Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 08
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 08

WHO IS FATHER OF THE PREGNANT?
Nilirudia kama mara mbili kuisoma ile meseji ambayo ilinifanya kubaki nimeganda kama sanamu pale ndani lakini sauti ya Rely iliyokua inatokea nje ilinishtua na kunifanya niirudishe ile simu pale kisha nikamsikilize alichokua anakisema.
"Mume wangu, mda ndio huu sasa mbona unachelewaa kuondoka?? Inamaana mda wote huo ulikua unavaa..??

"Aaah.. yeaah, nilikua natafuta hii kadi ya benki.." Nilidanganya maana hakuna nilichokua natafuta zaidi ya kwamba nilikua nasoma ile meseji ambayo ilinifanya kuwa kama nimejitwishwa chungu cha moto kichwani.

"Aaah basi sawa amna shida, kazi njema.." Alinitakia kazi njema huku akiachia bonge la tabasam na kunikiss shavuni. Niliondoka Mim mtoto wa Mama Rahim na kuingia mtaani sasa kuendeleaa na kazi ambayo nilipanga kuifanya siku ile.

Baada ya mimi kuondoka Rely alimaliza kazi zake na kuingia chumban na kukutana na ile mesej kutoka kwa huyo ambae inaonekana ni mpenz wake.
"Oooh Calvin amenitafta..??" Aliongea huku akijarb kuipiga ile namba ambayo ilikua haijaseviwa kweny simu yake.

"Halloo.." Ni sauti ya upande wa pili iliitikia, sauti hii ilikua nzito kiasi na ilionesha ni sauti ya mwanaume haswa..!! Nikisema sauti ya mwanaume haswa sijui kama mtakuwa mnanielewa lakin tufanye mnanielewa.

"Yees, mambo.."

"Safi nimepiga sana simu haipokelewi, ulikuwa wapi??"

"Ooh sorry nilikua kazi nyingi leo si unajua nipo off kwahiyo nikaona nifanye kazi za hapa nyumban kwanza.."

"Sawa, sasa nahitaji kuongea na wewe leo mpenzi, kwanza nimekumiss si unajua lakin??"

"Naelewa, kwahiyo tutakutana mda gani sasa maana huyu mwanaume sitaki ajue kitu chochote kuhusu mim na wewe.."

"Usijal ni hata mda huu tu kama utakua free ni sawa, lakin mwisho wa siku lazima huyo mumeo akubaliane na ukweli.."

"Kwamba..."

"Njoo tuonane kwanza maana kesho nina safari ya kwenda Kenya hivyo sihitaji kuondoka bila kukuona."

"Sawa nakuja baby.."

Rely alijiandaa kwa ajili ya kwenda kuonana na huyo mpenzi wake ambae anafahamika kwa jina la Calvin. Ilikuaje mpka wakajuana??

Turudi nyuma kidogo..
Siku ambayo Rely ameenda kutafuta kazi alikutana na huyu Mwanaume maeneo ya maegesho ya magari nje ya hiyo restaurant ambayo ndio anapofanyia kazi sasa hivi na huyu mwanaume alijitambulisha kama Calvin..
"Hii dada samahan.." Calvin alimuita Rely huku akiwa anafung mlango wa gari lake, inamaana Calvin alimuona Rely wakati yupo kweny gari bado. Baada ya Rely kuitwa alisimama na kumsikilza Calvin..

"Aaah samahan, habari yako??"

"Salama.." alijibu kifupi huku akimuangalia yule mwanaume jinsi alivyokua ameyapangilia mavazi yake vizuri huku akinukiaa marashi ambayo hayakumfanya Rely kuchoka kuvuta hewa ya eneo lile.

"Naitwa Calvin, sijui unaitwa nan mwenzang??"

"Naitwa Rely.."

"Oooh karibu, umekuja kupata chakula eneo hili??"

"Hapana nimekuja kutafta kazi..!"

"Ooh imekua vizuri basi maana mim ndio mkurugenzi eneo hili, kwahiyo karibu ofsin kwangu" Alijibu na kuanza kutangulia huku akimuacha Rely nyuma akiwaza na kushukuru Mungu kwasababu ilikua kama bahati kwake kukutana na boss tena boss kamsimamisha mwenyewe.

Waliingia mpaki ofsin kisha Rely akaeleza shida yake na kwakuwa yule mwanaume alikua tayari ameshavutiwa na Rely basi hapakua na shida tena zaidi ya kumpa kazi Rely na hapo ndipo ukawa mwanzo wa mapenzi yao.

Rely alitoka nyumban na kuelekea huko anapofanyia kazi ili kuonana na Calvin. Alifika kule kisha waliongea mambo mengi ikiwemo namna ambayo Rely anajiandaa kuondoka kwangu, waliongea sana na mwisho wa maongezi yule mwanaume alimpatia Rely pesa ambazo zingetumika kuanzisha duka. Baada ya hapo waliagana huku wakipeana ahadi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kawaida kwa wapenzi wengine.

Majira ya usiku tukiwa tunakula, kimya kilitawala eneo lile lakini nikaamua kuuvunja ule ukimya kwa kuanzisha story za biashara..
"Mke wangu umefikia wapi kwenye swala la kufungua duka maana nimeenda kwenye site ambayo nitafungua kibanda changu cha chips, nmeongea na mhusika na kila kitu nmeweka sawa na pesa imebaki kama milion 5."

"Aaah sas milion tano itatosha kweli?? Maana hatujalipia frame bado na vitu vingine pia.."

"Basi tusubir huu mwezi uishe alafu unaofatiaa tuongezee pesa" Niliongea vile maksudi kwasababu najua atanipinga sema niliongea tu ili nisikie atasemaje..?

"Aah mwezi ni mrefu sana, mi nitaongezea pesa.. nitamkopa rafiki yangu mmoja hivi tupo nae kazin maana yeye hela zake hazina mambo mengi sana!" Alinijibu hivyo lakin mim nilikua tayari nimeshajua hapa hakuna cha rafiki yake wala nin ila ni yule mwanaume wake ambae alimtumia mesej mda ule.

"Aaah sawa kama umeamua hivyo! Hivi ulishawahi kuongea na Rola hizi sku za hapa karibuni..?" Nilichomeka swali ambalo nilikua najua jibu lake ni hapana.

"Mmmmh hapana, sijaongea nae wala sijui anaishi vipi?? Yeye si akitufukuza sas naongea nae wa nin??"

"Lakin ni ndugu yako labda wewe ndo ungeanza kum..." Sikumalzia sentensi yangu, Rely alikimbia kweny sink na kuanza kutapika. Nilimfata pale ili kutaka kujua hali yake kama ipo sawa.

"Nin shida mke wangu??"

"Nahisi kichefu chefu sana alafu piaa kizungu zungu hakiishi.."

"Pole itabdi kesho twende hospital sasa tukajue shida ni nin??" Nilimwambia hivyo huku moyon nikiwa najua kabisa itakua ni ujauzito, sas swali ni je huo ujauzito ni wangu au wa huyo hawala yake..?? ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 08

DO YOU LOVE ME 08

WHO IS FATHER OF THE PREGNANT?
Nilirudia kama mara mbili kuisoma ile meseji ambayo ilinifanya kubaki nimeganda kama sanamu pale ndani lakini sauti ya Rely iliyokua inatokea nje ilinishtua na kunifanya niirudishe ile simu pale kisha nikamsikilize alichokua anakisema.
"Mume wangu, mda ndio huu sasa mbona unachelewaa kuondoka?? Inamaana mda wote huo ulikua unavaa..??

"Aaah.. yeaah, nilikua natafuta hii kadi ya benki.." Nilidanganya maana hakuna nilichokua natafuta zaidi ya kwamba nilikua nasoma ile meseji ambayo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

127
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest