Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

ACT LIKE A WITCH
Asubuhi iliyofuata niliungana na Rely kumsaidia kumtafuta Mama yake kila kona. Tulizunguka maeneo mengi ya Zanzibar bila hata mafanikio yoyote. Wapi amekwenda? Ndio lilikuwa swali linaloumiza ambalo lilituchosha sana.

Basi, tulipitia hospital ambako tulimkuta Baba Rely (Mr Taz) akiwa kitandani akipatiwa matibabu. Ule mwili wake wa kutisha kama jumba, sura yake yenye mashavu mazito na makubwa pamoja na mng'ao wake, vyote vilipotea.

Mr Taz alionekana kama Kijana wa makamo ambaye ameathirika na matumizi ya madawa ya kulevya. Alikonda na kupoteza mvuto. Rely alimsimulia Baba yake kuhusu kupona kwa Rola.

"Namuomba Rola, aje hapa nimuombe msamaha. Siku zangu za kuishi zinahesabika. Najutia kwa niliyoyafanya" Mr Taz alizungumza kwa sauti iliyotapakaa maumivu.

"Baba, Rola amekuwa mkali hata sisi wenyewe anatuchukia"

"Nataka kumuomba msamaha, tafadhari namuomba hapa" Alisistiza Baba Rely.

Hatukuwa na namna nyingine zaidi ya kurudi nyumbani kwa ajili ya kumwambia Rola kile ambacho tumeambiwa. Kwa bahati mbaya, Rola hakutumkuta.

"Kaondoka, sijui kasema anakwenda kwa Hussein hata sielewi" Thelesia alitueleza.

"Mungu wangu, inamaana kweli Rola ametaka kuingia katika mahusiano na Hussein? Hivi anamjua vizuri huyu mtu? Hussein anasifika kwa utapeli. Huko bara kahama kwa sababu ana kesi ya kutapeli mtu gari. Leo hii yeye anampenda Hussein kweli? Ngoja aje" Rely alifoka kwa hasira sana kisha huyo aliondoka zake.

Nikabaki kuwa mtazamaji tu maana sikujua mengi sana kuhusu huyo Hussein ambaye alikuwa anazungumziwa. Nani wa kumuuliza Hussein ni nani? Ameingiaje katika maisha ya hii familia? Hilo nilikosa, macho yangu yakawa tayari kula kinachoendelea huku masikio yakitamani kusikia mambo kadhaa kutoka pande zote za watu hawa.

Majira ya saa tatu usiku, nikiwa chumbani nilisikia mlio wa honi ukitokea nje kabisa. Nikajua hakukuwa na mwingine ambaye angepiga honi ile isipokuwa ni Rola. Haraka sana niliwahi getini.

Ni kweli nilikuta Rola akiteremshwa katika gari na mwanaume ambaye alikuwa mbavu kiasi. Alinizidi kimuonekano huku akiwa na ndevu za alshababi.

"Huyu ni mfanyakazi wangu, anaitwa Rahim na ni mpenzi pia wa Rely" Rola alinitambulisha kwa yule mwanaume kidharau sana, akiendelea "Rahim, huyu ndio mwanaume wa ndoto zangu anaitwa Hussein. Huyu ndio barafu wa moyo wangu na mwanaume ambaye Baba yangu alinitaka niolewe naye tangu nikiwa mtoto mdogo"

Nilimtazama Hussein kwa jicho la hasira sana, nikamtazama Rola hukj nikitetemeka kuanzia nywele hadi kucha. Meno yangu niliyang'ata kwa hasira. Sikutegemea kitu kama hichi wala sikutegemea kama ningekuja kuoneshewa dharau kwa kuitwa mfanyakazi katika ile nyumba.

Moyo wangu ukapasuka kwa hasira, ndita zikatuhama katika paji la uso kwa muda mrefu sana huku nikifikiria kisha nilisema.

"Rola unanitambulisha mimi kama mfanyakazi wa ndani?"

"Khe! Sasa ulitaka nikutambulishaje Rahim? Ok, niko na mpenzi wangu huyu hapa. Ebu niambie, nikutambulishe vipi? Basi ni shemeji wa yule mtoto wa mchawi. Eenh! Ni mume wa mchawi au sio hivyo?" Rola aliuliza kwa kebei akiwa anachezea ndevu za Hussein

"Mimi ambaye nimepambana na wewe hadi unakuwa mzima, unapona na kuiona dunia ikiwa tamu ndio unanitambulisha hivi? Yapo wapi mapenzi yangu kwako Rola? Zipi ni fadhila za kukusaidia?"

"Kwani kutoa msaada ndiko kupendwa? Unataka nikupende wakati nina mtu wangu? Rahim, mimi kukupa nafasi ya kuishi hapa kama mtu wangu wa kazi humu ndani usinione mjinga. Naweza kukufukuza na kumpa mtu mwingine muda wowote ule. Kwahiyo tafadhari usinipande kichwani" Rola alifoka vilivyo.

Sikuwa na namna zaidi ya kumsalimia Hussein kisha huyo nilirudi ndani, nikimuacha Rola na yule mwanaume wakibadilishana mate taratibu kabla ya kuagana na Hussein aliondoka.

Nifollow Instagram kwa jina la Burudani lazima ziendelee na huko pia
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

ACT LIKE A WITCH
Asubuhi iliyofuata niliungana na Rely kumsaidia kumtafuta Mama yake kila kona. Tulizunguka maeneo mengi ya Zanzibar bila hata mafanikio yoyote. Wapi amekwenda? Ndio lilikuwa swali linaloumiza ambalo lilituchosha sana.

Basi, tulipitia hospital ambako tulimkuta Baba Rely (Mr Taz) akiwa kitandani akipatiwa matibabu. Ule mwili wake wa kutisha kama jumba, sura yake yenye mashavu mazito na makubwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-02-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

568
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest