Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2) ????????????????????


LAST FOREVER
Maamuzi yake yalikuwa yamesimama hivyo na hakutaka kusikia upande wangu wa pili ambao umebeba hisia nzito dhidi yake. Rola akaniua mbele ya macho, akaniua nyuma ya macho yake. Hakutaka kupokea hisia zangu huku akisisitiza kwamba, nimeshamuoa Rely basi nibakie kwa huyo mtu.

"Ulishafanya maamuzi ya kumpenda na kumuoa mwanamke mwingine, kwanini unataka uishi na mimi? Unadhani watanichukuliaje huko nje? Sidhani kama ni sahihi. Hivyo basi, njia rahisi ya mimi na wewe kuishi kwa amani ni kuwa marafiki tu"

"Lakini kumbuka upendo wangu kwa Rely ulikuwa wa kulazimishwa. Sikupanga wala sikuwa tayari kuingia katika mahusiano na huyu mtu. Ningefanyaje ikiwa tayari wazazi walishaona nafaa kuoana naye? Lakini kwa sasa nipo tayari kuachana naye ili nikuoe Rola. Please pokea upendo wangu. Kwanini unataka niwe nateseka kila napokuona? Natesekaa kila ninaposikia jina lako? Mimi ni binadamu, nina moyo mmoja ambao unafanya maamuzi sahihi. Sidhani kama kukuchagua wewe uwe sehemu ya maisha yangu ni maamuzi mabaya"

"Sitaki kusikia hizi habari Rahim, tena usitake nikuchukie sababu sioni umuhimu wa neno nakupenda ikiwa ulioa mtu mwingine. Ok, ulipambana kwa ajili yangu na nashkuru kwa hilo. That's ili nisifute alama ya msaada wako katika maisha yangu basi naomba tubakie kuwa marafiki. Hakuna kingine naweza sema. Samahani kama nitakuwa nakukosea. Kuwa marafiki ni bora zaidi na utalinda msaada wako kwangu kuliko kuwa wapenzi. Binafsi, sina hisia na wewe hata chembe" Rola alinipiga misumali mingi yenye kuumiza ndani ya moyo wangu.

Nikakosa furaha tukiwa Dar es salaam, nikakosa furaha tukiwa airport wakati tukijiandaa kwenda Zanzibar na hata tulipofika huko nilipoteza kabisa amani ndani ya moyo wangu.

"Rely anaendelea kumtafuta Mama yake. Mama Rely ametoweka nyumbani tangu wiki moja nyuma. Hajulikani wapi yupo?" Lilikuwa ni sauti la Thelesia ambaye alitupokea Airport.

"Wapi ameelekea sasa?" Niliuliza

"Mama kageuka kuwa chizi pamoja na Baba pia ambaye amelazwa hivi sasa. Kwa kifupi familia imeingia katika wakati mgumu"

"Wameyataka, waliona raha kunitesa si ndio" Rola alipayuka kwa hasira, moyoni nilijua nini kilikuwa kinaendelea. Nikafahamu yale ndio yalikuwa yaliyotabiriwa na mganga. Tayari watu wabaya wamejulikana na hali ya uchizi imewaingia.

Basi, tuliondoka hadi nyumbani ambako tulikaa hadi jioni, Rely alikuja akiwa hoi bin taabani.

"Mama amepotea Rola" Rely alitujuza akiwa anakaa katika sofa.

"Hakuna unayemwambia asiyejua nini shida? Mama yako aliniroga akadhani kwamba kila kitu hakina mwisho"

"Basi, naombeni mkanisaidize kumtafuta"

"Hakuna wa kufanya hivyo kwa hivi sasa. Kwanza nataka kujua wapi Hussein yupo?"

"Hussein yupo hapa hapa Zanzibar"

"Sawa, kesho mtanipeleka. Nataka kuonana na barafu wa moyo wangu"

"Unadhani atakuwa na mapenzi ya dhati kwako? Halafu Mama hakukuroga"

"Huna hunalolijua, vyema ukapiga kimya" Rola alijibu na aliondoka nami nilibaki na Rely pale sebureni.

Rely alinisimulia vitu vingi sana kuhusu maisha yao pale nyumbani mara baada ya Mimi kuondoka.

"Kulikuwa na vitu vinakuja usiku na kutua juu ya bati au dirishani katika chumba cha Wazazi wangu. Vinakonga na kuwaita, sijui ni vitu gani?"

"Mh! Pole sana"

"Ahsante, usiniambie kwamba wewe ndio umefanya kazi ya kumtibia Rola?"

"Ndio, nimemtibia"

"Yaani wakati mimi nateseka na familia yangu, wewe upo busy kumtibia Rola. Ulitumwa kwani?"

"Hakuna kunilaumu katika hili sababu ilikuwa ni lazima Rola apone"

"Ok, kapona. Unadhani hizi mali zitakuwa za kwangu tena? Kwanini unafanya mambo bila kunishirikisha Rahim? Unataka nikupende vipi ili uamini kwamba nakupenda? Sijui hata umepatwa na nini kha?"

"Hata hajapatwa na kitu Rely. Yah! Baba na Mama yako waliniroga na sasa mwenye mali nimerudi tena mjini kumiliki mali walizoacha wazazi wangu. Mwanasheria aliyekaachiwa hizi mali ili aziongoze namjua vizuri. Najua kila kitu sababu kumbukumbu za miaka yangu niliyoishi bado zipi kichwani. Nataka ujue kwamba, kuanzia sasa wewe ni mtumwa katika hii nyumba na nisisikie unajaribu kumtafuta Baba yako kwa kutumia mali zangu. Simamisha kabisa hilo zoezi. Wazazi wako wakajua kwamba nitaumwa milele, nothing last forever. Kuna muda maumivu yanaisha na maisha ya kawaida hurudi. Wao si walimaliza vita, mimi ndio nimeanza sasa" Rola ambaye alikuwa amesimama katika ngazi ya kupanda juu alizungumza.

Nilijikuta namtazama Rola sio chini ya mara moja wala mbili, moyoni nikajiuliza kama ni yeye ama sio yeye? Sikutegemea kuwa siku moja Rola kama akiwa mzima basi anaweza kuzungumza maneno kama haya? Lakini huyu ndio Rola, aliyekuwa chizi hapo kabla na sasa ni binadam mwenye akili zake timamu.

Nunua season two kwa 1000Tsh! Kumbuka hii ndio Season ya Mwisho Kwa simulizi huu.

Nifollow Instagram, natumia

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2) ????????????????????


LAST FOREVER
Maamuzi yake yalikuwa yamesimama hivyo na hakutaka kusikia upande wangu wa pili ambao umebeba hisia nzito dhidi yake. Rola akaniua mbele ya macho, akaniua nyuma ya macho yake. Hakutaka kupokea hisia zangu huku akisisitiza kwamba, nimeshamuoa Rely basi nibakie kwa huyo mtu.

"Ulishafanya maamuzi ya kumpenda na kumuoa mwanamke mwingine, kwanini unataka uishi na mimi?...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-01-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

474
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

100
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest