Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 04 (02)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 04 (02)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 04 (02)

LOVE IS BLIND
Tulifanikiwa kumpumzisha Mr Taz katika nyumba yake ya milele lakini katika upande huu wa mazishi, Rola hakujihusisha kabisa. Alikuwa akifanya mambo yake, mtu wa kutoka na kuingia pale nyumbani. Watu wote walimshangaa, naye hakujali hivyo. Aliona yupo sahihi kusherehekea kifo cha adui yake.

Jioni moja baada ya mazishi kupita ilikuwa kama wiki mbili hivi mbele. Rely alinitaarifu kupatikana kwa Mama yake, tulienda na kumkuta kweli Mama Rely akiwa chizi wa kutema tema mate hovyo. Vile ambavyo Rola alikuwa, ndivyo ambayo na yeye alikuwa hivyo.

Mama Rely alikuwa amepungua mwili sio kawaida, amekondeana na hata ule m-shape wake haukuwepo kabisa. Alikuwa kama akiona watu wamekaa makundi, anawarusha mawe. Akiona maji katika kopo anaokota na kunywa. Maskini! Maji mengine hayakuwa maji bali ni mkojo ila kutokana na hali yake, hakujua hilo.

Basi, tulishirikiana na watu wengine kisha tulimbeba na kumpeleka hospital. Madaktari walitusaidia kumpa huduma kadhaa, Rely aliumia sana.

"Siamini kama Mama yangu anateseka hivi. Siamini kama mwanamke aliyenilea na kunitunza kwa muda wote anateseka na kunywa maji machafu. Mama yangu amekuwa chizi kweli?" Sauti ya kitetemeshi iliyojaa maumivu makali ilimtoka msichana huyu.

"Pole sana, tusiache kumtibia. Mungu ametupa mtihani huu sababu tunaumudu. Otherwise, asingetupatia"

"Samahani! Nawahitaji" Lilikuwa sauti la Daktari ambaye alisimama nyuma yetu.

Wote tukawahi katika chumba chake ili kumsikiliza alikuwa anataka kusema nini?

"Mama alishawahi kuugua ugonjwa wowote utotoni kwa muda mrefu?" Daktari aliuliza.

"Sijawahi kupata hiyo taarifa, kwa kifupi hakuwahi kuugua"

"Mh! Kwa namna ambavyo Mama anaonekana basi ni ngumu sana kwake kupona. Mama atabakia katika hali hii kwa muda wote. Muhimu kwa hivi sasa kumpeleka katika kituo cha watu wa aina hii"

"Daktari hakuna njia kweli?"

"Nitakuongopea binti, unaweza kuzunguka kila sehemu lakini hakuna hospital ambayo inaweza kumtibia Mama yetu" Daktari alisisitiza.

Nilimuona Rely akipoteza matumaini kwa taarifa hii. Moyoni akawa na shimo la maumivu ambalo alishindwa kulifukia. Alidondosha machozi lakini hakuwa na namna nyingine zaidi ya kuuchukua ukweli ule na kuufanyia kazi.

Mama Rely sasa hivi ni chizi, tena chizi haswa. Mali alizozitaka kwa mabavu na uchawi ziligeuka kuwa mateso kwake, ama kwa hakika usimfanyie mtu ubaya kwani una tabia ya kurudi na unaporudi unarudi kwa kasi sana.

Tulirudi naye nyumbani na kuishi naye pale lakini sintofahamu ikaibuka baina ya ndugu wawili. Wakati Rely akitaka kuishi na Mama yake, ndio muda ambao Rola alikuwa hataki hata kusikia kuhusu Mama Rely kuishi pale kwake.

"Nimesema mtoeni anachafua nyumba yaani kila sehemu imejaa mate. Kama ana mimba si aende akajifungulie huko hospital sio hapa" Rola alifoka akiwa anamsukuma Mama Rely ambaye alidondoka chini.

"Rola, kwanini unamsukuma Mama? Amekukosea nini?"

"Alichokinikosea unakijua na kama hukojui basi utakijua. Kwa sasa mtafutieni makazi ila sio hapa. Siwezi kuishi na mtu ambaye ameondoa maisha ya Baba yangu, maisha ya Mama yangu. Mtu ambaye aliniroga ili achukue mali. Nimesema atoke"

"Sawa, Rola tuseme kwamba Mama anatoka. Swali ni je, tunampeleka wapi? Kumbuka huyu ndio alikulea wakati wote ulipokuwa chizi. Kumbuka hilo licha ya mabaya ambayo amekufanyia lakini atabakia kuwa Mama yangu"

"Bwana sina muda wa kurejea matukio yatakayoniumiza kikubwa nimesema ondoa hii mbwa hapa nyumbani kwangu. Kwani bila kuwaua wazazi wangu uandhani yeye angenilea? Si tamaa ya mali ndio ilimfanya auwe wazazi wangu? Sasa toeni hiyo mbwa sitaki iona hapa"

"Rola unamuita Mama yangu mbwa kweli?"

"Ndio, ni mbwa tu te..." Rola hakumaliza kuzungumza, nilimpiga kibao kimoja cha kumkumbusha kama anachoongea sio sahihi kisha nilimfokea

"Mtu gani usiyepima utu wako kwa ndugu yako? Kama wazazi wake walikutesa, kwanini ufikie hatua hii? Wapi unaenda Rola? Mbona unataka tuanze kujilaumu kwanini tulikuwa SULEIMAN kwako? Be humble bhana"

"Oh! Kumbe mnataka kuuona upande wangu wa pili si ndio? Mnataka kunijua vizuri. Ok, subirini" Rola alizungumza kisha aliondoka na kuelekea chumbani ambako alikaa kwa sekunde kadhaa na alipotoka alitoka na mabegi yetu.

"Kila chenye mwanzo kinakuwa na mwisho. Ahsanteni kwa msaada wenu katika maisha yangu, inatosha. Mnaweza kwenda kujitegemea huko mbeleni" alizungumza Rola kwa hasira sana huku akitutupia mabegi yetu. Alikuwa tayari kutufukuza, alikuwa tayari kutuhamisha pale nyumbani iwe kwa lazima ama hiyari yetu.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 04 (02)

DO YOU LOVE ME 04 (02)

LOVE IS BLIND
Tulifanikiwa kumpumzisha Mr Taz katika nyumba yake ya milele lakini katika upande huu wa mazishi, Rola hakujihusisha kabisa. Alikuwa akifanya mambo yake, mtu wa kutoka na kuingia pale nyumbani. Watu wote walimshangaa, naye hakujali hivyo. Aliona yupo sahihi kusherehekea kifo cha adui yake.

Jioni moja baada ya mazishi kupita ilikuwa kama wiki mbili hivi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-04-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

568
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest