Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 04 (02)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 04 (02)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 04 (02)

LOVE IS BLIND
Tulifanikiwa kumpumzisha Mr Taz katika nyumba yake ya milele lakini katika upande huu wa mazishi, Rola hakujihusisha kabisa. Alikuwa akifanya mambo yake, mtu wa kutoka na kuingia pale nyumbani. Watu wote walimshangaa, naye hakujali hivyo. Aliona yupo sahihi kusherehekea kifo cha adui yake.

Jioni moja baada ya mazishi kupita ilikuwa kama wiki mbili hivi mbele. Rely alinitaarifu kupatikana kwa Mama yake, tulienda na kumkuta kweli Mama Rely akiwa chizi wa kutema tema mate hovyo. Vile ambavyo Rola alikuwa, ndivyo ambayo na yeye alikuwa hivyo.

Mama Rely alikuwa amepungua mwili sio kawaida, amekondeana na hata ule m-shape wake haukuwepo kabisa. Alikuwa kama akiona watu wamekaa makundi, anawarusha mawe. Akiona maji katika kopo anaokota na kunywa. Maskini! Maji mengine hayakuwa maji bali ni mkojo ila kutokana na hali yake, hakujua hilo.

Basi, tulishirikiana na watu wengine kisha tulimbeba na kumpeleka hospital. Madaktari walitusaidia kumpa huduma kadhaa, Rely aliumia sana.

"Siamini kama Mama yangu anateseka hivi. Siamini kama mwanamke aliyenilea na kunitunza kwa muda wote anateseka na kunywa maji machafu. Mama yangu amekuwa chizi kweli?" Sauti ya kitetemeshi iliyojaa maumivu makali ilimtoka msichana huyu.

"Pole sana, tusiache kumtibia. Mungu ametupa mtihani huu sababu tunaumudu. Otherwise, asingetupatia"

"Samahani! Nawahitaji" Lilikuwa sauti la Daktari ambaye alisimama nyuma yetu.

Wote tukawahi katika chumba chake ili kumsikiliza alikuwa anataka kusema nini?

"Mama alishawahi kuugua ugonjwa wowote utotoni kwa muda mrefu?" Daktari aliuliza.

"Sijawahi kupata hiyo taarifa, kwa kifupi hakuwahi kuugua"

"Mh! Kwa namna ambavyo Mama anaonekana basi ni ngumu sana kwake kupona. Mama atabakia katika hali hii kwa muda wote. Muhimu kwa hivi sasa kumpeleka katika kituo cha watu wa aina hii"

"Daktari hakuna njia kweli?"

"Nitakuongopea binti, unaweza kuzunguka kila sehemu lakini hakuna hospital ambayo inaweza kumtibia Mama yetu" Daktari alisisitiza.

Nilimuona Rely akipoteza matumaini kwa taarifa hii. Moyoni akawa na shimo la maumivu ambalo alishindwa kulifukia. Alidondosha machozi lakini hakuwa na namna nyingine zaidi ya kuuchukua ukweli ule na kuufanyia kazi.

Mama Rely sasa hivi ni chizi, tena chizi haswa. Mali alizozitaka kwa mabavu na uchawi ziligeuka kuwa mateso kwake, ama kwa hakika usimfanyie mtu ubaya kwani una tabia ya kurudi na unaporudi unarudi kwa kasi sana.

Tulirudi naye nyumbani na kuishi naye pale lakini sintofahamu ikaibuka baina ya ndugu wawili. Wakati Rely akitaka kuishi na Mama yake, ndio muda ambao Rola alikuwa hataki hata kusikia kuhusu Mama Rely kuishi pale kwake.

"Nimesema mtoeni anachafua nyumba yaani kila sehemu imejaa mate. Kama ana mimba si aende akajifungulie huko hospital sio hapa" Rola alifoka akiwa anamsukuma Mama Rely ambaye alidondoka chini.

"Rola, kwanini unamsukuma Mama? Amekukosea nini?"

"Alichokinikosea unakijua na kama hukojui basi utakijua. Kwa sasa mtafutieni makazi ila sio hapa. Siwezi kuishi na mtu ambaye ameondoa maisha ya Baba yangu, maisha ya Mama yangu. Mtu ambaye aliniroga ili achukue mali. Nimesema atoke"

"Sawa, Rola tuseme kwamba Mama anatoka. Swali ni je, tunampeleka wapi? Kumbuka huyu ndio alikulea wakati wote ulipokuwa chizi. Kumbuka hilo licha ya mabaya ambayo amekufanyia lakini atabakia kuwa Mama yangu"

"Bwana sina muda wa kurejea matukio yatakayoniumiza kikubwa nimesema ondoa hii mbwa hapa nyumbani kwangu. Kwani bila kuwaua wazazi wangu uandhani yeye angenilea? Si tamaa ya mali ndio ilimfanya auwe wazazi wangu? Sasa toeni hiyo mbwa sitaki iona hapa"

"Rola unamuita Mama yangu mbwa kweli?"

"Ndio, ni mbwa tu te..." Rola hakumaliza kuzungumza, nilimpiga kibao kimoja cha kumkumbusha kama anachoongea sio sahihi kisha nilimfokea

"Mtu gani usiyepima utu wako kwa ndugu yako? Kama wazazi wake walikutesa, kwanini ufikie hatua hii? Wapi unaenda Rola? Mbona unataka tuanze kujilaumu kwanini tulikuwa SULEIMAN kwako? Be humble bhana"

"Oh! Kumbe mnataka kuuona upande wangu wa pili si ndio? Mnataka kunijua vizuri. Ok, subirini" Rola alizungumza kisha aliondoka na kuelekea chumbani ambako alikaa kwa sekunde kadhaa na alipotoka alitoka na mabegi yetu.

"Kila chenye mwanzo kinakuwa na mwisho. Ahsanteni kwa msaada wenu katika maisha yangu, inatosha. Mnaweza kwenda kujitegemea huko mbeleni" alizungumza Rola kwa hasira sana huku akitutupia mabegi yetu. Alikuwa tayari kutufukuza, alikuwa tayari kutuhamisha pale nyumbani iwe kwa lazima ama hiyari yetu.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 04 (02)

DO YOU LOVE ME 04 (02)

LOVE IS BLIND
Tulifanikiwa kumpumzisha Mr Taz katika nyumba yake ya milele lakini katika upande huu wa mazishi, Rola hakujihusisha kabisa. Alikuwa akifanya mambo yake, mtu wa kutoka na kuingia pale nyumbani. Watu wote walimshangaa, naye hakujali hivyo. Aliona yupo sahihi kusherehekea kifo cha adui yake.

Jioni moja baada ya mazishi kupita ilikuwa kama wiki mbili hivi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-04-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest