Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 11 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 11 (S2)

SHE LIED ME
Thelesia ambaye ni mfanyakazi wa Rola pamoja na mlinzi walishirikiana kumpeleka Rola hospital, na walipofika Rola alichukuliwa na kuanza kupewa matibabu.

Tuachane na Rola, turudi keangu sasa. Ilikuwa hivi kuhusu Rely; Maeneo ya hotel moja yenye hadhi yake ya nyota tano, anaonekana Rely akiwa na mpenzi wake Calvin tena wakiwa kwenye furaha sana kwani walikua wanapiga story huku wakicheka na kuenjoy.
"Mpenzi, nilikua nasubiri utoke Kenya nije nikupe zawadi yako"

"Zawadi?? Ni nini jamani nipe basi sasa hivi hiyo zawadi."

"Unadhani nakupa mkononi?" Aliuliza Rely huku akicheka.

"Sasa unanipa wapi?"

"Ni kitu kikubwa lakini sijui utakipokeaje?"

"Zawadi ni zawadi tu mama, lazima nipokee vizuri"

"Okay, mimi ni mjamzito!"

"Una ujauzito? Ngoja kwanza una ujauzito au sijasikia vizuri??"

"Ndio nina ujauzito tena wa miezi mitatu"

"Kwahiyo una ujauzito?? Naomba usiseme ni wa yule mwanaume wako please!"

"Ni wako mpenzi wangu sio wake."

"Kweli???"

"Ndiyo."

Calvin alifurahi sana kwasababu hakua na mke hivyo alitegemea kuwa Rely ndio angekua mke wake kwasababu alitokea kumpenda sana bila kujali ni mke wa mtu. Ilikua ni furaha kwa upande wao lakini huzuni upande wangu kwasababu sikua najua Rely yupo wapi na kibaya zaidi nilishapiga simu yake sana lakini haipatikani.

Akili nyingine iliniambia kwamba Rely atakuwa kwa mpenzi wake Calvin kitu ambacho kilizidi kuniumiza kwasababu ata kama simpendi sio anifanyie vile tena kwenye nyumba yangu ni kama alikua ananionesha dharau. Niliacha kumfikiria Rely na kurudisha mawazo yangu kwa Rola nikakumbuka alivyonijibu pale tu nilipompigia simu na kutaka kujua hali yake.

Kwa upande wa Rola, nilisimuliwa na Thelesia kwamba; Baada ya masaa mawili daktari aliyekua akimtibu Rola alimfata Thelesia ambaye kwa wakati huu alikua amekaa peke yake baada ya mlinzi kurudi nyumbani.

"Dokta, vipi hali ya mgongwa??" Aliuliza Thelesia huku akiwa na wasi wasi mkubwa.

"Mgonjwa ameumia sana kichwani lakini atakua sawa kwasababu tumejitahidi kumpatia huduma inayotakiwa, kwahiyo atarudi katika hali yake ya kawaida. Labda niulize kitu tu, ilikuwaje mpaka akaanguka na kuumia vile?"

"Aliteleza tu bahati mbaya." Alidanganya kwasababu hakua anajua kitu chochote kilichotokea mpaka Rola kuwa vile.

"Aaah sawa, na vipi kuhusu uhusiano wenu, namaanisha wewe ni nani yake?"

"Mimi ni mdogo wake"

"Mnaishi peke yenu?"

"Hapana, huyu dada yangu anae mume wake ndio tunaishi nae pale nyumban"

"Aaah sawa, nimeuliza hivyo kwasababu Kwenye mwili wake kuna alama za vidole na kwa namna moja au nyingine inaonekana ni vidole vya mwanaume, sasa sijui walikua wanarumbana na mume wake kitu kilichopelekea akasukumwa labda au lah!"

"Sifahamu dokta lakini nimejaribu kumpigia mume wake simu haipatikani"

"Sawa amna shida, ngoja akiamka nitazungumza nae."

"Sawa dokta" Dokta aliondoka na kumuacha Thelesia akiwa ana mawazo, apo sasa ndio aliweza kupata picha kwamba Hussein ndio aliemsukuma Rola.

"Kwanini Rola anamganda sana huyu mwanaume?? Mwanaume mwenyewe hampendi lakin ndio amekomaa nae tu, ona sasa kamsukuma, vipi kama angekufa??" Thelesia aliwaza sanaa bila kupata jibu.

Huo ni upande wa Rola, huku kwangu mambo yalikuwa hivi; Nikiwa nimekaa kitandani nilisikia mlango ukigongwa, hivyo nilisimama na kwenda kufungua na kukutana na Rely.

"Unatoka wapi usiku huu Rely?? Huoni hali yako ilivyo na unatembea usiku kama hivi??" Niliuliza nikiwa najua fika ametoka kwa Calvin sema niliona niulize tu kwasababu ni kama vile ananionesha dharau, hawezi kuingia kwangu usiku wa saa sita kama vile yeye ndio baba wa familia wakati ata mimi mwenyewe baba wa familia saa mbili tu nilishafika nyumbani.

"Utanipisha nipite au utaendelea kuniuliza maswali yako??"

"Nataka jibu, unatoka wapi sasa hivi??"

"Nilikua nafatilia baadhi ya mizigo ambayo itaingia dukani kesho" Alidanganya.

"Ndio mpaka sasa hivi saa sita??"

"Bwana nipishe mimi, kama huamini basi ila ndio hivyo nilivyokwambia" Alinipush na kuingia ndani akiniacha pale mlangoni nikiwa na hasira sana kwani nilitamani nimshike nimchape hata kibao kimoja kirudishe akili yake lakini niliwaza nikaona sio sawa kwasababu naweza kumsababishia shida kutokana na ile hali yake ya ujauzito. Nilienda mpaka chumbani na kumkuta akiongea na sim tena akiwa mwenye furaha sana na inaonekana alikua anaongea na mwanaume, nilisubiria hadi alipomaliza kuongea na ile simu kisha nikamuuliza.

"Ulikua unaongea na nani?"

"Heee jamani! Tumeanza lini kuulizana maswali kama hayo?"

"Sijataka maelezo Rely nimekuuliza nataka unijibu, ulikua unaongea na nani???"

"Bwana eenh, niache nilale usinipigie kelele!" Alinijibu kwa dharau mpaka nilitetemeka kwa hasira na kujikuta nampiga kibao cha shavu kilichomfanya apige kelele. ITAENDELEA

Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

SHE LIED ME
Thelesia ambaye ni mfanyakazi wa Rola pamoja na mlinzi walishirikiana kumpeleka Rola hospital, na walipofika Rola alichukuliwa na kuanza kupewa matibabu.

Tuachane na Rola, turudi keangu sasa. Ilikuwa hivi kuhusu Rely; Maeneo ya hotel moja yenye hadhi yake ya nyota tano, anaonekana Rely akiwa na mpenzi wake Calvin tena wakiwa kwenye furaha sana kwani walikua wanapiga story huku wakicheka na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-11-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

568
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest