Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 12 (S2)

TAKE ME BACK
Baada ya kumpiga Rely kila kibao ni kama vile nilikua nimeyaamsha mashetani yake kwani baada ya zile kelele aliamka pale kitandani na bila kuongea kitu alianza kupark vitu vyake.
"Unafanya nini sasa?" Nilimuuliza.

"Niache Rahim, niache na usiniambie chochote." Alinijibu huku akiendelea kupanga vitu vyake huku akiwa analia.

"Sasa unapanga hivyo vitu vyako unataka kwenda wapi usiku huu? Ebu acha mara moja hicho unachokifanya!" Nilimwambia vile nikiiamani ataacha lakini ni kama nilikua nampigia mbuzi gitaa. Aliendelea kutoa nguo zake kwenye kabati na kutia kwenye begi.

Nilichokifanya ni kutoka chumban mpaka seblen, nikafika nikafunga mlango na ufunguo kisha ufunguo nikaweka kwenye mfuko wangu wa suruali. Nikaelekea chumbani pia nikachukua sim yake iliyokua kitandani na kuiweka mfukoni pia.

"Nimesema Rely acha unachokifanya nikwa.."
Sikuweza kumaliza kuongea nilichotaka kusema, simu yangu ikaita na mpigaji alikua ni Thelesia nikapokea.

"Thelesia." Niliita upande wa pili kitu kilichofanya ata Rely kuacha anachokifanya na kugeuka kuniangalia.

"Rahim, Dada Rola yupo kwenye matatizo." Aliongea sauti yenye kitetemeshi ndani yake iliyonifanya kurudisha swali kwake.

"Rola? Kawaje, yaani nini kimetokea?" Niliuliza huku nikiwa na wasi wasi ukizingatia ni mtu ninaempenda sana.

"Hussein alimsukuma kwenye ngazi kitu kilichopelekea akaanguka na kuumia sana, sasa hivi tupo hapa hospital."

"Yaani, yaani unasema kwamba ameumia? Sawa umetoa taarifa polisi kuhusu huyo Hussein?? Nin kinaendelea mpaka sasa? Fanya hivi nakuja kesho mapema sana asubuhi ntakua apo, kuweni makini." Niliongea nikiwa nimechanganyikiwa kabisa, nilisahau kabisa kuhusu swala la Rely kutaka kuondoka. Nikiwa nawaza nini cha kufanya, Rely alinisemesha.

"Kuna nini?" Aliuliza akisogea sehem nilipokua.

"Rola anaumwa, amelazwa na inasemekana mume wake Hussein ndio kamsukuma kwenye ngazi ikapelekea yeye kuumia vibaya"

"Kwahiyo inakuaje?"

"Kuhusu nini?"

"Utaenda au?"

"We utaenda au?"

"Sasa mi si ndo nimekuuliza si unijibu!"

"Unataka kujua nin? We si ulikua na safari imeishia wapi?"

"Yule ni ndugu yangu natakiwa kujua kuhusu yeye."

"Hauna namba zake? Sikia Rely usinichoshe." Nilimjibu kisha nikapanda kitandan na kuutafta usingizi ambao haikua rahisi kuupata kwasababu mawazo niliyokua nayo ni mengi sana kichwani kwangu.

Nikiwa kitandani nilimskia Rely akitokea seblen akiitilia jina langu kwa sauti na hasira kama vile amechanganyikiwa.
"Rahim naomba ufunguo. Naomba ufunguo nimesema. Halafu na simu yangu ilikua hapa kitandani haipo na wewe ndo umeichukua naomba Simu yangu naomba na ufunguo niondoke zangu. "
"Rely sitaki kelele, hivi we una akili timamu? Yaani unataka uende wapi usiku huu na hiyo hali yako? Kikikukuta cha kukukuta huko nani atalaumiwa kama sio mim? Sikia nikwambie, huendi popote sasa hivi labda kama hiyo mimba sio yangu. Au kama una uwezo hilo tumbo acha hapo na uondoke peke ako." Niliongea nikiwa namaanisha kabisa ninachokisema kwani baada ya kumaliza niligeukia upande mwingine wa kitanda na kuendeleaa kuutafta usingizi.

Rely alibaki pale asijue cha kufanya maana kusema tu ukweli uwezo wa kunipiga hakua nao, asingeweza kufungua mlango aondoke kwasababu ufunguo ninao mimi. Kwahiyo hakua na cha kufanya kwa wakati ule zaidi ya kupanda kitandan kulala.

Kesho yake mapema sana niliamka na kwenda Zanzibar, nilipanda boti asubuhi na kuelekea nyumban kwa Rola. Nilifika na kumkuta Thelesia akiandaa chakula na kwa wakati huo alikua anamalizia malzia kwahiyo tulitoka wote na kwenda mpaka hospital alipolazwa Rola.

Tukiwa tunaingia tulikutana na Hussein aliyekua amekuja pia kumuona Rola. Hakuna aliemsemesha mwenzie japo mimi na yeye tuliangaliana macho ya kuonya yaliyodhihirisha hasira zilizokuwemo ndani yetu haswa kwa upande wangu. Nilikua na hasira zisizoelezeka. Tukiwa pale alikuja daktari alieturuhusu kuingia kumuona Rola aliekua amepata nafuu kwa wakati huo.

Baada ya kuingia tu Rola alianza kulia. Bila kupoteza muda nilisogea pale alipo na kumfuta machozi yaliyokua yanatoka kwenye macho yake.

"Pole Rola utakua sawa." Nilimwambia taratibu huku nikiwa nafuta machozi yake."

"Unafanya nini hapo na mke wangu?" Sauti ya Hussein ilifika kwenye masikio yangu na bila hata kumsikiliza niliendelea na zoezi langu la kumbembeleza Rola.

"Nakuuliza unafanya nin hapo na mke wangu?" Safari hii alinisogelea na kunivuta shati na kunirudisha nyuma.

"Hussein stop it!" Aliongea Rola kwa sauti iliyokua na kilio ndani yake.

"Naomba uondoke, toka kabisa nisikuone kwenye macho yangu. Ondoka!" Alifoka Rola.

"Lakini nipo hapa kukuangalia mke wangu"

"Sihitaji uangalizi wako, naomba uondoke!"

Hussein alichukia baada ya Rola kumwambia vile kwahiyo hasira zake akazirudisha kwangu.

"Tutakutana!"
Alinambia hivyo tu kisha akafungua mlango kwa hasira na kuondoka. Tulibaki pale mimi, Thelesia na Rola tukiwa tunaangaliana kwa zamu huku mda wote macho ya Rola yakiwa yanatiririka machozi. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

TAKE ME BACK
Baada ya kumpiga Rely kila kibao ni kama vile nilikua nimeyaamsha mashetani yake kwani baada ya zile kelele aliamka pale kitandani na bila kuongea kitu alianza kupark vitu vyake.
"Unafanya nini sasa?" Nilimuuliza.

"Niache Rahim, niache na usiniambie chochote." Alinijibu huku akiendelea kupanga vitu vyake huku akiwa analia.

"Sasa unapanga hivyo vitu vyako unataka kwenda wapi usiku huu? Ebu acha mara moja hicho unachokifanya!"...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-12-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

128
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest