Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 17 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 17 (S2)

NO, I AM NOT WRONG
Kabla ya kujibu kile nilichoulizwa, nilijifikiria kwa muda mrefu sana. Nikajibu.
“Hapana” Jibu langu nikadhani huenda lingemstua sana Rely lakini hakuwa na wasiwasi wowote. Alijilaza kitandani. Nikastuka! Kwanini aulize halafu nimjibu na kulala pasipo hata kuendeleza maongezi? Sikupata jibu. Nami ilinibidi nijilaze. Nikawa ni mwenye mawazo mno hata usingizi haukuja vizuri.

Usiku huu hatukuongeleshana lolote hadi palipokucha. Asubuhi iliyokuwa na baraka ilitia timu. Rely akawa wa kwanza kuamka, akaandaa chai na kuniletea kitandani. Hapa napo nilistuka. Inakuaje hadi ananiletea chai ikiwa hatuna maelewano mazuri? Anataka kuniua? Sikujipa majibu sahihi ya maswali yangu.
“Nataka kujua ukweli” Rely alisema akiwa ameshikilia mlango, ananitazama usoni. Niliacha kunywa chai, nikamtazama na kumuuliza.
“Upi?”
“Najua mimi si wa thamani tena kwako”
“Nani kasema”
“Moyo wako unamajibu yote lakini nami nijibu swali langu”
“Lipi tena Rely?”
“Rola anakuja saa ngapi?” swali lake likanifanya nikumbuke kumbe kulikuwa na mazungumzo na Rola.

Haraka sana nilichukua simu yangu na kuiwasha kisha nikatafuta namba ya Rola hadi nilipoipata nilipiga. Aliniambia tayari amefika na mara kadhaa amejaribu kunipigia simu lakini sipatikana kama ninaweza basi nijiandae kumfuata.
“Ok, nakuja hapo” nilimjibu na kukata simu. Nikamgeukia Rely na kumwambia “yupo ameshafika” niliweka chai pembeni kisha nilianza kujiandaa kwa ajili ya kuondoka.

Wakati nikiwa najiandaa, Rely naye alikuwa akijiandaa. Kitu ambacho kiliniacha njia panda. Anajiandaa kuna sehemu anakwenda? Kama ndio ni wapi? Sikupata majibu. Nikawa katika wakati mzito na mgumu, ilinibidi nimuulize.
“Unaenda wapi?”
“Umesema ameshafika?”
“Nani?”
“Kwani unaenda kumpokea nani?”
“Kwahiyo unataka kuja ninakoenda?”
“Kuna dhambi yoyote?” Rely aliuliza.

Mie nikapiga kimya. Moyoni nikijiambia kwamba maamuzi yoyote atakayoyachukua ni yeye mwenyewe ndio atajua. Nilifanya yangu hadi nilipomaliza. Nikamtazam Rely alikuwa bado hajamaliza kama mjuavyo wanawake tena kwa kujiandaa. Hii ikanipa auweni ya kunipunguzia mzigo maana sikutaka kuongozana naye. Niliondoka huku nikiimani kuwa Rely asingeweza kunifuata na hata kama angenifuata basi asingeweza kujua niliko ni wapi? Nikijipa imani kuwa Jiji la Dar es salaam ni kubwa.

Lisaa na nusu mbele nilifanikiwa kufika sehemu husika. Nilishangaa kuona mtu kama Rely akiwa anaongea na kina Rola, aliponiona mimi kwa mbali aliaga na kuondoka. Nikastuka ni yeye kweli ama sio yeye? Ilinibidi niende hadi walipo. Nikasimama na kuwasalimu. Rola aliniambia baada ya salam.
“Rely alikuwa hapa muda si mrefu”
“Acha masiara basi, nilimuacha nyumbani ujue?”
“Kweli tena” Alinisisitizia. Nikabaki njia panda maana sikuamini kile ambacho alikuwa ananiambia. Rely amefikaje katika eneo lile ikiwa nilimuacha nyumbani? Bado majibu sikuyapata.

Nusu saa mbele tulianza safari ya kumpeleka katika nyumba ambayo alitaka aishi. Nilikuwa nimeshaipata na kuagizia watu wafanye ukarabati katika baadhi ya maeneo. Kwahiyo, sikuwa na shaka sana kama ingekuwa na muonekano mbaya.
“Umeishiana vipi na Hussein?” Nilimuuliza tukiwa bado katika usafiri
“Kwanza nisamehe kwa nilichokufanyia. Mimi sio binadamu ambayo nastahiki kupewa msamaha wako lakini nisamehe sana”
“Usijali, nilishakusamehe. Niambie, umefikia wapi na Hussein?”
“Anashikiriwa na polisi, kesi yake ni kubwa maana hajaanza kunidhurumu mimi pekee. Kuna watu wana kampuni zao kama tatu, nao pia kawadhurumu. Namchukia”
“Pole sana” Nilimjibu huku moyoni mwangu kukiwa na furaha maana yule mshenzi ambaye nilihisi angenipa kikwazo kwa Rola, hayupo na jeshi la polisi linashughulika naye.
“Rely ananiambia kwamba haoni tena umuhimu wa yeye kuendelea kuishi. Kwani mlikuwa mkiishi maisha mabaya?” Rola aliniuliza.
“Hapana”
“Alikuwa analia. Alionekana kama mtu ambaye mwenye mawazo kupitiliza. Sura yake haikuwa na tabasamu tena”
“Kuna nini?” Nilimuuliza. Kimya kikachukua nafasi, hakukuwa na jibu tena.

Nikiwa nasubiria jibu kutoka kwa Rola, simu yangu iliingia meseji. Nikaifungua, ilikuwa ni meseji ndefu kutoka kwa Rely ikisema.
“Nilifanya makosa kutaka kuwaaminisha watu kuwa unaweza ku’force upendo na ukapendwa. Nilifanya makosa pia hata pale ambapo nilipopata nafasi ya kupendwa niliyoilazimisha, niliichezea. Raheem, najua nini unajua kinachoendelea kuhusu huu ujauzito. Kuhusu maisha yangu kwa ujumla na kadharika. Najua unajua pia kuhusu mateso yote ambayo nimepitia hadi mimi na wewe kuwa pamoja. Tukaishi katika masemango na maneno, tukaishi katika furaha na huzuni lakini mwisho wa siku ukweli utabakia kuwa palepale. Ukweli ambao unanimaliza ndani kwa ndani. Kabla yako kuonana na Rola, mimi nilikuwa naye hapo. Nikamuaga na kumtakia maisha mema akiwa na wewe. Nami nakuaga Raheem. Sina pa kwenda zaidi ya kaburini. Mimi na kiumbe ambaye yupo tumboni, wote tutatangulia sababu siwezi kukupa mtoto ambaye sio wako wala siwezi kumlazimisha yule mwanaume kulea mimba ambayo amekwisha ikataa na hataki kusikia lolote. Muishi kwa amani na mnisamehe kwa kuwakosea” meseji ilikomea hapa. Nikaganda nikiwa nimetumbulia macho simu yangu. Inamaana Rely anataka kujiua? Kwanini afanye hivyo sasa? Nilijiuliza maswali..... ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

NO, I AM NOT WRONG
Kabla ya kujibu kile nilichoulizwa, nilijifikiria kwa muda mrefu sana. Nikajibu.
“Hapana” Jibu langu nikadhani huenda lingemstua sana Rely lakini hakuwa na wasiwasi wowote. Alijilaza kitandani. Nikastuka! Kwanini aulize halafu nimjibu na kulala pasipo hata kuendeleza maongezi? Sikupata jibu. Nami ilinibidi nijilaze. Nikawa ni mwenye mawazo mno hata usingizi haukuja vizuri.

Usiku huu hatukuongeleshana lolote hadi palipokucha. Asubuhi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-17-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

127
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest