Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 10 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 10 (S2)

UNTOLD STORY
Baada ya Rola kumuuliza Hussein lile swali, Hussein hakuwa tayari kujibu na badala yake alisimama na kuelekea chumbani. Rola alibaki akimuangalia asijue shida ni nini? Hakuona sababu ya kuendeleaa kubaki pale yeye mwenyewe hivyo na yeye akaamua kumfata huko huko.
"Hii tabia imeanza lini Hussein??"

"Kwani unataka kujua nini wewe??"

"Nataka kujua una mwanamke mwingine tofauti na mimi??"

"Ndiyo ninae!" Hussein alijibu lile swali na kumuangalia Rola ambaye alikua kama vile amepigwa na shoti ya umeme kwasababu alijikuta anakosa nguvu na kubaki ameganda kama sanamu la posta.

Hussein hakutaka kuongea tena baada ya kumuona Rola kama kashtuka, alichokifanya ni kupanda kitandan na kulala.

Rola alijikuta akitoa machozi na kubaki akijiambia kwamba huwenda zile zilikua ni hasira tu ndio maana amemjibu vile. Usingizi kwake siku hii haukuwa mzuri kama ilivyokua kawaida kwake, alikumbuka maisha yake na Hussein kipindi cha nyuma yalivyokua lakini hakuweza kuamini kama alichokisema Hussein alikua anamaanisha.

Ni siku nyingine tena katika jumba la Rola, Rola hakuwa sawa hata kidogo. Haya yote nilisimuliwa na mwenyewe. Ko anasems alikua ni mtu mwenye mawazo sana kutokana na kumfikiria Hussein kwa muda mrefu. Siku hii akiwa amekaa katika kiti chake, simu yake iliita lakini namba ilikua ni ngeni na alivyoiangalia ni kama alikua anaijua hivyo akapokea na kisha sauti ya kike ikasikika..

"Haloo.."

"We mwanamke umempa nini mume wangu??" Aliuliza swali mwanamke aliyekua anaongea na Rola swali ambalo lilimfanya Rola kukumbuka kuwa huyu mtu alikua ameshampigia tena na kudai kwamba Hussein ni mume wake.

"Dada samahan, sikujui hunijui naomba kaa na huyo mume wako muongee na akwambie kila kitu kwasababu hakuna ninachokijuaa kuhusu yeye."

"Unajifanya jeuri si ndio?? Sasa nakupa siku mbili tu uachane na Hussein vinginevyo nitakufanya kitu kibaya sana ambacho kitakua kinakupa kumbukumbu mbaya kila ukikikumbuka." Alizungumza mwanamke yule na kukata sim yake.

Rola alibaki njia panda, je amskilize huyo mwanamke au aendelee na mambo yake?? Lakini amepewa siku mbili tu za kuachana na Hussein na asipoachana nae kuna kitu kitamkuta na yeye hayupo tayari kwa chochote sio kumuacha Hussein wala kupatwa na kitu kibaya. Aliwaza sana lakini mawazo yake yaliishia kwenye sim yake ambayo ilikua inaita na mpigaji nilikuwa ni Mimi, Rahim. Hapa aliwaza mara mbili mbili apokee au asipokee, alijifikiria lakini mwisho aliona kupokea ndio jambo sahihi..

"Rola."

"Nakusikia"

"Habari yako?"

"Salama nikusaidie nini?"

"Aaah.. hapana nilitaka tu kukujulia hali, mnaendeleaje hapo nyumbani?"

"Hayakuhusu Rahim, fanya yako!!"

"Lakini ni.."

"Nimesema hayakuhusu Rahim fanya yako full stop!!" Alinijibu kwa hasira sana lakini sikuwa na namna ikabidi niwe mpole kwasababu kihere here changu cha kumtafuta mwanamke ninayempenda ndio kimeniponza.

Rola alikua ni mtu mwenye mawazo na hasira kwa wakati mmoja na kama ungethubutu kumsemesha kwa siku hii basi ungekutana na matusi yasiyoelezeka.

Rola alinisimulia kwamba; Majira ya jioni, Hussein alirudi nyumbani lakini alikuwa na haraka sana kana kwamba kuna sehemu alikua anataka kwenda. Alikua bize sana kitu ambacho kikampa Rola wasi wasi na kuamua kuuliza.

"Hussein nina mazungumzo na wewe, unataka kwenda wapi??"

"Kuna sehemu nawahi, hayo mazungumzo tutazungumza hata kesho kama ikiwezekana."

"Unaenda wapi?"

"Nimekwambia kuna sehemu nawahi."

"Wapi?"

"Sitaki maswali yako Rola, elewa kuna sehemu nawahi basi!"

"Hauendi popote mpaka nijue hatima yangu mimi na huyo mwanamke wako!"

"Unataka kujua nini sasa na tayari nilishakwambia kwamba nina mwanamke mwingine?"

"Ndio unapokwenda sasa hivi sio?"

"Nipishe nipite bwana nachelewa..!"

"Nimesema hakuna kwenda Hussein!"

Zilikuwa ni kelele ambazo hazikua na mantiki yoyote kwasababu Rola hakutaka Hussein atoke lakini Hussein alitaka kutoka. Kelele zile ziliendelea mpaka wakatoana nje ya chumba chao huku wakizidi kurumbana na Hussein alikua akimsukuma Rola amuachie huku Rola anamvuta Hussein abaki kwahiyo. Ikawa ni vuta nikuvute ambayo mwisho wa siku ilisababisha ajali kwani katika vutana vutana ile Hussein alimsukuma Rola na kwa bahati mbaya aliseleleka kutoka kule juu ghorofani hadi chini, Hussein aliona ndio njia sahihi ya yeye kutoka kwa wakati ule kwasababu kulikua na wafanyakazi hivyo aliamini watamsaidia Rola.

Rola alianguka vibaya na kujiumiza sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo kichwani. Zile kelele zilimshtua sana mfanyakazi hivyo alitoka kuangaliaa sebleni na kukuta Rola akiwa ametuliaa tuli huku akivuja damu puani. Alipiga kelele akiomba msaada, akatoka hadi nje akaomba mlinzi amsaidie wampeleke hospital kwani hali yake ilikuwa mbaya sana. ITAENDELEA
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

UNTOLD STORY
Baada ya Rola kumuuliza Hussein lile swali, Hussein hakuwa tayari kujibu na badala yake alisimama na kuelekea chumbani. Rola alibaki akimuangalia asijue shida ni nini? Hakuona sababu ya kuendeleaa kubaki pale yeye mwenyewe hivyo na yeye akaamua kumfata huko huko.
"Hii tabia imeanza lini Hussein??"

"Kwani unataka kujua nini wewe??"

"Nataka kujua una mwanamke mwingine tofauti na mimi??"

"Ndiyo ninae!" Hussein alijibu lile swali...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-10-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

567
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

322
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

44

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest