Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 08
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 08

WHO IS FATHER OF THE PREGNANT?
Nilirudia kama mara mbili kuisoma ile meseji ambayo ilinifanya kubaki nimeganda kama sanamu pale ndani lakini sauti ya Rely iliyokua inatokea nje ilinishtua na kunifanya niirudishe ile simu pale kisha nikamsikilize alichokua anakisema.
"Mume wangu, mda ndio huu sasa mbona unachelewaa kuondoka?? Inamaana mda wote huo ulikua unavaa..??

"Aaah.. yeaah, nilikua natafuta hii kadi ya benki.." Nilidanganya maana hakuna nilichokua natafuta zaidi ya kwamba nilikua nasoma ile meseji ambayo ilinifanya kuwa kama nimejitwishwa chungu cha moto kichwani.

"Aaah basi sawa amna shida, kazi njema.." Alinitakia kazi njema huku akiachia bonge la tabasam na kunikiss shavuni. Niliondoka Mim mtoto wa Mama Rahim na kuingia mtaani sasa kuendeleaa na kazi ambayo nilipanga kuifanya siku ile.

Baada ya mimi kuondoka Rely alimaliza kazi zake na kuingia chumban na kukutana na ile mesej kutoka kwa huyo ambae inaonekana ni mpenz wake.
"Oooh Calvin amenitafta..??" Aliongea huku akijarb kuipiga ile namba ambayo ilikua haijaseviwa kweny simu yake.

"Halloo.." Ni sauti ya upande wa pili iliitikia, sauti hii ilikua nzito kiasi na ilionesha ni sauti ya mwanaume haswa..!! Nikisema sauti ya mwanaume haswa sijui kama mtakuwa mnanielewa lakin tufanye mnanielewa.

"Yees, mambo.."

"Safi nimepiga sana simu haipokelewi, ulikuwa wapi??"

"Ooh sorry nilikua kazi nyingi leo si unajua nipo off kwahiyo nikaona nifanye kazi za hapa nyumban kwanza.."

"Sawa, sasa nahitaji kuongea na wewe leo mpenzi, kwanza nimekumiss si unajua lakin??"

"Naelewa, kwahiyo tutakutana mda gani sasa maana huyu mwanaume sitaki ajue kitu chochote kuhusu mim na wewe.."

"Usijal ni hata mda huu tu kama utakua free ni sawa, lakin mwisho wa siku lazima huyo mumeo akubaliane na ukweli.."

"Kwamba..."

"Njoo tuonane kwanza maana kesho nina safari ya kwenda Kenya hivyo sihitaji kuondoka bila kukuona."

"Sawa nakuja baby.."

Rely alijiandaa kwa ajili ya kwenda kuonana na huyo mpenzi wake ambae anafahamika kwa jina la Calvin. Ilikuaje mpka wakajuana??

Turudi nyuma kidogo..
Siku ambayo Rely ameenda kutafuta kazi alikutana na huyu Mwanaume maeneo ya maegesho ya magari nje ya hiyo restaurant ambayo ndio anapofanyia kazi sasa hivi na huyu mwanaume alijitambulisha kama Calvin..
"Hii dada samahan.." Calvin alimuita Rely huku akiwa anafung mlango wa gari lake, inamaana Calvin alimuona Rely wakati yupo kweny gari bado. Baada ya Rely kuitwa alisimama na kumsikilza Calvin..

"Aaah samahan, habari yako??"

"Salama.." alijibu kifupi huku akimuangalia yule mwanaume jinsi alivyokua ameyapangilia mavazi yake vizuri huku akinukiaa marashi ambayo hayakumfanya Rely kuchoka kuvuta hewa ya eneo lile.

"Naitwa Calvin, sijui unaitwa nan mwenzang??"

"Naitwa Rely.."

"Oooh karibu, umekuja kupata chakula eneo hili??"

"Hapana nimekuja kutafta kazi..!"

"Ooh imekua vizuri basi maana mim ndio mkurugenzi eneo hili, kwahiyo karibu ofsin kwangu" Alijibu na kuanza kutangulia huku akimuacha Rely nyuma akiwaza na kushukuru Mungu kwasababu ilikua kama bahati kwake kukutana na boss tena boss kamsimamisha mwenyewe.

Waliingia mpaki ofsin kisha Rely akaeleza shida yake na kwakuwa yule mwanaume alikua tayari ameshavutiwa na Rely basi hapakua na shida tena zaidi ya kumpa kazi Rely na hapo ndipo ukawa mwanzo wa mapenzi yao.

Rely alitoka nyumban na kuelekea huko anapofanyia kazi ili kuonana na Calvin. Alifika kule kisha waliongea mambo mengi ikiwemo namna ambayo Rely anajiandaa kuondoka kwangu, waliongea sana na mwisho wa maongezi yule mwanaume alimpatia Rely pesa ambazo zingetumika kuanzisha duka. Baada ya hapo waliagana huku wakipeana ahadi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kawaida kwa wapenzi wengine.

Majira ya usiku tukiwa tunakula, kimya kilitawala eneo lile lakini nikaamua kuuvunja ule ukimya kwa kuanzisha story za biashara..
"Mke wangu umefikia wapi kwenye swala la kufungua duka maana nimeenda kwenye site ambayo nitafungua kibanda changu cha chips, nmeongea na mhusika na kila kitu nmeweka sawa na pesa imebaki kama milion 5."

"Aaah sas milion tano itatosha kweli?? Maana hatujalipia frame bado na vitu vingine pia.."

"Basi tusubir huu mwezi uishe alafu unaofatiaa tuongezee pesa" Niliongea vile maksudi kwasababu najua atanipinga sema niliongea tu ili nisikie atasemaje..?

"Aah mwezi ni mrefu sana, mi nitaongezea pesa.. nitamkopa rafiki yangu mmoja hivi tupo nae kazin maana yeye hela zake hazina mambo mengi sana!" Alinijibu hivyo lakin mim nilikua tayari nimeshajua hapa hakuna cha rafiki yake wala nin ila ni yule mwanaume wake ambae alimtumia mesej mda ule.

"Aaah sawa kama umeamua hivyo! Hivi ulishawahi kuongea na Rola hizi sku za hapa karibuni..?" Nilichomeka swali ambalo nilikua najua jibu lake ni hapana.

"Mmmmh hapana, sijaongea nae wala sijui anaishi vipi?? Yeye si akitufukuza sas naongea nae wa nin??"

"Lakin ni ndugu yako labda wewe ndo ungeanza kum..." Sikumalzia sentensi yangu, Rely alikimbia kweny sink na kuanza kutapika. Nilimfata pale ili kutaka kujua hali yake kama ipo sawa.

"Nin shida mke wangu??"

"Nahisi kichefu chefu sana alafu piaa kizungu zungu hakiishi.."

"Pole itabdi kesho twende hospital sasa tukajue shida ni nin??" Nilimwambia hivyo huku moyon nikiwa najua kabisa itakua ni ujauzito, sas swali ni je huo ujauzito ni wangu au wa huyo hawala yake..?? ITAENDELEA

Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 08

DO YOU LOVE ME 08

WHO IS FATHER OF THE PREGNANT?
Nilirudia kama mara mbili kuisoma ile meseji ambayo ilinifanya kubaki nimeganda kama sanamu pale ndani lakini sauti ya Rely iliyokua inatokea nje ilinishtua na kunifanya niirudishe ile simu pale kisha nikamsikilize alichokua anakisema.
"Mume wangu, mda ndio huu sasa mbona unachelewaa kuondoka?? Inamaana mda wote huo ulikua unavaa..??

"Aaah.. yeaah, nilikua natafuta hii kadi ya benki.." Nilidanganya maana hakuna nilichokua natafuta zaidi ya kwamba nilikua nasoma ile meseji ambayo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

566
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

320
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest