Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 05
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 05


ACCEPT THE REALITY
Ugumu wa maisha ulianza hapa maana hatukuwa na chaguzi tena, kutoka kumsaidia mtu hadi anarudi katika afya yake hadi anakuja kukufukuza kama mtumwa, mwizi ama mtu mwingine mtenda mabaya. This was pain to us lakini hatukuwa na jinsi, tulikubali kuuchukua ukweli ule na kuondoka nyumbani kwake.

Safari yetu ilienda kutua hadi Dar es salaam ambako nilifikia nyumbani kwa Mama. Maisha ya Rola yalikuwa chini ya Hussein ambaye alimwamini kwa kila kitu, mipango yake ilianzia kwa huyu mwanaume. Hussein akawa kama Baba na Mama kwake, alimwamini na Husseina akupokea uaminifu kutoka kwa kigoli huyu.

Maisha ya Dar es salaam hayakuwa mabaya sababu nilirudi tena katika biashara yangu ya kuuza Ice cream kama ilivyokuwa kawaida. Kwahiyo ikawa nashirikiana na Rely katika biashara hii huku siku zingine akabakia nyumbani kwa ajili ya kumtazama Mama yake ambaye kadri siku zilivyozidi kwenda, ndivyo alivyokuwa akizidi kurenduka.

Siku za mwanzoni Mama yangu alikuwa yupo sawa lakini kadri siku ambavyo zilivyozidi kwenda ndivyo Mama alianza kuchoshwa na uwepo wetu pale nyumbani hasa Mama Rely. Nilianza kuyasikia maneno kwa majirani kuwa Mama yangu anamnyanyasa Rely na familia yake huku akisema kwamba wapo pale kama misukule na siku yoyote anaweza kuwafukuza. Mwishowe nikaja kujionea mwenyewe waziwazi.

Siku moja asubuhi kabla ya kuingia katika mihanjo yangu, Mama aliniita na kunikalisha kitako. Nikajua kwamba Mama angekuwa na jambo la maana la kunieleza lakini haikuwa hivyo.

“Hii hali inayoendelea ndani unaielewa?”

“Ipi tea Mama?”

“Baba wewe, huyu mtu atakuwa hapa kila siku au wanapanga kuondoka? Maana nimechoshwa kwakweli, nyumba kila sehemu unayokaa kuna mate”

“Mama, kwani nilikueleza nini? Hawa watu hawana pa kwenda zaidi ya mimi kuishi nao hapa”

“Weee! Hapana kwakweli, nimechoka kufuga huyu mgonjwa. Kwani mie ndio nilimwambia aroge sasa?”

“Mama, kwanini unafika mbali hivyo?”

“Rahim, kiukweli nimechoka kuishi na huyu mwanamke hapa ndani. Ikiwezekana ondoka naye, sitaki kabisa. Tafuta eneo lingine la kuishi. Tazama, wamekaa hapa ndani ya mwezi mmoja tu lakini sina amani katika maisha yangu. Nyumba inanuka mate kila sehemu. Sasa jifanye mbishi, haki ipo siku nitamtupa huyu mtu” Mama alifoka huku akiwa hataki kabisa kusikia lolote lile ambalo ningemweleza

Huu ukawa ni wakati mwingine mgumu kwangu kwani sikuwa na sehemu ya kwenda kuishi nje ya pale nyumbani. Niliumiza kichwa mno, nikatamani nimwambia Rely juu ya kile ambacho nilikuwa napitia lakini nilishindwa. Nikabaki kuwa mpweke na mwenye mawazo sana.

Afya ya Mama Rely ikazidi kuwa mbaya, alikuwa anaweza kuamka saa tisa usiku akaanza kupiga kelele mithili ya kuku aliyeona mwewe. Bila kumfunga kamba ama kumwekea dawa za kumlaza asingeweza kulala.

Maumivu yakamwandama Mama Rely, huu ndio ukawa upande wa pili wa mwanamke huyu, ile roho mbaya ambayo nilikuwa nayo ya kumtaka ateseke iliniisha kabisa. Nilianza kumuonea huruma kwakweli.

“Natamani Mungu angemchukua Mama yangu, hii ni zaidi ya adhabu anapitia” Rely alizungumza kwa uchungu sana akiwa anamtazama Mama yake ambaye aliendelea kutema mate.

“Kesho kuna sehemu nitakupeleka ili tuone inakuaje?”

“Wapi huko mume wangu?”

“Kule ambako Rola alipona, huenda atapona pia” Nilimuahidi huku nikiwa tayari kumpeleka kwa mganga ili aweze kupona.

Nakumbuka tulilala vizuri na asubuhi ilipopambazuka tu, jambo la kwanza lilikuwa ni kwenda katika chumba ambacho Mama Rely alikuwa akilala. Maskini! Sikumkuta. Nikapatwa na mashaka huenda Mama yangu atakuwa amemtoa, nilienda kumuuliza.

“Mama Rola yupo wapi?”

“Khe! Nimemtupa bwana, haiwezekani awe ananipigia kelele usiku kucha nashindwa kulala. Nimemfungulia mlango katoka”

“Mama, unafanya nini lakini?”

“Bwana usinipangie namna ya kuishi sijui kama unanisikia? Yumba ya kwangu, maji ya kwangu na kila kitu cha kwangu humu ndani. Nimeshakuambia ondoka na huyu chizi wenu hukunisikia. Ulitaka nifanyaje sasa?” Mama aligomba

Dah! Sikutaka kugombana naye, kwa bahati mbaya Rely alisikia kile ambacho kilikuwa kimeongelewa na Mama. Nilipoingia chumbani nilimkuta akiwa analia mno, alihisi kunyanyasika.

“Kumbe Mama yako hana mapenzi na Mama yangu halafu hujaniambia? Leo hii amemterekeza. Wapi nitampata Mama yangu sasa?”

“Baby, mimi sikujua kama Mama angefanya hivi. Lakini hili la kumtafuta, naomba uniachie mimi....
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 05

DO YOU LOVE ME 05


ACCEPT THE REALITY
Ugumu wa maisha ulianza hapa maana hatukuwa na chaguzi tena, kutoka kumsaidia mtu hadi anarudi katika afya yake hadi anakuja kukufukuza kama mtumwa, mwizi ama mtu mwingine mtenda mabaya. This was pain to us lakini hatukuwa na jinsi, tulikubali kuuchukua ukweli ule na kuondoka nyumbani kwake.

Safari yetu ilienda kutua hadi Dar es salaam ambako nilifikia nyumbani kwa Mama....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

566
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

320
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest