Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 12 (S2)

TAKE ME BACK
Baada ya kumpiga Rely kila kibao ni kama vile nilikua nimeyaamsha mashetani yake kwani baada ya zile kelele aliamka pale kitandani na bila kuongea kitu alianza kupark vitu vyake.
"Unafanya nini sasa?" Nilimuuliza.

"Niache Rahim, niache na usiniambie chochote." Alinijibu huku akiendelea kupanga vitu vyake huku akiwa analia.

"Sasa unapanga hivyo vitu vyako unataka kwenda wapi usiku huu? Ebu acha mara moja hicho unachokifanya!" Nilimwambia vile nikiiamani ataacha lakini ni kama nilikua nampigia mbuzi gitaa. Aliendelea kutoa nguo zake kwenye kabati na kutia kwenye begi.

Nilichokifanya ni kutoka chumban mpaka seblen, nikafika nikafunga mlango na ufunguo kisha ufunguo nikaweka kwenye mfuko wangu wa suruali. Nikaelekea chumbani pia nikachukua sim yake iliyokua kitandani na kuiweka mfukoni pia.

"Nimesema Rely acha unachokifanya nikwa.."
Sikuweza kumaliza kuongea nilichotaka kusema, simu yangu ikaita na mpigaji alikua ni Thelesia nikapokea.

"Thelesia." Niliita upande wa pili kitu kilichofanya ata Rely kuacha anachokifanya na kugeuka kuniangalia.

"Rahim, Dada Rola yupo kwenye matatizo." Aliongea sauti yenye kitetemeshi ndani yake iliyonifanya kurudisha swali kwake.

"Rola? Kawaje, yaani nini kimetokea?" Niliuliza huku nikiwa na wasi wasi ukizingatia ni mtu ninaempenda sana.

"Hussein alimsukuma kwenye ngazi kitu kilichopelekea akaanguka na kuumia sana, sasa hivi tupo hapa hospital."

"Yaani, yaani unasema kwamba ameumia? Sawa umetoa taarifa polisi kuhusu huyo Hussein?? Nin kinaendelea mpaka sasa? Fanya hivi nakuja kesho mapema sana asubuhi ntakua apo, kuweni makini." Niliongea nikiwa nimechanganyikiwa kabisa, nilisahau kabisa kuhusu swala la Rely kutaka kuondoka. Nikiwa nawaza nini cha kufanya, Rely alinisemesha.

"Kuna nini?" Aliuliza akisogea sehem nilipokua.

"Rola anaumwa, amelazwa na inasemekana mume wake Hussein ndio kamsukuma kwenye ngazi ikapelekea yeye kuumia vibaya"

"Kwahiyo inakuaje?"

"Kuhusu nini?"

"Utaenda au?"

"We utaenda au?"

"Sasa mi si ndo nimekuuliza si unijibu!"

"Unataka kujua nin? We si ulikua na safari imeishia wapi?"

"Yule ni ndugu yangu natakiwa kujua kuhusu yeye."

"Hauna namba zake? Sikia Rely usinichoshe." Nilimjibu kisha nikapanda kitandan na kuutafta usingizi ambao haikua rahisi kuupata kwasababu mawazo niliyokua nayo ni mengi sana kichwani kwangu.

Nikiwa kitandani nilimskia Rely akitokea seblen akiitilia jina langu kwa sauti na hasira kama vile amechanganyikiwa.
"Rahim naomba ufunguo. Naomba ufunguo nimesema. Halafu na simu yangu ilikua hapa kitandani haipo na wewe ndo umeichukua naomba Simu yangu naomba na ufunguo niondoke zangu. "
"Rely sitaki kelele, hivi we una akili timamu? Yaani unataka uende wapi usiku huu na hiyo hali yako? Kikikukuta cha kukukuta huko nani atalaumiwa kama sio mim? Sikia nikwambie, huendi popote sasa hivi labda kama hiyo mimba sio yangu. Au kama una uwezo hilo tumbo acha hapo na uondoke peke ako." Niliongea nikiwa namaanisha kabisa ninachokisema kwani baada ya kumaliza niligeukia upande mwingine wa kitanda na kuendeleaa kuutafta usingizi.

Rely alibaki pale asijue cha kufanya maana kusema tu ukweli uwezo wa kunipiga hakua nao, asingeweza kufungua mlango aondoke kwasababu ufunguo ninao mimi. Kwahiyo hakua na cha kufanya kwa wakati ule zaidi ya kupanda kitandan kulala.

Kesho yake mapema sana niliamka na kwenda Zanzibar, nilipanda boti asubuhi na kuelekea nyumban kwa Rola. Nilifika na kumkuta Thelesia akiandaa chakula na kwa wakati huo alikua anamalizia malzia kwahiyo tulitoka wote na kwenda mpaka hospital alipolazwa Rola.

Tukiwa tunaingia tulikutana na Hussein aliyekua amekuja pia kumuona Rola. Hakuna aliemsemesha mwenzie japo mimi na yeye tuliangaliana macho ya kuonya yaliyodhihirisha hasira zilizokuwemo ndani yetu haswa kwa upande wangu. Nilikua na hasira zisizoelezeka. Tukiwa pale alikuja daktari alieturuhusu kuingia kumuona Rola aliekua amepata nafuu kwa wakati huo.

Baada ya kuingia tu Rola alianza kulia. Bila kupoteza muda nilisogea pale alipo na kumfuta machozi yaliyokua yanatoka kwenye macho yake.

"Pole Rola utakua sawa." Nilimwambia taratibu huku nikiwa nafuta machozi yake."

"Unafanya nini hapo na mke wangu?" Sauti ya Hussein ilifika kwenye masikio yangu na bila hata kumsikiliza niliendelea na zoezi langu la kumbembeleza Rola.

"Nakuuliza unafanya nin hapo na mke wangu?" Safari hii alinisogelea na kunivuta shati na kunirudisha nyuma.

"Hussein stop it!" Aliongea Rola kwa sauti iliyokua na kilio ndani yake.

"Naomba uondoke, toka kabisa nisikuone kwenye macho yangu. Ondoka!" Alifoka Rola.

"Lakini nipo hapa kukuangalia mke wangu"

"Sihitaji uangalizi wako, naomba uondoke!"

Hussein alichukia baada ya Rola kumwambia vile kwahiyo hasira zake akazirudisha kwangu.

"Tutakutana!"
Alinambia hivyo tu kisha akafungua mlango kwa hasira na kuondoka. Tulibaki pale mimi, Thelesia na Rola tukiwa tunaangaliana kwa zamu huku mda wote macho ya Rola yakiwa yanatiririka machozi. ITAENDELEA

Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

TAKE ME BACK
Baada ya kumpiga Rely kila kibao ni kama vile nilikua nimeyaamsha mashetani yake kwani baada ya zile kelele aliamka pale kitandani na bila kuongea kitu alianza kupark vitu vyake.
"Unafanya nini sasa?" Nilimuuliza.

"Niache Rahim, niache na usiniambie chochote." Alinijibu huku akiendelea kupanga vitu vyake huku akiwa analia.

"Sasa unapanga hivyo vitu vyako unataka kwenda wapi usiku huu? Ebu acha mara moja hicho unachokifanya!"...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-12-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

597
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

544
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

361
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

162
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

121
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

102
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

33

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest