Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 15 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 15 (S2)

WANTED AGAIN
Hussein alitoka mpaka kwa mwanasheria lakini hakumkuta. Mda huo pia Rola alitoka pale sebleni akaenda kwenye vitu vya Hussein na kuanza kutafta hiyo bahasha aliitafta sana lakin kwa bahati nzuri aliipata akaichukua na kwenda kuiweka chumbani kwa Thelesia.

"Naomba ukae na hii, najua atakua ameenda huko kwa Mr Michael lakin hatompata." Alisema Rola akimaanisha kwamba anajua Mr Michael hayupo kule na bila shaka yeye ndo anajua alipo.

"Usijali, hapo ulipoiweka hakuna mtu ataweza kujua isipokua Mimi na wewe tu, ila nakushauri ukamshtaki maana anaweza kukuua ata wewe."

"Hawezi, najua cha kumfanya hawezi kunihangaisha kiasi hiki. Mimi nilijua he is a good guy lakin alikua anapretend. Nashukuru sana kwasababu ulimuona wakati anasikiliza maongezi yangu na mwanasheria maana bila hivyo ingekua shida. Huyu ni mtu mbaya sana ila ntamkomesha."

Wakiwa pale wanapanga mikakati yao, aliingia Hussein akiwa ni mwenye hasira sana lakini hakuna aliejishughulisha nae kila mtu akawa bize na yake. Aliingia moja kwa moja adi chumban akaanza kuongea mwenyewe huku akizunguka zunguka pale ndani.

"Kuna mchezo unaendelea hapa haiwezekan. Inamaana mwanasheria kaenda wapi? Kwahiyo wanajuana na Rola kiasi kwamba wameamua kushirikiana?? Hapana na kama wanashirikiana mbona Rola hajasema kitu kuhusu hiyo bahasha niliyoichukua au hajui? Kama hajui anatakiwa kuendeleaa kutokujua hivyo hivyo mpaka siku atakayoshangaa tu anatolewa kwenye kampuni zake na kupolwa kila kitu na hapo ntakua nimeshinda na ntaanza maisha mapya na mke pamoja na mtoto wangu."
Hussein alikua akiwaza hayo wakati akiwa amesimama kwenye dirisha akiangalia nje.
Baada ya kuwaza sana aliamua kutoa vitu vyake akiimani kwamba mpango wake umeenda kama alivyotaka kumbe hakujua kuwa yeye ndo ameliwa changalamacho. Alitoa nguo zake pamoja na baadhi ya vitu mpaka sebleni.

"Na ukienda usirudi, mwanaume hujui kupenda wewe unajua kutenda tuu." Aliongea Rola kwa dharau akimpandisha Hussein juu mpaka chini.

"Naenda lakini utakuja kujutia uamuzi yako Rola. Na utakuja kwangu kwa magoti!" Alijitapa.

"Nendaa bwanaa, nije kwako kwa magoti kwakua miguu yangu haitembei au vipi? Ebu nenda toa giza hapa!"
Ni Rola huyu huyu ambae alikua hasikii chochote wala haoni chochote linapokuja swala la Hussein leo ndo anaongea maneno kama haya. Aisee mwanamke akishakuchoka ni balaa tupu.

"Tena kukuhakikishia kwamba sitokuja kwako kwa magoti wala kwa kilio ni kwamba ata nyumba ile niyoandika jina lako pamoja na gari nimekuachia, nenda kadunde navyo mjini si ndo kazi yako hiyo, haya nenda na uwasalimie."
Ama kweli siku hii Rola alichafukwa vilivyo.

Hussein aliondoka zake kwa amani kabisa bila shaka kwasababu alijua utajiri wa Rola anao yeye.

"Thelesia tunatakiwa kuhama hapa upesi sana. Turudi dar au unashaurije wewe?" Aliuliza Rola.

"Ni wazo zuri kwasababu Hussein lazima atakufatilia. Kwahiyo ni bora tuhame huku alafu ukafungue kesi polisi kuhusu yeye."

"Nawaza hivyo pia, sasa sikia naenda kuweka mambo sawa natafta na mteja apa, hii nyumba tuiuze tukatafte nyumba nyingine dar lakini nahisi tungeongea na Rahim kwasababu yeye kule ni mwenyeji atutaftie nyumba."

"Yeaah itabidi tumtafte."

"Sawa nakuja." Aliongea Rola kisha akatoka kuelekea nje na mwisho ulisikika tu muungurumo wa gari kumaanisha alikua anatoka.

Baada ya siku mbili kupita, siku hii Hussein alikua anatafuta ile bahasha aliyokua ameiweka kwenye begi lake la nguo kwa chini kabsa lakin hakuiona. Alitafta kila sehemu lakin hola. Alitafta na kutafta lakin wapi. Alichoka!

"Rolaaaa!!!" Alipaza sauti yake kwa hasira sana adi mke wake akamfata.

"Una nini Hussein? Mbona kelele?"

"Huyu mwanamke ntamuuaa!!" Alifoka.

"Kuna nini kwani?"

"Ile kitu niliyoichukua haipo, haipo ile bahasha, shit!!!" Alisema kwa hasira huku akivuruga vuruga vitu vyake akijaribu kuitafta tena.

"Tulia na uiangalie vizuri huenda ukaipata!"

"Haipooo!!!" Alifoka tena kwa hasira na safari hii alitoka na funguo yake ya gari na kuelekea kwa Rola.

Wakati yeye anapanga kwenda kwa Rola kumbe mda huo Rola alikua yupo hotelin yeye pamoja na Thelesia wakiendelea kupanga mikakati dhidi ya Hussein.

"Nimepata namba ya Rahim." Alisema Thelesia huku akimpatia Rola simu.

"Nipe niongee nae." Rola alichukua sim ya Thelesia na kumpigia Rahim.

"Haloo, Rahim mzima wewe?"

"Niko poa, naongea na Rola sio?" Niliuliza kwasababu niliifaham sauti ya Rola atakama angetumia sim ya mtu mwingine.

"Yeaa ni mimi, tuna shida na nyumba huko dar maeneo ya mbezi sijui unaweza ukatutaftia?"

"Mnataka kupangisha au kuna mtu unamtaftia?"

"Aaah ni sisi ndio tunatafta, na ingependeza kama tungepata leo au kesho kwasababu tuna haraka."

"Kuna usalama kweli?" Niliuliza kwa wasi wasi.

"Hapana, hakuna shida naomba utusaidie kwa hilo."

"Sawa nitakupa feedback badae."

Simu ilikatwa huku nikiendelea kuwaza nin kimetokea maana ata ongea ya Rola imebadilika anaongea kistaarabu jambo ambalo sio kawaida yake haswa akiwa anaongea na mimi, au kwakua ana shida? Sikutaka kuwaza sana kuhusu yeye na badala yake niliingia kwenye sim yangu na kuitafta namba ambayo niliisave dalali kisha nikampigia.

"Haloo Jose"

"Bwana Rahim kwema?"

"Kwema ndugu yangu sema nilikua na shida na nyumba maeneo ya mbezi huko sijui nitapata?"

"Nyumba zipo sijajua wewe unataka ya aina gani?"

Kwa jinsi nilivokua najua maisha ya Rola ni lazima angekua anahitaji nyumba yenye hadhi yake kwahiyo sikua na shida sana katika hilo. Nilimwambia yule dalali nyumba inayohitajika na kisha akanipa bei, suala likabaki kwangu kuongea na Rola kumpa mrejesho.

___________
Hussein alifika mpaka pale kwa Rola lakini cha ajabu alikuta kufuli getini na bango juu "NYUMBA INAUZWA" Alishtuka kwasababu hakutegemea kama Rola angeweza kukimbia na kuuza nyumba.

"Amehama mji au kauza nyumba tuu kaendelea kubaki hapa Zanzibar?" Alijiuliza Hussein kisha akatoa sim na kumpigia Rola lakin sim haikupokelewa na badae akawa anaambiwa inatumika kumaanisha kwamba alishalishwa block mpaka pale. Hussein alichoka sana hakujua anampatia wapi Rola. Akiwa pale anawaza kuondoka sim yake iliita lakin ilikua ni namba ngeni akaona apokee ajue nani kampigia.

"Haloo."

"Haloo, unaongea na Afisa polisi apa kituo cha kati, unahitajika kituoni sasa hivi." Sauti upande wa pili ilisikika iliyomfanya Hussein kubaki anashangaa, polisi tena? Imekuaje?

"Kuna nini kwani afande?" Aliuliza kwa wasi wasi.

"Ukija utajua, ila ni muhim sana kufika, asante." Simu ilikatwa na kumuacha Hussein akiwa kachanganyikiwa hakuelewa ni nin kinaendelea. Aliwaza lakini mwisho aliona wacha aende akajue nini kimetokea.

"Haloo. Eeh Rola nyumba nimepata sasa sijui mnakuja lini?" Nilimpigia Rola na kumuuliza baada ya kuwa nimepewa zile taarifa na dalali ambae alifahamika kama Joseph.

"Woow kweli? Sasa sikia, sisi tutafika apo asubuhi na boti nakuomba uje utupokee ili utupeleke huko."

"Aaah sawa haina shida."

"Asante sana Rahim." Alisema Rola kwa utaratibu kabisa na sauti yake laini.

"Usijali nipo kukusaidia endapo utapata shida."

"Sawa badae."

Nilikata simu lakini nilivyoangalia upande wa pili nilikuta Rely ananiangalia tena kwa jicho la hasira sana sikujua kuna shida gani mpaka aniangalie vile ikabidi nimuulize. ITAENDELEA

Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

WANTED AGAIN
Hussein alitoka mpaka kwa mwanasheria lakini hakumkuta. Mda huo pia Rola alitoka pale sebleni akaenda kwenye vitu vya Hussein na kuanza kutafta hiyo bahasha aliitafta sana lakin kwa bahati nzuri aliipata akaichukua na kwenda kuiweka chumbani kwa Thelesia.

"Naomba ukae na hii, najua atakua ameenda huko kwa Mr Michael lakin hatompata." Alisema Rola akimaanisha kwamba anajua Mr Michael hayupo kule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-15-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

568
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest