Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 07 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 07 (S2)

CHEATING MESSAGE
Baada ya Rely kuwa amepoteza faham ilibdi wamchukue na kwenda kumpa huduma ya kwanza ambayo haikumchukua mda mrefu akawa ameamka lakin alikua na majeraha madogo sehem ya paji la uso.
Baada tu ya kuamka alianza kulia huku akilalamika kwanin Mungu kamchukua mama yake ingali yeye bado anamhitaji.

Hakukuwa na namna zaidi ya kuchukua mwili wa Mama Rely na kwenda kuupumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Ulikuwa ni wakati mgumu kwa Rely kwani hakuwa wa kula wala kunywa. Aliona dunia nzima ni kama imemsaliti na kumuacha peke yake. Nilijitahidi sana kumtia moyo na kumfariji hatimaye alianza kuwa sawa japo nilichukua mda mrefu sana kumuweka sawa.

Rely aliweka chuki kubwa sana ndani ya moyo wake juu ya Mama yangu mzazi. Akiamini kwamba mama yangu ndio chanzo cha kifo cha mama yake. Suala hili likapelekea Rely kukataa kabisa kubaki pale nyumbani. Kwakuwa nilikua tayari nilishaongea na rafiki yangu kuhusu kunitafutia chumba cha kupanga, sikua na shida tena kwasababu chumba kilipatikana na kisha tukahamia huko na kuyaanza maisha mapya ambayo hayakua mazuri sanaa japo niliendelea kupambana kuhakikisha tunaishi.

Siku zikasogea huku nikiendelea kupambana zaidi kutafuta kazi ya kufanya, maana mjini bila kazi hakuna utakachofanikiwa sababu kila kitu kufanikiwa ni lazima pesa iwepo. Kwahiyo nililazimika kuingia mtaani kutafta kazi. Rely pia alianza kutafta kazi ambapo yeye alipata katika mgahawa mmoja ambao kwa namna yake ulikua na hadhi kidogo. Mimi niliendelea kutafta kazi bila mafanikio lakini sikukata tamaa na safari hii nikaona nifungue kibanda cha chips na kuanza kuuza chips pale mtaani.

Maisha yaliendelea kuchanja mbuga japo kwa tabu lakini ikawa ni bora kuliko kukaa tu kujibweteka bila kazi. Nashkuru Mungu kwa kipindi hiki kidogo tuliweza kupiga hatua kwa kiasi fulani kwani pesa aliyokua akipata Rely tulikua tunaunganisha na ile nnayopata Mimi kisha tunaweka mikakati ipi ambayo tutaifanya ili kujiinua zaidi ya pale tulipo.

Wakati Sisi tukiendelea na maisha yetu ya kawaidaa, upande wa pili ambapo alikuwepo Rola pamoja na mpenzi wake Hussein, mambo yalikua safi kabisa kwasababu wao hawakua na shida kama tulivyokua Mimi na Rely. Waliishi kama wafalme kwasababu kila kitu walikua nacho na kikubwa zaidi ata baadhi ya kampuni alizokua nazo Rola aliandika jina la Hussein kitu ambacho kilimfanya Hussein kufurahi zaidi.

Kitendo cha Hussein kupewa umiliki wa baadhi ya mali za Rola kilimfanya kuwa na kiburi sanaa kwasababu alianza kutumia pesa zile kwa maslahi yake binafsi. Mwanzo Rola aliona sio mbaya kwasababu ni mume wakd labda kuna vitu anafanya lakin ukweli haukua hivyo badala yake Hussein alikua akitumia pesa pamoja na wanawake wengine na cha kuumiza zaidi ni kwamba alikua na mwanamke wake ambae anampenda sana kuliko ata anavompendaa Rola na huyo mwanamke ndio ameitawala zaidi akili ya Hussein japo akiwa na Rola atapretend tuu. Kwahiyo hapa tunaweza kuona kwamba Hussein alikua kwa Rola sio kwa mapenzi bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Japokuwa nilikuwa naishi na Rely kama mume na mke lakini utashangaa sana nikikwambia kwamba bado nilikua nampenda Rola na niliimani kwamba siku moja atarudi tu kuwa wangu. Hii hali sikutaka kumuonesha Rely ambaye najua kwa namna moja au nyingine ingeweza kumletea majeraha na kumsababishia shida. Lakini mawazo yangu kumbe yalikuwa ni tofauti na ya mwenzangu kwasababu wakati Mimi nawaza nisiomuoneshe kwamba bado nampenda Rola, yeye pia aliwaza kuniacha na kwenda kuishi maisha yake. Rely aliona hawezi kuishi na mtu ambae Mama yake mzazi hana utu, akasahau kwamba Mimi ndio niliyemuoa na sio Mama yangu.

Siku moja nilikua nimekaa nae seburen kwetu tukipanga namna ya kuongeza mtaji katika kibanda changu cha chips..
"Rely unajua nataka nitanue hii biashara yangu maana naona kama imekua sasa. Kwahiyo nataka nifungue kibanda mtaa wa pili apo lakini nitaweka mtu mwingine.."

"Ni sawa sio mbaya hata hivo najua pesa itabaki nyingine, ningeomba hiyo itakayobaki basi nifungue walau hata duka nianze kuuza.."

"Unamaanisha utaacha kazi kule mgahawani??" Niliuliza kwa shauku kwasababu sikutaka kusikia kwamba Rely anaacha kazi kule mgahawani ukiangalia ni sehemu ambayo anatusaidia sana.

"No, siwezi acha lakini nitaweka mtu piaa dukani.."

"Apo sawa.." Nilimjibu hivyo huku nikiwa naendelea kuhesabu pesa ambazo nilikua nazo mkononi.

Siku moja wakati nipo chumbani nikijiandaa kwa ajili ya kwenda kutafuta site ambayo itakua nzuri kwa kuweka kibanda changu cha chips. Simu ya Rely iliita sanaa lakini Rely hakuwemo chumbani nikaona wacha niipokee si ni sim ya mke wangu bana. Wakati nasogea kuipokea ikakata, basi nikaachana nayo lakin mda huo huo iliingia meseji kwenye simu yake iliyosomeka hivi... "Naomba kama hutojali leo uje hapa restaurant nina maongezi na wewe mpenzi wangu juu ya lile swala lako la kufungua duka.."
Niseme ukweli tu kwamba hii meseji ilinifanya nijiulize mara mbili mbili. Je Rely ananicheat au ni nini kinaendelea ambacho Mimi sikifaham...???

Japokua kweli nilikua nampenda ndugu yake lakin yeye hakupaswa kunifanyia hivi mim kwasababu mim ni mume wake, inamaana swala la kufungua duka kuna mwanaume mwingine anajua tena tofauti na mim..?? Nilichanganyikiwa.. ITAENDELEA
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

CHEATING MESSAGE
Baada ya Rely kuwa amepoteza faham ilibdi wamchukue na kwenda kumpa huduma ya kwanza ambayo haikumchukua mda mrefu akawa ameamka lakin alikua na majeraha madogo sehem ya paji la uso.
Baada tu ya kuamka alianza kulia huku akilalamika kwanin Mungu kamchukua mama yake ingali yeye bado anamhitaji.

Hakukuwa na namna zaidi ya kuchukua mwili wa Mama Rely na kwenda kuupumzisha kwenye nyumba yake ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-07-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

568
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

521
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

333
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

323
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

100
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest