Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 15 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 15 (S2)

WANTED AGAIN
Hussein alitoka mpaka kwa mwanasheria lakini hakumkuta. Mda huo pia Rola alitoka pale sebleni akaenda kwenye vitu vya Hussein na kuanza kutafta hiyo bahasha aliitafta sana lakin kwa bahati nzuri aliipata akaichukua na kwenda kuiweka chumbani kwa Thelesia.

"Naomba ukae na hii, najua atakua ameenda huko kwa Mr Michael lakin hatompata." Alisema Rola akimaanisha kwamba anajua Mr Michael hayupo kule na bila shaka yeye ndo anajua alipo.

"Usijali, hapo ulipoiweka hakuna mtu ataweza kujua isipokua Mimi na wewe tu, ila nakushauri ukamshtaki maana anaweza kukuua ata wewe."

"Hawezi, najua cha kumfanya hawezi kunihangaisha kiasi hiki. Mimi nilijua he is a good guy lakin alikua anapretend. Nashukuru sana kwasababu ulimuona wakati anasikiliza maongezi yangu na mwanasheria maana bila hivyo ingekua shida. Huyu ni mtu mbaya sana ila ntamkomesha."

Wakiwa pale wanapanga mikakati yao, aliingia Hussein akiwa ni mwenye hasira sana lakini hakuna aliejishughulisha nae kila mtu akawa bize na yake. Aliingia moja kwa moja adi chumban akaanza kuongea mwenyewe huku akizunguka zunguka pale ndani.

"Kuna mchezo unaendelea hapa haiwezekan. Inamaana mwanasheria kaenda wapi? Kwahiyo wanajuana na Rola kiasi kwamba wameamua kushirikiana?? Hapana na kama wanashirikiana mbona Rola hajasema kitu kuhusu hiyo bahasha niliyoichukua au hajui? Kama hajui anatakiwa kuendeleaa kutokujua hivyo hivyo mpaka siku atakayoshangaa tu anatolewa kwenye kampuni zake na kupolwa kila kitu na hapo ntakua nimeshinda na ntaanza maisha mapya na mke pamoja na mtoto wangu."
Hussein alikua akiwaza hayo wakati akiwa amesimama kwenye dirisha akiangalia nje.
Baada ya kuwaza sana aliamua kutoa vitu vyake akiimani kwamba mpango wake umeenda kama alivyotaka kumbe hakujua kuwa yeye ndo ameliwa changalamacho. Alitoa nguo zake pamoja na baadhi ya vitu mpaka sebleni.

"Na ukienda usirudi, mwanaume hujui kupenda wewe unajua kutenda tuu." Aliongea Rola kwa dharau akimpandisha Hussein juu mpaka chini.

"Naenda lakini utakuja kujutia uamuzi yako Rola. Na utakuja kwangu kwa magoti!" Alijitapa.

"Nendaa bwanaa, nije kwako kwa magoti kwakua miguu yangu haitembei au vipi? Ebu nenda toa giza hapa!"
Ni Rola huyu huyu ambae alikua hasikii chochote wala haoni chochote linapokuja swala la Hussein leo ndo anaongea maneno kama haya. Aisee mwanamke akishakuchoka ni balaa tupu.

"Tena kukuhakikishia kwamba sitokuja kwako kwa magoti wala kwa kilio ni kwamba ata nyumba ile niyoandika jina lako pamoja na gari nimekuachia, nenda kadunde navyo mjini si ndo kazi yako hiyo, haya nenda na uwasalimie."
Ama kweli siku hii Rola alichafukwa vilivyo.

Hussein aliondoka zake kwa amani kabisa bila shaka kwasababu alijua utajiri wa Rola anao yeye.

"Thelesia tunatakiwa kuhama hapa upesi sana. Turudi dar au unashaurije wewe?" Aliuliza Rola.

"Ni wazo zuri kwasababu Hussein lazima atakufatilia. Kwahiyo ni bora tuhame huku alafu ukafungue kesi polisi kuhusu yeye."

"Nawaza hivyo pia, sasa sikia naenda kuweka mambo sawa natafta na mteja apa, hii nyumba tuiuze tukatafte nyumba nyingine dar lakini nahisi tungeongea na Rahim kwasababu yeye kule ni mwenyeji atutaftie nyumba."

"Yeaah itabidi tumtafte."

"Sawa nakuja." Aliongea Rola kisha akatoka kuelekea nje na mwisho ulisikika tu muungurumo wa gari kumaanisha alikua anatoka.

Baada ya siku mbili kupita, siku hii Hussein alikua anatafuta ile bahasha aliyokua ameiweka kwenye begi lake la nguo kwa chini kabsa lakin hakuiona. Alitafta kila sehemu lakin hola. Alitafta na kutafta lakin wapi. Alichoka!

"Rolaaaa!!!" Alipaza sauti yake kwa hasira sana adi mke wake akamfata.

"Una nini Hussein? Mbona kelele?"

"Huyu mwanamke ntamuuaa!!" Alifoka.

"Kuna nini kwani?"

"Ile kitu niliyoichukua haipo, haipo ile bahasha, shit!!!" Alisema kwa hasira huku akivuruga vuruga vitu vyake akijaribu kuitafta tena.

"Tulia na uiangalie vizuri huenda ukaipata!"

"Haipooo!!!" Alifoka tena kwa hasira na safari hii alitoka na funguo yake ya gari na kuelekea kwa Rola.

Wakati yeye anapanga kwenda kwa Rola kumbe mda huo Rola alikua yupo hotelin yeye pamoja na Thelesia wakiendelea kupanga mikakati dhidi ya Hussein.

"Nimepata namba ya Rahim." Alisema Thelesia huku akimpatia Rola simu.

"Nipe niongee nae." Rola alichukua sim ya Thelesia na kumpigia Rahim.

"Haloo, Rahim mzima wewe?"

"Niko poa, naongea na Rola sio?" Niliuliza kwasababu niliifaham sauti ya Rola atakama angetumia sim ya mtu mwingine.

"Yeaa ni mimi, tuna shida na nyumba huko dar maeneo ya mbezi sijui unaweza ukatutaftia?"

"Mnataka kupangisha au kuna mtu unamtaftia?"

"Aaah ni sisi ndio tunatafta, na ingependeza kama tungepata leo au kesho kwasababu tuna haraka."

"Kuna usalama kweli?" Niliuliza kwa wasi wasi.

"Hapana, hakuna shida naomba utusaidie kwa hilo."

"Sawa nitakupa feedback badae."

Simu ilikatwa huku nikiendelea kuwaza nin kimetokea maana ata ongea ya Rola imebadilika anaongea kistaarabu jambo ambalo sio kawaida yake haswa akiwa anaongea na mimi, au kwakua ana shida? Sikutaka kuwaza sana kuhusu yeye na badala yake niliingia kwenye sim yangu na kuitafta namba ambayo niliisave dalali kisha nikampigia.

"Haloo Jose"

"Bwana Rahim kwema?"

"Kwema ndugu yangu sema nilikua na shida na nyumba maeneo ya mbezi huko sijui nitapata?"

"Nyumba zipo sijajua wewe unataka ya aina gani?"

Kwa jinsi nilivokua najua maisha ya Rola ni lazima angekua anahitaji nyumba yenye hadhi yake kwahiyo sikua na shida sana katika hilo. Nilimwambia yule dalali nyumba inayohitajika na kisha akanipa bei, suala likabaki kwangu kuongea na Rola kumpa mrejesho.

___________
Hussein alifika mpaka pale kwa Rola lakini cha ajabu alikuta kufuli getini na bango juu "NYUMBA INAUZWA" Alishtuka kwasababu hakutegemea kama Rola angeweza kukimbia na kuuza nyumba.

"Amehama mji au kauza nyumba tuu kaendelea kubaki hapa Zanzibar?" Alijiuliza Hussein kisha akatoa sim na kumpigia Rola lakin sim haikupokelewa na badae akawa anaambiwa inatumika kumaanisha kwamba alishalishwa block mpaka pale. Hussein alichoka sana hakujua anampatia wapi Rola. Akiwa pale anawaza kuondoka sim yake iliita lakin ilikua ni namba ngeni akaona apokee ajue nani kampigia.

"Haloo."

"Haloo, unaongea na Afisa polisi apa kituo cha kati, unahitajika kituoni sasa hivi." Sauti upande wa pili ilisikika iliyomfanya Hussein kubaki anashangaa, polisi tena? Imekuaje?

"Kuna nini kwani afande?" Aliuliza kwa wasi wasi.

"Ukija utajua, ila ni muhim sana kufika, asante." Simu ilikatwa na kumuacha Hussein akiwa kachanganyikiwa hakuelewa ni nin kinaendelea. Aliwaza lakini mwisho aliona wacha aende akajue nini kimetokea.

"Haloo. Eeh Rola nyumba nimepata sasa sijui mnakuja lini?" Nilimpigia Rola na kumuuliza baada ya kuwa nimepewa zile taarifa na dalali ambae alifahamika kama Joseph.

"Woow kweli? Sasa sikia, sisi tutafika apo asubuhi na boti nakuomba uje utupokee ili utupeleke huko."

"Aaah sawa haina shida."

"Asante sana Rahim." Alisema Rola kwa utaratibu kabisa na sauti yake laini.

"Usijali nipo kukusaidia endapo utapata shida."

"Sawa badae."

Nilikata simu lakini nilivyoangalia upande wa pili nilikuta Rely ananiangalia tena kwa jicho la hasira sana sikujua kuna shida gani mpaka aniangalie vile ikabidi nimuulize. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

WANTED AGAIN
Hussein alitoka mpaka kwa mwanasheria lakini hakumkuta. Mda huo pia Rola alitoka pale sebleni akaenda kwenye vitu vya Hussein na kuanza kutafta hiyo bahasha aliitafta sana lakin kwa bahati nzuri aliipata akaichukua na kwenda kuiweka chumbani kwa Thelesia.

"Naomba ukae na hii, najua atakua ameenda huko kwa Mr Michael lakin hatompata." Alisema Rola akimaanisha kwamba anajua Mr Michael hayupo kule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-15-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

127
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest