Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 14 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 14 (S2)

LAWYER'S GAME
Baada ya Hussein kutoka alielekea kwenye gari yake akaingia na kuchukua sim yake kisha akachezea kidogo na kuweka sikioni baada ya sekunde chache ilipokelewa na mazungumzo yakaendelea.

"Upo wapi?"

"Nipo ofisini kwangu, kuna shida?" Sauti upande wa pili ilisikika.

"Nakuja sasa hivi." Aliongea Hussein na kukata sim kisha aliwasha gari na kuondoka.

Huku ndani walibaki Rola na Thelesia ambao ni kwamba kila mmoja alikua na mambo yake. Rola alikua bize na simu yake huku Thelesia akiwa bize kuandaa chakula. Dakika moja ilimtosha Thelesia kutoka kule jikoni na kumfata Rola pale seblen.

"Mmh dada upo sawa?" Aliuliza Thelesia.

"Ndio, kwanin?"

"Nilisikia kelele huko chumban kwenu nikahisi labda kuna shida."

"Aaah ni huyo mpuuzi Hussein, yan ananikera kila siku sijui ananitaka nini?" Aliongea Rola huku akionesha hasira zake wazi wazi.

"Samahani dada kama ntakua naingilia mipango yako, lakin huyu Hussein sio mtu mzuri. Nahisi yupo kwako kwa maslahi binafsi."

"Thelesia tumeanza kuingiliana au?"

"Hapana dada nimeongea tu kwa nia nzuri na sio kwa ubaya."

"Sawa nimekusikia unaweza kwenda kuendeleaa na kazi zako."

Rola hakutaka mjadala na Thelesia maana aliona kama anamuingilia kwenye mambo yake. Lakin akiwa pale aliwaza na kuona mawazo ya Thelesia kwa namna moja au nyingine yanaweza kuwa sahihi kwasababu Hussein amebadilika kabisa na kubwa zaidi ana mwanamke mwingine ambae ata Rola mwenyewe anajua hilo.

"Huyu Hussein sijui nimfanye nini? Kumpenda nampenda lakini naona atanipanda kichwani! Nifanye nini sasa ikiwa ata baadhi ya mali zangu nimeandika jina lake, si anaweza kunigeuka??"
Hili ni wazo ambalo lilipita kichwani kwa Rola na alijaribu kufikiria kwa kina akaona kuna jambo linaweza kutokea. Alichokifanya ni kwenda chumbani kwake na moja kwa moja alielekea kwenye ile droo ambayo mara ya kwanza Hussein aliifungua na kutoa bahasha ambayo aliificha kwenye nguo zake.

_____

"Rely hii tabia utaacha lini lakini? Mbona umebadilika sana, yan sasa hivi huoni ajabu kunivunjia heshima." Ilikua ni sauti yangu ambayo siku hii nilikaa na Rely kuzungumza nae baadhi ya mambo ikibidi tuwekane sawa tuishi kwa amani lakini mwenzangu hakua tayari kwa hilo.

"Unataka kusema nini Rahim?" Aliniuliza.

"Namaanisha haya maisha siyafurahii ata kidogo, umekua mtu wa dharau sana au kwasababu huo ujauzito ni wa kwanza?"

"Sijui unazungumzia nini, kwani we shida yako ni nini haswa?"

"Nataka tuishi kwa amani kama zamani."

"Uishi na mimi kwa amani kivipi wakati fika najua hunipendi unampenda Rola?"

"Sijaongelea habari za Rola hapa, nahitaji amani tuliyokua nayo iweze kurejea tena."

"Bwana wee, nasikia kiu niletee Pepsi ya baridi kwanza alafu ndo tuendelee na hizo habari zako."

Haya ndio maisha tuliyokua tunaishi na Rely kwa kipindi hiki. Alibadilika sana kiasi kwamba heshima yake na upendo wake wa zamani ulipotea. Niliwaza sanaa nikaona kama yule mwanaume wake ndio anampa kiburi si amchukue akaishi nae? Hivi ni nwanaume gani anaeweza kukaa na wewe na hali ya kuwa anajua una mwanaume mwingine lakin hakwambii kitu na badala yake anaendelea kukutunza na kulea ujauzito wako ambao pia hana uhakika kama analea kiumbe chake au kiumbe cha mwanaume mwenzie? Hayupo mwanaume wa hivyo si ndio?

______
Hussein alitoka akaelekea sehemu ambayo alikuwepo mwanasheria wake ambae alikua amemzoea sana katika kuweka mambo yake sawa.

"Bwana Michael nimekuja hapa kuna kitu nataka unisaidie!"

"Kitu gani Hussein, we sema tu mi nipo hapa kwa ajili ya watu kama nyie."

"Kuna nyalaka nataka ubadilishe jina na uweke jina langu maana pale kuna jina la mke wangu Rola."

"Sasa hili swala kwanini hamkuja wote apa kulitatua kwasababu itahitajika sahihi yake pia."

"Aaah hakuna haja ya sahihi yake maana yeye mwenyewe ndio kanipa hili agizo so fanya kama navokwambia kiongozi."

"Lakini ni..." Hakuweza kuongeza neno kwani wakati ule ule bahasha yenye pesa ilitua mezani kwake na kumfanya abaki anashangaa.

"Tufanye kazi, pesa ipo na kama haitoshi nitakuongezea. Hili jambo ni la muhim sana naomba nisaidie tafadhali."

"Sawa hakuna shida, hizo nyalaka zipo wapi?"

"Nilitaka kuzungumza na wewe kwanza na kwakua umekubali basi kesho ntakuja nazo ili tumalize kazi."

"Sawa sawa hakuna shida."

"Basi sawa mi acha niende, kwaheri na Asante sana."

Hussein aliaga na kuondoka huku akimuacha Mwanasheria wake Mr Michael akiwaza na kuwazua.

"Huyu Hussein anataka kuleta balaa kwasababu kuna mali tayari ambazo ameandikwa jina lake sasa inakuaje anataka na mali zingine za Rola? Ebu kwanza nione hizi pesa ni kiasi gani."
Alitoa pesa na kuzihesabu na kukuta kiasi cha million mbili.

"Hizi pesa ndo zinifunge? Hapana, natakiwa kufanya kitu, mimi mwenyewe mji naujua vile vile na hii kazi sijaanza leo. Hapa lazima nimsaidie mtoto wa kike. Huyu Hussein ataongeza pesa lakin bado nitamla, tulia nimuoneshe."
Alisema mwanasheria yule na kuchukua sim yake akachezea kidogo na kuweka sikioni.

Rola aliitafta ile bahasha kila sehemu lakin hakuipata. Kumbe wakati anafungua droo alikua anahitaji kuchukua ile bahasha ambayo inaonekana kuwa na nyalaka muhim sana za mali zake.

"Mungu wangu!! Imeenda wapi hiyo bahasha?" Alisema Rola huku akiwa amechanganyikiwa kitu kilichofanya kuanza kutupa vitu hovyo huku na huko akiitafta bahasha lakin hakuiona.

"Huyu atakua Hussein huyu, sijui anataka nini kwangu jaman!"
Rola alichukua sim yake haraka na kutaka kumpigia Hussein lakin mda huo huo sim iliita na namba aliisave Mwanasheria, akapokea.

"Mr michael." Aliita Rola.

"Yees, habari yako Madam?"

"Salama, nambie."

"Aaah samahani, mumeo yupo hapo?"

"Hayupo na ndio namtafta hapa!"

"Aaah sawa, sasa nakuomba ofisini kama utakua na mda sasa hivi kwasababu kuna kitu nataka tuweke sawa."

"Kitu gani? Mi nadhani ungeniambia saa hizi maana nina kazi nafanya."

"Sawa ni kuhusu Hussein alikuja hapa na akasema kwamba anataka kubadilisha jina Kwenye nyalaka ambazo zina jina lako lakin nikamwambia inahitajika sahihi yako na hakutaka kuelewa hilo swala. Sasa amesema kesho anakuja nazo ndo maana nimetaka kukushirikisha na wewe."

"Yaani anataka kunigeuka au?" Aliuliza Rola kwa hasira.

"Nadhani hivyo, so kuwa makini nae sana."

"Ntakupigia badae Mr Michael ngoja nideal nae kwanza."

"Naomba usimwambie kitu chochote kwanza kuhusu mimi."

"Usijali."
Rola alikata sim na kuitupa kitandani akiwa na hasira sana akaanza kuzunguka huku na huku kama mtu anaewaza kitu flani lakin hakimjii akilini.
Akiwa pale mlango ulifunguliwa akaingia Hussein.

"Ulikua unaongea na nani? Nimesikia mazungumzo yenu."

"Sihitaji kelele Hussein."
Alisema Rola na kutoka mpaka sebleni. Hakutaka kumwambiaa kitu Hussein kwa wakati ule akihisi kwamba Hussein atagundua kitu walichoongea na mwanasheria Michael bila kujua kwamba Hussein alisikia mazungumzo yao wakati akiwa pale mlangoni bila ata Rola kujua.

"Huyu Michael hanijui kumbe, anataka kunigeuka anahisi ataweza? Hahaa ntamuonesha, ngoja nimfate muda huu."
Hussein alisema kisha alitoka akiwa na bastora aliyokua ameiweka kiunoni na kuondoka zake. Alivofika sebleni Rola akamsemesha.

"Ni bora kama ungeondoka jumla nimechoka kukuona kwenye nyumba yangu!"
Rola aliongea kwa kufoka kidogo lakin Hussein hakujibu kitu zaidi ya kufungua mlango na kuondoka kuelekea kwa mwanasheria na bila shaka anaenda kufanya mauaji. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

LAWYER'S GAME
Baada ya Hussein kutoka alielekea kwenye gari yake akaingia na kuchukua sim yake kisha akachezea kidogo na kuweka sikioni baada ya sekunde chache ilipokelewa na mazungumzo yakaendelea.

"Upo wapi?"

"Nipo ofisini kwangu, kuna shida?" Sauti upande wa pili ilisikika.

"Nakuja sasa hivi." Aliongea Hussein na kukata sim kisha aliwasha gari na kuondoka.

Huku ndani walibaki Rola na Thelesia ambao ni kwamba kila mmoja alikua na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-14-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest