Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 03 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 03 (S2)

PAINT PAINTER
Niliingia ndani na kumkura Rely ambaye alikuwa akidondosha machozi sio kawaida. Alikuwa hana furaha wala amani ndani ya moyo wake na alionekana kama kuna jambo kubwa limemkuta. Nikashikwa na wasiwasi, nilienda kumuuliza nini ambacho kinamliza? Jibu lake liliniumiza moyo ijapokuwa nilitarajia hili.

"Baba amefariki Rahim" vuta picha kauli kama hii inamtoka mwanamke ambaye alikuwa akimpenda na kumchukulia Baba yake kama ndio kila kitu. Yale maumivu yote yahamishe kwa Rely. She was crying like a child akilalamika kwanini Mungu amemtwaa Baba yake mapema vile.

Kazi kubwa ilikuwa upande wangu ni kumweka sawa, nilianza kumbembeleza ili akae sawa. Alipoingia Rola, hakuwa na muda wa kusubiri jambo, alisema.

"Najua tayari kuna mchawi kafa, kumbe kuna muda hata nyie mnaona maumivu. Haya niambie nani kafa? Yule wa hospital ama yule mwingine chizi aliyekimbia mji?"

"Rola, maneno gani unaongea haya? Sawa una haki ya kumchukia aliyekuumiza lakini ni hadi siku aliyekufa kweli? Jaribu kubadilika basi" Nilimsihi na kumkataza

"Khe! Naona unataka kunifundisha namna ya kumpenda na kumchukia mtu si ndio? Hivi nani ana sauti humu ndani? Mbona mnajisahau kama mko hapa kutumikishwa na kufanya kile nachokitaka? Au mnategemea uchawi wenu? Si ndio? Halafu wewe Rely, huna linalokuliza la maana hapo. Baba yako alikuwa mchawi, ko furahia maana mchawi kafa hata kizazi saivi utakiona"

"Rola, unafika mbali. Kumbuka maneno unayoyaongea unamuumiza mwenzako. Ok, hakuna wa kukufundisha sababu hayo ni maisha yako na umeyachagua kuishi hivyo lakini kumchukia marehem ni kujichosha. Hukupaswa kufanya hivyo"

"Haha! Nitamchukia leo, kesho na kesho kutwa hadi Kiama. Aliwauwa wazazi wangu unadhani napenda? Nimebaki Yatima hapa, wakanipiga na uchizi, nilipenda unadhani? Hata hivyo, Hussein ameniambia vitu vingi sana kuhusu ninyi watu na wewe ukiwemo, sasa navifuatilia. Nikijua ukweli tu, mtakuja kusaga meno na kila mmoja atalia zaidi ya leo" Rola alituchimba mkwara kisha huyo aliondoka zake.

Nilibaki na Rely pale sebureni hadi muda wa kuondoka kuelekea hospital ulipofika. Tulienda kuubeba mwili wa marehemu huku Rely akiwa ni mwenye maumivu makali sana moyoni mwake. Macho yake hayakuacha kudondosha machozi katika kila sekunde ambayo ilikuwa ikiyoyoma ama kwa hakikia 'msiba ukiwa wako lazima chozi likutoke' Rely alilia haswa.

Asubuhi baada ya msiba kufika pale nyumbani tulianza kufanya taratibu za mazishi lakini Rola hakuonesha ushirikiano. Muda wote akawa na simu ambayo alikwisha inunua.

"Kuna muda hadi najutia sekunde zangu za ushauri juu ya huyu binti" alinieleza Thelesia tukiwa tumesimama tukitazama wafiwa wengine ambao walikuwa wanaingizana pale nyumbani.

"Binafsi sikujua kama angekuja kuwa hivi hadi nashindwa la kusema"

"Karembo sawa ila sasa tabia zake hapana, watu wanabadilika lakini huyu amebadilika zaidi"

"Tuachane naye. Vipi umesikia lolote kuhusu kupatikana kwa Mama Rely?"

"Mh! Hapana ingawa Lukman alisema kwamba alionekana maeneo ya Kizimkazi lakini sina hakika maana ni taarifa ya juu juu tu" Thelesia alieleza huku akisema kile ambacho ameambiwa na Lukman.

Lukman alikuwa ni miongoni mwa wafanyakazi wa mle ndani ambao walijishuhulisha na umwagiliaji maua. Nikiwa naendelea na maongezi na Thelesia, alikuja Rola na kusimama kando yangu. Akamwamuru Thelesia kuondoka, alikuwa na maongezi binafsi ambayo alitaka tuzungumze. Nami nilimpa uwanja huo.

"Ngumu sana kuishi na mtu ambaye amenisaidia katika maoshi yangu sababu inanilazimu nisifanye vitu vibaya ili asichukie pale nitakapomkera"

"Sijaelewa"

"Namaanisha hivi, nimewaandalia mazingira ya kuishi huko Dar es salaam yaani wewe na Rely mtaishi huko. Hapa Zanzibar natakiwa kuishi na Hussein wangu" Rola alinitaarifu akiwa mkavu usoni.

"Sio uamuzi mbaya lakini kwanini tusiishi pamoja? Yaani mimi, wewe na Rely hapa kama familia?"

"Hussein hajataka ninyi muwe hapa na yule ni mume wangu, kipenzi cha moyo wangu. Mwanaume ambaye akisema 'we toka hapo' natoka haraka sana. Namskiliza na ndio ametaka ninyi mhame katika hii nyumba"

"Ok, mwambie Hussein kwamba, hakuna wa kutoka katika hii nyumba" Nilimwambia na kuweka msimamo wangu kama mwanaume kisha niliondoka na kuelekea eneo lingine ambako kulikuwa na watu wengine waliokuja katika msiba.

Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

PAINT PAINTER
Niliingia ndani na kumkura Rely ambaye alikuwa akidondosha machozi sio kawaida. Alikuwa hana furaha wala amani ndani ya moyo wake na alionekana kama kuna jambo kubwa limemkuta. Nikashikwa na wasiwasi, nilienda kumuuliza nini ambacho kinamliza? Jibu lake liliniumiza moyo ijapokuwa nilitarajia hili.

"Baba amefariki Rahim" vuta picha kauli kama hii inamtoka mwanamke ambaye alikuwa akimpenda na kumchukulia Baba yake...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-03-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

567
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

44

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest