na kwamba nilikua najua Rely ananicheat ila sikuwahi hata siku moja kumwambia na yeye alijua sijui kwamba ana mwanaume kumbe naujua mkanda mzima sema nilichokua nakifanya ni kujiandaa tu kisaikolojiaa.

Tulirudi nyumban tukiwa na furaha sana, nilimuandalia chakula kisha nikamuaga kwamba naelekea kwa mama kumuona maana alinipigia simu. Nilielekea kwa Mama na nilimkuta akiwa jikoni kuandaa chakula..
"Mmh nimefikia pazuri maana naskia tu harufu nzuri nzuri huko jikon.."

"Upewe hayo kula tu, za huko utokako kwanza??" Aliniuliza mama yangu huku akikaa kwenye sofa.

"Za huko salama tuu za hapa..?"

" Za hapa kama unavyoziona ni nzuri nakula tu kiyoyozi.." Alinijibu hvyo mama yangu huku akiwa anapitisha macho kweny sebule yake ambayo naweza sema ni nguvu za wazazi wa Rely.

"Naona maisha ni safi"

"Eeeh, huyo mkeo hajambo?"

"Hajambo lakin hivi karibuni naenda kuitwa baba.."

"Kheee jaman.!!! Bora maana naona siku zinaenda tuu na sion dalili za kuitwa bibi, bora azae maana nilitaka kujua labda Mgumba maana sio kwa kukawia huko..!!"

"Mama maneno gani hayo?? Hujui kama kuzaa ni mpango wa Mungu..??" Nilimuulza kwa hasira maana niliona anataka kwenda mbali zaidi.

" Eeeh nisiseme sas..??"

"Hata hivo sikuja kwa ajili ya hilo apa..!!"

"Umejia nin sasa?"

"Nimekuja tu kukupa taarifa kwamba lolote linaweza kutokea kati yangu mim na Rely..!"

"Unamaanisha nin?? Mnataka kufa au?"

"Sio kufa mama, we elewa hivyo tu"

"Mtajua wenyewe bana, sasa mambo yenu mie yananihusu nin..?? Mtajuana huko, Em wacha kwanza nikuletee chakula ule ushibe uende kwa mkeo.." alijibu Mama huku akisimama kuelekea jikon.

Siku moja Rola alikua kazini kwake akiendelea kufanya kazi ndipo sim yake ikaita lakin namba haikua na jina hivyo akapokea na ilisikika sauti ya kike..
"Haloo.."

"Haloo, habari yako??"

"Salama"

"Unaongea na Rola, nan mwenzangu??"

"Sikia wewe mwanamke, najua unaitwa Rola ila nina jambo langu moja tu ambalo ndio limenifanya nikupigie sim sahivi" Aliongea yule mwanamke ambaye ongea yake tu ilionesha dhahiri kwamba alikua amevurugwa.

"Taratibu basi, sas unavyoongea hivyo kwa shari mi nikuelewe vip??"

"Utajua wew sas kama naongea kwa shari au kwa kheri lakin swala lililopo ni wewe kuachana na mume wangu la sivyo nitakutenganisha na huu ulimwengu!!"

"Kheee wew em samahan kwanza, we unamuongelea mumeo nani maana mi sina mahusiano na mume wa mtu.."

"We ndio unavojua hivyo, lakin achana na Hussein lasivyo tutaonana wabaya...!!" Alimaliza kuongea na kukata sim kabisa.
Rola alihisi kuchanganyikiwa maana hakua anajua kama Hussein ana mwanamke mwingine tofaut na yeye na hizi habari ndo kwanza anazisikia.
Alijikuta anachoka hata nguvu ya kufanya kazi tena ikaisha na kuamua tu kufunga safari ya kurudi nyumban kupumzika.

Majira ya usku wakiwa wanakula Rola pamoja na Hussein, Rola aliona amuulize Hussein juu ya kile alichoambiwa wakati yupo kazin.
"Hussein una mwanamke mwingine tofaut na mim??" Aliuliza swali ambalo lilimfanya Hussein kupaliwa na chakula.

"Uko sawa??" Aliuliza tena Rola baada ya kuona kwamba swali lake limemshtua Hussein na kumfanya apaliwe.

"Nipo sawa.."

"Okay, nijbu swali nililokuuliza, una mwanamke mwingine tofauti na mimi???" Aliuliza Rola na safari hii aliweka mkazo kabsa ila kumaanisha kwamba alikua serious na kile kitu na alidhamiria kujua ukweli kutoka kwa Hussein. ITAENDELEAA
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

ALWAYS MEN ARE CHEATER
Tulielekeaa chumban kwa ajili ya kupumzika lakin ukweli sikuwa sawa hata kidogo. Kitu ambacho nilikua nawaza akilini ni kumtafuta Rola tu niongee nae tu maana yeye ndio alikua mwanamke pekee ninaempenda kwa dhati japo kuna mda alikengeuka lakin nilijiambia kwamba huwenda zile zilikua ni hasira tu. Niliwaza piaa siku ambayo Rely ataondoka mazima kwenye maisha yangu itakuaje?? Maana pamoja na kwamba nampendaa sana ndugu yake...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-09-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

615
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

538
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

500
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

330
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

282
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

100
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

96
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

25

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest