Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 06 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 06 (S2)

SAD MOMENT
Niliingia mtaani kumtafuta Mama Rely kwa zaidi ya masaa 12 lakini sikuweza kumpata. Nilirudi nyumbani majira ya saa nne usiku nikiwa hoi bin taabani. Nikapoteza nguvu na akili ikafubaha sababu yule aliyesababisha hadi mwanamke huyu kupotea ni sehemu ya maisha yangu (Mama) kwahiyo mimi ndio nilipaswa kuwajibika mwanzo mwisho.

"Enh! Umemuona mume wangu?" Aliniuliza Rely kwa sauti ya upole iliyojaa kitetemeshi.

"Sijafanikiwa lakini kesho nitaenda tena"

"Hakuna ambaye alikuambia kuwa amepatikana?"

"Hakuna ila usijali" Nilimpatia moyo.

Asubuhi ilipopambazuka, sikuwa na muda wa kupiteza kabisa. Jambo la kwanza lilikuwa ni kwenda katika masoko kumtafuta. Ebwana nilikanyaga kila eneo ila sikumuona. Wasiwasi ukazidi kunipanda huenda atakuwa amekufa ama la! Kufika saa 12 ya jioni nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka kama kawaida.

Rely alikuja na kudondisha machozi huku akidai kwamba huenda mimi na Mama yangu tulikuwa tumecheza mchezo wa kumpoteza Mama yake kwa makusudi.

"Kama mmeona hakuwa na haki ya kuishi hapa kwenu, kwanini msingenipatia Mama yangu nikaenda kuhangaika naye mwenyewe huko nje? Upo wapi upendo wa mwanamke huyu aliuonesha kwangu na kwenu pia wakati nakuhitaji? Inamaana Mama yako ameshindwa kuyakumbuka yale yote mema ya Mama?"

"Mke wangu, katika hili nakuomba uniachie mimi. Nakuahidi kwamba nitahakikisha namtafuta. Tafadhari usiongee maneno yenye kuniumiza ndani ya moyo wangu. Binafsi sipendi hili ambalo linaendelea, sitapenda kuona unakosa amani kila siku ndani ya nyumba hii. Nipe muda na amini kwamba nitamrudisha mama katika mikono yako" Nilimuahidi.

"Mama yako anaonesha chuki waziwazi kwa Mama yangu au mpaka afe ndio aje msibani kwa majonzi? Kwanini hampendi ikiwa hamkosea lolote lile? Ameshindwa kuniambia Rely kuna hili na lile Mama yako analifanya humu ndani na usafi wake utashughulika wewe hadi aende akamtupe kweli?"

"Baby, nimesema hili lipo chini yangu. Mimi nitahangaika na kuhakikisha kwamba tunampata Rely popote pale katika hii nchi. Kwanini unashindwa kunielewa?"

"Rahim, Mama yangu anateseka. Mama yangu ananyanyasika huko nje. Siku ya pili leo hayupo nyumbani, tunajua anakunywa nini? Anakula nini tunajua? Mama ni muhimu kwangu hata kama nyie wengine mnamuona hana thamani"

"Please, naomba unipe nafasi kesho nitaingia kumtafuta Baby" Nilimsisitiza na kumsihi huku nikimuomba.

Moja ya sifa nzuri ambayo Rely alikuwa nayo ni kwamba, alikuwa ni mpole na mwelewa sana hasa ninapomweleza jambo. Katika hili licha ya kudondosha machozi lakini aliniamini na kunisisitiza kwamba niongeze bidii na kama ikishindikana kabisa basi nikatoe taarifa polisi kwa uchunguzi kamili.

Lilikuwa ni wazo nzuri lakini kwa upande wangu niliona ama kuhisi kwamba lingeenda kumuangamiza Mama sababu polisi wangetaka kujua mazingira ya upoteaji wa Mama Rely na hapo ndipo ningemkamatisha Mama yangu. Basi, nikajipa ukimya na kuendelea kumtafuta taratibu.

Siku iliyofuata tulifunga safari na Rely hadi Kongowe ambako kuna mtu nilienda kuonana na mshikaji wangu (Jael). Tukawa tunaongea mipango ya hapa na pale sababu nilikuwa natafuta chumba cha kuishi huko. Tukiwa katika mazungumzo, nilimuona mtu kama Mama Rely akiwa anakatiza barabarani.

Nikamtazama kwa umakini wa hali ya juu mno, macho yangu yaliniambia kuwa yule ni yeye. Nilipomuuliza Rely, alithibitisha kwamba yule hakuwa mwingine bali ni Mama yake. Haraka sana nilienda kumfuata na kumshika mkono. Tukavuka barabara lakini wakati tunavuka, mwenzangu alinitingisha mkono akitaka atoke. Akatoka kweli.

Akili yake ilimtuma kurudi kule ambako alikuwa ametoka. Masikini! Mama Rely kama angejua wala asingethubutu kung'ang'ana kurudi kule tulikotoka. Kwani ilichukua sekunde 30 za yeye kusimama wima na sekunde zilizobakia zilimtupa katika mtalo.

Aligongwa na gari aina ya Mark II ambayo ilikuwa katika kasi ya ajabu kisha huyo dereva aliondoka zake. Watu wote tukaenda kumtazama Mama Rely kama yu mzima ama la! Kwa wakati ule alikuwa na afya ingawaje sio nzuri lakini haikutisha sana.

Tukajiambia tumpeleke hospital ambako angepatiwa matibabu, kumbe siku hii ndio tulikuwa tunampeleka katika shimo la umauti. Mama Rely alipoteza maisha dakika 40 mara baada ya kufika hospital.

Kwa mujibu wa Daktari alisema kwamba 'Damu ilichanganika sana katika eneo la kichwa jambo ambalo lilifanya ashindwe kuhema vizuri. Kitendo hichi kilipeleka Mama Rely kupoteza maisha'

Wakati mgumu na usiosimulika ukamgeukia Rely pamoja na Mimi pia. Wakati wa vilio na simanzi ulikuwa ni huu hapa. Wanasema Mama ni Mama hata kama awe chizi bado atabakia kuwa Mama. Siku hii Rely aliitambua thamani ya Mama yake kwani alilia kuliko kawaida.

"Yote haya kayataka Mama yako, kayataka. Si angeniachia tu mama yangu pale nyumbani kwenu kwani ningeharibika nini? Tazama sina Mama wala baba tena katika huu ulimwengu. Lipi Mama yako tumemkosea katika maisha yake? Kwanini ananipa adhabu nzito hivi? Kuna raha gani ya mimi kuendelea kuishi ikiwa sina ndugu hapa duniani? Si nitanyanyasika, bora na mimi nife sasa ili mama yako na ndugu wengine wafurahi" Rely alizungumza akiwa analia. Nikajua angeishia hapa lakini niliona akisogelea katika ukuta na kujibamiza kwa zaidi ya mara 10, mwisho alidondoka chini na damu zikatapakaa sakafuni. ITAENDELEA
.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

SAD MOMENT
Niliingia mtaani kumtafuta Mama Rely kwa zaidi ya masaa 12 lakini sikuweza kumpata. Nilirudi nyumbani majira ya saa nne usiku nikiwa hoi bin taabani. Nikapoteza nguvu na akili ikafubaha sababu yule aliyesababisha hadi mwanamke huyu kupotea ni sehemu ya maisha yangu (Mama) kwahiyo mimi ndio nilipaswa kuwajibika mwanzo mwisho.

"Enh! Umemuona mume wangu?" Aliniuliza Rely kwa sauti ya upole...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-06-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

474
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

100
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest