Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 07 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 07 (S2)

CHEATING MESSAGE
Baada ya Rely kuwa amepoteza faham ilibdi wamchukue na kwenda kumpa huduma ya kwanza ambayo haikumchukua mda mrefu akawa ameamka lakin alikua na majeraha madogo sehem ya paji la uso.
Baada tu ya kuamka alianza kulia huku akilalamika kwanin Mungu kamchukua mama yake ingali yeye bado anamhitaji.

Hakukuwa na namna zaidi ya kuchukua mwili wa Mama Rely na kwenda kuupumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Ulikuwa ni wakati mgumu kwa Rely kwani hakuwa wa kula wala kunywa. Aliona dunia nzima ni kama imemsaliti na kumuacha peke yake. Nilijitahidi sana kumtia moyo na kumfariji hatimaye alianza kuwa sawa japo nilichukua mda mrefu sana kumuweka sawa.

Rely aliweka chuki kubwa sana ndani ya moyo wake juu ya Mama yangu mzazi. Akiamini kwamba mama yangu ndio chanzo cha kifo cha mama yake. Suala hili likapelekea Rely kukataa kabisa kubaki pale nyumbani. Kwakuwa nilikua tayari nilishaongea na rafiki yangu kuhusu kunitafutia chumba cha kupanga, sikua na shida tena kwasababu chumba kilipatikana na kisha tukahamia huko na kuyaanza maisha mapya ambayo hayakua mazuri sanaa japo niliendelea kupambana kuhakikisha tunaishi.

Siku zikasogea huku nikiendelea kupambana zaidi kutafuta kazi ya kufanya, maana mjini bila kazi hakuna utakachofanikiwa sababu kila kitu kufanikiwa ni lazima pesa iwepo. Kwahiyo nililazimika kuingia mtaani kutafta kazi. Rely pia alianza kutafta kazi ambapo yeye alipata katika mgahawa mmoja ambao kwa namna yake ulikua na hadhi kidogo. Mimi niliendelea kutafta kazi bila mafanikio lakini sikukata tamaa na safari hii nikaona nifungue kibanda cha chips na kuanza kuuza chips pale mtaani.

Maisha yaliendelea kuchanja mbuga japo kwa tabu lakini ikawa ni bora kuliko kukaa tu kujibweteka bila kazi. Nashkuru Mungu kwa kipindi hiki kidogo tuliweza kupiga hatua kwa kiasi fulani kwani pesa aliyokua akipata Rely tulikua tunaunganisha na ile nnayopata Mimi kisha tunaweka mikakati ipi ambayo tutaifanya ili kujiinua zaidi ya pale tulipo.

Wakati Sisi tukiendelea na maisha yetu ya kawaidaa, upande wa pili ambapo alikuwepo Rola pamoja na mpenzi wake Hussein, mambo yalikua safi kabisa kwasababu wao hawakua na shida kama tulivyokua Mimi na Rely. Waliishi kama wafalme kwasababu kila kitu walikua nacho na kikubwa zaidi ata baadhi ya kampuni alizokua nazo Rola aliandika jina la Hussein kitu ambacho kilimfanya Hussein kufurahi zaidi.

Kitendo cha Hussein kupewa umiliki wa baadhi ya mali za Rola kilimfanya kuwa na kiburi sanaa kwasababu alianza kutumia pesa zile kwa maslahi yake binafsi. Mwanzo Rola aliona sio mbaya kwasababu ni mume wakd labda kuna vitu anafanya lakin ukweli haukua hivyo badala yake Hussein alikua akitumia pesa pamoja na wanawake wengine na cha kuumiza zaidi ni kwamba alikua na mwanamke wake ambae anampenda sana kuliko ata anavompendaa Rola na huyo mwanamke ndio ameitawala zaidi akili ya Hussein japo akiwa na Rola atapretend tuu. Kwahiyo hapa tunaweza kuona kwamba Hussein alikua kwa Rola sio kwa mapenzi bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Japokuwa nilikuwa naishi na Rely kama mume na mke lakini utashangaa sana nikikwambia kwamba bado nilikua nampenda Rola na niliimani kwamba siku moja atarudi tu kuwa wangu. Hii hali sikutaka kumuonesha Rely ambaye najua kwa namna moja au nyingine ingeweza kumletea majeraha na kumsababishia shida. Lakini mawazo yangu kumbe yalikuwa ni tofauti na ya mwenzangu kwasababu wakati Mimi nawaza nisiomuoneshe kwamba bado nampenda Rola, yeye pia aliwaza kuniacha na kwenda kuishi maisha yake. Rely aliona hawezi kuishi na mtu ambae Mama yake mzazi hana utu, akasahau kwamba Mimi ndio niliyemuoa na sio Mama yangu.

Siku moja nilikua nimekaa nae seburen kwetu tukipanga namna ya kuongeza mtaji katika kibanda changu cha chips..
"Rely unajua nataka nitanue hii biashara yangu maana naona kama imekua sasa. Kwahiyo nataka nifungue kibanda mtaa wa pili apo lakini nitaweka mtu mwingine.."

"Ni sawa sio mbaya hata hivo najua pesa itabaki nyingine, ningeomba hiyo itakayobaki basi nifungue walau hata duka nianze kuuza.."

"Unamaanisha utaacha kazi kule mgahawani??" Niliuliza kwa shauku kwasababu sikutaka kusikia kwamba Rely anaacha kazi kule mgahawani ukiangalia ni sehemu ambayo anatusaidia sana.

"No, siwezi acha lakini nitaweka mtu piaa dukani.."

"Apo sawa.." Nilimjibu hivyo huku nikiwa naendelea kuhesabu pesa ambazo nilikua nazo mkononi.

Siku moja wakati nipo chumbani nikijiandaa kwa ajili ya kwenda kutafuta site ambayo itakua nzuri kwa kuweka kibanda changu cha chips. Simu ya Rely iliita sanaa lakini Rely hakuwemo chumbani nikaona wacha niipokee si ni sim ya mke wangu bana. Wakati nasogea kuipokea ikakata, basi nikaachana nayo lakin mda huo huo iliingia meseji kwenye simu yake iliyosomeka hivi... "Naomba kama hutojali leo uje hapa restaurant nina maongezi na wewe mpenzi wangu juu ya lile swala lako la kufungua duka.."
Niseme ukweli tu kwamba hii meseji ilinifanya nijiulize mara mbili mbili. Je Rely ananicheat au ni nini kinaendelea ambacho Mimi sikifaham...???

Japokua kweli nilikua nampenda ndugu yake lakin yeye hakupaswa kunifanyia hivi mim kwasababu mim ni mume wake, inamaana swala la kufungua duka kuna mwanaume mwingine anajua tena tofauti na mim..?? Nilichanganyikiwa.. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

CHEATING MESSAGE
Baada ya Rely kuwa amepoteza faham ilibdi wamchukue na kwenda kumpa huduma ya kwanza ambayo haikumchukua mda mrefu akawa ameamka lakin alikua na majeraha madogo sehem ya paji la uso.
Baada tu ya kuamka alianza kulia huku akilalamika kwanin Mungu kamchukua mama yake ingali yeye bado anamhitaji.

Hakukuwa na namna zaidi ya kuchukua mwili wa Mama Rely na kwenda kuupumzisha kwenye nyumba yake ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-07-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

927
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

628
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

474
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

100
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest