Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 17 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 17 (S2)

NO, I AM NOT WRONG
Kabla ya kujibu kile nilichoulizwa, nilijifikiria kwa muda mrefu sana. Nikajibu.
“Hapana” Jibu langu nikadhani huenda lingemstua sana Rely lakini hakuwa na wasiwasi wowote. Alijilaza kitandani. Nikastuka! Kwanini aulize halafu nimjibu na kulala pasipo hata kuendeleza maongezi? Sikupata jibu. Nami ilinibidi nijilaze. Nikawa ni mwenye mawazo mno hata usingizi haukuja vizuri.

Usiku huu hatukuongeleshana lolote hadi palipokucha. Asubuhi iliyokuwa na baraka ilitia timu. Rely akawa wa kwanza kuamka, akaandaa chai na kuniletea kitandani. Hapa napo nilistuka. Inakuaje hadi ananiletea chai ikiwa hatuna maelewano mazuri? Anataka kuniua? Sikujipa majibu sahihi ya maswali yangu.
“Nataka kujua ukweli” Rely alisema akiwa ameshikilia mlango, ananitazama usoni. Niliacha kunywa chai, nikamtazama na kumuuliza.
“Upi?”
“Najua mimi si wa thamani tena kwako”
“Nani kasema”
“Moyo wako unamajibu yote lakini nami nijibu swali langu”
“Lipi tena Rely?”
“Rola anakuja saa ngapi?” swali lake likanifanya nikumbuke kumbe kulikuwa na mazungumzo na Rola.

Haraka sana nilichukua simu yangu na kuiwasha kisha nikatafuta namba ya Rola hadi nilipoipata nilipiga. Aliniambia tayari amefika na mara kadhaa amejaribu kunipigia simu lakini sipatikana kama ninaweza basi nijiandae kumfuata.
“Ok, nakuja hapo” nilimjibu na kukata simu. Nikamgeukia Rely na kumwambia “yupo ameshafika” niliweka chai pembeni kisha nilianza kujiandaa kwa ajili ya kuondoka.

Wakati nikiwa najiandaa, Rely naye alikuwa akijiandaa. Kitu ambacho kiliniacha njia panda. Anajiandaa kuna sehemu anakwenda? Kama ndio ni wapi? Sikupata majibu. Nikawa katika wakati mzito na mgumu, ilinibidi nimuulize.
“Unaenda wapi?”
“Umesema ameshafika?”
“Nani?”
“Kwani unaenda kumpokea nani?”
“Kwahiyo unataka kuja ninakoenda?”
“Kuna dhambi yoyote?” Rely aliuliza.

Mie nikapiga kimya. Moyoni nikijiambia kwamba maamuzi yoyote atakayoyachukua ni yeye mwenyewe ndio atajua. Nilifanya yangu hadi nilipomaliza. Nikamtazam Rely alikuwa bado hajamaliza kama mjuavyo wanawake tena kwa kujiandaa. Hii ikanipa auweni ya kunipunguzia mzigo maana sikutaka kuongozana naye. Niliondoka huku nikiimani kuwa Rely asingeweza kunifuata na hata kama angenifuata basi asingeweza kujua niliko ni wapi? Nikijipa imani kuwa Jiji la Dar es salaam ni kubwa.

Lisaa na nusu mbele nilifanikiwa kufika sehemu husika. Nilishangaa kuona mtu kama Rely akiwa anaongea na kina Rola, aliponiona mimi kwa mbali aliaga na kuondoka. Nikastuka ni yeye kweli ama sio yeye? Ilinibidi niende hadi walipo. Nikasimama na kuwasalimu. Rola aliniambia baada ya salam.
“Rely alikuwa hapa muda si mrefu”
“Acha masiara basi, nilimuacha nyumbani ujue?”
“Kweli tena” Alinisisitizia. Nikabaki njia panda maana sikuamini kile ambacho alikuwa ananiambia. Rely amefikaje katika eneo lile ikiwa nilimuacha nyumbani? Bado majibu sikuyapata.

Nusu saa mbele tulianza safari ya kumpeleka katika nyumba ambayo alitaka aishi. Nilikuwa nimeshaipata na kuagizia watu wafanye ukarabati katika baadhi ya maeneo. Kwahiyo, sikuwa na shaka sana kama ingekuwa na muonekano mbaya.
“Umeishiana vipi na Hussein?” Nilimuuliza tukiwa bado katika usafiri
“Kwanza nisamehe kwa nilichokufanyia. Mimi sio binadamu ambayo nastahiki kupewa msamaha wako lakini nisamehe sana”
“Usijali, nilishakusamehe. Niambie, umefikia wapi na Hussein?”
“Anashikiriwa na polisi, kesi yake ni kubwa maana hajaanza kunidhurumu mimi pekee. Kuna watu wana kampuni zao kama tatu, nao pia kawadhurumu. Namchukia”
“Pole sana” Nilimjibu huku moyoni mwangu kukiwa na furaha maana yule mshenzi ambaye nilihisi angenipa kikwazo kwa Rola, hayupo na jeshi la polisi linashughulika naye.
“Rely ananiambia kwamba haoni tena umuhimu wa yeye kuendelea kuishi. Kwani mlikuwa mkiishi maisha mabaya?” Rola aliniuliza.
“Hapana”
“Alikuwa analia. Alionekana kama mtu ambaye mwenye mawazo kupitiliza. Sura yake haikuwa na tabasamu tena”
“Kuna nini?” Nilimuuliza. Kimya kikachukua nafasi, hakukuwa na jibu tena.

Nikiwa nasubiria jibu kutoka kwa Rola, simu yangu iliingia meseji. Nikaifungua, ilikuwa ni meseji ndefu kutoka kwa Rely ikisema.
“Nilifanya makosa kutaka kuwaaminisha watu kuwa unaweza ku’force upendo na ukapendwa. Nilifanya makosa pia hata pale ambapo nilipopata nafasi ya kupendwa niliyoilazimisha, niliichezea. Raheem, najua nini unajua kinachoendelea kuhusu huu ujauzito. Kuhusu maisha yangu kwa ujumla na kadharika. Najua unajua pia kuhusu mateso yote ambayo nimepitia hadi mimi na wewe kuwa pamoja. Tukaishi katika masemango na maneno, tukaishi katika furaha na huzuni lakini mwisho wa siku ukweli utabakia kuwa palepale. Ukweli ambao unanimaliza ndani kwa ndani. Kabla yako kuonana na Rola, mimi nilikuwa naye hapo. Nikamuaga na kumtakia maisha mema akiwa na wewe. Nami nakuaga Raheem. Sina pa kwenda zaidi ya kaburini. Mimi na kiumbe ambaye yupo tumboni, wote tutatangulia sababu siwezi kukupa mtoto ambaye sio wako wala siwezi kumlazimisha yule mwanaume kulea mimba ambayo amekwisha ikataa na hataki kusikia lolote. Muishi kwa amani na mnisamehe kwa kuwakosea” meseji ilikomea hapa. Nikaganda nikiwa nimetumbulia macho simu yangu. Inamaana Rely anataka kujiua? Kwanini afanye hivyo sasa? Nilijiuliza maswali..... ITAENDELEA
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

NO, I AM NOT WRONG
Kabla ya kujibu kile nilichoulizwa, nilijifikiria kwa muda mrefu sana. Nikajibu.
“Hapana” Jibu langu nikadhani huenda lingemstua sana Rely lakini hakuwa na wasiwasi wowote. Alijilaza kitandani. Nikastuka! Kwanini aulize halafu nimjibu na kulala pasipo hata kuendeleza maongezi? Sikupata jibu. Nami ilinibidi nijilaze. Nikawa ni mwenye mawazo mno hata usingizi haukuja vizuri.

Usiku huu hatukuongeleshana lolote hadi palipokucha. Asubuhi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-17-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

567
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

44

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest