Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 14 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 14 (S2)

LAWYER'S GAME
Baada ya Hussein kutoka alielekea kwenye gari yake akaingia na kuchukua sim yake kisha akachezea kidogo na kuweka sikioni baada ya sekunde chache ilipokelewa na mazungumzo yakaendelea.

"Upo wapi?"

"Nipo ofisini kwangu, kuna shida?" Sauti upande wa pili ilisikika.

"Nakuja sasa hivi." Aliongea Hussein na kukata sim kisha aliwasha gari na kuondoka.

Huku ndani walibaki Rola na Thelesia ambao ni kwamba kila mmoja alikua na mambo yake. Rola alikua bize na simu yake huku Thelesia akiwa bize kuandaa chakula. Dakika moja ilimtosha Thelesia kutoka kule jikoni na kumfata Rola pale seblen.

"Mmh dada upo sawa?" Aliuliza Thelesia.

"Ndio, kwanin?"

"Nilisikia kelele huko chumban kwenu nikahisi labda kuna shida."

"Aaah ni huyo mpuuzi Hussein, yan ananikera kila siku sijui ananitaka nini?" Aliongea Rola huku akionesha hasira zake wazi wazi.

"Samahani dada kama ntakua naingilia mipango yako, lakin huyu Hussein sio mtu mzuri. Nahisi yupo kwako kwa maslahi binafsi."

"Thelesia tumeanza kuingiliana au?"

"Hapana dada nimeongea tu kwa nia nzuri na sio kwa ubaya."

"Sawa nimekusikia unaweza kwenda kuendeleaa na kazi zako."

Rola hakutaka mjadala na Thelesia maana aliona kama anamuingilia kwenye mambo yake. Lakin akiwa pale aliwaza na kuona mawazo ya Thelesia kwa namna moja au nyingine yanaweza kuwa sahihi kwasababu Hussein amebadilika kabisa na kubwa zaidi ana mwanamke mwingine ambae ata Rola mwenyewe anajua hilo.

"Huyu Hussein sijui nimfanye nini? Kumpenda nampenda lakini naona atanipanda kichwani! Nifanye nini sasa ikiwa ata baadhi ya mali zangu nimeandika jina lake, si anaweza kunigeuka??"
Hili ni wazo ambalo lilipita kichwani kwa Rola na alijaribu kufikiria kwa kina akaona kuna jambo linaweza kutokea. Alichokifanya ni kwenda chumbani kwake na moja kwa moja alielekea kwenye ile droo ambayo mara ya kwanza Hussein aliifungua na kutoa bahasha ambayo aliificha kwenye nguo zake.

_____

"Rely hii tabia utaacha lini lakini? Mbona umebadilika sana, yan sasa hivi huoni ajabu kunivunjia heshima." Ilikua ni sauti yangu ambayo siku hii nilikaa na Rely kuzungumza nae baadhi ya mambo ikibidi tuwekane sawa tuishi kwa amani lakini mwenzangu hakua tayari kwa hilo.

"Unataka kusema nini Rahim?" Aliniuliza.

"Namaanisha haya maisha siyafurahii ata kidogo, umekua mtu wa dharau sana au kwasababu huo ujauzito ni wa kwanza?"

"Sijui unazungumzia nini, kwani we shida yako ni nini haswa?"

"Nataka tuishi kwa amani kama zamani."

"Uishi na mimi kwa amani kivipi wakati fika najua hunipendi unampenda Rola?"

"Sijaongelea habari za Rola hapa, nahitaji amani tuliyokua nayo iweze kurejea tena."

"Bwana wee, nasikia kiu niletee Pepsi ya baridi kwanza alafu ndo tuendelee na hizo habari zako."

Haya ndio maisha tuliyokua tunaishi na Rely kwa kipindi hiki. Alibadilika sana kiasi kwamba heshima yake na upendo wake wa zamani ulipotea. Niliwaza sanaa nikaona kama yule mwanaume wake ndio anampa kiburi si amchukue akaishi nae? Hivi ni nwanaume gani anaeweza kukaa na wewe na hali ya kuwa anajua una mwanaume mwingine lakin hakwambii kitu na badala yake anaendelea kukutunza na kulea ujauzito wako ambao pia hana uhakika kama analea kiumbe chake au kiumbe cha mwanaume mwenzie? Hayupo mwanaume wa hivyo si ndio?

______
Hussein alitoka akaelekea sehemu ambayo alikuwepo mwanasheria wake ambae alikua amemzoea sana katika kuweka mambo yake sawa.

"Bwana Michael nimekuja hapa kuna kitu nataka unisaidie!"

"Kitu gani Hussein, we sema tu mi nipo hapa kwa ajili ya watu kama nyie."

"Kuna nyalaka nataka ubadilishe jina na uweke jina langu maana pale kuna jina la mke wangu Rola."

"Sasa hili swala kwanini hamkuja wote apa kulitatua kwasababu itahitajika sahihi yake pia."

"Aaah hakuna haja ya sahihi yake maana yeye mwenyewe ndio kanipa hili agizo so fanya kama navokwambia kiongozi."

"Lakini ni..." Hakuweza kuongeza neno kwani wakati ule ule bahasha yenye pesa ilitua mezani kwake na kumfanya abaki anashangaa.

"Tufanye kazi, pesa ipo na kama haitoshi nitakuongezea. Hili jambo ni la muhim sana naomba nisaidie tafadhali."

"Sawa hakuna shida, hizo nyalaka zipo wapi?"

"Nilitaka kuzungumza na wewe kwanza na kwakua umekubali basi kesho ntakuja nazo ili tumalize kazi."

"Sawa sawa hakuna shida."

"Basi sawa mi acha niende, kwaheri na Asante sana."

Hussein aliaga na kuondoka huku akimuacha Mwanasheria wake Mr Michael akiwaza na kuwazua.

"Huyu Hussein anataka kuleta balaa kwasababu kuna mali tayari ambazo ameandikwa jina lake sasa inakuaje anataka na mali zingine za Rola? Ebu kwanza nione hizi pesa ni kiasi gani."
Alitoa pesa na kuzihesabu na kukuta kiasi cha million mbili.

"Hizi pesa ndo zinifunge? Hapana, natakiwa kufanya kitu, mimi mwenyewe mji naujua vile vile na hii kazi sijaanza leo. Hapa lazima nimsaidie mtoto wa kike. Huyu Hussein ataongeza pesa lakin bado nitamla, tulia nimuoneshe."
Alisema mwanasheria yule na kuchukua sim yake akachezea kidogo na kuweka sikioni.

Rola aliitafta ile bahasha kila sehemu lakin hakuipata. Kumbe wakati anafungua droo alikua anahitaji kuchukua ile bahasha ambayo inaonekana kuwa na nyalaka muhim sana za mali zake.

"Mungu wangu!! Imeenda wapi hiyo bahasha?" Alisema Rola huku akiwa amechanganyikiwa kitu kilichofanya kuanza kutupa vitu hovyo huku na huko akiitafta bahasha lakin hakuiona.

"Huyu atakua Hussein huyu, sijui anataka nini kwangu jaman!"
Rola alichukua sim yake haraka na kutaka kumpigia Hussein lakin mda huo huo sim iliita na namba aliisave Mwanasheria, akapokea.

"Mr michael." Aliita Rola.

"Yees, habari yako Madam?"

"Salama, nambie."

"Aaah samahani, mumeo yupo hapo?"

"Hayupo na ndio namtafta hapa!"

"Aaah sawa, sasa nakuomba ofisini kama utakua na mda sasa hivi kwasababu kuna kitu nataka tuweke sawa."

"Kitu gani? Mi nadhani ungeniambia saa hizi maana nina kazi nafanya."

"Sawa ni kuhusu Hussein alikuja hapa na akasema kwamba anataka kubadilisha jina Kwenye nyalaka ambazo zina jina lako lakin nikamwambia inahitajika sahihi yako na hakutaka kuelewa hilo swala. Sasa amesema kesho anakuja nazo ndo maana nimetaka kukushirikisha na wewe."

"Yaani anataka kunigeuka au?" Aliuliza Rola kwa hasira.

"Nadhani hivyo, so kuwa makini nae sana."

"Ntakupigia badae Mr Michael ngoja nideal nae kwanza."

"Naomba usimwambie kitu chochote kwanza kuhusu mimi."

"Usijali."
Rola alikata sim na kuitupa kitandani akiwa na hasira sana akaanza kuzunguka huku na huku kama mtu anaewaza kitu flani lakin hakimjii akilini.
Akiwa pale mlango ulifunguliwa akaingia Hussein.

"Ulikua unaongea na nani? Nimesikia mazungumzo yenu."

"Sihitaji kelele Hussein."
Alisema Rola na kutoka mpaka sebleni. Hakutaka kumwambiaa kitu Hussein kwa wakati ule akihisi kwamba Hussein atagundua kitu walichoongea na mwanasheria Michael bila kujua kwamba Hussein alisikia mazungumzo yao wakati akiwa pale mlangoni bila ata Rola kujua.

"Huyu Michael hanijui kumbe, anataka kunigeuka anahisi ataweza? Hahaa ntamuonesha, ngoja nimfate muda huu."
Hussein alisema kisha alitoka akiwa na bastora aliyokua ameiweka kiunoni na kuondoka zake. Alivofika sebleni Rola akamsemesha.

"Ni bora kama ungeondoka jumla nimechoka kukuona kwenye nyumba yangu!"
Rola aliongea kwa kufoka kidogo lakin Hussein hakujibu kitu zaidi ya kufungua mlango na kuondoka kuelekea kwa mwanasheria na bila shaka anaenda kufanya mauaji. ITAENDELEA

Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

LAWYER'S GAME
Baada ya Hussein kutoka alielekea kwenye gari yake akaingia na kuchukua sim yake kisha akachezea kidogo na kuweka sikioni baada ya sekunde chache ilipokelewa na mazungumzo yakaendelea.

"Upo wapi?"

"Nipo ofisini kwangu, kuna shida?" Sauti upande wa pili ilisikika.

"Nakuja sasa hivi." Aliongea Hussein na kukata sim kisha aliwasha gari na kuondoka.

Huku ndani walibaki Rola na Thelesia ambao ni kwamba kila mmoja alikua na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-14-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

568
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest