Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 11 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 11 (S2)

SHE LIED ME
Thelesia ambaye ni mfanyakazi wa Rola pamoja na mlinzi walishirikiana kumpeleka Rola hospital, na walipofika Rola alichukuliwa na kuanza kupewa matibabu.

Tuachane na Rola, turudi keangu sasa. Ilikuwa hivi kuhusu Rely; Maeneo ya hotel moja yenye hadhi yake ya nyota tano, anaonekana Rely akiwa na mpenzi wake Calvin tena wakiwa kwenye furaha sana kwani walikua wanapiga story huku wakicheka na kuenjoy.
"Mpenzi, nilikua nasubiri utoke Kenya nije nikupe zawadi yako"

"Zawadi?? Ni nini jamani nipe basi sasa hivi hiyo zawadi."

"Unadhani nakupa mkononi?" Aliuliza Rely huku akicheka.

"Sasa unanipa wapi?"

"Ni kitu kikubwa lakini sijui utakipokeaje?"

"Zawadi ni zawadi tu mama, lazima nipokee vizuri"

"Okay, mimi ni mjamzito!"

"Una ujauzito? Ngoja kwanza una ujauzito au sijasikia vizuri??"

"Ndio nina ujauzito tena wa miezi mitatu"

"Kwahiyo una ujauzito?? Naomba usiseme ni wa yule mwanaume wako please!"

"Ni wako mpenzi wangu sio wake."

"Kweli???"

"Ndiyo."

Calvin alifurahi sana kwasababu hakua na mke hivyo alitegemea kuwa Rely ndio angekua mke wake kwasababu alitokea kumpenda sana bila kujali ni mke wa mtu. Ilikua ni furaha kwa upande wao lakini huzuni upande wangu kwasababu sikua najua Rely yupo wapi na kibaya zaidi nilishapiga simu yake sana lakini haipatikani.

Akili nyingine iliniambia kwamba Rely atakuwa kwa mpenzi wake Calvin kitu ambacho kilizidi kuniumiza kwasababu ata kama simpendi sio anifanyie vile tena kwenye nyumba yangu ni kama alikua ananionesha dharau. Niliacha kumfikiria Rely na kurudisha mawazo yangu kwa Rola nikakumbuka alivyonijibu pale tu nilipompigia simu na kutaka kujua hali yake.

Kwa upande wa Rola, nilisimuliwa na Thelesia kwamba; Baada ya masaa mawili daktari aliyekua akimtibu Rola alimfata Thelesia ambaye kwa wakati huu alikua amekaa peke yake baada ya mlinzi kurudi nyumbani.

"Dokta, vipi hali ya mgongwa??" Aliuliza Thelesia huku akiwa na wasi wasi mkubwa.

"Mgonjwa ameumia sana kichwani lakini atakua sawa kwasababu tumejitahidi kumpatia huduma inayotakiwa, kwahiyo atarudi katika hali yake ya kawaida. Labda niulize kitu tu, ilikuwaje mpaka akaanguka na kuumia vile?"

"Aliteleza tu bahati mbaya." Alidanganya kwasababu hakua anajua kitu chochote kilichotokea mpaka Rola kuwa vile.

"Aaah sawa, na vipi kuhusu uhusiano wenu, namaanisha wewe ni nani yake?"

"Mimi ni mdogo wake"

"Mnaishi peke yenu?"

"Hapana, huyu dada yangu anae mume wake ndio tunaishi nae pale nyumban"

"Aaah sawa, nimeuliza hivyo kwasababu Kwenye mwili wake kuna alama za vidole na kwa namna moja au nyingine inaonekana ni vidole vya mwanaume, sasa sijui walikua wanarumbana na mume wake kitu kilichopelekea akasukumwa labda au lah!"

"Sifahamu dokta lakini nimejaribu kumpigia mume wake simu haipatikani"

"Sawa amna shida, ngoja akiamka nitazungumza nae."

"Sawa dokta" Dokta aliondoka na kumuacha Thelesia akiwa ana mawazo, apo sasa ndio aliweza kupata picha kwamba Hussein ndio aliemsukuma Rola.

"Kwanini Rola anamganda sana huyu mwanaume?? Mwanaume mwenyewe hampendi lakin ndio amekomaa nae tu, ona sasa kamsukuma, vipi kama angekufa??" Thelesia aliwaza sanaa bila kupata jibu.

Huo ni upande wa Rola, huku kwangu mambo yalikuwa hivi; Nikiwa nimekaa kitandani nilisikia mlango ukigongwa, hivyo nilisimama na kwenda kufungua na kukutana na Rely.

"Unatoka wapi usiku huu Rely?? Huoni hali yako ilivyo na unatembea usiku kama hivi??" Niliuliza nikiwa najua fika ametoka kwa Calvin sema niliona niulize tu kwasababu ni kama vile ananionesha dharau, hawezi kuingia kwangu usiku wa saa sita kama vile yeye ndio baba wa familia wakati ata mimi mwenyewe baba wa familia saa mbili tu nilishafika nyumbani.

"Utanipisha nipite au utaendelea kuniuliza maswali yako??"

"Nataka jibu, unatoka wapi sasa hivi??"

"Nilikua nafatilia baadhi ya mizigo ambayo itaingia dukani kesho" Alidanganya.

"Ndio mpaka sasa hivi saa sita??"

"Bwana nipishe mimi, kama huamini basi ila ndio hivyo nilivyokwambia" Alinipush na kuingia ndani akiniacha pale mlangoni nikiwa na hasira sana kwani nilitamani nimshike nimchape hata kibao kimoja kirudishe akili yake lakini niliwaza nikaona sio sawa kwasababu naweza kumsababishia shida kutokana na ile hali yake ya ujauzito. Nilienda mpaka chumbani na kumkuta akiongea na sim tena akiwa mwenye furaha sana na inaonekana alikua anaongea na mwanaume, nilisubiria hadi alipomaliza kuongea na ile simu kisha nikamuuliza.

"Ulikua unaongea na nani?"

"Heee jamani! Tumeanza lini kuulizana maswali kama hayo?"

"Sijataka maelezo Rely nimekuuliza nataka unijibu, ulikua unaongea na nani???"

"Bwana eenh, niache nilale usinipigie kelele!" Alinijibu kwa dharau mpaka nilitetemeka kwa hasira na kujikuta nampiga kibao cha shavu kilichomfanya apige kelele. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

SHE LIED ME
Thelesia ambaye ni mfanyakazi wa Rola pamoja na mlinzi walishirikiana kumpeleka Rola hospital, na walipofika Rola alichukuliwa na kuanza kupewa matibabu.

Tuachane na Rola, turudi keangu sasa. Ilikuwa hivi kuhusu Rely; Maeneo ya hotel moja yenye hadhi yake ya nyota tano, anaonekana Rely akiwa na mpenzi wake Calvin tena wakiwa kwenye furaha sana kwani walikua wanapiga story huku wakicheka na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-11-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

473
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

127
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

99
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest