Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 13
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 13

ZHIGZAG
Tulikaa pale kwa mda kidogo, kuna wakati nilitoka nje nkampisha Thelesia ampe chakula Rola na badae nilirudi wodini kutaka kujua hali ya Rola.

"Unajiskiaje?" Nilimuuliza.

"Kichwa kinaniuma sana, nahisi kuchoka kwa kweli."

"Pole utakua sawa."

"Rely umemuacha vipi? Na amejua kwamba umekuja huku? kwasababu sidhani kama akijua kama umekuja huku atafurahi."

"Usijali Rola kila kitu kipo sawa. Hata hivyo nilikua tu na wasi wasi, nilitaka kujua hali yako na kwakuwa umeshakua sawa sina budi kuwaacha." Nilijibu huku nikisimama kwenye kiti nilichokua nimekaaa.

"Mbona mapema sana Rahim?" Aliuliza Thelesia.

"Nashkuru sana kwa moyo wako na Mungu akubariki Rahim." Alisema Rola huku akijaribu kuachia tabasam uson kwake.

"Aaah usijali Rola, sisi ni binadam lazima upendo uendelee kuwepo"

"Asantee"

"Basi sawa, mi wacheni nitoke, kwaherini na mbaki salama."

Niliaga na wote wakashukuru kwa uwepo kwangu kisha sikua na namna tena kuendeleaa kubaki pale nikaondoka kutafuta njia ya kurudi dar.

Kufika nyumban kwangu sikumkuta Rely nikajua kaenda kazin kwake. Nilienda mpaka chumbani hata vitu vyake vilikuwepo.

"Ana mbwembwe sana huyu mwanamke, inamaana jana alivyokua anataka kuondoka alikua anabip fire au?" Nilijisemesha mwenyewe huku nikiwa najitupa kitandani.

Kwa wakati huu tayari ilikua imeshatim saa kumi na mbili jion, sikuona sababu ya kutoka na kwenda kwenye kibanda changu cha chips na badala yake nikaamua kuingia jikoni na kuandaa chakula cha usiku.

Siku zilipita, hatimaye miezi miwili ilikatika bila mawasiliano na Rola, sikuwa najua wanaendelea vipi yeye na familia yake kwasababu kila nilipokua nikipiga sim yake haikupokelewa na mda mwingine haikupatikana kabisa. Niliamua kupotezea lakini sio kupotezea upendo wangu kwake. Nilimpenda Rola kupita maelezo na wala sikuchoka kumpenda hata siku moja. Kipindi hiki ata ujauzito wa Rely ulikua umekua tayari lakin visa na mikasa havikuisha ndani ya nyumba yetu. Kila siku ilikua kelele na maneno yasiyokuwa na mpangilio, kwa kifupi tulikua kama paka na panya.

Siku moja niliamua kutoka na kwenda kwa mama na kwa bahati nzuri nilimkuta japo alikua anajiandaa kutoka lakin nashkuru nilim'wahi.

"Mama una safari?" Niliuliza.

"Makubwa! Ndio nini kunijia bila taarifa mapema yote hii, kwema huko?" Aliuliza mama akiwa anashangaa ujio wangu wa bila taarifa pale nyumban.

"Sasa Mama hapa si nyumbani? Kwani kuja mpaka nitoe taarifa?"

"Mtoto shika adabu yako tafadhali. Kwako hapa? Kwako si huko kwa huyo kichaa mwenzio?"

"Lakin mama sijajia hayo, shikamoo kwanza."

"Marahaba, na useme haraka bwana nina safari zangu saa hizi"

"Sawa, mama hapa nimejia swala moja tu mama yangu. Naomba uongee na Rely mama maana pale nyumban sahivi hapakaliki. Ukipita huku ni kelele ukirudi huku kelele yaani ile mimba inampelekesha sjui?"

"Kwahiyo unataka mimi niongee nae nin kama mwenyewe ushasema mimba inampelekesha?"

"Aaah mama yule ni mwanamke mwenzio!"

"Kwahiyo?"

"Ongea nae labda atakuelewa!"

"Bwana kama hakuna habari zingine fanya safari, nimekwambia nina safari zangu. Huyo mkeo hawezi kubadilika hata nikiongea nae nini. Kama unabisha subiri akijifungua halafu akibadilika urudi hapa unidai hii nyumba yote nikupe." Alisema mama kana kwamba anajua kila kitu kuhusu Rely.

"Mama!!" Nilimuita mama kwa mshangao sana maana kauli yake ilinipa utata.

"Hiyo ndio habari iliyopo. Haya fanya kuondoka nifunge mlango wangu mie."
Sikuwa na namna zaidi ya kuondoka na kurudi kuendeleaa na majukumu yangu huku nikiwa ni mwenye mawazo sana. Ukweli ni kwamba ata ule mwili niliokua nao mwanzo kipindi hiki ulipungua kabisa kwa mawazo. Nilikua najua Rely ananicheat lakin sikutaka kumwambiaa, na yeye alijua mimi sijui kwasababu sikuwahi kumwambiaa. Nilifanya hivi nikisubiri tu mtoto azaliwe tupime DNA halafu mtoto akiwa sio wangu basi baba yake atamchukua yeye pamoja na mama yake. Yaan kwa kipind hiki tulikua tunaishi kusukuma siku maana nilichokua nafanya ni kulea tu ule ujauzito ambao sikuwa na uhakika nao ata kidogo.

Upande wa Rola nilisimuliwa hivi; Nyumban kwa Rola siku hii alikua anaongea na Hussein lakin maongezi yao hayakua ya kawaidaa kwasababu walikua wanazozana sana.

"Nimeshakwambia sikutaki naomba uende kwa mkeo, sihitaji matatizo na mtu! Nilikuamini sana kiasi kwamba sikutaka kumsikiliza mtu yeyote lakin kumbe lengo lako ni mimi kufa si ndio??" Ilikua sauti ya Rola aliekua anamfokea Hussein.

"Lakin nakupenda wewe Rola!"

"Muongo mkubwa, unanipenda au unataka pesa zangu, najuta sana kukuamini. Najutaaa!!!"

"Haya maongezi tulitakiwa kuongea taratibu tuweze kuelewana kwanini unakuwa mkali?"

"Achana na mimi Hussein, we ni mwanaume gani? Mwanaume usiekua na utu ata kidogo. Siku ile apa ulitaka kuniua, yan asingekua Thelesia si ningekua marehem mimi au? Yan ukaona haitoshi kunisukuma, badala yake ukaniacha kabsa alafu unasema unanipendaa, unanipenda au unacheza na akili angu?"

"Tatizo unasikilza maneno ya watu mke wangu naomba basi nisikilize."

"Maneno ya watu, maneno gani? Niskilze Hussein naomba uondoke kwangu haraka sana!"
Rola aliongea na kuondoka chumbani akamuacha Hussein peke ake.

Baada ya Rola kutoka, Hussein kuna kitu kama aliwaza na baadae akatingisha kichwa kutoka juu kwenda chini na kutoka chini kwenda juu ishara ya kwamba alichokiwaza alikubaliana nacho. Mda huo huo alifungua droo iliyokua kwenye kabati ya Rola na kutoa bahasha moja kisha akaifungua na kutoa karatasi moja akaisoma kisha akaachia tabasam. Baada ya kuwa amesoma ile karatasi, aliirudisha kwenye bahasha kisha akafunga droo na kutoka na ile bahasha na kwenda kuificha kwenye nguo zake kisha alitoka na kuondoka zake akamuacha Rola aliyekua hafahamu kitu chochote kilichotokea huko chumban kwake baada ya yeye kutoka. ITAENDELEA

Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 13

DO YOU LOVE ME 13

ZHIGZAG
Tulikaa pale kwa mda kidogo, kuna wakati nilitoka nje nkampisha Thelesia ampe chakula Rola na badae nilirudi wodini kutaka kujua hali ya Rola.

"Unajiskiaje?" Nilimuuliza.

"Kichwa kinaniuma sana, nahisi kuchoka kwa kweli."

"Pole utakua sawa."

"Rely umemuacha vipi? Na amejua kwamba umekuja huku? kwasababu sidhani kama akijua kama umekuja huku atafurahi."

"Usijali Rola kila kitu kipo sawa. Hata hivyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

566
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

320
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest