Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 06 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 06 (S2)

SAD MOMENT
Niliingia mtaani kumtafuta Mama Rely kwa zaidi ya masaa 12 lakini sikuweza kumpata. Nilirudi nyumbani majira ya saa nne usiku nikiwa hoi bin taabani. Nikapoteza nguvu na akili ikafubaha sababu yule aliyesababisha hadi mwanamke huyu kupotea ni sehemu ya maisha yangu (Mama) kwahiyo mimi ndio nilipaswa kuwajibika mwanzo mwisho.

"Enh! Umemuona mume wangu?" Aliniuliza Rely kwa sauti ya upole iliyojaa kitetemeshi.

"Sijafanikiwa lakini kesho nitaenda tena"

"Hakuna ambaye alikuambia kuwa amepatikana?"

"Hakuna ila usijali" Nilimpatia moyo.

Asubuhi ilipopambazuka, sikuwa na muda wa kupiteza kabisa. Jambo la kwanza lilikuwa ni kwenda katika masoko kumtafuta. Ebwana nilikanyaga kila eneo ila sikumuona. Wasiwasi ukazidi kunipanda huenda atakuwa amekufa ama la! Kufika saa 12 ya jioni nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka kama kawaida.

Rely alikuja na kudondisha machozi huku akidai kwamba huenda mimi na Mama yangu tulikuwa tumecheza mchezo wa kumpoteza Mama yake kwa makusudi.

"Kama mmeona hakuwa na haki ya kuishi hapa kwenu, kwanini msingenipatia Mama yangu nikaenda kuhangaika naye mwenyewe huko nje? Upo wapi upendo wa mwanamke huyu aliuonesha kwangu na kwenu pia wakati nakuhitaji? Inamaana Mama yako ameshindwa kuyakumbuka yale yote mema ya Mama?"

"Mke wangu, katika hili nakuomba uniachie mimi. Nakuahidi kwamba nitahakikisha namtafuta. Tafadhari usiongee maneno yenye kuniumiza ndani ya moyo wangu. Binafsi sipendi hili ambalo linaendelea, sitapenda kuona unakosa amani kila siku ndani ya nyumba hii. Nipe muda na amini kwamba nitamrudisha mama katika mikono yako" Nilimuahidi.

"Mama yako anaonesha chuki waziwazi kwa Mama yangu au mpaka afe ndio aje msibani kwa majonzi? Kwanini hampendi ikiwa hamkosea lolote lile? Ameshindwa kuniambia Rely kuna hili na lile Mama yako analifanya humu ndani na usafi wake utashughulika wewe hadi aende akamtupe kweli?"

"Baby, nimesema hili lipo chini yangu. Mimi nitahangaika na kuhakikisha kwamba tunampata Rely popote pale katika hii nchi. Kwanini unashindwa kunielewa?"

"Rahim, Mama yangu anateseka. Mama yangu ananyanyasika huko nje. Siku ya pili leo hayupo nyumbani, tunajua anakunywa nini? Anakula nini tunajua? Mama ni muhimu kwangu hata kama nyie wengine mnamuona hana thamani"

"Please, naomba unipe nafasi kesho nitaingia kumtafuta Baby" Nilimsisitiza na kumsihi huku nikimuomba.

Moja ya sifa nzuri ambayo Rely alikuwa nayo ni kwamba, alikuwa ni mpole na mwelewa sana hasa ninapomweleza jambo. Katika hili licha ya kudondosha machozi lakini aliniamini na kunisisitiza kwamba niongeze bidii na kama ikishindikana kabisa basi nikatoe taarifa polisi kwa uchunguzi kamili.

Lilikuwa ni wazo nzuri lakini kwa upande wangu niliona ama kuhisi kwamba lingeenda kumuangamiza Mama sababu polisi wangetaka kujua mazingira ya upoteaji wa Mama Rely na hapo ndipo ningemkamatisha Mama yangu. Basi, nikajipa ukimya na kuendelea kumtafuta taratibu.

Siku iliyofuata tulifunga safari na Rely hadi Kongowe ambako kuna mtu nilienda kuonana na mshikaji wangu (Jael). Tukawa tunaongea mipango ya hapa na pale sababu nilikuwa natafuta chumba cha kuishi huko. Tukiwa katika mazungumzo, nilimuona mtu kama Mama Rely akiwa anakatiza barabarani.

Nikamtazama kwa umakini wa hali ya juu mno, macho yangu yaliniambia kuwa yule ni yeye. Nilipomuuliza Rely, alithibitisha kwamba yule hakuwa mwingine bali ni Mama yake. Haraka sana nilienda kumfuata na kumshika mkono. Tukavuka barabara lakini wakati tunavuka, mwenzangu alinitingisha mkono akitaka atoke. Akatoka kweli.

Akili yake ilimtuma kurudi kule ambako alikuwa ametoka. Masikini! Mama Rely kama angejua wala asingethubutu kung'ang'ana kurudi kule tulikotoka. Kwani ilichukua sekunde 30 za yeye kusimama wima na sekunde zilizobakia zilimtupa katika mtalo.

Aligongwa na gari aina ya Mark II ambayo ilikuwa katika kasi ya ajabu kisha huyo dereva aliondoka zake. Watu wote tukaenda kumtazama Mama Rely kama yu mzima ama la! Kwa wakati ule alikuwa na afya ingawaje sio nzuri lakini haikutisha sana.

Tukajiambia tumpeleke hospital ambako angepatiwa matibabu, kumbe siku hii ndio tulikuwa tunampeleka katika shimo la umauti. Mama Rely alipoteza maisha dakika 40 mara baada ya kufika hospital.

Kwa mujibu wa Daktari alisema kwamba 'Damu ilichanganika sana katika eneo la kichwa jambo ambalo lilifanya ashindwe kuhema vizuri. Kitendo hichi kilipeleka Mama Rely kupoteza maisha'

Wakati mgumu na usiosimulika ukamgeukia Rely pamoja na Mimi pia. Wakati wa vilio na simanzi ulikuwa ni huu hapa. Wanasema Mama ni Mama hata kama awe chizi bado atabakia kuwa Mama. Siku hii Rely aliitambua thamani ya Mama yake kwani alilia kuliko kawaida.

"Yote haya kayataka Mama yako, kayataka. Si angeniachia tu mama yangu pale nyumbani kwenu kwani ningeharibika nini? Tazama sina Mama wala baba tena katika huu ulimwengu. Lipi Mama yako tumemkosea katika maisha yake? Kwanini ananipa adhabu nzito hivi? Kuna raha gani ya mimi kuendelea kuishi ikiwa sina ndugu hapa duniani? Si nitanyanyasika, bora na mimi nife sasa ili mama yako na ndugu wengine wafurahi" Rely alizungumza akiwa analia. Nikajua angeishia hapa lakini niliona akisogelea katika ukuta na kujibamiza kwa zaidi ya mara 10, mwisho alidondoka chini na damu zikatapakaa sakafuni. ITAENDELEA
.
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

SAD MOMENT
Niliingia mtaani kumtafuta Mama Rely kwa zaidi ya masaa 12 lakini sikuweza kumpata. Nilirudi nyumbani majira ya saa nne usiku nikiwa hoi bin taabani. Nikapoteza nguvu na akili ikafubaha sababu yule aliyesababisha hadi mwanamke huyu kupotea ni sehemu ya maisha yangu (Mama) kwahiyo mimi ndio nilipaswa kuwajibika mwanzo mwisho.

"Enh! Umemuona mume wangu?" Aliniuliza Rely kwa sauti ya upole...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-06-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

566
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

322
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

99
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

44

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest